media

  1. idiomer

    JamiiForums Tanzania I can't prove, but I believe there is no such thing as powerful as Social Media

    Everyone is there!
  2. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Next Media Completes Acquisition of Capital Radio

    Kin Kariisa’s Next Media has completed the acquisition of 100% of Capital Radio, taking full ownership of one of Uganda's most established radio groups in a move that significantly expands its presence in the country's media industry. The acquisition comes less than a month after the two...
  3. Jobless_Billionaire

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Media za Bongo zinatoa sana airtime kwa mambo yasiyo na tija kwa jamii kuliko yale ya msingi? Nimeamini kupitia sakata la Doto Magari

    Habarini wakuu.. Siku za hapa karibuni kumekuwa na mambo ya ajabu ajabu yanayotembea sana mitandaoni kuhusiana na hawa machawa. Kuna sakata la yule wa kuitwa Doto Magari kusambaa kwa taarifa zake kuwa ni muathirika na kumekuwepo na kurushiana maneno kati yake na waanzilishi wa hizo tuhuma jui...
  4. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Social media posts protected by copyright, High court rules

    The Commercial Division of the High court has ruled that original content published on social media is protected by copyright, in a decision expected to shape how journalists and media organisations use online content. In a landmark judgment delivered on July 27, Justice Dr Ginamia Melody...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wazungu vs watu weusi in social media

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya sisi watu weusi especially tunavyotumia social social media na wenzetu . hilo group lipo USA na angalia post za mtu anatka msaada anavyoandika jamii forum. wazungu sio kama wana akili sana ila community zao zinafanya mtu anajua kujielezea na fanya watu waweze...
  6. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania Je biashara yako ina social media accounts lakini hazileti wateja?

    Je, Biashara Yako Ina Social Media Accounts Lakini Hazileti Wateja? Au upo busy na unahitaji mtu wa kukusaidia kumanage social media accounts zako?? Habari wakuu, Leo kuwa na Instagram, Facebook, TikTok au LinkedIn account pekee haitoshi. Kinachotofautisha biashara zinazokua na zinazobaki...
  7. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania AFC yafadhili mradi mkubwa wa umeme nchini Burkina Faso kukabiliana na upungufu wa umeme

    Wakati ukandamizaji ukizidi kushika kasi Burkina Faso na sifa kedwkede Kwa Traore ximeyeyuka baada ya Nchi kugeuka omba omba wa Kila kitu. Bwana yule alijizolea umaarufu miongoni Kwa wajinga na yeye kujaa kwenye mfumo lakini baada ya kuona uhalisia wa kuwa Kiongozi wa Nchi amerudi kule kule...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mainstream Media za Tanzania zimepuuza kuripoti suala la Anthony Mtaka kutangazwa Rais wa TOC na IOC/ANOCA?

    Ni Bashite aliye nyuma ya hili nn??… Maana Kwa FAIDA ya Media, hii ni HABARI kubwa ambayo ingepelekea kupata Wafuatiliaji wéngi sana na Watu wangetaka kujua nn kilichotokea??. Lkn Media zimejifanya hazilioni hili
  9. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda Media Centre launches ‘Sauti Ya Uganda’, Sh100 million up for grabs

    the Uganda Media Centre (UMC) and the Ministry of ICT and National Guidance have initiated Sauti Ya Uganda (Voice of Uganda). This nationwide anthem contest offers a grand prize of Shs 100 million and encourages citizens to learn, interpret, and perform all three stanzas of the Uganda National...
  10. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda CDF Muhoozi Warns Against 'Foreign Agents', Pledges Action on Corruption and Media

    Chief of Defence Forces (CDF), Gen. Muhoozi Kainerugaba has warned that the Uganda People's Defence Forces (UPDF) will not tolerate individuals he described as agents of foreign interests or anyone he said undermines Uganda's national security and development. Speaking on Tuesday during the...
  11. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Hivi haya masharti ya Bodi ya Ithibati ni kwa Media za Dar na zile kubwa pekee?

    Baadhi ya mikoa naona kama bado usimamizi upo chini kumekuwepo na baadhi ya Vyombo vya Habari vinavyoajiri watu wasio na sifa husika kwa kuwa tu wanajua watawalipa kiasi kidogo cha fedha. Wale wenye sifa stahiki inaonekana kama watakuwa na gharama kubwa, na kwa kuwa Wazee wa JAB wenyewe ni kama...
  12. C-C Daily Stories

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi ipp media Bw. Abdiel Mengi okoa jahazi

    For Promo only. https://youtu.be/YnbAqvz_8h0?si=WFtATkgwuApVX0J3 Kwa Mara ya kwanza Abdiel Mengi kukutana na Civilian-Coin ilikuwa mwaka 2003 katika studio za Backyard record zilizokuwa namanga Kona(DSM) ambapo Bw. Abdiel Mengi alikuwa mmiliki wa studio na Civilian-Coin aligongewa beat na...
  13. C-C Daily Stories

    JamiiForums Tanzania Joseph Kusaga wa Clouds media okoa jahazi

    Kuna Kila sababu mkurugenzi wa Clouds media Bwana Kusaga kumuokoa Civilian-Coin kwa kuinua Ngoma zake katika station zake. For Promo only. https://youtu.be/YnbAqvz_8h0?si=WFtATkgwuApVX0J3 Katika hali ya kawaida ikimpendeza Kusaga kufanya hivyo. Kumuokoa Msanii Civilian-Coin anayeishi wilayani...
  14. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda UPDATE: CDF Gen. Muhoozi Kainerugaba has met with the Nation Media Group leadership in Entebbe

    Uganda’s Chief of Defence Forces Gen. Muhoozi Kainerugaba met Nation Media Group leaders in Entebbe to discuss the shutdown of NTV Uganda, Daily Monitor, Spark TV, and KFM, with the post including a group photo from the meeting. The meeting at the Special Forces Command headquarters in Entebbe...
  15. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO DAR: Studio Furaha TV zinazomilikiwa na Mpwa wa Hayati Magufuli zavamiwa na Mabaunsa na watu wenye silaha

    Ofisi za kampuni ya habari za Furaha Media zilizopo Mikocheni – Dar es Salaam zimekumbwa na taharuki kufuatia kuvamiwa na kikundi cha watu wanaokadiriwa kuzidi 60, wakiwemo walinzi wa kukodiwa (bouncers) na watu wenye silaha. Uvamizi huo umesababisha uharibifu wa miundombinu ya kidijitali...
  16. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania President William Ruto Fires Back at Standard Media Over Government Criticism

    President William Ruto ameonekana kujibu kwa ukali kile alichokitaja kama "continuous attacks" kutoka Standard Media Group kuhusu utendaji wa serikali yake. Kupitia ujumbe uliosambaa mtandaoni, Ruto alisema kuwa headlines za Standard ambazo zimekuwa zikiangazia changamoto za serikali yake ni...
  17. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania October 29 Ilichangiwa na Kauli Mbofu Mbofu za Viongozi Kinyume cha Maadiili!, Je Media Tuwaripoti Bila Uoga ili Secretarieti ya Maadili Iwakemee au?

    Wanabodi, Kile kilichotokea October 29 kilichangiwa na kauli mbofu mbofu za baadhi ya viongozi wa umma ziko kinyume cha maadiili ya viongozi wa umma!, Je Media tuwaripoti viongozi hao bila uoga na Secretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, ianze utaratibu wa kuwakeme kama afanyavyo Msajili wa...
  18. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Media Guru Joel Isabirye Wins Bid to Set Up KCCA Radio

    Veteran media personality and communications expert Joel Isabirye has won the bid to establish and operate a radio station for Kampala Capital City Authority (KCCA), a project aimed at improving public communication and engagement with city residents. According to Nile post, The radio station...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi wa kiislamu katika media hawana propaganda

    Nimejifunza kitu ktk uchambuzi wa vita vya Iran vs Marekani vs Isreal. Waislam walioachambua vita hivi ndio wakichambulia hali halisi ya vita bila propaganda. Licha ya kutoinesha imani yao ktk uchambuzi, lkn walikuwa hawaegemei upande wowote ile Hatimae yaliochambuliwa kupitia media mbali mbali...
  20. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Online wars kwenye social media dhidi ya watu wa mataifa mbalimbali ni nyingi sana

    Baada ya kutumia social media nimeona comments nyingi sana za chuki baina ya mataifa For example kukiwa na topic yoyote ile inayosifia Tanzania, utaona a lot of negative comments za Wakenya. Watanzania ni mara chache sana kukuta wanacomment negatively kwenye posts za Kenya. Zaidi utawakuta...
Back
Top Bottom