uzi maalum

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jemima Mrembo

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kutupia picha mbalimbali na video za Rais wa Tanzania ajaye, Tundu Antipas Lissu ili kumtia moyo kwenye kupambania katiba, utu na haki

  2. min -me

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa wale tunaojihisi ni mataji😁😁

    Kuna sisi tuna vibe la kibongo bongo pesa inatutembelea kwa wakati😅... Tusivunge wakuu ,ebu tufanye kutamba 😆.... Japo nikidogo tu ila kuna namna tunaishi😇... Bongo wanaoishi maishi ya kula bata kwenye yachi ya kifahari hawazidi 50 kwa sasa😅😅
  3. M

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kumhusu Mtumishi Moses Kulola,Nini unafahamu kuhusu yeye?

    Habari wakuu nimeona post moja huko mtandaoni kumhusu nikashawishika kupata taarifa kumhusu huyu muhubiri/mchungaji aliyekuwa anaitwa Moses Kulola, Nasikia juu juu tu kwamba ni mchungaji ambaye alifanya mambo makubwa kipindi hicho, Kwa wewe ambaye ulikuwepo kipindi hicho ni nini uliwahi...
  4. Zekoddo

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa ajili ya kupeana updates za vibali vya uhamisho kutoka Utumishi

    Kama wewe ni Mtumishi wa Umma na Umeomba uhamisho kutoka Taasisi Moja na kwenda nyingine basi tukutane hapa kwa ajili ya kupeana updates, najua kuna watu maombi yao yamefika Utumishi siku na miezi mingi imepita bila majibu basi tuzidi kupeana infos hapa ili kama wewe mwenzetu umefanikiwa...
  5. TheGreatest Of AllTime

    JamiiForums Tanzania ENGLISH PREMIER LEAGUE: Uzi Maalum wa Msimu 2026/2027

    TIMU ZITAKAZO SHIRIKI MSIMU HUU: Arsenal Aston Villa Bournemouth Brentford Brighton & Hove Albion Chelsea Coventry City Crystal Palace Everton Fulham Hull City Ipswich Town Leeds United Liverpool Manchester City Manchester United Newcastle United Nottingham Forest Sunderland Tottenham Hotspur...
  6. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa ushauri kwa vijana

    Weka hapa linalokusumbua.. Lakini Kama unahofu ya kutumia jina lako.. Unaweza kuwasililiana na Moderator akakuweka anonymous Vijana wamevurugwa mentally. Vijana wengi hawana sexual awareness Vijana wengi wanateseka na uraibu Vijana wengi wanateswa na mahusiano Vijana wengi wanatepelika kwa...
  7. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Naona vijana mnajifanya mna vipaji. Mnajifanya wachanaji. Sasa nimewaita hapa mkutane na muuaji. Awapelekee moto mshindwe hata kuomba maji. Halafu kila mtu awe jaji. secretarybird Jobless_Billionaire Al-mukheef KERATO MOMBAA
  8. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kukukemea tabia zako zinazokufanya uendelee kuwa fukara

    Hizi ni tabia zinakufanya uendelee kuwa fukara. Mtajazia nilizosahau. 1. Kutojiambia ukweli kuhusu makosa yako na kuchukua hatua badala yake unatafuta visingizio na kujifariji kipuuzi. 2. Kuwa na matumizi makubwa kuliko kipato chako. Acha tamaa. Kama uwezo wako ni dagaa kwa sasa usilazimishe...
  9. ubongokid

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa Maoni, Marekebisho na Changamoto kwenye Mfumo mpya wa IDRAS

    Habari za wakati huu; TRA Tanzania Jana niliweka uzi hapa kuhusu changamoto ya IP blocking katika Mfumo mpya wa IDRAS https://www.jamiiforums.com/threads/tangu-mfumo-mpya-wa-tra-kuanza-kuna-changamoto-ya-ip-kuwa-blocked-mnakwama-wapi.2421098/ Nawapongeza kwa kufanya marekebisho na sasa naona...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa Teknolojia inayokuwa kwa Kasi hivi sasa, Personal Cloud Server. HOMELAB au (NAS)

    Hallo. Hbr wana JF. Natumaini kila mtu atakuwa ashasikia kuhusu CLOUD SERVER, kama vile DropBox, Google cloud etc. Hizi huduma huwa zinapatikana kwa mothly rental fee au bure kwa limited access. Mfano Dropbox wanakupa only 2GB, huku Google wakikupa bure 15GB ya kuhifadhia data zako. Huduma...
  11. Kubwa la Maadui

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa watumishi wa umma mbalimbali waliothibitishwa wana elimu za hapa na pale au elimu mbalimbali

    Habarini Naomba huu uzi uwe ni daraja la kuwatumbua wote wenye elimu za kuunga unga ili iwe kama tahadhari kwa wanaowateua na kuwapa nafasi. Hapa zitawekwa CV zao na itakua kama database ya wenye elimu za hapa na pale wote Tanzania nzima Karibu
  12. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tunatokaje? Huu utakuwa uzi maalum. Mihemko tuweke pembeni. Ila ukweli na suluhu tusiviache

    Hamjambo wakuu! Poleni wote kwa yote yaliyotokea. Waliopoteza wapendwa wao, waliopata majereha, waliopoteza mali iwe kwa kuibiwa au kuchomwa moto. Na zaidi Mungu awape pumziko linalowastahili waliopoteza maisha. Upande wangu mambo yalikuwa magumu sana ukizingatia ninapoishi na karibu kabisa na...
  13. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum: Weka hapa makazi wa Mawaziri, Wabunge na Chawa wote

    Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza tunaomba wanabodi mtiririke hapa. Tuna kazi kubwa iliyotukuka Oktoba 29. Mimi ninashughulika na makazi ya Mbunge wangu wa Ukonga Jerry Silaa.
  14. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum wa Ahadi za Uongo za Wanasiasa kuelekea October 2025

    Wanasiasa wamekua wakitoa ahadi ya mambo ambayo wanapaswa kufanya kwakuwa wanakusanya kodi, sasa Je, ni ahadi zipi ambazo unajua kabisa ni kama mama anamwambia mwanaye baba yule anaendesha ndege anaelekea Ulaya, zile za utotoni? Mgombea Ubunge Moshi- Nitafufua viwanda vyote vilivyofilisiwa na...
  15. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum kwa ajili ya kampeni za vyama mbalimbali katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu wa 2025.

    Habari zenu wanaJF wenzang Wakuu kuanzia leo, uzi huu utakuwa unakusanya taarifa, picha, video, vituko na matukio mbali mbali yatakayokuwa yanafanyika katika kampeni za vyama mbali mbali, ili kujiandaa na uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi October mwaka huu. Kama una taarifa, una...
  16. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Wale Wanaopanga kumiliki magari used ya bei Nafuu: Tazama plan Yetu bila Riba

    Habari zenu wakuu. Baada ya kukutana na vijana kadhaa wanatamani wamiliki gari used kuwahi shughuli zao ila bajeti haitoshi, Yaani ni kazi kukusanya milioni 5 au 4 kwa pamoja. Naielewa vyema hali hiyo nami nilipitia nikianza maisha ya kujitafuta. Sasa nimekuja na plan kuwawezesha kutimiza...
  17. X factor

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum wa kumpa moyo, faraja au kumtakia heri Tundu Antipas Lissu

    Ndugu Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu,huu ni Uzi Maalum wa kutoa neno la faraja na kumtakia Heri kiongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Mh Tundu A Lissu aliyepewa kesi ya uhaini na kuwekwa death row pale ukonga huku akikumbana na manyanyaso chungu nzima kutoka Kwa askari magereza...
  18. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kutoa matokeo ya mchakato wa kuteua mgombea ubunge wa CCM kwa kila jimbo.

    Ni vyema JamiiForums wakatoa updates hapa ili mambo yote yawe kwenye sufuria moja. Sina updates za uhakika mpaka sasa
  19. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa maswali: uliza swali lolote hapo chini utajibiwa

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU Uliza swali lolote hapo chini utapata jibu kutoka kwa wataalam wetu Asante sana LONDON BOY
  20. Setfree

    JamiiForums Tanzania Duh, kama hizi ndio faida za bia/pombe, basi akili zetu zinahitaji "reforms"

    Duh, kama hizi ndio faida za bia/pombe, basi akili zetu zinahitaji 'reforms'" Kaa siti ya mbele, nikusimulie vituko na mikasa ya kweli iliyosababishwa na wanywa bia/pombe, halafu ujibu swali langu: "vituko na mikasa hii ndio faida za bia/pombe?" SEHEMU YA KWANZA(I) Visa na vituko vifuatavyo ni...
Back
Top Bottom