Da‘wah (Arabic: دعوة, [ˈdæʕwæh] "invitation", also spelt daawa, dawah, daawah or dakwah😉 is the act of inviting or calling people to embrace Islam. For certain groups within Islam like the Salafis and Jamaat-e-Islami, Dawah is also considered as a political activity. For these groups, the aim of Dawah outreach is also to engineer a reversal of what they perceive as the decline of Islam in the modern era, through the systematic propagation of Islamist ideology and ultimately enable the establishment of an Islamic state.
Mamlaka nchini Libya zimekamata shehena ya maelfu ya vidonge vya dawa za kulevya aina ya ecstasy, vilivyokuwa vimeundwa kwa umbo la kichwa na mabega ya kiongozi wa zamani wa nchi hiyo, Muammar Gaddafi.
Kwa mujibu wa maafisa wa usalama, dawa hizo ziliingizwa nchini humo kwa njia ya magendo...
Kumekua na wimbi la wadanganyika wakiamini kuwa AZUMA ( Azithromycin ) ni dawa za kutibu UTI .
Hii kitu imesambaa sana kiasi cha wimbi kubwa la watu wakizibugia kama pipi , huku wakiamini watapona UTI.
Sijui maamlaka zipo wapi , au labda na mimi ni mlevi na mjinga tu , sijui kama...
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mobhare Matinyi, Septemba 7, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Viwanda vya Dawa wa Algeria, Dkt. Wassim Kouidri, katika ofisi za wizara hiyo jijini Algiers.
Mazungumzo hayo yalihusu namna ya kuimarisha ushirikiano zaidi katika sekta ya viwanda...
Katika utafiti uliofanyika ndani ya viunga vya Mwanza ambao ulihusisha kuzifanyia uchunguzi dawa za asili za Nguvu za kiume zinazouzwa na watu binafsi, makampuni au watu wa mitishamba na jadi. Dawa hizi za asili zilikutwa na mchanganyiko wa Sildenafil na Tadalafil, Dawa ambazo ni za hospitalini...
Fursa ya wastaafu wenye mafao wasiojua la kufanya kufungua maduka ya kuuza dawa ya kuacha pombe pembezoni mwa Baa kubwa.
Pia kwenye vituo vya daladala kama Bifara ambapo wanauza pombe zote na bange, morroco na sehemu nyingine hizi awa ziwepo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe...
Mwanza, Buzuruga Health Center (Buzuruga Hospital) hali mbaya sana, hakuna dawa wala huduma si nzuri, wagonjwa wanaelekezwa kununua dawa nje ya hospitali kuna duka husika, taasisi haina hata plasta.
Upande wa wanawake wajawazito wanakutana na changamoto ya vifaa, havipo vya kutosha, wananunua...
Msaada kwenye tuta wanajamvi
Anaefahamu dawa ya uhakika ya kutibu Tezi dume kwa wazee anijulishe tafadhali
Whether iwe best hospital au miti shamba ushauri wowote mzuri napokea
Asanteni kwa ushirikiano
Naomba kwa anaefahamu taratibu za kufungua duka la dawa kwa hivi sasa ziko vipi
Mimi nina cheti cha umiliki wa duka la dawa ila sio mfamasia
Natanguliza shukran 🙏
Tunaendelea kuuenzi Muungano wetu wa Tanzania, ambao baba yetu wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ndiye Muasisi.
Zanzibar kama upande mmoja wa Muungano tunawapa pongezi kwa kuendelea kuunogesha Muungano kwa kuweka mifumo yenye kujali usawa zaidi. Na huo ndio Muungano tunaoupenda...
awamu
ccm
dawa
hatua
hatuna
hii
ili
imara
jitihada
kuimarisha
mfumo
muungano
nafasi
ndani
nguvu
sawa
system
taifa
tanganyika
unyonge
usawa
vingi
viongozi
viongozi wa ccm
vizazi
wana
wana ccm
wasiwasi
watanganyika
wazanzibari
Nimeteseka sana na maumivu ya jino aiseee nimetumia dawa za hospital na kienyeji siku mbili tatu maumivu yanarudi
Siku moja niliabiwa nunua SABUNI YA B29 uwe unaswakia acha kutumia dawa ya meno tumia sabuni.
Ni mwaka na nusu sijuwi maumivu ya jino
Kama kawaida yetu, tunaangaza afya ya Tezidume… hii mpya ya leo
Uvimbe wa saratani ya tezidume unaweza kubadilisha mfumo wa kemikali wa asidi ya amino (amino acid metabolism) ili kuondoa vizuizi vya kawaida vya utengenezaji wa lehemu (cholesterol), mchakato ambao unaweza kuchochea uwezo wa...
Watanzania takriban milioni 70 wakiamua kumfurusha Samia hawatashindwa.
Hakuna polisi wala jeshi hapa Tanzania linaloweza kukabiliana na ghadhabu ya watu milioni 70.
Polisi na hao JWTZ hawana silaha za kuweza kuwaua Watanzania milioni 70 halafu na wao wakabaki kuwa hai.
Laiti Watanzania...
Hiki kitu huwa najiuliza sana na nimekutana na hii changamoto vituo vingi sana hasa vya serikali yaan unatibiwa lakini unacho toka nacho ni dawa basi lakini taarifa zingine za maandishi wanabaki nazo wao na hata daftari walilo kuandikia dawa na maelezo ya matibabu wanabaki nalo wao.
Sasa...
Wakuu maisha ya kuvaa cheni Kali raba Kali wazee wa t-shirt na jeans hapana Kwa kweli umri unaenda, nataka kuoa soon inshaallah, hivo nawaomba sana sana sana, ndugu zangu NAPULIZA DAWA MAJUMBANI ya kuua wadudu watambao na warukao pliz nipeni kazi wakuu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🚴🚴🚴
Dawa hii imekuwa mkombozi sana kwa watu wanaotaka kupunguza uzito. Kwa sababu ya bei ilikuwa inapatikana kwa matajiri tu. Karibuni walisema brands mbalimbali za bei rahisi zitaanza kupatikana. Zimetufikia maana naona na mastaa wa bongo wanaanza kukonda ghafla.
Bidhaa nitakazo zalisha kiwandani ni
1. Condom (bei ya jumla 500/= condom 3)
2. Mafuta ambayo unayapaka kwenye mkuyenge kabla hujamla mtoto ukishapaka unakula kavu kavu na hupati maambukizi ya HIV wala STDs zote. (bei ya jumla ni 8000/=
3. Tiba ya kuzuia harufu kwa wadada maana sikuhizi kati ya...
Ua la kitenge ambalo kwa kizungu laitwa COLEUS PLANT, ni mojawapo ya maajabu mengi katika tiba ya msradhi sugu.
Inawezekana unalifahamu pia unalo katika bustani yako. Jani hili linatibu maradhi mengi. Lakini leo ninakupa moja ya maradhi sugu linavyoweza kutibu
VIDONDA
1. Donda ndugu...
Mimi ni Moja ya watu waliohangaika sana na hivi vipele/vidonda kwa mda mrefu sana.
Nimetumia Kila dawa za kienyeji mpaka sindano nimechoma ila hola sikupona.
Ila nilivyogundua huu mchanganyiko wa dawa 2 vidonda vilikauka haraka ndani ya siku nne tu za mwazoni now niko kabisa .
Dawa hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.