Wazazi wameaswa kufuatilia michezo ya watoto kwa karibu zaidi na kuwazuia kuweka vitu mdomoni, puani pamoja na masikioni ili kuwaepusha na madhara mbalimbali ikiwemo madhara ya kudumu na kifo.
Kauli hiyo imetolewa na Jopo la Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Kifua na Moyo, Mapafu na Mfumo wa...
Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kutoa kipande cha plastiki kwenye pafu la kushoto la mtoto mwenye umri wa miaka 11, kupitia kifaa maalumu kinachoitwa Flexible Bronchoscopy.
Kifaa hicho kinatumia mpira laini wenye kamera ya uchunguzi wa mapafu bila kuhitaji mgojwa...
Hiyo process inasemekana husababisha damu kuganda na moyo kusimama hapo hapo.
Kwani homa hii inaambukizwajwe?
Hayo maambukizi ya mfumo hewa yani mtu anaambukizwa vipi?
Nawezaje kutambua ninazo dalili za gonjwa hilo? Nauliza pia ili nijue nawezaje kumpatia huduma yakwanza mtu mwenye gonjwa...
Mtoto mwenye homa ya mapafu (pneumonia) ambayo haijatibiwa inaweza kusababisha jipu kwenye mapafu (Abscess formation), utiririshaji wa usaha au maji kwenye mapafu (empyema), kuanguka kwa mapafu (atelectasis) ambapo hutokea wakati hewa inatoka kwenye mapafu, kisha hewa hujaza nafasi nje ya pafu...
Wakuu naomba Kuuliza hospital zinazofanya Tapping Kwa mgonjwa aliye na Maji kwenye mapafu. (Tapping ni njia ya kutoa Maji Kwa Kutumia sindano)
Nina Mgonjwa ambaye ana Maji katika pafu Moja. Sasa Bei ya Muhimbili Naona Siiwezi. Kwasababu Kila baada ya Wiki2 anatakiwa KUONDOLEWA Maji.
Mwenye...
Bangi ni mmea ambao unaotumika kama dawa na burudani, hali ya kisheria ya matumizi ya bangi kimatibabu na matumizi ya burudani yanatofautiana kati ya majimbo. Watu wanaofikiria kununua au kutumia bangi wanapaswa kuangalia kwanza ikiwa ni halali katika jimbo lao.
Watu wengi hutumia majani...
The European Union has “shot itself in the lungs” with ill-considered economic sanctions on Russia, which, unless rolled back, risk destroying the European economic sanctions on Russia, which, unless rolled back, risk destroying the European economy, Hungary’s prime minister has said...
Zamani ilionekana UKIMWI ni tishio kwa Dunia nzima, kwa dhana kwamba ni lazima mtu atakufa tu.
Siku hizi magonjwa ya ini, mapafu kujaa maji, Figo kushindwa kazi yake yamekuwa tishio sana na yanaondoa uhai wa watu wengi sana hasa vijana.
Sijui sababu kubwa ni matumizi ya pombe au sigara bila...
Dar es Salaam. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki ameagiza kusakwa na kukamatwa kwa wataalamu wa mifugo, waliotoa chanjo ya homa ya mapafu kwa mifugo katika Kijiji cha Mlazo, wilayani Chamwino mkoani Dodoma.
Taarifa iliyotolewa leo Jumatano, Septemba Mosi 2021 na Wizara ya Mifugo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.