picha

Jean-Paul "Picha" Walravens (Brussels, Belgium, 2 July 1942) is a Belgian cartoonist, comics artist, animator and film director. He is most famous for his adult animated films, such as Tarzoon: Shame of the Jungle.

View More On Wikipedia.org
  1. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania President Xi visits Egypt kapokewa na raisi Sisi, picha nzuri!

    hivi kwa nini viongozi wa afrika huwa hawapigi picha kama hizi? afrika sub-saharan tuko peke yetu dunia hii kwenye mambo mengi sana, tujaribu kuiga angalau wenzetu rest of world wanavyofanya mambo, dunia nzima viongozi huwaweka mbele wenza wao, ila afrika ni nadra sana kuona picha kama hii, ni...
  2. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Diamond alioneshwa picha zangu aksema ananijua, ananitaka

    Mrembo Stella Mbunge ambaye ni video vixen wa video ya wimbo wa Salama wa Diamond na Barnaba ,amesema kwamba video ya salama ,Diamond Platnumz alimlipa zaidi ya milioni kumi licha ya kushindwana bei kwa mara ya kwanza. Stella Mbunge amesema kuwa kwa mara ya kwanza kiasi alichotajiwa atalipwa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Chonde Chonde, mlioko ujombani tunaomba picha

    Mlioko ujombani tunaomba picha, hatakuwa jambo la kiungwana msipotuonyesha picha za ugeni ukiwa mgombani. Kwanza yuko wapi, Machame, Masama, Kibosho, Old Moshi-Uru, Marangu, Mwika au Rombo? Picha jamani. Hii nchi ukinuna itakua kweli hauna bandama🤣🤣🤣🤣🤣.
  4. mirindimo

    JamiiForums Tanzania PICHA: ASKARI ALIUAWA NA ASKARI WENZIE MAHABUSU

    Kama wana uwezo kumuua mwenzao we ni nani ? Hakuna kifo cha Mahabusu , we ulisikia wapi ? Kwamba wakati anajiua wenzie wana muangalia tu ? Hivi Tanzania mna akili ?
  5. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Katika picha kanaonekana kazuri kenyewe ila ngoja kafungue mdomo

    Haka kazee ketu , kanaonekana kapole , kastaarabu , Tena kazuri kenyewe kamenona na hakana shida na mtu. Ila sasa ngoja kafungue mdomo wake kaanze kumwaga sera zake ,ndipo utajua ubaya wa njaa ikihamia kichwani
  6. USSR

    JamiiForums Tanzania PICHA: Ukweli wa asili ya Deo Ndejembi - Mama yake alikuwa na asili ya Kiarabu

    Mods naomba uzi huu usiungwe kule Pichani ni Mzee Pancras Mtemi Ndejembi ambaye ndie baba yake na Makamu rais mteule Deogratius John Ndejembi. Mzee Pancras Mtemi Ndejembi ni moja ya makada wakubwa wa CCM na kiongozi mkongwe wa CCM Mkoani Dodoma Alihudumu kama Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma...
  7. N

    JamiiForums Tanzania JamiiAi new features: Mdau toa asilimia hapo ubora wa picha unauonaje ?

    Photo by JamiiAi 🏝🏜
  8. Slobodan Mirosovich

    JamiiForums Tanzania UMEELEWA NI K KUHUSU UJUMBE WA PICHA HII

    Ujumbe huu nimeukuta mtandao wa Twitter(x) mwandishi hajaongeza neno lolote zaidi ya picha Nakaribisha tafakari
  9. mirindimo

    JamiiForums Tanzania PICHA: WALIOSHINDWA KUFANYA KAZI NA RAIS SAMIA

  10. mirindimo

    JamiiForums Tanzania PICHA: Utambuzi unaendelea, inasemekana ndiye anayetesa vijana wanaotekwa eneo maarufu kama Garage hapo Oysterbay

  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa Nini Hutakubaliwa Kupiga Picha Ballot Paper Yako 2027? IEBC Yaeleza

    Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imefafanua kwa nini wapiga kura hawataruhusiwa kupiga picha ya ballot paper baada ya kuweka alama kwa mgombea wanayemtaka katika Uchaguzi Mkuu wa 2027. Kamishna wa IEBC Ann Nderitu amesema hatua hiyo inalenga kulinda moja ya misingi muhimu ya uchaguzi...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Ccm na mamayao kuzomewa kila kona hadi na Dr. Ndlozi wa Africa Kusaini kijana mdogo wa Julius Malema inatoa picha gani.

    Kwa mtazamo wangu Samia na genge lake la watekaji,wauwaji, mafisadi na ma-cartels ya mafuta nimegundua kuwa ccm ni genge ambalo limefikia damu ya kunguni kiasi kwamba hakuna mtu anayetaka kusogelewa nalo hadi Dr. Ndlozi amewaonya SADEC kutomruhusu Samia kukaa naye kama mkuu wa Nchi kwasababu...
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mukumu Girls yaagizwa kulipa Sh300,000 kwa kushiriki picha ya mwanafunzi bila idhini

    Shule ya Sacred Heart Mukumu Girls imeagizwa kulipa Sh300,000 kama fidia baada ya kupatikana na hatia ya kukiuka faragha ya mwanafunzi kwa kushiriki picha yake na wahusika wa nje bila idhini ya mzazi au mlezi. Ofisi ya Kamishna wa Ulinzi wa Data (ODPC) ilisema shule hiyo ilikiuka Sheria ya...
  14. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Uzi wa picha nzuri, story nzuri na kumbukumbu za watoto

    Wale wapenzi wa WATOTO👭👬👶 Karibu kwenye uzi wa picha za watoto na simulizi zao Kama una story yeyote kuhusu watoto share iwe nzuri au ya kusikitisha Watoto wametokana na sisi wenyewe ni damu yetu, wanakuzwa ndani yetu na wao ni sehemu yetu Watoto wana uzuri wao wa kipekee sana...
  15. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Yajue maeneo ambayo ni marufuku kupiga picha Dar es Salaam

    Kabla sijaenda naomba kwanza nisahihishe jambo moja muhimu: si sahihi kusema kwamba kila eneo hapa chini lina sheria ya jumla inayosema “hairuhusiwi kupiga picha.” Baadhi ni maeneo nyeti ambayo hupaswi kupiga picha bila ruhusa, na baadhi yana restrictions maalumu, hasa maeneo ya kijeshi na...
  16. Renegade

    JamiiForums Tanzania Picha ya kufikirisha: Nini kinaendelea Tanzania?

    Baada ya kuangalia hii picha ya ujio wa Rais Tshekedi nimejiuliza maswali mawili, 1.Yuko wapi Makamu wa Rais wa JMT? 2.Nini kinaendlea Tanzania nyuma ya pazia.
  17. X

    JamiiForums Tanzania Naisubiria kwa hamu El Classico ijayo tuwakande Real Madrid. Hilo pira litakalopigwa na Barça sipati picha. Rodri ndani!

    Hatimaye the long wait is over Rodri ndani ya uzi wa Barça. Barça itakuwa na kiungo kikali sana kati mkata umeme Rodri pembeni akiwepo Pedri na Dani Olmo na mtoto wa Kidachi FDJ kmmk Leo game ya Barça na Basel majanja pale mbele wamekichafua sio poa. Kwanza unakutana na Adeyemi ukipenda...
  18. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Picha: Maulidi ya mfungo sita Wete Pemba.

    Jana Maulidi ya mfungo sita Wete Pemba ilifana Sana. Allah Akbar.
  19. mambo_safi

    JamiiForums Tanzania Picha ya wakati Isaya Yunge akimvalisha pete binti wa Ruto

    Nataka kuona Yunge anamvalisha Charlene pete nani alipiga magoti? Au wote walikuwa kama kambale?
  20. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Picha ya leo!

    a picture is worth a thousand words ...
Back
Top Bottom