mtoto

Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.

View More On Wikipedia.org
  1. Ruwamangi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single Mother ananiwekea Vikwazo kuonana na mtoto wangu

    Wakuu salama, nimezaa na mwamnke mmoja ambaye sasa ni single mother. Nilikuwa namhudumia lakini wakti mwingine simhudumii kulingana na ujeuri wake. Nikitaka kumuona mtoto inakuwa ngumu, nikimwambia amlete ataki. Sasa mtoto amefikia hatua yupo daycare amempeleka huko hakunishirikisha...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Likizo hii umemuandalia mtoto sehemu ya kujifunza stadi za kazi za kumuandalia ujuzi wa kujiajiri au unaendelea kumkomalia na tuisheni ?

    Likizo ya June inakaribia, watoto watakuwa nyumbani kwa wiki kadhaa hadi mwezi. Swali la kujiuliza ni hili: Je, unamjengea mtoto uwezo wa kuishi na kujitegemea au unaendelea kuamini kwamba kumnoa kwenye ufaulu wa darasani pekee utamtoa kwenye changamoto za maisha? Ukweli mchungu ni kwamba...
  3. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Nakubaliana na John Heche hayati JPM alikuwa serious kudhibiti uzembe na ufisadi. Na ninaongezea asingethubutu kutembea na mtoto kama tunavyoshuhudia

    Naona wanaChadema wameanza kukubaliana na mimi juu namna hayati Magufuli alivyokuwa shujaa na mpambanaji kuzuia uzembe na ufisadi. Kwanza asingeweza kwenda Urusi na na mtoto wake au delegation kubwa namna ile na kuharibu pesa za Watanganyika.
  4. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Mzazi anaona bora mtoto alipwe laki 3 akiwa ameajiriwa kuliko kupata million 1 ya kujitafutia

    Nadhani hili mentality ipo sana kwa wazazi wetu hasa ambao. Hawakufika shule nadhani, waliishi katika dunia ambayo waliamini kuajiriwa ndio kila kitu. Week iliyopita nilikua kwenye mji mmoja unaitwa Msalala geita hapo, kuna harakati sana za madini, nikakutana na homeboy wangu mmoja...
  5. lumumbanew

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mtoto wa Form V kuhamia Benjamin Mkapa High School

    Habarini wajuvi. Ninaomba msaada wa channel za binti yangu kuhamia Benjamin Mkapa High School kwa kidato cha 5. Binti amepangiwa Mpemba Sec huko Songwe. Natanguliza shukurani.
  6. I

    JamiiForums Tanzania Mtoto halali au sio halali

    Familia natumai mko poa sana! Kuna nimekutana na habari mahali fulani kiukweli inahuzunisha kwa kiwango chake. Ipo hivi.... Kuna jamaa alikuwa kwenye mahusiano na mwanamke (single mama) wakaishi kwa muda,huyo mama alikuwa na ajira yake. Maisha yao yamekuwa yalikuwa ya kawaida tu namaanisha...
  7. upupu255

    JamiiForums Tanzania KWELI Mama aliyegundulika kuwa saratani wakati wa matibabu hushauriwa kuacha kunyonyesha mtoto

    Wakuu kuna hoja huwa nakutana nayo mtandaoni kuwa kunyonyesha humsaidia mama kujikinga dhidi ya saratani ya matiti. Je, vipi kwa ambaye tayari amebainika kuwa na Saratani ya matiti kunyonyesha ni salama na kunaweza kusaidia kuondoa saratani?
  8. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Kuna hili jina sasa hivi kila Mtoto anaezaliwa anapewa sio kwa ubaya mimi nimesema tu

    Alvin and The Chimpanzee Monkey ni katuni fulani ya watoto inayofurahisha sana watoto. Sasa hivi kila nyumba ninayokatisha imejaa Alvin and the Chimpanzee Monkey. I am Outside.
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Baba Levo: Huwezi kumlea Mtoto Miaka 10 halafu mwanawake akuambiwe siyo wako

    "Mhe. Mwenyekiti, huwezi kuwa umeishi na mwanamke ndani, anakusingizia ujauzito unaolea miezi tisa. Una—anazaa mtoto, unamlea mtoto anafikisha miaka kumi, baadaye mnakombana kidogo anakwambia, 'Hata huyo mtoto mwenyewe sio wako!' Ipo namna mwanaume yeyote ipo namna ambayo mwanaume anaweza...
  10. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Mbele ya Waziri Mkuu, Mzazi afikisha malalamiko ya mwanae kutekwa na Waliojitambulisha kuwa ni Polisi

    Ni huzuni kwa kweli, mwanamke mmoja huko Itigi - Singida ameeleza kwa uchungu mtoto wake alivyokamatwa na polisi wakamfunga pingu kisha kutokomea nae, mzazi wa mtoto huyo alifatilia kituo cha polisi bila mafanikio ya kumuona mwanae, ni siku 40 zimepita hajui mtoto wake alipo. Ameyaeleza hayo...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nimeona mama mmoja analia kwa uchungu mbele ya Mwigulu Nchemba kuwa mtoto wake alitekwa na polisi. Je haya ni maigizo yanayofanywa na Chadema?

    Mama huyu amelia kwa uchungu sana. Tena Waziri mkuu ameona kwa kauli yake kwa kusema kuwa wanaChadema wanajiteka akimaanisha hakuna utekaji. Mama amelia kwa uchungu sana maana anadai polisi walifika nyumbani wakijifanya wamachinga na kumteka mtoto wake tangia mwezi wa nne. My take; hata kama...
  12. SAMBOZAM

    JamiiForums Tanzania Mtoto kwa mama hakui

    Mwamba bado ana Fikra za Kuwaletea Jamii maendeleo ya £45,000,000,000,000 wakati Sumu ya Panya ni 100.
  13. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulipata Mtoto wa kwanza ukiwa na miaka mingapi?

    kwa wale mliojaaliwa kuwa na mtoto au watoto. Je, ulimpata mtoto wako wa kwanza ukiwa na miaka mingapi ? Ulipanga au ilitokea kwa bahati tu ? Swali special kwa wanawake: ulipata mimba kwa mara ya kwanza ukiwa na miaka mingapi ? ( maana najua hapa wengi huwa wanapata alafu wanatoa )
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mtoto ateketea kwa moto ndani ya nyumba iliyoungua

    Simanzi imeikumba familia moja wilayani Moshi Vijijini baada ya mtoto mwenye umri wa miaka mitatu, Francis David, kupoteza maisha kwa kuteketea ndani ya nyumba iliyoshika moto katika Kitongoji cha Mwitini, Kijiji cha Mwasi Kusini, Kata ya Uru Mashariki. Tukio hilo limetokea Mei 26, 2026 majira...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

  16. bless on

    JamiiForums Tanzania Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

    Juzijuzi hapa nilimtembelea rafiki yangu niliesoma nae secondary. Jamaa anaishi mitaa ya Masaki, maisha yake si haba. Huwezi kumfananisha na sisi wa Tabata Dampo. Jamaa anaishi na mkewe, wana katoto kadogo ka miaka kama mitano au sita hivi. Katoto kao kanaitwa kaJunia, sijui Junya, hivyo hivyo...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kama Alikupa Mimba, akakutelekezea mtoto. Unahaki ya kumnyima huyo Mtoto

    KAMA ALIKUPA MIMBA, AKAKUTELEKEZEA MTOTO. UNAHAKI YA KUMNYIMA HUYO MTOTO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Hivi ndivyo Watibeli tunavyofanya. Hasa mabinti zetu wakifanya zinaa na uchafu huko. Wakapata watoto wa zinaa(starehe). 2. Hatuwezi kuukataa Ukweli. Hata kama ukweli unatugusa...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Gharama za upandikizaji wa mtoto hospitali ya Kairuki

    Kwanza naomba nitoe pole kwenu nyote. Binafsi kwa sasa ninaishi mkoani Mtwara, ni muda mrefu sana nimehangaika kutafuta mtoto na mke wangu kwani mtoto wangu wa kwanza ana miaka 6, baada ya hapo nimehangaika sana kutafuta bila mafanikio. Nilianza matibabu hosp huku mtwara na leo ndio nimepokea...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Kisa cha huzuni kuu by Sugu: Walimpiga Risasi Mama na mtoto mgongoni kupitia kifuani mwa mama ikatokezea mgongoni na kumuua mtoto na mama

    Simulizi ya Sugu toka kwa mkazi wa Géita alivyouawa mama na mtoto wake. Very sad story from Sugu! Akamalizia na MATAKO YENU
  20. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mtoto kautaka: unakukumbusha nini?

    Kesi maarufu ya "Wabakaji wa Dodoma" iliyohusisha binti wa miaka 17 kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam, ilihitimishwa kwa watuhumiwa wakuu kupatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela. Watuhumiwa hao walipatikana na hatia ya makosa ya kubaka kwa kundi na kulawiti. Mruhumiwa mkuu...
Back
Top Bottom