Huu ndio utabiri wangu huku Tundu Lissu akiwa ndio mlengwa mkuu ili tu isionekane ameshinda kesi ya uhaini bali ametoka kutokana na mapendekezo ya Tume.
Pia, mtarajie habari ya maridhiano kupitiia hii tume.
All in all, wajue hatudanganyiki.
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kyela, Victoria Swebe, ametoa tamko kali dhidi ya kile alichokiita "siasa za mateso" na kesi za kutengenezewa, huku akitaka mamlaka kukomesha vitendo vya utekaji na mauaji nchini.
Akizungumza wilayani humo jana, Aprili 21...
Wote nimewaelewa Ila kuna mmoja hajamuelewa Mwingine kwako MangeKimambi na kaka @HecheJohn
Tusiwape Mwanya CCM kupata upenyo wa kutugawa kupitia nyufa za Majadiliano ya namna ya tunavyojadili masuala,
Kwa namna yeyote ile @TunduALissu Lissu lazima awe out na ndo suala muhimu! Tunajua...
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, huo ndio mtazamo wangu na pia ni ushauri wangu kwa chama iwapo Tundu Lissu ataachiwa kutoka gerezani.
Tundu Lissu akiwa gerzani shida, akiwa nje shida.
Mtajua hamjui.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa taarifa kuwa mwenyekiti wake, Tundu Lissu anayeshikiliwa katika Gereza la Ukonga, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakili wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Dk Lazarus Chakwera aliyemtembelea.
Itakumbukwa Aprili 10, chama hicho kilikutana...
Ndugu zangu Watanzania,
Gerezani hakunaga Ubabe hata Siku Moja, Gerezani ni Mahali pa Kurekebisha Tabia hata kwa mwenye Usugu na Nunda. Gerezani hakuzoeleki hata Siku Moja,Gerezani siyo kwa kuchezea ,Gerezani siyo Hoteli ya kitalii ,Gerezani siyo kwa kulilia ,Gerezani siyo kwa kuomba kwenda...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amewasilisha orodha ya mambo saba muhimu anayoyachukulia kama msingi wa mustakabali wa demokrasia na utawala wa sheria nchini Tanzania.
Soma maamuzi ya Kesi: Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za...
Inasikitisha sana. Ona kwamba Pole Pole na Tundu Lissu, hadi leo, wanashikiliwa na Polisi kwa sababu ya kutupigania Watanzania na Tanzania kama nchi.
Sasa kweli Watanzania tumeridhika na hali ya hawa watu wawili muhimu kuwekwa ndani na sie tukaona ni sawa tu, hatutaki kufanya lolote kuwapigania...
Fuatilia kwa ukaribu jinsi wafuasi wa Chadema wanavyozidi kuwa na mshikamano na umoja.
Iwe kwenye misiba na hata kwenye michango ya kisaidiana kwa matatizo ya kichama au binafsi.
Mitaani Rais Samia anachukiwa kama kiongozi kibaraka wa genge la wanaCCM ambao wapo madarakani kuwaibia Watanzania...
Hivi sasa uendeshaji wa dunia umebadilika. UNO ipo lkn kama mpitishaji wa ajenda za USA
ICC ipo lkn haiwezi kuikosoa Isreal.
Vipo vyombo vya habari vikubwa kama bbc , CNN lkn vyote hivyo huvisikii kumkosoa Trump.
Yaani hivi sasa dunia inavyoendeshwa kama inaendeshwa na watu na sio mihimili...
Tulijua mmejifunza na maskio yamezibuliwa kumbe bado mna viburi na dharau kwasababu hamkujifunza October 29 suala Lissu ndo mnaenda kuzibuliwa vizuri maskio mmejaa viburi kitu ambacho hawajui October 29 hii nchi yote ilimwangiwa petrol na Lissu ni kama kiberiti Just wait
Watu wajinga na Wapumbavu Huwa ni rahisi kwao Kufanya kazi kwa pamoja na ushirikiano, kwa kua wao 'Manufaa ya Taasisi au NCHI Huwa sio kipaumbele chao.... Hivi ndivo ilivyo kwa Serikali hii Haramu inayoongozwa ma watu wajinga wajinga waliofeli kidato cha Nne ambao a
Wameamua kujimilikisha NCHI ...
Kama wanafikiri kuwa kumweka gerezani Tundu Lissu ndiyo njia itakayowasaidia kubaki madarakani, inabidi wajihoji tena na watagundua kwamba hali hiyo ndiyo itakayo harakisha anguko lao..
Waliua waTanzania kwa kufikiri kuwa njia hiyo itawatia uoga waTanzania wasiendelee kudai HAKI yao iliyoporwa...
BARUA YA WAZI KWA JAJI MKUU WA TANZANIA KUHUSU KUHARAKISHA KESI YA TUNDU LISSU
Mheshimiwa Jaji Mkuu wa Tanzania,
Ninakusalimu kwa heshima kubwa, nikitambua nafasi yako muhimu katika kusimamia utoaji wa haki nchini. Lengo la barua hii ya wazi ni kuwasilisha ombi la msingi na la haki kuhusu...
Ndugu zangu Watanzania,
Hakuna Mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kujitokeza hadharani kuanza kumtetea na kumsemea Tundu Lissu . Yule Lissu hafai hata kidogo kuwepo mitaani zaidi ya mahabusu na magerezani mpaka akili yake itakapomkaa sawa na kuomba msamaha kwa Taifa letu...
Mwanaharakati Maria Sarungi Tsehai amewalipua Watanzania kwa kile alichokiita ni kushindwa kumtetea Tundu Lissu, kiongozi ambaye amejitoa mhanga kwa miongo kadhaa kusema ukweli bila woga. Maria Sarungi amesisitiza kuwa Tundu Lissu ana rekodi ya kipekee ya utendaji isiyoyumba, na ndiyo sababu...
Hivi ndivyo Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu alivyokamatwa na Jeshi la Polisi, tarehe 09 Aprili 2025 katika Wilaya ya Mbinga, Mkoa wa Ruvuma wakati alipokuwa akiendelea na Oparesheni #NoReformsNoElection.
Leo Aprili 9, 2026, Lissu ametimiza siku 365 (mwaka mmoja) tangu akamatwe.
===========...
Imetosha Sasa! Watanganyika Tuanze Maandamo Ya Kudai Haki Ya Tundu Lissu.
Tundu Lissu amekuwa mahabusu Ukonga kwa case ya uongo ya treason. Raia wote tunaelewa ni hujuma za Samia kumuumiza Lissu ili Samia na CCM yake waendelee kupora rasilimali za watanganyika. Samia amejiapisha kuwa Rais wa...
Wakuu,
Hakuna sababu yoyote kuzidi kumuweka Lissu Gerezani
Uchaguzi ushapita, maandamano yashapita na lile joto la kisiasa pia lishapita.
The only reason why, Lissu yuko Gerezani ni kuhakikisha kwamba huo mchakato unafanyika lakini yeye ASISHIRIKI. Maana akiwa uraiani Katiba wanayoitaka CCM...
Jeshi la Magereza limesema Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu yuko salama na afya yake ni njema.
Jeshi hilo limekanusha taarifa zinazosambaa kwenye baadhi ya vyombo vya habari zikidai kuwa hali ya Lissu ni mbaya, likisisitiza kuwa taarifa hizo zinalenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.