muongozo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania UISLAMU NI NINI?-Dini ya rehma,Haki na Muongozo wa Maisha

    Watu wengi wanaizungumza dini ya Uislamu bila kuifahamu kwa usahihi. Wengine wamepewa taarifa potofu kupitia mitandao, siasa au matendo mabaya ya baadhi ya watu wanaojiita Waislamu. Lakini ukweli ni kwamba Uislamu si ugaidi, si ukatili wala si dini ya chuki. Uislamu ni dini ya haki, elimu...
  2. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania Jaribu kutumia red royale east west ( mbegu ya papai) kama unataka kulima papai. Na huu ndio muongozo wake

    Good evening Leo ninapenda tuandike kuhusu fursa ya kilimo cha papai. Na,hapa nitagusia zaidi kilimo cha papai hybrid. Katika kilimo cha papai kuna hatua za kuzingatia ili mtu aweze kupata matokeo ya msingi. Hatua ya kwanza ni maandalizi ya shamba na maandalizi ya mbegu ( east west red royale...
  3. Noah the lastborn

    JamiiForums Tanzania Nahitaji muongozo namna ya kulipwa youtube

    Naombeni muongozo wa namna ya kuwa monetized youtube kwa kupost na kucreate content ,nahitaji muongozo kidogo
  4. E

    JamiiForums Tanzania Wizara ya itoe muongozo kama huduma kwa wamama wajawazito ni bure au ni malipo

    Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nawaslaimu raia wenzangu.Waziri wa afya mchengerwa tunaomba majibu juu ya huduma kwa awajawazito mkoa wa Kigoma GUNGU hospitali ya kikungu. Hivi huduma ya kujifungua ni bure au? kwani nimepeleka mke wangu kujifungua kwa bahati mbaya hakufanikiwa...
  5. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bila maandamano kuundiwa sheria na muongozo; basi tutegemee machafuko kutokea kila yakitokea maandamano

    Kuyaruhusu na kuyarahisisha maandamano, ndo mbinu nzuri ya kuzuia machafuko yanayotokana na maandamano. Maandamano yakifanywa kuwa kitu cha kawaida kwa watanzania; basi ustaarabu wa kuandamana utajengeka kwa watanzania; kwa makundi mbalimbali kwenye jamii (wafanyakazi, wanafunzi, wazee, vijana...
  6. Poker

    JamiiForums Tanzania Naombeni kupewa muongozo wa kuandamana hiyo 29/OKTOBA

    Ningependa kupata muongozo, yaani kwa hapa Dsm tunakutania wapi? Au unajitokea tu kwa rodi unawasikilizia wenzio. Ningependa kupata muongozo nisije kutoka na bango langu na kuwa chambo wa mfano kwa wengine. Na vipi siku hiyo kwa wafanyabiashara nao wanafungua biashara zao au wanafunga kuonesha...
  7. Q

    JamiiForums Tanzania Naomba muongozo biashara ya MASSAGE

    Habari wakuu. Nikitaka kuanzisha na kufanikiwa katika kutoa huduma ya massage nizingatie nini? 1). Kibali kinatolewa baada ya kukamilisha nini? 2). Profesional Masseuse /masseur wanakua na cheti cha level gani?Mishahara yao ikoje? 3). Natakiwa niwe na nini? Natanguliza shukrani
  8. O

    JamiiForums Tanzania Habari zenu naomba kuuliza mwenye uzoefu na interview katika post ya assistant trade officer anipe muongozo notice za kusoma

    Samahani great thinker shida yangu nikujua muongozo vitu vya kusoma kwa anaeenda interview ya post ya assistant trade ooficer
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Hospitali ya Benjamini Mkapa tunakatwa stahiki zetu bila maelezo

    1. Tunafanya kazi masaa ya ziada kama tunavyopangiwa ila cha ajabu tunakatwa malipo ya stahiki zetu. Mfano: Kama umefanya masaa ya ziada kwa siku sita unalipwa mbili tu. Hizi nne hazilipwi na hazitolewi maelezo. 2. Tunaomba Wizara ya Afya na mwajiri wetu Katibu Mkuu Kiongozi itupe muogozo na...
  10. 4

    JamiiForums Tanzania NAHITAJI MUONGOZO WENU

    Jina langu kwenye vyeti vyangu vyote ,pamoja na nida linafanana,yan mfano john kulwa sembo, na taarifa za jina la baba kwenye nida yake pamoja na cheti changu cha kuzaliwa ni Frank kulwa sembo je kuna athari zozote kwenye bodi ya mikopo 2025 2026
  11. P

    JamiiForums Tanzania Wakuu niko Kibaya Kiteto nipeni muongozo

    Inawahusu wazee wa totoz na gambe. Nipo njiani nasogea kibaya nipeni bar nzuri guest za Bei chee.
  12. J

    JamiiForums Tanzania Nataka kuanzisha biashara ya vinywaji vikali

    Habari jamani Naomba muongozo wa kuuza vinywaji vikali kwa bei ya jumla mtaji wangu ni 20m wapi wanatoa mzigo na muongozo wa biashara kwa ujumla nami nianze biashara ningependa kupata mawazo yenu kwa wenye ufahamu
  13. A

    JamiiForums Tanzania MUONGOZO KHS VIDONDA VYA TUMBO NA H-PYLORI

    Habari za mchana wana jamvi naomba kuuliza vidonda vya tumbo na hylori ni vitu vinavyotegemea?namaanisha kwamba unaweza kupima h-pylori hlf kwenye kipimo iko iko doctor akagundua una vidonda vya tumbo?
  14. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Muongozo kwa Vijana ambao mmetoka Chuo na Ambao mnajiandaa kuingia katika soko la ajira /Kazi

    Muongozo kwa Vijana ambao mmetoka Chuo na Ambao mnajiandaa kuingia katika soko la ajira /Kazi. Ikiwa wewe ndo umetoka Chuo na unajiandaa kuingia mtaani na katika soko la ajira /kazi. Baada ya kuhitimu masomo yako jambo la kwanza ni Kufanya ibada ya shukrani kwa Imani yako , kwakuwa katika...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Naombeni muongozo. HGL division II ya point 10, ni kozi ipi yenye future ya kujiajiri ama kuajiriwa?

    Na kama nitapatiwa na jina la chuo inapopatikana hiyo kozi, itapendeza zaidi. Natanguliza shukurani.
  16. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Bodi ya mikopo (HESLB) imetoa muongozo wa utoaji mikopo kwa wanafunzi na kuweka namba binafsi kwa mawasiliano kwa wenye Changamoto

  17. Mziwanda Wa Mziwanda

    JamiiForums Tanzania Muongozo Wa Biashara ya microfinance

    Habari Zenu wakuu!!!! Nataka anzisha biashara ya MICROFINANCE lakini Nimefanya utafiti nimeona lazima niwe na mtaji wa 20M ndo nipate kibali BOT , Sasa apa nikipiga hesabu kufikisha 20M ,Ni mpaka mwakani 2026, kwa savings zangu nazofanya kwa Sasa! Swali Je, hii biashara huwezi kuiendesha...
  18. F

    JamiiForums Tanzania Vitabu vya muongozo wa thamani za madini

    Je, umekuwa ukifanya Biashara ya Madini ya Vito pasina faida au kutokuzitambua Thamani zake halisia ? T-TanzaniteGram Blog ndio suluhisho la pekee. Nunua Vitabu vitakavyo kupatia mwongozo wa Thamani za Madini ya Vito aina zote kwa mwaka 2025. WATAALAMU. Thamani zilizo orodheshwa ndani mwa...
  19. Chibike

    JamiiForums Tanzania Naombeni muongozo wa kwenda kushtaki jirani ambaye anachanganya madawa yenye sumu Kali ya kuua wadudu shambani

    Husika na kichwa Cha Habari Wadau naombeni muongozo hapa, je hii kitu ni sawa? Kwenye makazi ya watu mtu nyumbani kwake anachanganya sumu Kali zenye harufu Kali za kuua wadudu mashambani na kwenye mazao , hivyo harufu inasambaa kwa majirani na watoto are present Hivi hizi sumu si ndio...
  20. black-tz

    JamiiForums Tanzania Tanzania iko mbioni kutunga sheria na kuweka muongozo wa kutekeleza mfumo wa kitaifa wa mtandao wa simu, ujulikanao kama National Roaming

    Tanzania iko mbioni kutunga sheria na kuweka muongozo wa kutekeleza mfumo wa kitaifa wa mtandao wa simu, ujulikanao kama National Roaming. Kupitia mfumo huu mpya, mtumiaji wa simu ataweza kuunganishwa na mtandao wowote uliopo karibu; bila kujali kampuni ya simu ambayo amesajili laini yake. 📶...
Back
Top Bottom