Habari wakuu,
Kwa yeyote anayetafuta fursa ya kufanya kazi mtandaoni akiwa nyumbani (Fully Remote), kampuni ya teknolojia ya Alignerr kutoka Marekani (inayomilikiwa na Labelbox) imefungua milango ya ajira kwa wataalamu wa fani mbalimbali nchini Tanzania ili kusaidia kuifundisha na kuinoa mifumo...
Wataalamu watusaidie kuitambua hii Sheria kama ndivyo ilivyo ??
SHERIA YA VYAMA VYA SIASA
(SURA YA 258)
-------------
KANUNI
(Zimetungwa chini ya fungu la 22(b))
KANUNI ZA MAADILI YA VYAMA VYA SIASA ZA
MWAKA 2007
SEHEMU YA KWANZA
UTANGULIZI
1. Kanuni hizi zinaitwa kanuni za Maadili ya Vyama...
Pendekezo jipya la Serikali ya Tanzania kuruhusu kukopa moja kwa moja kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) limezua mjadala mkali. Serikali inasema hatua hiyo itasaidia kukabiliana haraka na upungufu wa mapato unaotokana na matukio yasiyotegemewa.
Hata hivyo, wakosoaji wanaibua maswali muhimu...
Habari ya majukumu ndugu zangu mafundi tiles.
Eti njia sahihi ya kubandika hizo tiles hapo pichani zinate vizuri hata watoto wakizichezea zisitoke ni ipi kati ya kutumia gundi yake au kuzibandika kwa kutumia cement.?
Fundi wangu kasema ninunue cement na dukani nilikonunua hizo ndude wanasema...
Katika maeneo mbalimbali nchini, hususan kwenye miji mikubwa kama Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza na mingineyo, ni jambo la kawaida kuona mabomba ya kusambaza maji safi yakipita ndani au pembeni mwa mitaro ya kupitisha maji machafu. Hali hii imekuwa ikinifanya niwe na maswali mengi ambayo naamini...
Eti wakuu hiyo rangi hapo kwenye picha ni ya kupaka ndani au nje ya nyumba.?
Eti ni kweli kwamba rangi ikiwa na neno EMULSION haifai kupaka nje ya nyumba?
Kama rangi hii ni ya nje,je ni miongoni mwa rangi bora?
Kama sio,naomba mapendekezo ya rangi bora za kupaka nje.
Nyumba ilishapakwa...
Chuo Kikuu cha Dodoma kwa kushirikiana na Tume ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wameendesha programu maalum ya uhamasishaji kwa wanafunzi wa mwaka wa mwisho wa Tehama, ikiwa ni sehemu ya kuwajengea uelewa kuhusu umuhimu wa usajili wa kitaaluma kwa wataalamu wa Teknolojia ya Habari na...
Sisi wataalamu wa maabara(certificate hadi degree) nchini Tanzania ambao tulifanya Mtihani wa Leseni kuanzia march 15 hadi april 01(certificate hadi degree) tumecheleweshewa kupewa matokeo kwa zaidi ya miezi miwili sasa, hali ambayo inatukosesha fursa nyingi ikiwemo ajira zinazotangazwa...
Anonymous
Thread
baraza
leseni
maabara
machi
madaktari
march
matokeo
mitihani
mwezi
wapi
wataalamu
Habari za jioni wana-jamvi (au habari za muda huu),
Katika kipindi hiki ambacho gharama za umeme na changamoto za kukatika kwa nishati zinazidi kuongezeka, nimeona vijana na akina baba wengi kwenye mitandao wakikimbilia kununua zile seti za solar za bei nafuu sana kutoka AliExpress (zile...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia mtu mmoja anayejulikana kwa jina la Kasimu Ally Juma (34), kwa tuhuma za kupandisha bendera tano za Taifa la Tanzania kwenye shamba lake.
Atashitakiwa kwa kosa gani? Wanasheria, Wajuzi.
Pascal Mayalla
💧 KELVIN HK BUILDER'S 💧
🏗️ Wachimbaji Visima vya Kisasa — Wataalamu wa Kuaminika!
📍 Temeke, Dar es Salaam | 🌍 Tunahudumia Tanzania Nzima
🔥 OFA YA MSIMU: PUNGUZO LA DHAMANA! 🔥
Tunakuzawadia TANK LA MAJI LA LITA 5,000 BURE! 🎁💦
Chukua hatua sasa! Kwa kila mradi wa kisima tutakaofanya...
Uchambuzi wa mpira wa miguu (Football Analysis) si kubahatisha matokeo tu — ni uelewa wa kina wa jinsi mchezo unavyochezwa kupitia takwimu, mbinu, na maamuzi ya timu na wachezaji ndani ya uwanja.
👉 Kwanini timu inashinda?
👉 Kwanini nyingine inapoteza hata ikiwa na wachezaji bora?
👉 Tactical...
Nina jambo moja ambalo linaumiza vijana wengi waliosoma famasi Tanzania.
Serikali imetumia mabilioni kusomesha wataalamu wa famasi, lakini baada ya kuhitimu tunaachwa bila mtaji, bila uwezeshaji na bila nafasi ya kujenga viwanda vya dawa nchini.
Wakati huo huo, kila siku serikali inaendelea...
Anonymous
Thread
andiko
dawa
jambo
kuagiza
kuliko
mabilioni
mitaji
moja
serikali
uovu
vijana
wageni
wakati
wake
wataalamu
wengi
Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, ameweka wazi mpango mkakati wa ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta ghafi (Refinery) kitakachohudumia ukanda wa Afrika Mashariki.
Akizungumza baada ya Mkutano na Rais Samia Ikulu Dar es Salaam leo Mei 16...
💧 KELVIN HK BUILDER'S 💧
🏗️ Wachimbaji Visima vya Kisasa — Wataalamu wa Kuaminika!
📍 Temeke, Dar es Salaam | 🌍 Tunahudumia Tanzania Nzima
🔍 HYDROGEOLOGICAL SURVEY
(Utafiti wa Kisayansi wa Maji Ardhini)
Hatuchimbi kiholela — tunafanya utafiti kwanza!
📍 DSM & Pwani: TSh 300,000/=
📍 Mikoa...
Kuna kijana mpigapicha nchi jirani kaipeleka mahakamani kampuni kubwa ya kuuza maji kwa kutumia picha aliyoipiga bila ridhaa yake.
Picha yenyewe ni ya mtu anakunywa maji yanayotengenezwa na hiyo kampuni. Kuna watu wanasema kampuni haina kesi kwa sababu mpigapicha alipiga kinywaji chao bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.