Neymar Jr ametangaza rasmi kustaafu kuichezea timu ya taifa baada ya Brazil kutolewa kwenye Kombe la Dunia na Norway katika hatua ya 16 Bora. Hii ni mara ya kwanza Brazil kushindwa kufika hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia tangu mwaka 1990.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 alifunga...
Mabingwa mara tano wa Kombe la Dunia, Brazil national football team, watakutana na Norway national football team katika hatua ya 16 bora mjini New Jersey, huku Brazil wakipewa nafasi kubwa ya kutinga robo fainali licha ya kuonyeshwa upinzani mkali na Norway.
Brazil walimaliza kileleni mwa Kundi...
Unatarajiwa kuwa mchezo wa kuvutia zaidi katika hatua ya 32 bora kwenye Kombe la Dunia la 2026 unafanyika mjini Houston, ambapo mabingwa mara tano Brazil watachuana na Japan, timu ambayo haijawahi kushinda mchezo wowote wa hatua ya mtoano katika mashindano haya.
Baada ya kiwango kisichoridhisha...
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil, Neymar Jr., hatarajiwi kurejea uwanjani hadi michuano ya Kombe la Dunia itakapofikia hatua ya mtoano. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 bado hajaanza mazoezi na kikosi chake kuelekea mchezo wa pili wa hatua ya makundi dhidi ya Haiti, huku akilazimika...
Kiungo fundi bwana mdogo wa miaka 18, Ayyoub Bouaddi, amezitikisa hisia za mashabiki wa soka ulimwenguni kufuatia kiwango bora cha kipekee alichokionesha kwenye mchezo wake wa kwanza wa Kombe la Dunia (World Cup debut) dhidi ya miamba ya soka, Brazil katika mchezo uliomalizika kwa sare ya 1–1...
Salaam to everyone. Hopefully everyone is having a great weekend out there.
Kama inavyojulikana kwamba kila ubaya lazima ulipwe hapa hapa duniani. Na Leo kwenye muendelezo wa mashindano ya FIFA world cup, Brazil atashuka dimbani kucheza na Morocco, saa 7 kamili usiku.
Katika hali...
Hiki ndicho kikosi ambacho watu wengi wanasema kuwa ndio kikosi bora kabisa cha Brazil cha muda wote.
kikosi hiki ndicho kilichobeba kombe la dunia mwaka 2002 huko korea dhidi ya timu ngumu ya Ujerumani kwa magnolia 2-0 yaliyofungwa na Ronaldo og.
Katika mashindani hayo Ronaldo akiwa katika...
Jana tulibishana sana na washikaji zangu wanne kuhusu hii ishu watatu walikuwa upande wa Russia, na si watu wa kawaida wameishi na kusafiri katika nchi nyingi tu ulaya,Marekani,thailand ,mongolia n.k. Hoja yao ilikuwa kwamba Russia ina asilimia kubwa ya wanawake wazuri,matwiga,wako soft...
Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA) is under growing scrutiny even as it hosts a high-level delegation from Brazil’s energy regulator, Brazilian Electrical Energy Regulatory Agency, for a benchmarking visit aimed at strengthening cooperation in the energy sector.
The visit, led by...
Zelensky ana akili kubwa sana, ni vile tu hana resources!!!
Putin alishafanya majaribio mengi sana ya kumteka Zele lakini wapiii
Kwenye kitengo cha utekaji mrusi kazidiwa mpaka na wasiojulikana
Trump anairudisha ile marekani ya kwenye TV na muvi za kijasusi.
Imagine unakuja kukamatwa...
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki Mkutano wa thelathini wa nchi wanachama wa Mkataba wa Kimataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (UNFCCC COP-30), unaoendelea jijini Bélem, nchini Brazil kuanzia tarehe 03/11/2025 na unatarajiwa kukamilika tarehe 21/11/2025.
...
Wakuu nimekutana na hii video ya Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Tanzania (TEF) akisema kuwa dunia nzima mwendokasi ipo Brazil na Tanzania tu. Hii imekaaje?
Timothy James Clark, rubani raia wa Australia, alifariki katika ajali ya ndege huko Brazil. Ajali hiyo ilitokea katika eneo la Coruripe, kwenye pwani ya Brazil.
Polisi walipochunguza eneo la ajali, walikuta ndege hiyo ikiwa imebeba takriban kilo 200 za kokeini zilizokuwa zimefungwa katika...
Ghana is setting its sights on becoming the largest chicken producer in Africa within the next three years.
Local farmers will be supported with day-old chicks, affordable feed, and modern processing facilities to scale up production nationwide.
The goal is to drastically reduce reliance on...
Brazil imekataa kuidhinisha uteuzi wa Gali Dagan, aliyewahi kuwa balozi wa Israel nchini Colombia, kuwa balozi mpya wa Israel nchini Brazil, na kuacha nafasi hiyo ikiwa wazi, vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti.
Hatua hiyo inaashiria kushuka zaidi kwa uhusiano na nchi hiyo ya Amerika...
Mkutano wa 30 kuhusu mabadiliko ya tabia nchi (COP30) unatarajiwa kufanyika mwezi Novemba mjini Belém nchi Brazil, ambao unatajwa kuwa mkutano wa kilele wa kihistoria utakaoweka ajenda kuhusu mabadiliko ya tabia nchi duniani kwa kipindi cha miaka 10 ijayo, muongo muhimu kabisa wakati dunia...
Watu trakibani wanane wamefariki dunia kutokana na ajali ya tufe la hewa (hot air balloon) katika eneo la kusini mwa Brazil, kwa mujibu wa Gavana wa jimbo la Santa Catarina, Jorginho Mello.
Kupitia ukurasa wake wa X, Mello alisema kuwa kulikuwa na watu 21 ndani ya tufe hilo wakati lilipoanguka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.