kahama

Kahama is a town in north-western Tanzania. The town serves as the headquarters of Kahama Urban District.

View More On Wikipedia.org
  1. mamamzungu

    Biashara ipi nzuri ya nguo au home decoration kwa Kahama

    Hello wapendwa Nataka nihamie Kahama sasa nataka kujua kama Biashara gani iko poa kwa Kahama Mimi nina uzoefu wa nguo za kike na watoto ndio nayoifanya kwa sasa hapa Dar es Salaam ila sasa malengo yangu sio kuuza nguo ni kuuza home decor na vitu vidogovidogo vya matumizi ya nyumbani sijajua...
  2. M

    DOKEZO Mapato yanayotokana na mgodi uliopo Mwime hayajawahi kuwasilishwa

    Tunaomba mamlaka husika na JamiiForums kutusaidia kufuatilia suala hili. Kwa takribani miaka mitatu sasa, Mwenyekiti na Mtendaji wa Mwime, Manispaa ya Kahama, hawajawahi kuwasilisha taarifa za mapato yanayotokana na mgodi uliopo katika eneo letu. Wananchi tunaeleza kuwa kila duara linalofika...
  3. M

    Tukiachana na Kahama , Ni maeneo gani kwa kasi ya ukuaji wake unaona yanaenda kuwa mikoa miaka ijayo ?

    Sijui vizuri mambo ya upangiliaji wa mikoa ila nahisi Kahama ina uwezekano mkubwa wa kuwa mkoa Ni maendeo gani mengine unayaona yana uwezekano mkubwa wa kuwa mikoa
  4. Kijana asiye na makuu

    Leo nimejichanganya kwa malaya Kahama

    Nyege mbaya asee nimeamka asubuhi na nyege balaa nikaingia mtandaoni nikatafuta Malaya tukakubaliana 100k body to body massage na sex Nikamuelekeza fresh akaja picha linaanza kajichora tattoo kinoma nikasema sio mbaya dah akanipiga massage ya uongo na Kweli na mafuta ya minara hapo tukaanza...
  5. figganigga

    Kahama: CCM, yaanza kuvunja Vizimba vya CHADEMA

    Hapa ni Mhongolo iliyopo Manispaa ya Kahama. Wananchi walijenga kizimba cha CHADEMA kikavunjwa, wakajenga tena Katibu Mkuu akakizindua nacho kimevunjwa tena. Ni Aibu kwa CCM ya huyo wennu Samia. Kizimba kinaandamana? Kinapiga kura? Kuua wanachama wa Chadema mumeona haitoshi?
  6. upupu255

    POTOSHI Je, hii ni hali ya mahudhurio ya wafuasi wa CHADEMA Kahama?

  7. figganigga

    Msajili wa vyama vya siasa na Polisi, Mungu awape Moyo wa Uvumilivu. Hii CHADEMA ya Kahama itawatoa roho🤣🤣

    Polisi na Msajili wa vyama vya siasa wanapata kazi ngumu kudhibiti CHADEMA. Watamuambia nini Mzanzibari anayewatuma kudhibiti CHADEMA? Nawaelewa maumivu wanayopitia. Moja haikai mbili haikai. Wamebaki kuwapa hela content creators waseme ni picha na Video za AI. Mungu awape moyo wa Uvumilivu...
  8. M

    Kimara: Polisi walingilia kati kumuokoa aliyepigwa na Wananchi kwa kudaiwa kupoteza nyeti za mtu Mwanaume mmoja

    Jeshi la Polisi limelazimika kuwahi eneo la tukio na kuingilia kati taharuki iliyojibuka Kimara Mwisho, Wilayani Ubungo Mkoani Dar es salaam jioni hii baada ya Wananchi wa eneo hilo kumpiga Mwanaume mmoja anayedaiwa kupoteza sehemu za siri za Mkazi mmoja wa Kimara baada ya kumshika begani...
  9. A

    KERO Halmashauri ya Kahama inachelewa kuwapa Watumishi posho zao za kujikimu

    Halmashauri ya Kahama inachelewa kuwapa Watumishi posho zao za kujikimu imesababisha wale walioajiriwa Mwaka 2025 bado wanadai posho ya kujikimu na wapo waliopewa lakini sio hela yote, wamepewa kidogo. Wakati Halmashauri zingne zimeshalipa posho ya kujikimu ya Mwaka 2025 na hawa wapya wa Mwaka...
  10. A

    KERO Nauli zinapanda MBEYA na SONGWE kiholela

    Umbali kutoka kyela-mbeya mjini ni km 83 nauli ilikuwa sh.7,000...imepanda Hadi sh.10,000. Pia umbali Toka tukuyu-mbeya mjinj ni km 45 nauli ilikuwa sh.4000 imepanda Hadi 5000. Pia umbali Toka mbeya-tunduma ni km. 103 nauli ilikuwa sh.5000 Sasa imeongezeka Hadi sh. 7000. Yaaani tunduma-mbeya...
  11. A

    KERO UBOVU WA BARABARA – Kahana Mjini Kati na Maeneo ya Makazi ya Watu

    Ninaomba kuwasilisha kero kubwa inayotukumba sisi wafanyabiashara wa Kahama Mjini Kati. Barabara zetu ziko katika hali mbaya sana, zimejaa vumbi kupita kiasi. Kila gari linapopita linachochea vumbi kubwa ambalo linaingia moja kwa moja kwenye maduka yetu na kusababisha madhara yafuatayo: ❌...
  12. A

    KERO Barabara inayounganisha Busoka na Masaki Wilayani Kahama hali yake ni mbaya

    Hii ni Barabara ipo Kahama na inaunganisha vijiji vya Busoka na Masaki hali yake ni mbaya, Barabara imekatika na maji mengi yanapita katikati, jambo linalofanya iwe vigumu au isiwezekane kabisa kwa magari na vyombo vingine vya usafiri kupita. Tunaomba viongozi ("Waheshimiwa") na wazee wa Kahama...
  13. M

    Ni kweli kwamba Kahama Manispaa kuna maendeleo kuzidi Shinyanga manispaa?

    Kahama ni mji ambao ni kawaida kukuta mtu anapush gari ya milioni 500, Lakini je, Kahama manispaa imeipiku shinyanga manispaa?
  14. Zee la madawa

    Wanawake wa Kahama bwana

    Mademu wa kahama weng wao njaa nyingi,'weng wametoka pande mbali mbali ili wasake maisha hapa..Na Mala nyingi wanawke waliopo..kahama ni Malay wasitaafu. Dem...kauza mbususu mikoa ya Mwanza ,Dodoma ,Daresalama,Geita,Pwani ,Ameitembeza mbususu mpaka mbeya...huyo anachapa Raba tunduma...
  15. kwaku the traveler

    Kahama Jeans; Karibu ujipatie Jeans aina zote Bei kitonga sana

    Coat jeans_Tsh 15,000/ Boyfriend jeans Tsh_ 15,000/ flare jeans_ Tsh 15,000/ Mom jeans _Tsh 15,000/ jeans normal _Tsh 10,000/ tops_ Tsh 5000/ 📍Napatikana Kahama mjini ➡️delivery bure ndani ya kahama ➡️mikoa jirani na kahama delivery ukipokea mzigo ndio unalipa ➡️ nicheki Pm au Whatsapp...
  16. R

    Sina Abc za za Kahama nipeni fursa huko

    Habari wakuu kama kichwa kinavyosema hapo juu Sina abc za Mji wa Kahama naskia kipo vizuri sijawahi kufika nataka niuze simu hii nije, vipi kuhusu chumba kupanga na baadhi ya yenye shughuri za kiutafutaji, Pia mwenyeji wa mkoa wa kahama unaweza ukaninifadhili nikae Kwako cha muhimu uaminifuntu...
  17. Traxtion

    Serikali iuangalie mji wa Kahama kwa jicho la tatu

    Picha zote nilizotumia kwenye uzi huu ni za Kahama Mimi sio mkazi wa Kahama ila huu mji unahitaji attention Kahama ni mji unaokua kwa kasi na mzunguko wa hela upo vizuri kwa level za Kitanzania Population inakua kwa kasi na sababu kuu ni shughuli za uchimbaji madini Lakini hivi karibuni...
  18. jamaikatz

    Nipeni kazi yoyote nipo kahama 0715670870

    Nipeni kazi yoyote ya kufanya nipo kahama, Manzese 0715670870 Nitakufa na njaa.
  19. Fbn

    Wananchi ndio nguvu yenu ya kuwapa mapato ila mnachokifanya mnajinufaisha wenyewe Wilaya ya Kahama

    Leo nipo mkoa wa shinganya wilaya ya kahama kikazi. Hongereni kwa kupewa manispaa sasa. Il nilichogundua kahama ina mchanganyiko wa watu wengi sana na wanachi wamejenga yani majengo unayokutana nayo ukiambiwa hapa ni kahama kwenye picha utabisha. wilaya ya kahama imetanuka sana kwa kahama...
  20. October 2pm

    Ati ‘Mji kasoro bahari’ watia aibu hehee! Mji gani washindwa mpaka na Mafinga, Kahama

    Nye Nye Nye. Mekutana na kina Mogela hapa Mazimbu Mayii. Wafurahisha Nye. Maneno mengi pyuu ushubwada hamna lolote. Wajiita mji kasolo bahari wakati washamba watupu. Wanaume kama mabinti hehehe. MO29 mayii iliwaumbua pabaya mayo. Mo town yakushindwa na Mafinga Nye. Kule igumelo kahama...
Back
Top Bottom