privacy

  1. U

    Natoa kero yangu kwenye hospitali za wachina / wakorea, hawathamini kabisa privacy / usiri wa wagonjwa + maadili, hutuchukulia kama vifaa na sio watu

    Ni katika moja ya hospitali niliwahi kwenda kwenye matibabu yangu, hospitali inadeal na mambo ya mishipa / nerves. Siku nimeenda niliambiwa niende kwa wiki nzima kuna mashine naitumia kwa dakika kadhaa kisha naondoka, Yani mle chumbani kilichokuwa kikibidi kututenganisha na mtu mwengine ni...
  2. Analogia Malenga

    Matumizi ya teknolojia ya dijitali yabadilisha upepo wa uchaguzi, Privacy International yatoa mapendekezo kwa wachunguzi wa uchaguzi

    Mwaka 2023: Mabadiliko Makubwa katika Mchakato wa Uchaguzi Kupitia Teknolojia ya Dijitali Katika miaka ya hivi karibuni, mchakato wa uchaguzi na shughuli zinazohusiana nao umepitia mabadiliko makubwa, yaliyosukumwa na maendeleo ya teknolojia ya dijitali. Hali hii imeleta mazingira mapya...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums kushiriki mjadala wa “ICT for Promoting Digital Security and Data Privacy”, leo Novemba 8, 2023

    Ikiwa ni Siku ya pili (Nov 8) ya Tamasha la Jinsia kutoka TGNP, JamiiForums inashiriki kwenye Mjadala kuhusu 'Ushirikishwaji wa Wanawake na Wasichana katika Usalama wa Kidijitali na Faragha ya Taarifa' Mjadala huu utaangazia namna ya kuongeza Ushiriki wa Wanawake kwenye Nyenzo za Kidijitali...
  4. Hold on

    Kitu gani kinapeleka watu mkiwa kwenye privacy zenu muji record?

    Ndugu sikuizi watu wengi wakiwa kwenye faragha wanapenda kujirecord na wanatoa ushirikiano mzuri tu, sasa sijajua sababu hasa ya kujirecord ni ipi? Wengine mnasema et for feture use feture ipi inaweza kuja kutumia izo video zenu za faragha na zikivuja mnaaza kulia
  5. J

    Ulinzi wa Faragha ya Taarifa Binafsi ni Haki ya Msingi ya Binadamu

    Siku ya Ulinzi wa Faragha ya Taarifa Binafsi (Data Privacy Day) inaadhimishwa kila Januari 28 Haki ya Faragha inawezesha Raia kufurahia Haki nyingine kama: - Uhuru wa Mawazo - Uhuru wa Kujieleza - Uhuru wa Kukusanyika Ni Msingi wa Jamii ya Kidemokrasia Katika Nchi nyingi, Faragha...
  6. Pascal Mayalla

    Wito Jeshi Letu la Polisi, Stop This Sensesionalism!. Udhalilishaji, na Kuingilia The Right to Privacy!. Kumbe PT Inafanyia Kazi Taarifa za Mitandao!

    Wanabodi, Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi. Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za kipolisi, ni issues za kijamii na kifamilia. Kwanza msikilize Kamanda Polisi Huyu Kisha isome taarifa...
  7. Elli

    Customer Privacy: JF itaheshimika daima Vs tiGO Tanzania

    Sizungumzii ukubwa wa kipato, wala silinganishi wingi wa wateja, nazungumzia suala la kulinda Privacy ya Mteja wako! JamiiForums kwa kupitia Mkurugenzi wake Maxence Melo walikua tayari kufungwa jela na alishawekwa mahabusu ila SIO kutii AGIZO fake na kutoa taarifa za Wateja wake. Tigo Tanzania...
  8. Informer

    Vodacom Tanzania discloses their customer private data

    There are unquestionable scenarios that a leading Tanzania’s cellular network company, Vodacom (T) can easily hack and share customers' conversations without their consent. Voicemail, massaging and maybe video hacking is easily tracked by Vodacom and shared to third parties, contrary to...
  9. Wong Fei

    Hatuko Salama: Vodacom kuiingilia Privacy za wateja

    Inasikitisha na ina hatia hasira sana. Kinachoondelea Vodacom wanasoma meseji na kusikiliza maongezi ya wateja wao ambapo ni kinyume na sheria. Vifurushi ninunue mm tena mniuzie kwa bei ghari na mnipangie cha kutuma. Kwann? Kila siku mnapandisha vifurushi na bado mnaingilia privacy za wateja...
  10. Mwanamayu

    Kwa jibu la mmoja wa wagombea Urais nchini kwetu Tanzania, hivi Katiba ya nchi inasemaje haswa juu ya uhuru wa faragha (privacy)?

    Kuna mgombea mmoja wa kiti cha Urais amekuwa akinukuu katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (toleo la 20 Juni, 2005) ibara ya 16 mara anapojibu swali la waandishi wa habari akiwemo yule wa BBC wakati wa hardtalk kuhusu masuala ya ushoga. Ibara hiyo inahusu haki ya faragha na...
  11. Dive

    Why you should think twice about giving Facebook your mobile number

    Two-factor authentication helps better protect online accounts from hackers. Facebook offers this security feature, too. But there's a catch. In recent years, Facebook has woefully neglected the issue of data privacy and has found itself embroiled in a number of data scandals, such as when news...
Back
Top Bottom