media

  1. BabaMorgan

    Crown Media ni kama wamepania sana

    Team ya Crown Media ni kama wapo serious na kazi kama watakuwa na consistency kwa muda mrefu basi ni wazi kuwa atachange tasnia ya media bongo Tz(game changer). King Kiba anastahili kupewa pongezi kuanzisha project kama hii sio jambo dogo licha ya uhitaji wa rasilimali muhimu kama fedha pia...
  2. Ghost MVP

    Namna Wadukuzi wanavyoweza Kudukua Account zako za Social Media

    Usifate maelekezo Kutoka kwa Watoa huduma 'FAKE' Njia kubwa wanayoitumia Kwa sasa ni hii Mdukuzi hukutafuta kama Mtoa Huduma kutoka katika Kitengo cha huduma kama instagram, facebook na mitandao mengine ya kijamii, wakikutaka Uthibitishe Taarifa zako ili 'Account' yako isifungiwe. Watakupatia...
  3. kavulata

    Online Media zinazoongoza Tanzania kwa kuaminika taarifa zake mitandaoni

    Online Media (tv na radio) ni nyingi sana humu mitandaoni. Watu wanapata taarifa mbalimbali kwa haraka kupitia vyombo hivi kuliko Redio na Television za kawaida. Instagram na YouTube ndio mitandao inayotumika kupata habari na taarifa nyingi za vyombo vingi vya habari. Lakini Kuna social media...
  4. BARD AI

    Is social media emerging as the primary platform for holding politicians accountable?

    In an event that brings to light the evolving role of social media in political communication, Kenya’s President William Ruto on Friday, July 5 apologized for police brutality during an online forum with anti-tax protesters on X formerly known as Twitter. The apology came in response to a...
  5. K

    Mabomba ya maji kutoa matope; Media zimenyamaza kimya!

    Media ya Tanzania haisaidii jamii kazi yake kubwa ni uchawa tu! Yaani huku Tegeta maji yana matope kabisa lakini hakuna hata media moja inajadi badala yake wanajali Msigwa na upuuzi mwingine tu wa kichawa. 🙉
  6. Nyamwi255

    EFM sio media ya kurusha simulizi za aina hiii zisizo na maana

    Kipindi cha genge kinachoruka kuanzia saa 3usku mpaka saa 5 usiku, mnamo tarehe 19 na 20-024 Kilirusha simulizi ya mwanadada Natasha katika segment ya NIAZIME SIKIO. Simulizi ambayo ilikosa maadili. Kwenye simulizi hiyo ambayo msimuliaji ni mwanadada natasha alisimulia jinsi alivokutana na...
  7. M

    Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

    Habari wadau. Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba. Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo cloudsfm, wasafimedia etc. Mfumo wa kuajiri uliotumika kupata wafanyakazi wa media mpya una somo...
  8. L

    Tabia ya kuchanganya content kwenye social media account za kibiashara, inatukosesha Sana wateja na Kama sio wote Basi wateja serious tunawapoteza

    Habari wadau, nikiwa Kama kijana naepambana katika kizazi hiki Cha teknolojia, Mimi ni mdau mkubwa Sana wa mitandao ya kijamii, na ni miongoni mwa watumiaji wazuri wa mitandao ya kijamii kujipatia kipato. Moja ya vitu nilivyo vi observe na nikaona vinatugharimu Sana hasa kwenye mtandao wa...
  9. J C

    Tunaomba sehemu ya USB kwa visimbuzi vya Azam isiwe ya kulipia

    Mimi ni mteja wa king'amuzi chenu kabla ya kukinunua niliona kina USB port na kufuatilia nikakuta unaweza weka flash uka play movie au audio. Kwa Mimi mwenye tv ya kizamani isiyoweza play flash HD nikaona king'amuzi chenu kitanifaa kumbe flash unafanya kazi ukilipia kifurushi kikiisha flash...
  10. Mwl.RCT

    The REAL Cost of Social Media 📱

    The REAL Cost of Social Media 📱 We all love scrolling, right? It's easy, it's fun, and it's always there. But have you ever stopped to think about what we're sacrificing for those fleeting moments of virtual connection? 🤯 The truth is, the constant "likes" and notifications can make us blind to...
  11. Aramun

    Anthony Mtaka na Kheri James waipinga style anayotumia Makonda ya kusikiliza kero kwa kuzungukwa na media

    Anthony Mtaka: "Hawa Ma-DC wanafanya kazi kubwa kutatua kero, ni vile hawana ma TV tu." Kheri James: "Tutenge muda wa kutatua kero na si kusikiliza kero"
  12. D

    Bodi ya ligi ifanye reform next season kila team kuwa media team kutoa content

    We miss out alot of contents from other lower teams. my thoughts is less information is shared about these teams leading to fewer fans, and unknown good players. My advice to Tanzania league board is to make mandatory, to have a media team which functions and give out daily content, ie...
  13. Rufiji dam

    Azam Media mkanyeni mtangazaji Ngoda kuchanganya mpira na vyama vya siasa

    Hii mechi kati ya Simba na KMC leo imetangazwa na Ramadhan Ngoda muda mwingi katumia kuitaja CCM kila mara ajue kabisa anaharibu kuchanganya mpira na shetani CCM. AKOME
  14. Nyamwi255

    Ni media ipi naweza peleka matangazo na yakaenda viral

    Habari Wana jukwaa, poleni na majukumu ya hapa na pale namuomba mungu awatilie wepes kwa Kila jema mfanyalo katika harakati zenu Kama kilivokichwa cha habari, Mimi ni mjasiriamali chipukizi Nina biashara yangu hivo naomba kupewa maoni na mawazo ni media ipi wanaweza kunitangazia biashara yangu...
  15. GENTAMYCINE

    Kwanini nikimuangalia Diamond naiona Sura ya Umiliki wake wa Wasafi Media, ila kila nikimuangalia Ali Kiba siioni Sura ya Umiliki wa Crown Media?

    Kwa tuliosoma vyema Psychology hasa ile ya Communication naomba tutafute Clips za Interviews za Diamond kuhusu Umiliki wake wa Wasafi Media kisha naomba tuchukue na Clips za Interviews za Ali Kiba na Umiliki wake wa Crown Media ( halafu zingatieni pia katika Body Languages zao ) na mkimaliza...
  16. Nyamwi255

    DJ D Ommy kuondoka Clouds Media Group (CMG) kunani?

    Habari za wakati huu Wana JF, ni takribani wiki tatu Toka mkuu Wa maudhui clouds media group ndugu Sebastiani alivokuja na urithi Wa marehemu captain gadner G Habash na kutangaza warithi Wa jahazi. Miongoni mwa warithi alowatangaza ni: ✓George bantu ✓Hamisi mandi ✓Adam mchomvu ✓Bigchawa ✓Dj d...
  17. Mathanzua

    Slave auction today 2024!Not one peep from the so called civilized society and human rights organizations.No media

    Slave auction today 2024!Not one peep from the so called civilized society and human rights organizations.No media MAY 19, 2024 Video below shows another "Sale" of children taking place today in the Congo. Local Africans grab the children from rival villages, march them to the mines, then...
  18. Mathanzua

    The Cuban Banking system has reportedly collapsed. Cubans are reporting via Social Media that all their money is gone from their accounts

    The Banking system of Cuba has reportedly collapsed. Cubans are reporting via Social Media all their money is gone from their accounts, and all Automated Teller Machines (ATM's) have been emptied. This news is being heavily suppressed but it is getting out slowly. At banks all over the country...
  19. Pascal Mayalla

    Media ni Mhimili Muhimu kama ile mitatu ila ni dhaifu kiuchumi. Je, imefika wakati wapewe Ruzuku au iachwe ipambane na hali yake?

    Wanabodi Wiki hii nzima, nimekuwa jijini Dodoma kuhudhuria mikutano 3 muhimu ya mambo ya habari. Tulianza na Mkutano Mkuu wa 13, wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF, Mgeni rasmi ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dotto Biteko. Ukaja Mkutano wa Baraza la Habari Tanzania...
Back
Top Bottom