DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,598
- 17,734
Chama cha Madaktari Nchini Tanzania (MAT) kimepinga na kusema kuwa hakikushirikishwa kwenye mchakato wowote wa kuandaa,Kutoa maoni au Kushiriki katika njia yoyote ile ya mchakato huo.
kinyume cha serikali inavyojinasibu kuwa Chama hicho kilishirikishwa kama Mdau Rasmi wa Afya..
Aidha Dr. Deusdedit Ndilanha, ambaye ni Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania (MAT)
ametangaza ya kuwa ameshitushwa na
taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionesha kuwa chama kilishiriki kwenye mapendekezo ya Kitita cha Mafao Cha Mwaka 2023 cha Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF)
"Chama kinakanusha kushiriki au kushirikishwa kwenye mchakato huu ,Hatua zilizopitiwa wakati wa mchakato" anasema Dr ndilanha..
"Chama kinawaomba wanachama na wadau wa afya kuwa na subira, Chama kitatoa tamko rasmi na msimamo wake mara baada ya kikao na kamati tendaji kukaa" anamalizia Dr Deusdedit Ndilanha
kinyume cha serikali inavyojinasibu kuwa Chama hicho kilishirikishwa kama Mdau Rasmi wa Afya..
Aidha Dr. Deusdedit Ndilanha, ambaye ni Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania (MAT)
ametangaza ya kuwa ameshitushwa na
taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionesha kuwa chama kilishiriki kwenye mapendekezo ya Kitita cha Mafao Cha Mwaka 2023 cha Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF)
"Chama kinakanusha kushiriki au kushirikishwa kwenye mchakato huu ,Hatua zilizopitiwa wakati wa mchakato" anasema Dr ndilanha..
"Chama kinawaomba wanachama na wadau wa afya kuwa na subira, Chama kitatoa tamko rasmi na msimamo wake mara baada ya kikao na kamati tendaji kukaa" anamalizia Dr Deusdedit Ndilanha