dawa

Da‘wah (Arabic: دعوة‎, [ˈdæʕwæh] "invitation", also spelt daawa, dawah, daawah or dakwah😉 is the act of inviting or calling people to embrace Islam. For certain groups within Islam like the Salafis and Jamaat-e-Islami, Dawah is also considered as a political activity. For these groups, the aim of Dawah outreach is also to engineer a reversal of what they perceive as the decline of Islam in the modern era, through the systematic propagation of Islamist ideology and ultimately enable the establishment of an Islamic state.

View More On Wikipedia.org
  1. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Haya ni mambo muhimu ya kuzingatia unapotumia dawa za magonjwa ya mfumo wa mkojo na sehemu za uzazi kama UTI, kisonono (gonorrhea) na kaswende (syphil

    . Epuka kufanya ngono hadi matibabu yakamilike na daktari athibitishe kuwa ni salama, ili kuzuia kuambukiza wengine au kuambukizwa tena. Hii watu wengi hupuuzia lakini imekuwa ikifanya watu wengi kutokupona kabisa maana unapokuwa unatumia dawa hata wale bakteria walinzi wanakuwa wanazidiwa na...
  2. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania NAWEZQJE KUKUZA NYWELE KAMA ZA TUNDU LISU?

    Asalam waleykum......Wakuu nataka nifuge nywele kama za Tundu Lisu naombeni ushauri wenu
  3. BUMIJA

    JamiiForums Tanzania Ni dawa gani Nzuri ya kinywa na meno kwa kutumia hapa Tanzania?

    Wasalam,kuna wimbi la dawa nyingi za meno zinauzwa. Naomba kufahamishwa dawa nzuri kwa matumizi,N.B uzi huu sio kupromote dawa ni kupata ujuzi.
  4. Magical power

    JamiiForums Tanzania Nini kilichopo ndani ya dawa za meno (toothpaste) na miswaki ya plastiki?

    Magical power!!!! SEHEMU YA KWANZA Leo Nataka Nizungumzie Juu ya Dawa Za Meno katika sehemu ya Kwanza na sehemu ya Pili Nitazungumzia Miswaki ya Plastiki !!!. Ninashukuru Mimi Nimezaliwa katika sehemu za Vijijini ,Kijiji kimoja kinaitwa Ngamboshi , Kimepakana na kijiji kinaitwa Miswaki ...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kukosekana kwa dawa ya chemo Muhimbili kwa wagonjwa wa kulazwa

    Nina ndugu ambaye anapata matibabu pale hajaweza kupata matibabu sasa wiki ya tatu,mamlaka zirekebishe hii dosari wagonjwa wanateseka
  6. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna afisa wa wanyama pori anasema tembo wanatumia dawa ya kulevya. Hivi unajielewa kweli?

    Kuna clip inayosambaa mtandaoni na itakuwa inakipindi. Ukimsikiliza kiufupi unaona kabisa watu wanajipendekeza au kufurahisha kwa kumuona fulani sekta fulani imefanya vizuri. We ukitaka kujua nchi hii inawatu wabovu hata mtu akipata ajali anamshikuru raisi. Tuje kwa huyu afisa wa nyama...
  7. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kituo cha Afya Kindimbachini - Mbinga kuna Mtumishi wa Umma anauza dawa za Taasisi kimnyemela

    Sisi wananchi wa eneo la Kindimbachini, Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, tunaomba kuwasilisha malalamiko rasmi kuhusu vitendo vinavyodaiwa kufanywa na mmoja wa wahudumu wa afya katika Kituo cha Afya Kindimbachini. Mhusika huyo amekuwa akiwaambia wagonjwa kuwa baadhi ya dawa muhimu hazipatikani...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Dawa ya kutibu UKIMWI

    Nimetafakari sana kisha nikajiuliza, inakuwaje leo hii Teknolojia imekua sana kuliko hata miaka hiyo ulipogunduliwa UKIMWI lakini bado dawa ya kutibu kabisa UKIMWI haijapatikana? Naomba mchango wenu wa fikra.
  9. Top Gun

    JamiiForums Tanzania Wakuu kuna dawa gani ya kienyeji ya koo linalouma? Hospitalini napewa tu brufen na anti-biotics ila wapi

    Wakuu kuna dawa gani ya kienyeji ya koo linalouma? Hospitalini napewa tu brufen na anti-biotics ila wapi Karibuni
  10. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Baadhi ya Madaktari na Wafamasia wenye 'access' ya dawa kwenye maeneo yao ya kazi, hutumia fursa hiyo kuzidokoa na kupeleka kwenye maduka yao

    Mimi ambaye nipo kwenye utumishi wa umma mwaka wa 11 sasa ndani ya ofisi 3 tofauti za serikali inatosha kuitwa mkomavu. WAFANYAKAZI wengi wa umma wanakwenda kazini aidha kupiga deal tu na wengine ambao ofisi zao hazina mafuta mafuta huenda kazini kutimiza tu wajibu ili wasifukuzwe kazi walijua...
  11. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na dhana ya "Baniani mbaya kiatu chake dawa"

    Tanzania tumeanza utamaduni mbaya sana siku hizi. Yeyote anayelisema zuri lolote la serikali anaitwa chawa, kibaraka na maneno mengine mengi ya hovyo hovyo. Siku hizi ukweli hautokani tena na hali halisi, bali ni chochote kile kinachoonekana kimesemwa na mwenzetu. Jambo hili ni hatari sana...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mbegu za habbat soda au black seeds dawa ya haraka ya acid reflux

    Habari za weekend ndugu zangu Anayesumbuliwa na acid reflux atafute hizo mbegu kiswahil zinaitwa habat soda English zinaitwa black seeds....nimbegu ndogo ndogo nyeusi tii kama mkaa ukiziona haraka haraka utahis ni punje za mkaa....hiz mbegu nzur sana kwa acid reflux mimi binafsi zilinisaidia...
  13. pandex bawasiri

    JamiiForums Tanzania Bawasiri powder na Bawasiri Fluid ni dawa yenye kutibu Bawasiri bila upasuaji

    NI DAWA INAYOTIBU BAWASIRI BILA UPASUAJI BAWASIRI FLUD & BAWASIRI POWDER ⚫ Ni dawa asili iliyofanyiwa utafiti wa hali ya juu yenye uwezo wa kutibu aina zote za bawasiri yaani bawasiri ya nje na dawasiri ya ndani(internal and External hemorrhoids). FAIDA AMBAZO MTUMIAJI HUPATA BAADA YA KUTUMIA...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna changamoto kuhusu Uhalali wa Kumiliki Duka la Dawa Muhimu

    Mimi ni mtumishi wa Afya, Afisa Tabibu mwajiriwa wa serikali. Naomba ujumbe huu uwafikie Baraza la Famasia Tanzania. Je! Kwanini Mimi mtumishi wa Afya ninapotaka kufungua Duka la Dawa Muhimu, naambiwa Nitafute Cheti cha ADDO au Cheti cha Pharmacy ili niweze kufanya usajili. Ikiwa mimi...
  15. Emily magnus

    JamiiForums Tanzania Hivi nitumie dawa gani?

    Oya nye watu mliopo humu... Jana kuna demu nimemzingua kisa kasema sura yangu imeharibika. Hebu mnambie nitumie dawa gani ili niondoe chunusi huku usoni.
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Tunazalisha Wataalamu wa Famasi Halafu Tunawanyima Mitaji Wakati Tunatumia Mabilioni Kuagiza Dawa

    Nina jambo moja ambalo linaumiza vijana wengi waliosoma famasi Tanzania. Serikali imetumia mabilioni kusomesha wataalamu wa famasi, lakini baada ya kuhitimu tunaachwa bila mtaji, bila uwezeshaji na bila nafasi ya kujenga viwanda vya dawa nchini. Wakati huo huo, kila siku serikali inaendelea...
  17. SamuraiJack

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Kuvuta Wateja kwenye Biashara Mpya

    Habari wakuu. Nimekuja leo nikiwa na maswali mawili kuhusu biashara yangu mpya ya restaurant/mkahawa. Swali la kwanza linahusu biashara yenyewe. Nimefungua restaurant wiki mbili zilizopita baada ya kuwahi kufanya biashara kama hii miaka kadhaa nyuma lakini sikufanikiwa sana. Safari hii...
  18. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KWELI Ukimeza dawa na kisha ukatapika baada ya mfupi unapaswa kumeza tena, kutegemeana na dawa husika

    Wakuu nimekutana na hii concern ya mdau nikaona si mbaya nikiieleta hapa kupata ufafanuzi zaidi.
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ahmed Shabiby: Mapapa makubwa yamehodhi tenda za kuleta dawa nchini, nyingi ni feki na zina Milligram chache

    Mbunge wa Jimbo la Gairo Ahmed Shabiby amesema kuna mtandao unaokwamisha juhudi za kuanzisha viwanda vya dawa nchini, akidai kuwa baadhi ya viongozi wanahujumu sekta hiyo kwa maslahi binafsi huku wananchi wakiendelea kuumia kutokana na gharama kubwa za dawa. Akichangia hotuba ya Wizara ya Afya...
  20. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Hivi tunaziaminije bei za dawa kwenye Pharmacies?

    Tukiandikiwa dawa mfano na Daktari, tunavoenda kununua pharmacy za nje ya hospital zile bei tunaziaminije? Maana hakunaga bei elekezi ya madawa, au reference ya bei, just kumpa kikaratasi cha madawa na muuzaji anakuambia jumla elfu kadhaa. Vipi kama kila dawa anaongeza bei flani? Ilitakiwa...
Back
Top Bottom