Da‘wah (Arabic: دعوة, [ˈdæʕwæh] "invitation", also spelt daawa, dawah, daawah or dakwah😉 is the act of inviting or calling people to embrace Islam. For certain groups within Islam like the Salafis and Jamaat-e-Islami, Dawah is also considered as a political activity. For these groups, the aim of Dawah outreach is also to engineer a reversal of what they perceive as the decline of Islam in the modern era, through the systematic propagation of Islamist ideology and ultimately enable the establishment of an Islamic state.
. Epuka kufanya ngono hadi matibabu yakamilike na daktari athibitishe kuwa ni salama, ili kuzuia kuambukiza wengine au kuambukizwa tena.
Hii watu wengi hupuuzia lakini imekuwa ikifanya watu wengi kutokupona kabisa maana unapokuwa unatumia dawa hata wale bakteria walinzi wanakuwa wanazidiwa na...
Magical power!!!!
SEHEMU YA KWANZA
Leo Nataka Nizungumzie Juu ya Dawa Za Meno katika sehemu ya Kwanza na sehemu ya Pili Nitazungumzia Miswaki ya Plastiki !!!.
Ninashukuru Mimi Nimezaliwa katika sehemu za Vijijini ,Kijiji kimoja kinaitwa Ngamboshi , Kimepakana na kijiji kinaitwa Miswaki ...
Kuna clip inayosambaa mtandaoni na itakuwa inakipindi.
Ukimsikiliza kiufupi unaona kabisa watu wanajipendekeza au kufurahisha kwa kumuona fulani sekta fulani imefanya vizuri.
We ukitaka kujua nchi hii inawatu wabovu hata mtu akipata ajali anamshikuru raisi.
Tuje kwa huyu afisa wa nyama...
Sisi wananchi wa eneo la Kindimbachini, Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, tunaomba kuwasilisha malalamiko rasmi kuhusu vitendo vinavyodaiwa kufanywa na mmoja wa wahudumu wa afya katika Kituo cha Afya Kindimbachini.
Mhusika huyo amekuwa akiwaambia wagonjwa kuwa baadhi ya dawa muhimu hazipatikani...
Anonymous
Thread
afya
dawa
kituo
kituo cha afya
mbinga
mtumishi
mtumishi wa umma
taasisi
umma
Nimetafakari sana kisha nikajiuliza, inakuwaje leo hii Teknolojia imekua sana kuliko hata miaka hiyo ulipogunduliwa UKIMWI lakini bado dawa ya kutibu kabisa UKIMWI haijapatikana?
Naomba mchango wenu wa fikra.
Mimi ambaye nipo kwenye utumishi wa umma mwaka wa 11 sasa ndani ya ofisi 3 tofauti za serikali inatosha kuitwa mkomavu.
WAFANYAKAZI wengi wa umma wanakwenda kazini aidha kupiga deal tu na wengine ambao ofisi zao hazina mafuta mafuta huenda kazini kutimiza tu wajibu ili wasifukuzwe kazi walijua...
Tanzania tumeanza utamaduni mbaya sana siku hizi. Yeyote anayelisema zuri lolote la serikali anaitwa chawa, kibaraka na maneno mengine mengi ya hovyo hovyo.
Siku hizi ukweli hautokani tena na hali halisi, bali ni chochote kile kinachoonekana kimesemwa na mwenzetu. Jambo hili ni hatari sana...
Habari za weekend ndugu zangu
Anayesumbuliwa na acid reflux atafute hizo mbegu kiswahil zinaitwa habat soda English zinaitwa black seeds....nimbegu ndogo ndogo nyeusi tii kama mkaa ukiziona haraka haraka utahis ni punje za mkaa....hiz mbegu nzur sana kwa acid reflux mimi binafsi zilinisaidia...
NI DAWA INAYOTIBU BAWASIRI BILA UPASUAJI
BAWASIRI FLUD & BAWASIRI POWDER
⚫ Ni dawa asili iliyofanyiwa utafiti wa hali ya juu yenye uwezo wa kutibu aina zote za bawasiri yaani bawasiri ya nje na dawasiri ya ndani(internal and External hemorrhoids).
FAIDA AMBAZO MTUMIAJI HUPATA BAADA YA KUTUMIA...
Mimi ni mtumishi wa Afya, Afisa Tabibu mwajiriwa wa serikali.
Naomba ujumbe huu uwafikie Baraza la Famasia Tanzania.
Je! Kwanini Mimi mtumishi wa Afya ninapotaka kufungua Duka la Dawa Muhimu, naambiwa Nitafute Cheti cha ADDO au Cheti cha Pharmacy ili niweze kufanya usajili.
Ikiwa mimi...
Anonymous
Thread
dawadawa muhimu
duka
duka la dawa
kuhusu
kumiliki
muhimu
uhalali
Oya nye watu mliopo humu... Jana kuna demu nimemzingua kisa kasema sura yangu imeharibika.
Hebu mnambie nitumie dawa gani ili niondoe chunusi huku usoni.
Nina jambo moja ambalo linaumiza vijana wengi waliosoma famasi Tanzania.
Serikali imetumia mabilioni kusomesha wataalamu wa famasi, lakini baada ya kuhitimu tunaachwa bila mtaji, bila uwezeshaji na bila nafasi ya kujenga viwanda vya dawa nchini.
Wakati huo huo, kila siku serikali inaendelea...
Anonymous
Thread
andiko
dawa
jambo
kuagiza
kuliko
mabilioni
mitaji
moja
serikali
uovu
vijana
wageni
wakati
wake
wataalamu
wengi
Habari wakuu. Nimekuja leo nikiwa na maswali mawili kuhusu biashara yangu mpya ya restaurant/mkahawa.
Swali la kwanza linahusu biashara yenyewe. Nimefungua restaurant wiki mbili zilizopita baada ya kuwahi kufanya biashara kama hii miaka kadhaa nyuma lakini sikufanikiwa sana. Safari hii...
Mbunge wa Jimbo la Gairo Ahmed Shabiby amesema kuna mtandao unaokwamisha juhudi za kuanzisha viwanda vya dawa nchini, akidai kuwa baadhi ya viongozi wanahujumu sekta hiyo kwa maslahi binafsi huku wananchi wakiendelea kuumia kutokana na gharama kubwa za dawa.
Akichangia hotuba ya Wizara ya Afya...
Tukiandikiwa dawa mfano na Daktari, tunavoenda kununua pharmacy za nje ya hospital zile bei tunaziaminije?
Maana hakunaga bei elekezi ya madawa, au reference ya bei, just kumpa kikaratasi cha madawa na muuzaji anakuambia jumla elfu kadhaa.
Vipi kama kila dawa anaongeza bei flani? Ilitakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.