mtoto

Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Uwepo wa baba humwekea mtoto wa kiume mipaka katika maamuzi mengi. Baba akiondoka, wengi huonyesha rangi halisi, huamua bila kusita wala kujificha.

    familia nyingi, baba huonekana kama mtu anayesimamia nidhamu, mwelekeo na usalama wa familia. Hata pale ambapo hatumii nguvu wala maneno mengi, uwepo wake pekee unaweza kuwa ujumbe kwamba kuna mipaka ambayo haipaswi kuvukwa. Kwa mtoto wa kiume, jambo hili linaweza kuwa muhimu zaidi anapokua na...
  2. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania SAIDA KAROLI : “Sizalii Mwanaume, Kila Mtoto Wangu Ana Baba Yake”

    Mwanamuziki nguli wa nyimbo za asili nchini, Saida Karoli, amewashangaza na kuwagusa wengi baada ya kufunguka kwa uwazi kuhusu maisha yake ya uzazi, mahusiano, na sababu zilizomfanya apate watoto na wanaume tofauti tofauti. Akizungumza katika mahojiano maalum, nguli huyo aliyewahi kutamba na...
  3. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Baada ya Wema, Zuchu, na Maua Sama, Ciara yeye atarajia mtoto wa tano

    Baada ya mastaa wa Bongo, Wema Sepetu, Zuchu, Maua Sama kupata watoto hivi karibuni, mwimbaji wa Marekani, Ciara (40) na mumewe Russell Wilson wanatarajia mtoto mwingine, ikiwa ni mtoto wa tano kwa mwimbaji huyo na wa nne katika ndoa yao. Ciara ametangaza habari hizi njema siku ya jana Jumapili...
  4. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Africa tuna viongozi wa ajabu sana. Malawi wamempeleka mtoto wa waziri kushiriki shindano la Miss World, wamemwacha mshindi halisi aliyeshinda taji hi

    Malawi sent the minister’s daughter to Miss World. Not Miss Malawi. Thandi Chisi won Miss Malawi in December. That’s the title. The trip should have been hers. It wasn’t. Organisers sent Ireen Navicha first runner-up, daughter of Gender Minister Mary Navicha. Miss World listed her as Malawi’s...
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Responded Waziri Gwajima aingilia hoja ya Mdau aliyedai mtuhumiwa aliyemfanyia ukatili mtoto anatamba mtaani

    Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima ameandika ujumbe huu kupitia ukurasa wake wa Instagram muda mfupi baada ya kuchapishwa kwa hoja ya Mdau aliyeelezea tukio la mtoto wa Darasa la Tatu katika Shule ya Msingi Kiponza iliyopo Mbande kufanyiwa...
  6. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Carry Mastory Avujisha Sauti ya Hamisa Mobetto Kuhusu Baba Mzazi wa Mtoto Wake (Dylan)

    Mambo mapya yameibuka kwenye mitandao ya kijamii baada ya aliyekuwa mwanahabari wa burudani, Carry Mastory, kuzungumzia sakata linalomuhusu mwanamitindo Hamisa Mobetto na kuvujisha sauti (voice note) inayohusu utambulisho wa baba mzazi wa mtoto wake, Dylan . Katika maelezo hayo, Hamisa Mobetto...
  7. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Maua Sama atangaza kujifungua mtoto wa kike

    Msanii wa Bongo Fleva, @mauasama ametangaza kujifungua mtoto wa kike, akifichua habari hiyo kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mitandao ya kijamii. Maua Sama amemkaribisha duniani mtoto huyo huku akieleza kuwa ujio wake umeleta furaha na baraka kubwa katika maisha yake. “Welcome to the World...
  8. Keyboard_Warrior

    JamiiForums Tanzania Iganzo sekondari: Mtoto alazimishwa kuandika barua ya kuacha shule, mzazi atolewa nje

    Habari wanajamii? Ijumaa nilikuja na uzi unaozungumzia walimu kumlazimisha mama kuandika/kusaini barua ya mtoto kuacha shule. Mama aitwa shule, alazimishwa kusaini barua ya mtoto wake kuacha shule Baada ya kuongea na mama, tulikubaliana kuwa leo aende tena shuleni kuongea na walimu kuwa...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mbinu 7 makini za kulea mtoto mazingira ya mjini

    MBINU 7 MAKINI ZA KULEA MTOTO MAZINGIRA YA MJINI Malezi ya mtoto katika mazingira ya mjini yamekuwa changamoto kubwa kwa wazazi wengi. Mtoto wa Mjini anakua katika dunia yenye mchanganyiko wa tamaduni, mitazamo, teknolojia, mitandao ya kijamii na makundi mbalimbali ya watu.Hii Tofauti na zamani...
  10. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Aomba Rais Samia amsaidie mtoto wake aliempatia jina la SAMIA

    "Ninaitwa Eza Ashindikene. Kwa sasa ninaishi Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Mkuranga. Mwaka 2025, wakati wa uchaguzi Mkuu Tanzania, nilipata nafasi ya kuandika nyimbo kama msanii kwa ajili ya kuunga mkono harakati za kuwaombea kura wagombea wetu. Wakati huo nilikuwa na ujauzito wa miezi tisa. Mungu...
  11. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Tanga: Said Yunusu (20) ahukumiwa jela maisha kwa kumlawiti mtoto (11)

    Mahakama ya Mkoa wa Tanga imemhukumu Said Yunusu maarufu kama Big Sela (20), kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti Mtoto mwenye umri wa miaka 11. Akisoma hukumu hiyo, Hakimu Mwanaheri amesema Mahakama imeridhishwa na ushahidi uliowasilishwa na Upande wa Mashtaka...
  12. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Upendo wa mama kwa mtoto ni bond ambayo haiwezi kutenganishwa

    Hiii ni kwa mabimkubwa wote Duniani Sijui kwanini huwa kuna upendo mkubwa kutoka kwa mzazi hasa mama kwa watoto wake
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mchepuko wangu kajifungua, hana uhakika kama mtoto ni wangu au wa mumewe

    Wakuu Mimi na mchepuko wangu tuko dilemma. Kajifungua mtoto,ila hana uhakika ni wangu au wa mumewe as mtoto anafanana na yeye. Tunasolve vipi hii case wataalamu?
  14. mirindimo

    JamiiForums Tanzania MTOTO WA RAIS SAMIA AKIWA KWENYE BIASHARA YAKE YA MATAIRI NA RAIS WA UGANDA

  15. Waterloo

    JamiiForums Tanzania Rais Museveni hii leo akutana na Ujumbe wa Abdul Hafidh mtoto wa Samia ikulu ya Entembe. Hivi huyu dogo ana cheo Gani serikalini?

    Kuna maswali yanakuja kichwani kwangu bila majibu. Rais wa Uganda anampokea kwa itifiki ipi je ni ya kiserikali au huyo bwanamdogo ni mfanyabishara au mwanasiasa au balozi wa hii Serikali? Mwenye ufahamu tafadhali maana nachanganyikiwa.
  16. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kama msichana primary anajua matusi ya nguoni unategemea aolewe na atulie kweli?

    Toka nitembelee na kuishi mikoa ya mwambao wa bahari hasa pwani, lindi na Dar.. Nimekutana na tabia mbaya sana kwa kweli, na hili hata sio la kuwalaumu watoto. Ndugu zangu sijui kwanini hata sijawahi kuona watu wanalizungumzia hili swala, sijui ndo kwa sababu sisi watz we don't care ama nini...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Rais Samia, Abdul Hafidh Ameir na Ujumbe wake afika Ikulu ya Entebbe kujadili sekta binafsi zinavyoweza kunufaisha Tanzania na Uganda

    Mtoto wa Rais Samia, Abdul Hafidh Ameir na Ujumbe wake akaribishwa Ikulu ya Entebbe kujadili sekta binafsi zinzvyoweza kunufaisha nchi hizi Mbili
  18. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Huenda Abdul mtoto wa Samia akachukua nafasi ya Nchimbi

    Nawaza tu.
  19. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Mtoto wa Museveni awa Askofu. Mamlaka ya Mapato Uganda 🇺🇬 yatumia ukurasa mzima kumpongeza.

  20. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mwanamke akidai mtoto ni wako yeye ndiye mwenye wajibu wa kuthibitisha na kugharamia gharama za DNA. Ikibainika ni wako, mnagawana gharama.

    MWANAMKE AKIDAI MTOTO NI WAKO YEYE NDIYE MWENYE WAJIBU WA KUTHIBITISHA NA KUGHARAMIA GHARAMA ZA DNA. IKIBAINIKA NI WAKO, MNAGAWANA GHARAMA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Mwanamke ambaye hujamuoa. Sio mkeo. Ikatokea ulilala naye na bila shaka ni kwa lengo la starehe kwa sababu ingekuwa ni...
Back
Top Bottom