Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, imeahirishwa hadi Jumatatu, Agosti 17, 2026, baada ya upande wa Jamhuri kuomba muda zaidi kutokana na changamoto za kiafya alizopata shahidi wa 18 aliyepaswa kuanza kutoa ushahidi leo Ijumaa.
Jana, shahidi wa 17 wa upande wa...
Wenye Akili tupo na huenda tunajiona tuna Akili Kila mmoja katika Fani yake, ila ukweli ni kua, hata katika Fani yako wewe mwenye Akili, Kama Lissu naye angekua hapo ulipo, Angeifanya kwa Uwezo Mkubwa sana na waajabu Kiakili !!.
Kama Kuna Mtanzania alikua bado ana mashaka na uwezo wa Akili ya...
“......Mbali na mauaji ya Vita vya Maji Maji chini ya utawala wa Kijerumani, mauaji yaliyotokea 29 Oktoba 2025 ndiyo makubwa zaidi katika historia ya nchi yetu. Hakuna awamu yoyote ya utawala kuanzia Waingereza waliodumu miaka 42, hadi marais wa awali kuanzia Mwl J. K. Nyerere, Ally H. Mwinyi...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, John Heche amesema kuwa iwapo ananufaika kisiasa na Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, kuwa gerezani, basi mamlaka zinazomshikilia zimwachie ili manufaa hayo yaondoke kwake.
Heche amesema kuwa yeye si anayeshikilia funguo za gereza, si aliyefungua kesi dhidi...
Wakuu,
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu itaendelea kesho Agosti 11, 2026 saa tatu asubuhi katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam ambapo ndipo shauri hilo linaposikilizwa.
Neno la Lissu leo akiwa anatoka Mahakamani mara tu baada ya kesi yake ya Uhaini...
Tundu Lissu akimtania Heche mahakamani leo akimaanisa ana kipara hajaunga kampeni ya kudai haki kwa kutokunyoa nywele kama ambavyo wengine kina Boni Yai wamefanya kushinikiza Lissu kuachiwa kutoka gerezani anakoshikiliwa kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa.
TAARIFA KWA UMMA YA NDG. LUHAGA JOELSON MPINA KUHUSU UCHAMBUZI WA RIPOTI YA JUMUIYA YA MADOLA KWENYE KIKAO CHA 73 CHA DHARURA CHA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE NA UONGOZI WA KIDEMOKRASIA (CMAG) KILICHOFANYIKA TAREHE 10 JULAI 2026 KUHUSU HALI YA KISIASA NCHINI TANZANIA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA...
Kama mnataka kuona nguvu ya umma ikoje basi fanyeni uthubutu wa kumdhuru John Heche au Tundu Antipass Lissu.
Wananchi wana machungu moyoni juu ya taifa lao la Tanganyika halafu mnawatisha kupitia utekaji na mauaji.
Kama nyie na bunduki zenu, vifaru vyenu na mabomu yenu fanyeni madhara kwa...
Iko siku nchi hii itakuwa na Bara bara, madaraja, majengo na taasisi zitakuwa kuwa na majina ya hawa mashujaa wawili. Haya hatutaweza kuyasema mchana wala hatutaweza kusema mbele ya Camera. Nina uhakika mbele ya Safari siku ccm ikianguka hawa watakumbukwa sana tu.
Ujasiri wa Kupigwa Risasi na...
Februari 8, 2019 Tundu Lissu pamoja na aliyekywa Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Wilson Masilingi, walichuana vikali katika mahojiano yaliyofanyika VOA, kuhusu suala la shambulio la risasi dhidi ya Lissu na uchunguzi wake.
Lissu alieleza kuwa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge ilifanya...
Mimi huu ndio ushauri wangu kwasababu tabu na mateso anayopitia ni kwasababu yetu, watoto wetu, wajukuu zetu na hata vitukuu vyetu.
Tukumbuke alishapigwa risasi na leo yuko jela zaidi ya mwaka na hii ni kwasababu ya uzalendo wake kwani vinginenyo,, angeshatusaliti kama walivyofanya wengine...
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam imepanga kufanya kikao cha kusikiliza Shauri la Uhaini Na. 19605/2025 linalomkabili Tundu Lissu kuanzia tarehe 10/08/2026 hadi tarehe 07/09/2026.
Kabla ya kuanza kusikilizwa kwa kikao hicho, kitafanyika kikao cha awali cha kujadili maandalizi ya usikilizwaji...
Leo, tarehe 30 Julai 2026, Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imetoa uamuzi muhimu katika shauri lililomhusisha Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) dhidi ya Tundu Antiphas Lissu. DPP alikuwa amewasilisha maombi ya kupitia upya uamuzi wa Mahakama Kuu uliokataa jaribio la upande wa mashtaka la kuwasilisha...
Tanzania kwa sasa inaviashiria vyote vya kuelekea kwenye failed state na vita ya wenyewe kwa wenyewe, anayezuia nchi hii isiingie kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe ni Tundu Lissu kwa sababu hajawahi kuwaambia Chadema watafute silaha.
Licha ya Tundu Lissu kuwa mwanasiasa machachari ila ameamua...
================
URGENT: TUNDU LISSU’S LIFE IS IN DANGER
Credible information indicates that Tundu Lissu’s life is at serious risk.
For more than 470 days, Tundu Lissu has been held in detention in Tanzania as an unconvicted prisoner, without a fair and timely resolution of his case.
His...
Shauri la Kikatiba namba 7300 la mwaka 2026 linalohusu madai ya kunyimwa faragha kwa Mawakili wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, limeahirisha hadi Septamba 16, 2026 kwa ajili ya kutajwa.
Shauri hilo liliendea leo Alhamisi Julai 23, 2026 katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amerudishwa rumande baada ya kumalizika kwa usikilizwaji wa Shauri la Kikatiba kwa siku ya leo Julai 23, 2026 Shauri Na. 7300/2026 limesikilizwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma, inayoketi vikao vyake katika...
Facebook
Mhe. Brenda: Mwenyekiti Tonetone imefika Milioni 174.5 mpaka jana usiku
Mhe. Lissu : Waambie waongeze bidii, Baraza Kuu lifanyike
CHANGIA BARAZA KUU LA UMMA
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba: 22606600140
Jina: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.