The police are a constituted body of persons empowered by a state to enforce the law, to protect the lives, liberty and possessions of citizens, and to prevent crime and civil disorder. Their lawful powers include arrest and the legitimized use of force. The term is most commonly associated with the police forces of a sovereign state that are authorized to exercise the police power of that state within a defined legal or territorial area of responsibility. Police forces are often defined as being separate from the military and other organizations involved in the defense of the state against foreign aggressors; however, gendarmerie are military units charged with civil policing. Police forces are usually public sector services, funded through taxes.
Law enforcement is only part of policing activity. Policing has included an array of activities in different situations, but the predominant ones are concerned with the preservation of order. In some societies, in the late 18th and early 19th centuries, these developed within the context of maintaining the class system and the protection of private property. Police forces have become ubiquitous in modern societies. Nevertheless, their role can be controversial, as some are involved to varying degrees in corruption, police brutality and the enforcement of authoritarian rule.
A police force may also be referred to as a police department, police service, constabulary, gendarmerie, crime prevention, protective services, law enforcement agency, civil guard or civic guard. Members may be referred to as police officers, troopers, sheriffs, constables, rangers, peace officers or civic/civil guards. Ireland differs from other English-speaking countries by using the Irish language terms Garda (singular) and Gardaí (plural), for both the national police force and its members. The word "police" is the most universal and similar terms can be seen in many non-English speaking countries.Numerous slang terms exist for the police. Many slang terms for police officers are decades or centuries old with lost etymology. One of the oldest, "cop", has largely lost its slang connotations and become a common colloquial term used both by the public and police officers to refer to their profession.
Horrifying moment plane carry police officers crashes into sea in front of luxury Thai hotel
VIDEO of the Horrifying moment plane crashes carry 6 police officers into sea in front of luxury Thai hotel
All six people on board were police officers. Mr Kraithong initially said five people died at...
Kuna kitu ambacho police wamefanya leo na wengi hatuja waelewa?
Kwa muda mrefu tumekuwa tukitafuta nani anateka watu na kuwatupa porini, majini na kwenye hifadhi za wanyama wakali , bila mafanikio.
Police wamekuwa wakilaumiwa japo na wao wanatekeleza maagizo.
Naona sasa hivi wameamua...
Kwa siku tatu au nne kwa wiki wanapiga Risasi juu katikati ya mji! bila kujali uwepo Watu wagonjwa katika maeneo yanayo wazunguka. Hata kama ni mazoezi ni vema wakafanyie huko nje na sio kuzua hofu hapa mjini.
Osterbay polisi upande wa uhakiki wa leseni na wale vehicles wanaopitisha wamejikuta miungu watu hawasikilizi wabongo zaidi ya wachina na wahindi wana kauli mbaya na lugha chafu kwa wabongo
Habari wakuu,hii inchi ikienda ivi raia watashindwa kutoa ushirikiano Kwa majeshi yetu,yaan Hasa Hawa askari wetu wanao tembea rod na kukakamata vyombo vya usafiri,
Kuna askari jina kapuni uyu amekatama chombo cha moto kikiwa kimepaki na kimekamilika kila kitu na kutoa sababu kibao dk ya...
Hawa watu ni wahuni wameshawapiga watz wanataka kusepa na pesa sasa.
Meneja wao huo hapa anaitwa Emily yupo Uingereza +44 7429 429168.
Ukiangalia list ya makampuni ya Uingereza hii kampuni haipo.
Ukiingia google ukasearch scarm company imo so iliwezekanaje hawa wahuni kupewa vibali vya kufanya...
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Ndg. Shemsa Mohamed, Ashiriki Sherehe ya Police Simiyu Family Day
📅 Tarehe: 22 Februari 2025
📍 Eneo: Viwanja vya Kituo cha Polisi, Itilima
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Ndg. Shemsa Mohamed, ameshiriki katika sherehe ya Police Simiyu...
Jeshi la Polisi nchini linaendelea kuchukua tahadhari katika kuzuia uhalifu unaovuka mipaka ukiwemo uhalifu wa mitandao na ugaidi ambapo kupitia ushirikiano wa Tanzania na India wamekubaliana kushirikiana katika nyanja mbalimbali ikiwemo upatikanaji wa mafunzo kwa Askari Polisi na vifaa vya...
Ni wakati sahihi wa kuondoa hii dhana iliyojengekea kuwa askari wa usalama barabarani wako kwa ajili ya pesa za waendesha magari (madereva)... iwe kihalali au rushwa ni kuwa kuna dhana kwamba matrafiki wanawaza pesa tu. Hii sio sawa. Mimi naona trafiki wako kwa ajili ya usalama barabarani na sio...
Wadau wasalaam.Toka nizaliwe sijawahi kulala Police ila tarehe 2 nililala. wadau pale nilivua viatu na nikakaguliwa nikawakuta jamaa wawili wakituhumiwa kuiba ndizi na kuku.
Wadau pale sakafuni palikua na baridi la kufa mtu na sio poa.
Ndugu zangu fanya yote ila pale sio poa yani.
Tarehe 3...
Habari wadau wa Barabarani, kumekuwa na changamoto kubwa kwenye Mtandao wa Polisi wa kuangalia Traffic Fine za magari na madeni ya leseni, mtandao huu umeacha kufanya kazi tangu mwanzoni mwa Desemba 2024, huku ukisababisha madeni kuongezeka kwa kuchelewa kulipa.
Traffic akikusimamisha...
Jana bana baada ya kazi kumbe nilipita bar flani kusuuza koo.nikapiga konyagi kubwa ile nikazima,sasa muda umeenda wahudumu wakaniamsha kuwa wanataka kufunga niondoke,me kwa utani nikawaambia niitieni police wanisindikize nyumbani,bahati nzuri kuna gari la doria la police likapita...
Inawezekana Polisi na wao wameshachoka kutumika kama Toilet paper chini ya uongozi wa ccm.. sema ndio hivyo hakuna namna na walishaapa watailinda katiba ya nchi , na rais ..
Ila deep down hata wenyewe police hawapendi namna mambo yanavyo enda Kwa Sasa .. Kazi yao ni kufwata oda tu kutoka juu ...
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..
Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .
Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limeripoti fujo zilizotokea tarehe 15 Desemba, 2024, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba SC na CS Sfaxien.
Mashabiki wa CS Sfaxien walikasirishwa na mwamuzi kuongeza dakika saba, hali iliyopelekea...
Nikweli Mimi siyo mzungu lakini pamoja na kuwa lugha ya malikia sio yetu ni sawa.
Sasa inakuwaje police mnapokuwa una deal na mtu Huwa mnapenda sana kutumia hili neno "I'm not your friend My friend " Tena mkiwa na ujasiri kabisa hata ukiwa mbele ya mkuu wako wa kituo.
Tuambieni labda ni...
CCM ni sawa na yale magenge ya Madawa za kulevya kule Mexco, ambako kila mbinu ikijulikana huingia chimbo na baadae kuja na mbinu mpya ya kusafirisha Dawa za kulevya.
CCM baad ya kugundua mbinu nyingi za wao kuiba kura hasa kura fake zinajulikana now day sana wanatumia police hao hao kuiba...
Watanzania tunatia huruma Sana ukiiona video hii ni aibu we mtu anakimbilia porini hata hajali huko porini atakutana na nini.
JIANDAE KUKUTANA NA HAYA KAMA UTAHAMIA NCHI ZA WATU BILA PASIPOTI UTAISHI KAMA DIGI DIGI
Papers ni za muhimu Sana kwenye nchi za watu tusihamie kienyeji sana Ona huyu
Hawa Vijana wa hovyo wa CCM natamani wangeonywa juu ya haya matamshi Yao! Imagine huyu ni kiongozi wa CCM na anaongea haya publicly, kama ana uwezo wa kusema hivi hadharani, je huko sirini Wanaongea na kupanga mabaya Kiasi Gani?.
Kutokana na matukio yanayo husisha watu wenye silaha na vifaa vya kijeshi/police kuhusika na matukio ya mauaji pamoja na utekaji.. kuna uwezekano mkubwa serikali kuja na sheria inayo zuia police kuvaa kiraia wanapo kuwa kazini.
Mdai mmoja anasema hii ki kutikana na serikali kuchafuliwa na pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.