Tayari mshtakiwa Tundu Lissu ameshawasili mahakamani na anauliza leo vipi leo wako wapi ?
Anajibiwa wanakuja
Kaa tayari kwa updates
Shahidi Aman Golugwa nae ameshafika
========
Leo September 4, 2026
Sehemu ya 348.
Majaji wanaingia na Mwenyekiti anaingia pia.
Anasimama Ajuaye...
Leo wanaharakati wa Kenya wameandamana Mpaka ubalozi wa Tanzania na Uganda nchini Kenya, wakizitaka mamlaka zimuachilie huru Tundu Lissu na Kizza Besige, wanaharakati hao wameipa masharti Serikali ya Kenya.
Wanaharakati wa Kenya wamesema Kizza Besige alitekwa nchini Kenya akapelekwa Uganda na...
Leo wanaharakati wa Kenya wameandamana Mpaka ubalozi wa Tanzania na Uganda nchini Kenya, wakizitaka mamlaka zimuachilie huru Tundu Lissu na Kizza Besige, wanaharakati hao wameipa masharti Serikali ya Kenya.
Wanaharakati wa Kenya wamesema Kizza Besige alitekwa nchini Kenya akapelekwa Uganda na...
"Kwa sababu mnaniuliza na rasta zangu, Bob Marley aliimba hivi: 'Ukweli unaweza ukawa ni kosa la jinai kwa watawala waovu, haijawahi kuwa dhambi.' Truth may be an offense, it is never a sin.
Asante sana. Asante, mi niko na nguvu, sitaki kuwachosha askari wangu... Ah nawapenda sana sitaki...
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu ameyasema hayo Leo, Septemba 3, 2026 alipokuwa mahakani kwenye mwendelezo wa Kesi inayomkabili ya shitaka la uhaini.
Lissu amesema " Watu wenye hatia ndio huwa waoga, mimi siyo muoga kwasababu sina hatia. Na kwasababu sina hatia niko tayari kukaa...
Leo naomba tujikite kumwangalia kwa kina mwanaharakati nguli wa haki za binadamu na demokrasia nchini, Maria Sarungi Tsehai. Katika mazingira yetu ya sasa ya kisiasa, kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu uimara wa sauti huru. Hivyo, nawakaribisha wanajamvi wote kutoa maoni, kufanya uchambuzi, na...
Rastas ni freedom fighters. Waammbie wasikilize Bob watajua kwanini nina rasta. Na wasome Historia ya Maumau.
Tunafuata nyayo za Dedan Kimathi nyayo za mashujaa, sio za wanaopokea vipande thelathini vya fedha.
Mau Mau walikiiwa ni vuguvugu la kupinga ukoloni wa Uingereza nchini Kenya, hasa...
Lissu: hao wanaosema Heche ananizuia mimi kutoka gerezani ni akina nani nasikia!?
Wanachama: ma CCM
Lissu; waambieni hivi, mimi nipo tayari kukaa gerezani mpaka haki itakapo patikana 📌
Huo ujingaujinga huo wa hao wapokea pesa za Lumumba na Ukome. Tunapigania haki na kwasababu tunapigania...
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amesema yuko tayari kukaa gerezani hadi haki itakapopatikana, akizungumza mahakamani Septemba 2, 2026, katika mwendelezo wa kesi yake ya Uhaini. Lissu alikanusha kauli zinazodai kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, anazuiwa kutoka gerezani na Heche...
Mahakamani leo tena kesi inaendelea kwa Upande wa Mawakili wa Serikali kumuuliza Mswali ya Dodoso Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika
Pia soma: Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 1, Septemba 2026
Leo September...
Katika kufuatilia kesi hii ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu, kumetokea kauli nyingi ambazo zinaweza kusimama zenyewe kama zenyewe.
Uzi huu ni wa kukusanya kauli hizi. Kama umefuatilia kesi hii toka mwanzo, tusaidiane katika kushare katika uzi huu.
Mfano, wakati John Mnyika anahojiwa siku...
Kama nia ya CCM, serikali zake na dola ni kumwekea doa Tundu Lissu kwa kumhukumu katika kesi ya Uhaini ili akose sifa za kuwania au kuwa Rais wa JMT, wanaweza kuwa wanafanya kosa kubwa kwao la kisiasa.
Lissu akiwa "Kingmaker", atakuwa na nguvu na ushawishi mkubwa zaidi na labda anaweza kufanya...
Mahakamani leo tena kesi inaendelea kwa Upande wa Mawakili wa Serikali kumuuliza Mswali ya Dodoso Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika
Pia soma: Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kutoa Ushahidi kumtetea Tundu Lissu Mahakamani leo Agosti 31, 2026. Kesi imeahirishwa hadi Kesho
Leo September...
Kwa miaka mingi serikali kuanzia za Mkapa hadi Samia zilikuwa zinasumbuana na Tundu Lissu, kwa kumkamata na wakati mwingine kumshitaki kwa tuhuma mbalimbali na baadae kumuachia.
Kitendo cha kufika kumkamata na kumshitaki kwa kesi ya Uhaini ambayo ni kesi kubwa zaidi katika Katiba ya JMT...
KESI ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu inaendelea tena leo, Jumatatu Agosti 31.2026, kama ilivyo kawaida mbele ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Dastan Ndunguru
KESI hiyo inayosikilizwa mfululizo kwenye Mahakama Kuu ya...
Huyu jamaa sijui ana cheo Gani ila kwa bahati mbaya nimepita kwenye social media nikakutana na clip yake akimzungumzia Tundu Lissu.
Kiukweli nimekaa kama nusu sasa nikijiuliza huyu lissu ana karama ya aina Gani? Yupo sero ila wanapambana nae wakiwa uraiani Tena ukiwaona ni watu wanaonekana...
Brian Mundubile alilalamika kwamba Zambia wanatumia mbinu za Tanzania za kudidimiza upinzani, na Serikali ya Tanzania imepelekea watu kuhakisha hashindi na kuhakikisha wafanya mbinu chafu za kumuangamiza.
Yaleyaye yaliyotokea kwa Tundu Lissu ndo yametokea kwake.
Tanzania walitoa tamko la...
Habari za leo.
Sisi wengine tulishamuona Lisu tangu miaka 10 na kitu huko. Tulishagundua anakitu kikubwa sana.
Nafahamu wapo wachache hawalikubali hili. Iwe kwa maamuzi yao lakini wanajua Lisu ni habari nyingine. Au kwa kutokujua tuu.
Watu wanasema oooh! Mbona mitume siku hizi hawatokei...
Zoezi la maswali ya dodoso kutoka kwa Jamhuri kwenda kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, litaendelea asubuhi hii Agosti 28, 2026 huku likitarajiwa kukamilika ili kutoa nafasi kwa shahidi mwingine kutoa utetezi wake.
Kutokana na muda wa shughuli za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.