serikali

  1. R

    JamiiForums Tanzania Mali: Mwandishi na Influencer wahukumiwa jela miaka 7 kwa kukosoa serikali

    Agosti 17, 2026, Mahakama ya Mali imemhukumu kifungo cha miaka saba jela mtangazaji maarufu na influencer wa mitandaoni, ambao wote walikuwa wakikosoa utawala wa kijeshi nchini humo Mtangazaji wa televisheni na redio, Mohamed Youssouf Bathily, maarufu kama Ras Bath, amehukumiwa na mahakama ya...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Hivi serikali inasubiri watu wapigane visu kwa ajili ya Simba ndio waingilie kati?

    Siyo siri naangalia mechi hapa na Kagera naona Simba wanacheza hovyo sana,hawana morali,wanacheza kama wapo mazoezini. Hii timu kwa sasa inakatisha tamaa
  3. britanicca

    JamiiForums Tanzania Panya wanalimaliza Godoro wanatafuna saaaaana

    Katika makubaliano ya kutengeneza viota, ili maonesho ya kutafuna mahindi yafanyike na kushirikisha panya mbali mbali klutokas kaya kadhaa, kuna Kaya moja inatumia mwanya huo kulitafuna Godoro sana ! Ubaya zaidi hakuna paka! Yule panya mwenye mashurubu mengi kutoka maeneo ya kichuguu Kala nusu...
  4. Y

    JamiiForums Tanzania Hii sio Dunia ya Serikali kuhodhi ujenzi wa miradi yote mpaka choo- David Kafulila

    Kafulila: Serikali Haiwezi Kujenga Kila Kitu, Sekta Binafsi Ipewe Nafasi. == Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema Serikali haiwezi kumudu kugharamia kila aina ya mradi nchini, hasa miradi ya kibiashara, wakati mahitaji ya...
  5. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Poleni sana wanywa pombe wa Tanzania Chukueni hatua mamlaka zimelala

    GT Hakuna jambo linalonitia hasira kama energy drinks ..haya ni mauaji ya halaiki na sijui kwa nini haipigwi stop. Pombe nazo ni balaa jingine sasa tangu zamani watu.washasema pombe za TZ nyingi ni fake. Rwanda wamechukua hatua lakini sisi kimya. Walevi poleni sana na mchukue hatua mwafa .
  6. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Wahadhiri 100 kuchanga sh laki tano pekee kwa Mhadhiri wa UDOM anae shitakiwa kwa ugaidi. Je huu ndio ujumbe wanao upeleka kwa serikali ya Samia? 👇👇

    Picha lina anza mhadhiri wa UDOM anakamatwa na vyombo vya dola kisha kushtakiwa kwa kosa la ugaidi. Je huyo mhadhiri ametenda kosa la ugaidi? Mimi sio mwanasheria ila najua kuwa this case is Res Sub Judice, and therefore very little to comment about that. Hukumu ya Mahakama ndio itakayo tupa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Serikali itoe 1/2 fidia - kuzima chuki.

    Kosa limeshatokea Kwa watumishi wake kuleta madhara yasiyo tarajiwa. USHAURI ; 1. Serikali ishiriki kikamilifu katika hatua zote stahiki Kwa kutoa ushirikiano Kwa wazazi. Ingawa serikali Haina kosa kabisa ( haijathibitika kosa ni la wahanga au watumishi wake) 2. Hekima,busara na uvumilvu...
  8. O

    JamiiForums Tanzania Tuanze kufikiri namna ya kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kwenye Katiba ijayo ili kutengeneza umoja na mshikamano wa kitaifa

    Watanzania ,ninaleta kwenu wazo la kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwenye Katiba mpya.Ninapendekeza kwamba chama cha siasa au mgombea binafsi atakayepata kura kuanzia Asilimia Kumi (10%) kiwe ndani ya Serikali. Hii itasaidia kuondoa mtindo tulio nao sasa wa mshindi kuchukua vyote hata kama...
  9. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwamakula aitaka Serikali ya Tanzania itoe maelezo kuhusu tuhuma dhidi yake kupeleka watu kusaidia kupora Zambia!

    Ndugu Watanzania! Nchi yetu imeingia katika dimbwi la matope na kinyesi. Tanzania inatuhumiwa kupeleka watu kwenda kusaidia kupora Uchaguzi wa Zambia kumsadia Hakainde Hichilema anayesadikika kuwa ameshindwa Uchaguzi ili aapishwewa kuwa Rais wa Zambia kwa muhula mwingine. Mgombea wa upinzani...
  10. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ni wazi wananchi wa Zambia wameamua kuirejesha serikali yao madaraka kwa awamu ya pili, hakuna haja ya waliokataliwa kulaumu au kusingizia waTanzania.

    Kiongozi wa upinzani Zambia mh. Brian Muntayala Mundubile, ni vizuri akawa mtulivu na akaheshimu demokrasia na maamuzi huru ya wananchi wa jamuhuri ya Zambia kwa kumchagua tena Rais Hakainde Hichilema. Hakuna haja ya kusingizia waTanzania, wakati wananchi wa Zambia kwa uhuru, haki na utashi wao...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Viwango vya mishahara sekta binafsi haviendani na viwango vilivopangwa na Serikali hasa kada ya watunza kumbu kumbu

    Changamoto ya salary scale kwenye mashirika yanayofanya kazi sekta binafsi baadhi Yao wanalipa mshahara mdogo ambao hauendani na salary scale iliyowekwa na Serikali na ni ajira za mkataba. Hata pale wanapohuisha mkataba mpya badala ya mshahara kuongezeka, unaweza ukabaki pale pale angali...
  12. polokwane

    JamiiForums Tanzania Serikali inekana inautamani sana ugaidi maana sio kwa kesi hizi wanazo tupiwa hawa watu wawatu ambao hawajui hata majina ya bunduki.

    Serikali imeona njia pekee ya kupambana na upinzani ni kuwapa lesi za ugaidi na uhaini nadhani wana hamu sana na ugaidi wenyewe na inaonekana wanautamani sana
  13. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania MAHAKAMA hiyohiyo Kesi ya Lissu, inatoa Amri, Serikali haifuati , hamna kinachotokea. Alafu Madeleka anakamatwa kwa kutofata Amri ya Mahakama

    Ukistaajabu ya Mussa!!
  14. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Mo Dewj ni Tapeli? Serikali imchunguze Huyu Bilionea

    Kuna viashiria vinapelekea niamini kuwa huyu bilionea wa Simba huenda ni tapeli. 1. Alishawahi kusema kuwa ameinunua timu ya Simba na ndiyo kitu cha thamani anacho miliki. Ikumbukwe kuwa HAJAWAHI kukanusha kauli hii. 2. Interview ya Mh. Murtaza Mangungu aliyofanya na Crown FM alidai kuwa kuna...
  15. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Ofisi za Serikali zipo lakini simu hazipatikani: Kero kubwa kwa wananchi wa Tanzania

    Hili ni kero kubwa sana kwa wananchi, kwa sababu simu za ofisi za Serikali zinapaswa kuwa moja ya njia rahisi za mwananchi kupata huduma bila kulazimika kufika ofisini. Tatizo linapojitokeza kwamba namba za landline za Halmashauri, Manispaa, Majiji na mashirika ya umma hazipatikani, hazipigi...
  16. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Seneta John Methu Aitaka Serikali Ya Rais Ruto Kuweka Wazi “Scorecard” Ya Miaka Minne

    Seneta wa Nyandarua John Methu ameisukuma serikali ya Rais William Ruto kutoa hesabu kamili ya utendaji wake tangu ilipoingia madarakani mwaka 2022. Methu amesema serikali haipaswi kupuuza ukosoaji kutoka kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua kwa kumkumbusha tu kuwa aliwahi kuwa sehemu ya...
  17. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Biashara ya madawa ya kulevya aina ya pombe inafaida sana kwa serikali.

    Miaka ya 1800 katikati mskaburu wa Afrika Kusini waliunda taifa lao la Orange Free State. Wakakaa na kupanga mikakati ya nchi. Wakaona moja ya njia ya uhakika kupata pesa ni kupitia kodi kwenye pombe. Pombe ni madawa ya kulevya yenye faida sana. Basi wakapiga marufuku import ya pombe ili...
  18. B

    JamiiForums Tanzania BoT - Tanzania Yafungua Soko la Dhamana za Serikali kwa wanunuzi Wawekezaji wa Kingeni

    12 August 2026 Tanzania Yafungua Soko la Dhamana za Serikali kwa Wawekezaji wa Kimataifa Tanzania relaxes forex rules to draw foreigners to bonds. 'The reform aims to broaden access to the government-securities market Benefits of Investing in Government Securities Treasury bills and Treasury...
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Maduhu: Vijana ACT jiulizeni Serikali ya CCM ina nia ya dhati ya kufanya maridhiano?

    Wakili William Maduhu akizungumza leo tarehe 12 Agosti 2026 wakati Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo chini ya Mwenyekiti wake Abdul Nondo inapoadhimisha Siku ya Vijana Duniani kwa kufanya Kongamano katika Ukumbi wa Mrina, Dar es Salaam.
  20. K

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa TEC na Rais Samia Ikulu Chamwino: Je, ni Toba ya Kweli na Kukiri Makosa ya Serikali, au ni 'Geresha' la Kisiasa Kupoza Nyoyo?

    Wakuu wa jukwaa hili, Mkutano wa tarehe 10 Agosti 2026 kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) huko Dodoma haupaswi kuchukuliwa kama kikao cha kawaida cha kunywa chai na kupiga picha za tabasamu za Ikulu. Huu ni mkutano uliogusa donda ndugu la taifa letu...
Back
Top Bottom