Jean-Paul "Picha" Walravens (Brussels, Belgium, 2 July 1942) is a Belgian cartoonist, comics artist, animator and film director. He is most famous for his adult animated films, such as Tarzoon: Shame of the Jungle.
hivi kwa nini viongozi wa afrika huwa hawapigi picha kama hizi? afrika sub-saharan tuko peke yetu dunia hii kwenye mambo mengi sana, tujaribu kuiga angalau wenzetu rest of world wanavyofanya mambo, dunia nzima viongozi huwaweka mbele wenza wao, ila afrika ni nadra sana kuona picha kama hii, ni...
Mrembo Stella Mbunge ambaye ni video vixen wa video ya wimbo wa Salama wa Diamond na Barnaba ,amesema kwamba video ya salama ,Diamond Platnumz alimlipa zaidi ya milioni kumi licha ya kushindwana bei kwa mara ya kwanza.
Stella Mbunge amesema kuwa kwa mara ya kwanza kiasi alichotajiwa atalipwa...
Mlioko ujombani tunaomba picha, hatakuwa jambo la kiungwana msipotuonyesha picha za ugeni ukiwa mgombani.
Kwanza yuko wapi, Machame, Masama, Kibosho, Old Moshi-Uru, Marangu, Mwika au Rombo? Picha jamani. Hii nchi ukinuna itakua kweli hauna bandama🤣🤣🤣🤣🤣.
Kama wana uwezo kumuua mwenzao we ni nani ? Hakuna kifo cha Mahabusu , we ulisikia wapi ? Kwamba wakati anajiua wenzie wana muangalia tu ? Hivi Tanzania mna akili ?
Haka kazee ketu , kanaonekana kapole , kastaarabu , Tena kazuri kenyewe kamenona na hakana shida na mtu.
Ila sasa ngoja kafungue mdomo wake kaanze kumwaga sera zake ,ndipo utajua ubaya wa njaa ikihamia kichwani
Mods naomba uzi huu usiungwe kule
Pichani ni Mzee Pancras Mtemi Ndejembi ambaye ndie baba yake na Makamu rais mteule Deogratius John Ndejembi.
Mzee Pancras Mtemi Ndejembi ni moja ya makada wakubwa wa CCM na kiongozi mkongwe wa CCM Mkoani Dodoma Alihudumu kama Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma...
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imefafanua kwa nini wapiga kura hawataruhusiwa kupiga picha ya ballot paper baada ya kuweka alama kwa mgombea wanayemtaka katika Uchaguzi Mkuu wa 2027.
Kamishna wa IEBC Ann Nderitu amesema hatua hiyo inalenga kulinda moja ya misingi muhimu ya uchaguzi...
Kwa mtazamo wangu Samia na genge lake la watekaji,wauwaji, mafisadi na ma-cartels ya mafuta nimegundua kuwa ccm ni genge ambalo limefikia damu ya kunguni kiasi kwamba hakuna mtu anayetaka kusogelewa nalo hadi Dr. Ndlozi amewaonya SADEC kutomruhusu Samia kukaa naye kama mkuu wa Nchi kwasababu...
Shule ya Sacred Heart Mukumu Girls imeagizwa kulipa Sh300,000 kama fidia baada ya kupatikana na hatia ya kukiuka faragha ya mwanafunzi kwa kushiriki picha yake na wahusika wa nje bila idhini ya mzazi au mlezi.
Ofisi ya Kamishna wa Ulinzi wa Data (ODPC) ilisema shule hiyo ilikiuka Sheria ya...
Wale wapenzi wa WATOTO👭👬👶
Karibu kwenye uzi wa picha za watoto na simulizi zao
Kama una story yeyote kuhusu watoto share iwe nzuri au ya kusikitisha
Watoto wametokana na sisi wenyewe ni damu yetu, wanakuzwa ndani yetu na wao ni sehemu yetu
Watoto wana uzuri wao wa kipekee sana...
Kabla sijaenda naomba kwanza nisahihishe jambo moja muhimu: si sahihi kusema kwamba kila eneo hapa chini lina sheria ya jumla inayosema “hairuhusiwi kupiga picha.” Baadhi ni maeneo nyeti ambayo hupaswi kupiga picha bila ruhusa, na baadhi yana restrictions maalumu, hasa maeneo ya kijeshi na...
Baada ya kuangalia hii picha ya ujio wa Rais Tshekedi nimejiuliza maswali mawili,
1.Yuko wapi Makamu wa Rais wa JMT?
2.Nini kinaendlea Tanzania nyuma ya pazia.
Hatimaye the long wait is over Rodri ndani ya uzi wa Barça.
Barça itakuwa na kiungo kikali sana kati mkata umeme Rodri pembeni akiwepo Pedri na Dani Olmo na mtoto wa Kidachi FDJ kmmk
Leo game ya Barça na Basel majanja pale mbele wamekichafua sio poa.
Kwanza unakutana na Adeyemi ukipenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.