brazil

  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Neymar Jr atangaza kustaafu kuichezea Brazil baada ya kuondoshwa Kombe la Dunia na Norway

    Neymar Jr ametangaza rasmi kustaafu kuichezea timu ya taifa baada ya Brazil kutolewa kwenye Kombe la Dunia na Norway katika hatua ya 16 Bora. Hii ni mara ya kwanza Brazil kushindwa kufika hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia tangu mwaka 1990. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 alifunga...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania FT: Brazil 1-2 Norway | World Cup 2026 | MetLife Stadium | 5 Julai, 2026 |5:00 Usiku | Brazil yaaga mashindano

    Mabingwa mara tano wa Kombe la Dunia, Brazil national football team, watakutana na Norway national football team katika hatua ya 16 bora mjini New Jersey, huku Brazil wakipewa nafasi kubwa ya kutinga robo fainali licha ya kuonyeshwa upinzani mkali na Norway. Brazil walimaliza kileleni mwa Kundi...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania FT: Brazil 2-1 Japan | World Cup 2026 | NRG Stadium | Juni 29, 2026 | 2:00 Usiku

    Unatarajiwa kuwa mchezo wa kuvutia zaidi katika hatua ya 32 bora kwenye Kombe la Dunia la 2026 unafanyika mjini Houston, ambapo mabingwa mara tano Brazil watachuana na Japan, timu ambayo haijawahi kushinda mchezo wowote wa hatua ya mtoano katika mashindano haya. Baada ya kiwango kisichoridhisha...
  4. upupu255

    JamiiForums Tanzania FALSE Is this shows Brazil Vs Morocco 2026 World Cup highlight?

  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Pigo kwa Brazil: Neymar kukosa Mechi zote za Makundi Kombe la Dunia, kurejea hatua ya Mtoano

    Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil, Neymar Jr., hatarajiwi kurejea uwanjani hadi michuano ya Kombe la Dunia itakapofikia hatua ya mtoano. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 bado hajaanza mazoezi na kikosi chake kuelekea mchezo wa pili wa hatua ya makundi dhidi ya Haiti, huku akilazimika...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Bwana Mdogo Ayyoub Bouaddi aliyewavuruga Viungo wa Brazil, Arsenal na PSG watajwa Vitani kusaka Saini yake!

    Kiungo fundi bwana mdogo wa miaka 18, Ayyoub Bouaddi, amezitikisa hisia za mashabiki wa soka ulimwenguni kufuatia kiwango bora cha kipekee alichokionesha kwenye mchezo wake wa kwanza wa Kombe la Dunia (World Cup debut) dhidi ya miamba ya soka, Brazil katika mchezo uliomalizika kwa sare ya 1–1...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Full Time: Brazil 1-1 Morocco || 13.06.2026 || World CUP 2026 || Leo Africa tunasimama na Brazil

    Salaam to everyone. Hopefully everyone is having a great weekend out there. Kama inavyojulikana kwamba kila ubaya lazima ulipwe hapa hapa duniani. Na Leo kwenye muendelezo wa mashindano ya FIFA world cup, Brazil atashuka dimbani kucheza na Morocco, saa 7 kamili usiku. Katika hali...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kikosi bora cha Brazil cha muda wote hiki hapa

    Hiki ndicho kikosi ambacho watu wengi wanasema kuwa ndio kikosi bora kabisa cha Brazil cha muda wote. kikosi hiki ndicho kilichobeba kombe la dunia mwaka 2002 huko korea dhidi ya timu ngumu ya Ujerumani kwa magnolia 2-0 yaliyofungwa na Ronaldo og. Katika mashindani hayo Ronaldo akiwa katika...
  9. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Mademu wa Russia vs Brazil: Nani Wanaongoza Kwa Uzuri wa Asili?

    Jana tulibishana sana na washikaji zangu wanne kuhusu hii ishu watatu walikuwa upande wa Russia, na si watu wa kawaida wameishi na kusafiri katika nchi nyingi tu ulaya,Marekani,thailand ,mongolia n.k. Hoja yao ilikuwa kwamba Russia ina asilimia kubwa ya wanawake wazuri,matwiga,wako soft...
  10. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania EPRA Hosts Brazilian Regulators for Benchmarking Trip Amid Mounting Fuel Scandal Pressure

    Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA) is under growing scrutiny even as it hosts a high-level delegation from Brazil’s energy regulator, Brazilian Electrical Energy Regulatory Agency, for a benchmarking visit aimed at strengthening cooperation in the energy sector. The visit, led by...
  11. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Huyu Igor Thiago ndiyo atakuwa main striker wa Brazil?

    Jamaa analijua goli? Goli 21 EPL akiwa na Brentford! Brazil wana striker bora zaidi ya huyu?
  12. Mnyenz

    JamiiForums Tanzania Trump ametumia saa mbili tu kukifanya kitu kilichomshinda Putin kwa miaka 3

    Zelensky ana akili kubwa sana, ni vile tu hana resources!!! Putin alishafanya majaribio mengi sana ya kumteka Zele lakini wapiii Kwenye kitengo cha utekaji mrusi kazidiwa mpaka na wasiojulikana Trump anairudisha ile marekani ya kwenye TV na muvi za kijasusi. Imagine unakuja kukamatwa...
  13. President of China

    JamiiForums Tanzania NEMC yashiriki Mkutano wa UNFCCC Cop - 30 Brazil

    Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki Mkutano wa thelathini wa nchi wanachama wa Mkataba wa Kimataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (UNFCCC COP-30), unaoendelea jijini Bélem, nchini Brazil kuanzia tarehe 03/11/2025 na unatarajiwa kukamilika tarehe 21/11/2025. ‎...
  14. S

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Balile: Dunia nzima Mwendokasi ipo Tanzania na Brazil tu

    Wakuu nimekutana na hii video ya Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Tanzania (TEF) akisema kuwa dunia nzima mwendokasi ipo Brazil na Tanzania tu. Hii imekaaje?
  15. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Rubani apata ajali ya ndege akiwa na cocaine ya thamani ya $57,000 huko Brazil

    Timothy James Clark, rubani raia wa Australia, alifariki katika ajali ya ndege huko Brazil. Ajali hiyo ilitokea katika eneo la Coruripe, kwenye pwani ya Brazil. Polisi walipochunguza eneo la ajali, walikuta ndege hiyo ikiwa imebeba takriban kilo 200 za kokeini zilizokuwa zimefungwa katika...
  16. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini tunaagiza kuku kutoka Brazil wakati ardhi tunayo?

    Ghana is setting its sights on becoming the largest chicken producer in Africa within the next three years. Local farmers will be supported with day-old chicks, affordable feed, and modern processing facilities to scale up production nationwide. The goal is to drastically reduce reliance on...
  17. U

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Brazil yakataa kabisa kumuidhinisha na kumkubali a balozi mteule wa Israel Gali Dagan kuanza kazi nchi ni humo

    Brazil imekataa kuidhinisha uteuzi wa Gali Dagan, aliyewahi kuwa balozi wa Israel nchini Colombia, kuwa balozi mpya wa Israel nchini Brazil, na kuacha nafasi hiyo ikiwa wazi, vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti. Hatua hiyo inaashiria kushuka zaidi kwa uhusiano na nchi hiyo ya Amerika...
  18. L

    JamiiForums Tanzania Sauti ya China yatarajiwa kusikika zaidi kwenye mkutano wa COP30 wa Brazil

    Mkutano wa 30 kuhusu mabadiliko ya tabia nchi (COP30) unatarajiwa kufanyika mwezi Novemba mjini Belém nchi Brazil, ambao unatajwa kuwa mkutano wa kilele wa kihistoria utakaoweka ajenda kuhusu mabadiliko ya tabia nchi duniani kwa kipindi cha miaka 10 ijayo, muongo muhimu kabisa wakati dunia...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Ajali ya puto la hewa (Hot Air Balloon) yaua watu wanane Nchini Brazil

    Watu trakibani wanane wamefariki dunia kutokana na ajali ya tufe la hewa (hot air balloon) katika eneo la kusini mwa Brazil, kwa mujibu wa Gavana wa jimbo la Santa Catarina, Jorginho Mello. Kupitia ukurasa wake wa X, Mello alisema kuwa kulikuwa na watu 21 ndani ya tufe hilo wakati lilipoanguka...
Back
Top Bottom