Team ya Crown Media ni kama wapo serious na kazi kama watakuwa na consistency kwa muda mrefu basi ni wazi kuwa atachange tasnia ya media bongo Tz(game changer).
King Kiba anastahili kupewa pongezi kuanzisha project kama hii sio jambo dogo licha ya uhitaji wa rasilimali muhimu kama fedha pia...
Usifate maelekezo Kutoka kwa Watoa huduma 'FAKE'
Njia kubwa wanayoitumia Kwa sasa ni hii Mdukuzi hukutafuta kama Mtoa Huduma kutoka katika Kitengo cha huduma kama instagram, facebook na mitandao mengine ya kijamii, wakikutaka Uthibitishe Taarifa zako ili 'Account' yako isifungiwe.
Watakupatia...
Online Media (tv na radio) ni nyingi sana humu mitandaoni.
Watu wanapata taarifa mbalimbali kwa haraka kupitia vyombo hivi kuliko Redio na Television za kawaida. Instagram na YouTube ndio mitandao inayotumika kupata habari na taarifa nyingi za vyombo vingi vya habari. Lakini Kuna social media...
In an event that brings to light the evolving role of social media in political communication, Kenya’s President William Ruto on Friday, July 5 apologized for police brutality during an online forum with anti-tax protesters on X formerly known as Twitter.
The apology came in response to a...
Media ya Tanzania haisaidii jamii kazi yake kubwa ni uchawa tu!
Yaani huku Tegeta maji yana matope kabisa lakini hakuna hata media moja inajadi badala yake wanajali Msigwa na upuuzi mwingine tu wa kichawa. 🙉
Kipindi cha genge kinachoruka kuanzia saa 3usku mpaka saa 5 usiku, mnamo tarehe 19 na 20-024
Kilirusha simulizi ya mwanadada Natasha katika segment ya NIAZIME SIKIO.
Simulizi ambayo ilikosa maadili.
Kwenye simulizi hiyo ambayo msimuliaji ni mwanadada natasha alisimulia jinsi alivokutana na...
Habari wadau.
Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba.
Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo cloudsfm, wasafimedia etc.
Mfumo wa kuajiri uliotumika kupata wafanyakazi wa media mpya una somo...
Habari wadau, nikiwa Kama kijana naepambana katika kizazi hiki Cha teknolojia, Mimi ni mdau mkubwa Sana wa mitandao ya kijamii, na ni miongoni mwa watumiaji wazuri wa mitandao ya kijamii kujipatia kipato.
Moja ya vitu nilivyo vi observe na nikaona vinatugharimu Sana hasa kwenye mtandao wa...
Mimi ni mteja wa king'amuzi chenu kabla ya kukinunua niliona kina USB port na kufuatilia nikakuta unaweza weka flash uka play movie au audio.
Kwa Mimi mwenye tv ya kizamani isiyoweza play flash HD nikaona king'amuzi chenu kitanifaa kumbe flash unafanya kazi ukilipia kifurushi kikiisha flash...
The REAL Cost of Social Media 📱
We all love scrolling, right? It's easy, it's fun, and it's always there. But have you ever stopped to think about what we're sacrificing for those fleeting moments of virtual connection? 🤯 The truth is, the constant "likes" and notifications can make us blind to...
Anthony Mtaka: "Hawa Ma-DC wanafanya kazi kubwa kutatua kero, ni vile hawana ma TV tu."
Kheri James: "Tutenge muda wa kutatua kero na si kusikiliza kero"
We miss out alot of contents from other lower teams. my thoughts is less information is shared about these teams leading to fewer fans, and unknown good players.
My advice to Tanzania league board is to make mandatory, to have a media team which functions and give out daily content, ie...
Hii mechi kati ya Simba na KMC leo imetangazwa na Ramadhan Ngoda muda mwingi katumia kuitaja CCM kila mara ajue kabisa anaharibu kuchanganya mpira na shetani CCM.
AKOME
Habari Wana jukwaa, poleni na majukumu ya hapa na pale namuomba mungu awatilie wepes kwa Kila jema mfanyalo katika harakati zenu
Kama kilivokichwa cha habari, Mimi ni mjasiriamali chipukizi Nina biashara yangu hivo naomba kupewa maoni na mawazo ni media ipi wanaweza kunitangazia biashara yangu...
Kwa tuliosoma vyema Psychology hasa ile ya Communication naomba tutafute Clips za Interviews za Diamond kuhusu Umiliki wake wa Wasafi Media kisha naomba tuchukue na Clips za Interviews za Ali Kiba na Umiliki wake wa Crown Media ( halafu zingatieni pia katika Body Languages zao ) na mkimaliza...
Habari za wakati huu Wana JF, ni takribani wiki tatu Toka mkuu Wa maudhui clouds media group ndugu Sebastiani alivokuja na urithi Wa marehemu captain gadner G Habash na kutangaza warithi Wa jahazi. Miongoni mwa warithi alowatangaza ni:
✓George bantu
✓Hamisi mandi
✓Adam mchomvu
✓Bigchawa
✓Dj d...
Slave auction today 2024!Not one peep from the so called civilized society and human rights organizations.No media
MAY 19, 2024
Video below shows another "Sale" of children taking place today in the Congo. Local Africans grab the children from rival villages, march them to the mines, then...
The Banking system of Cuba has reportedly collapsed.
Cubans are reporting via Social Media all their money is gone from their accounts, and all Automated Teller Machines (ATM's) have been emptied. This news is being heavily suppressed but it is getting out slowly.
At banks all over the country...
Wanabodi
Wiki hii nzima, nimekuwa jijini Dodoma kuhudhuria mikutano 3 muhimu ya mambo ya habari. Tulianza na Mkutano Mkuu wa 13, wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF, Mgeni rasmi ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dotto Biteko. Ukaja Mkutano wa Baraza la Habari Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.