madaktari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Uchunguzi wa CNN: Madaktari waliambiwa na polisi wasitibu waliojeruhiwa, bali wawapeleke Mochwari wafie huko!

    Wakuu, Ripoti ya CNN imetoka, watu wenggi wametuma shuhuda zao na kuthibitisha yaliyotokea. Katgi ya hayo ni madkatri waliosema polisi walikuwa wakiwakataza wasitibu wale waliojeruhiwa, badala yake wapelekwe mochwari wafie huko.
  2. U

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Madaktari mbalimbali nchini wanawindwa kama wahalifu ili kuficha ushahidi wa mauaji na maiti zilizopelekwa kutupwa ktk hospitali zao

    https://youtu.be/yh3FB26VcNc?si=Aa33IMGEMgn_8AW0 👉Baadhi wameshakamatwa, kutekwa na kuuawa Ili kuficha ushahidi (Taifa likiwa bado linaomboleza na kuzika ndugu zao waliouawa kati ya 29/10 na 5/11/2025, nyuma ya pazia Samia akiwa anaendelea kuteka na kuua kwa Siri at the same time akijidai...
  3. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kama siyo Tulia kujiondoa, Tanzania ingeongozwa na madaktari watupu

    Kwa usomi, Tanzania tuko mbali. Rais daktari, makamu wa rais daktari, nusu na spika awe daktari. Sasa tunapambana na Kenya. Rais daktari, makamu wa rais profesa na waziri mkuu nnnh! Tulia umetuangusha kwenye 'usomi.'
  4. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Chama cha Madaktari Tanzania chawashukuru madaktari na wahudumu wote wa afya kwa kujitolea kuokoa maisha ya watu

    Chama cha Madaktari wa Tanzania kinatoa shukrani za dhati kwa madaktari na wahudumu wote wa afya kwa kujitolea kwao bila kuchoka katika kuokoa maisha, hata wanapokabiliwa na changamoto kubwa. Ujasiri, huruma na weledi wenu ni wa kipekee, mnafanya zaidi ya kile kinachotarajiwa, mkitupa wote...
  5. H

    JamiiForums Tanzania Polisi Wamedhihirisha ni Maadui wa JWTZ, Madaktari, Walimu, Vijana; Tuitikie Walichokianzisha Kila Mtu Kwa Nafasi Yake.

    Kwenye ile clip ya Muliro na Mafwele, Mafwele ametamba na kutoa idadi ya wanajeshi wa JWTZ waliowateka ambao bado wanawashikilia, akawataja idadi ya madaktari waliowateka na kuwashikilia, akataja idadi ya walimu waliowateka na kuwashikilia, amewataja wahasibu waliowateka na kuwashikilia...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Madaktari wa China barani Afrika wapongezwa kwa kuleta matumaini kwa wagonjwa

    Nchi nyingi za Afrika zimekuwa zikikabiliwa na changamoto kubwa za huduma za afya, ikiwa ni pamoja na uhaba mkubwa wa wataalamu na ukosefu wa miundombinu. Licha ya msaada mkubwa wa kimataifa, juhudi za Timu za Madaktari wa China katika kushughulikia masuala ya afya barani Afrika si jambo la...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Madaktari waunga maandamano ya Gen Z Madagascar, Rais aitisha mazungumzo baada ya kupewa muda wa saa 48 na Waandamanaji kuitikisa nchi nzima

    Waandamanaji waliendelea kujitokeza mitaani nchini Madagascar Oktoba 7, 2025, siku moja baada ya Rais Andry Rajoelina kumteua waziri mkuu mpya Jenerali wa Jeshi, katika juhudi za kupunguza mzozo unaoendelea. Katika mji mkuu Antananarivo, hasira zimeenea hadi sekta ya afya, ambapo mamia ya...
  8. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kwanini Maaskofu karibia wote wa kilutheri ni 'madaktari'?

    Kila askofu wa kilutheri, japo si wote, akitambulishwa lazima awe daktari. Je, haiwezekani kuwa Askofu bila kuwa daktari? Je, wanapeana udaktari au kuusotea vilivyo? Kuna haya ya kuchunguza lau tukajua ukweli ni upi tusijepigwa changa la mato. Nafikiri na kuwaza kimya kimya.
  9. SHIMBWE

    JamiiForums Tanzania Madaktari na Wataalamu wa afya msaada wenu kwenye hili (uwezekano wa kupata ujauzito)

    Habari wakuu, poleni na majukumu. Naombeni kujua kama Kuna uwezekano wa huyu Binti kupata ujauzito. Binti anasema mzunguko wake hubadilika japo kwasasa anasema ni siku 24 na anapata hedhi kwa siku 5, Sasa tarehe 9 mwezi huu wa 8 mda kama wa Saa 12 jioni aliniambia ameingia hedhi akamaliza...
  10. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Madaktari bingwa wa Kenya walisema Tundu Lissu sio mtu wa kawaida

    Na Emily Mwakilembe Mungu huzawadia Dunia watu au Viumbe waliobeba kusudi la kuikomboa Jamii au Watu wake, Huwezi kumuona Mungu kwa Macho yako lakini Mungu huonekana kupitia Watu waliobebeshwa jukumuu la kusudi lake. Kasome Mt 2:1-23 SUV. Tundu Lissu anaweza kututafakarisha sana!! Je Lissu ni...
  11. Ashampoo burning

    JamiiForums Tanzania Uwinga wa Kariakoo: Kazi Inayodharauiwa Lakini Inawalipa Zaidi ya Madaktari(elimu ya uwinga)

    1. UTANGULIZI Udalali "Winga" ni Nini?Udalali "Winga" ni aina ya udalali unaofanyika Kariakoo ambapo mtu anapata wateja wa bidhaa mbalimbali bila kuwa na duka au ghala la kuhifadhi mzigo.Dalali wa aina hii hutafuta wateja kupitia simu na mitandao ya kijamii kishakuwaunganisha na wauzaji wa...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Video: Madaktari Wakiendelea na Upasuaji wakati wa Tetemeko Kubwa la ardhi Urusi

    Video ya kushangaza kutoka Petropavlovsk-Kamchatsky, Urusi, imeonyesha madaktari wakiendelea na upasuaji wa mgonjwa wakati tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa 8.8 likitokea leo Julai 30, 2025 katika pwani ya mashariki mwa nchi hiyo Licha ya mtikisiko mkubwa uliosababisha tahadhari ya...
  13. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania RECORD: Madaktari bingwa wameongezeka kutoka 5 hadi 2,369 ongezeko la mara 464 wakati bajeti imeongezeka kutoka TZS900bn hadi TZS1.6Trilioni 2025|26

    Rais Samia Suluhu katika kujenga msingi wa shabaha ya Dira2050 inayotaka Watanzania wenye afya na furaha, na umri wa kuishi wa wastani wa miaka 75, Kwa upande wa kumpiga vita adui Maradhi, hatua kubwa imefikiwa katika nyanja zote ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya afya, wataalamu wa afya wa ngazi...
  14. J

    JamiiForums Tanzania CCM imeongeza madaktari kutoka madaktari 5 wa mkoloni hadi 2,464

    ILi kumpiga vita adui MARADHI, hatua kubwa imefikiwa katika nyanja zote ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya afya, wataalamu wa afya wa ngazi zote, upatikanaji wa vifaa tiba dawa na vitendanishi. Wakati tunapata uhuru, tulikuwa na madaktari watano (5) tu, ambapo kwa sasa chini ya Rais Samia...
  15. Setfree

    JamiiForums Tanzania Nimewanyima pesa nyingi Madaktari. Wanisamehe bure tu!

    Sijui kama watanielewa, nahisi watachukia. Ila kama posho zao zimeongezwa, labda watacheka tu. Lakini ukweli ndio huu, na nimeamua kuusema wazi hapa JF -where we dare to talk openly! Kila nikikumbuka niliyofanya, najua kabisa madaktari wana kila sababu ya kunikazia macho. Lakini kabla wewe...
  16. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Shambulizi la Israel katika soko la Gaza laua Wapalestina 18, madaktari wanasema

    Takriban Wapalestina 18 wameuawa baada ya shambulio la ndege zisizo na rubani za Israel kulenga kitengo cha polisi cha Hamas kilichojaribu kudhibiti soko katika mji wa Deir al-Balah katikati mwa Gaza, madaktari wameiambia BBC. Walioshuhudia tukio hilo walisema ndege zisizo na rubani za Israel...
  17. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kuna wakati hapa bongo, madaktari, mainjinia, etc ndio walikuwa higher rank katika jamii zetu ila sasa hivi ni machawa na mademu wenye makalio makubwa

    Professionalism bongo imekuwa a joke nowdays! Hatujali unashoboka au kujianika kwa namna na kiasi gani, ila pale panapohitajika professionalism itumike professionalism na sio mwenendo wa kutumia kushobokalism na usleikwinism
  18. L

    JamiiForums Tanzania Miaka 50 ya timu ya madaktari wa China nchini Niger

    China ni nchi kubwa zaidi inayoendelea duniani, na ni nchi ya pili kwa ukubwa wa uchumi duniani, ikiifuata Marekani. Pamoja na maendeleo makubwa, China imekuwa mstari wa mbele kuzisaidia nchi nyingine zinazoendelea duniani, zikiwemo za Afrika, kujipatia maendeleo kwa njia na mazingira...
  19. L

    JamiiForums Tanzania Madaktari wa China Wawazawadia Watoto wa Zanzibar Tabasamu Jipya Kupitia Upasuaji wa Mdomo

    Timu ya 34 ya Madaktari wa China waliopo Zanzibar hivi karibuni imekamilisha upasuaji mitano ya midomo iliyopasuka juu na upasuaji 19 ya matatizo ya kaakaa kwa watoto ndani ya siku tano tu, huku kila upasuaji ukifanywa bila shida yoyote na hatimaye kurejesha afya na kuwapatia zawadi ya tabasamu...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Aga Khan Dodoma wana huduma mbovu, Madaktari hawaonekani

    Uongozi wa Aga Khan Dodoma, angalieni huduma mnazozitoa. Watu wanapangiwa madaktari, ila hawako ofisini, wagonjwa mpaka walalamike ndio muwape Daktari mwingine. Hapo ni baada ya kukaa muda mrefu. Mtu anafika saa tatu asubuhi mpaka saa moja hajapata huduma. Yani huduma hazieleweki. Mjirekebishe.
Back
Top Bottom