mabasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Hivi haya Mabasi 50+ ya Mwendokasi ambayo hayatumiki kwa zaidi ya Miezi 6, Serikali ina mpango gani?

    Wakati Serikali ikiwa katika mpango wa kununua mabasi mapya zaidi ya 100 kwa sababu zinazoelezwa kwamba ni jitihada za kuboresha mradi wa Mwendokasi, kuna jambo linashangaza, kuna mabasi inawezekana yanafika 50 au zaidi hayafanyi kazi, kwa zaidi ya miezi sita sasa, yapoyapo yamepaki tu. Mabasi...
  2. Asante CCM

    Sauli ni mfano wa wamiliki wa mabasi waliofilisiwa na madereva fake

    Biashara ya mabasi ya abiria kwa Dunia ya leo si ya kushadadia ma mbio yasiyo na tija bali ni akili yenye wingi wa ubunifu ndaniye kwa mambo yatakayomvutia abiria taraji. Mfano Sauli ni wazi alifilisiwa na madereva wake kwa kushadadia sifa za kijinga za mwendo kasi hali iliyosababisha mabasi...
  3. SweetPain

    Kutoka mtaji wa elfu 20 hadi kumiliki mabasi

    Ila matajiri wa bongo bwana. wamekuwa motivational speakers kuliko uhalisia. Tajiri wa kitanzania na mmiliki wa mabasi ya Super feo anasema yeye alianza na mtaji wa elfu 20 tu na sasa anamiliki mabasi mengi.
  4. 1

    Ndugu zangu wa Yanga timu mnayo kweli lakini kwanini mnaingiza mabasi uwanjani bila wachezaji na mnapitia milango isiyo rasmi, shida ni nini?

    Kwa kweli mmekamilika kweli sio utani, ila yapo mambo yanatufanya tuwe na wasiwasi wazee wa Jangwani. Timu mnayo na mnaonyesha kweli mnataka bao, ile move ya Boka hadi mtu akajifunga sio masihara, yule ni Usain Bolt kabisa. Lakini kwanini Azam jana wajifunge mabao yote matatu huku nyie...
  5. peno hasegawa

    Itashangaa "LATRA isipoifungia kampuni ya mabasi ya Shabiby.

    Kila siku kampuni hii, inazalisha vifo na walemavu. Nitashangaa kama LATRA. haitawatendea haki Watanganyika. Suala la usalama na usimamizi wa kampuni hii ya mabasi limekuwa ni tatizo kubwa kwa muda mrefu. Ni zuri kwamba serikali imekuwa ikiangalia hali hii, lakini inaonekana kwamba bado hakuna...
  6. James Hadley Chase

    Mmiliki mabasi ya Sauli afariki ajalini Mlandizi

    Kibaha. Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Sauli, Solomon Mwalavila amefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Mlandizi mkoani Pwani. Akizungumza na kwa njia ya simu na Mwananchi Digital leo Agosti 4, 2024 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo amesema Mwalavila amefariki leo baada ya...
  7. M

    Mmiliki wa mabasi ya Sauli afariki Dunia

    AJALI YAMUUA MMILIKI WA MABASI YA SAULI Mmiliki wa mabasi ya Sauli, Solomon Sauli Mwalabila amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Miwaleni, Mlandizi mkoani Pwani majira ya saa kumi na mbili na nusu alfajiri. Mwandishi wetu wa Pwani ameeleza kuwa ajali hiyo ilihusisha magari...
  8. Mjukuu wa kigogo

    Mmiliki wa mabasi ya Sauli afariki Dunia kwa ajari

    Mmiliki wa mabasi ya Sauli,solomoni Sauli amefariki kwa ajari eneo la miwaleni,Mlandizi mkoani Pwani
  9. Uzalendo wa Kitanzania

    TANZIA: MMILIKI WA MABASI YA SAULI ,SAULI SOLOMON MIAKA 40 AFARIKI DUNIA AFARIKI DUNIA

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini MMILIKI WA MABASI YA SAULI AFARIKI DUNIA Mmiliki wa mabasi ya kampuni ya Sauli, Solomon Sauli (40) amefariki dunia leo Agosti 4, 2024 katika ajali ya gari iliyotokea mapema leo eneo la Miwaleni, Mlandizi mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi Mkoa...
  10. The Supreme Conqueror

    Tanzia:Mmiliki wa Mabasi ya Sauli afariki kwa ajali Leo.

    Tumepokea taarifa ya ajali ya gari ndogo ambapo mmiliki wa Mabasi ya kampuni ya Sauli Luxury Solomoni Mwalabhila amefariki dunia kwenye ajali hiyo. Tajiri huyo amepata ajali na kupoteza maisha Mlandizi karibu na lilipoungua moja ya basi lake mwaka Jana. Alikua na Watoto na mke . Sauli...
  11. DON YRN

    Stand ya mabasi Mwenge

    Kulikuwa na haja gani kujenga stand ya gharama kiasi kile pale Mwenge, Kinondoni-DSM halafu hakuna cha maana kinachoendelea zaidi ya gari mbili tatu zinazopakia abiria?...
  12. chiembe

    SGR Dar-Moro: Abood Bus Service alikuwa akitoa basi 40 kwa siku, sasa anatoa 20 kwa siku

    Haya ndio matokeo ya SGR, imeleta machaguo zaidi kwa abiria. Sasa hata nauli Abood imeshuka kutoka 13,000 mpaka 10,000. SSH5tena
  13. Roving Journalist

    Mikataba ya TACTIC ya ujenzi wa Barabara, Kituo Kikuu cha Mabasi na Soko Kuu la Jiji yasainiwa Mbeya

    Mbunge wa Mbeya Mjini ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameishukuru Serikali kwa kusikiliza kilio cha Wananchi wa Mbeya kwa hatua ya kuanza kuboresha miundombinu mbalimbali katika Jiji la Mbeya...
  14. Bruno Jewel

    KERO Kero ya usafiri wa mabasi

    Nimekata tiketi ya bus ( Classic coach) siku tatu kabla ya safari kutoka Moro kwenda Mbeya. Tiketi inasema safari ni saa 12 asubuhi ila muda wa kuwasiri ni saa 11:30 asubuhi. Nimewasiri saa 11: 30 stendi nimeambiwa nisubiri gari. Cha ajabu nimesubiri mpaka saa 1: 10 asubuhi nakuja kuambiwa et...
  15. Roving Journalist

    Ujenzi wa Miundombinu ya mabasi ya Mwendokasi Awamu ya Nne - Dar unaendelea

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) inaendelea na ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam Awamu ya Nne (BRT 4) kuanzia Daraja la Kijazi (Sam Nujoma) - Mwenge - Maktaba ya Taifa (Posta) yenye urefu wa kilometa...
  16. K

    Mabasi ya Mwanza

    Naombeni wadau basi zuri la kwenda Mwanza, muda wa kufika kutokea DSM na nauli yake
  17. Minjingu Jingu

    Mabasi ya Happy Nation ni Mabasi mabovu ya kihuni

    Haya mabasi yamekuwa yakilalamikiwa kuwa kuna uhuni mwingi unafanyika kwa abiria. Unapoenda kukata ticket wanakukatia bus jipya kwa nauli kubwa. Ukija kupanda unakutana na ngarangara na ukiwauliza wanakuambia hilo ndo bus lililopo so uamue kusuka ama kunyoa.sasa hapo kama una dread unaona bora...
  18. Black Butterfly

    Serikali kukopa Fedha NMB kwaajili ya kununua Mabasi 100 ya Mwendokasi

    Msajili wa Hazina Nehemia Mchechu, amesema katika jitihada za kuboresha uendeshaji wa mabasi ya mwendokasi benki ya NMB imekubali kutoa mkopo kwa Serikali ambayo inamiliki kampuni ya UDART kwa 85% ili kuongeza mabasi zaidi ya 100 ya mwendokasi. Akiongea Jijini Dar es salaam leo July 15,2024...
  19. Bunchari

    Kwanini mabasi mengi yanayobeba kupeleka watoto shuleni na kurudisha majumbani yanakua yamechoka sana?

    Habari wakuu hope mtakua mnaendelea vema na weekend Nimekua najiuliza kwanini magari yanayobeba watoto wa shule yamekua katika Hali mbaya sana kiufanisi N:B sio lengo langu kuwafundisha wa husika kazi na Wala sina mamlaka ya kuhoji katika hili.
Back
Top Bottom