akutana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Uzalendo wa Kitanzania

    Mtume Boniphace Mwamposa amtembelea Paul Makonda ofisini kwake Arusha

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Nabii Boniface Mwamposa ofisini kwake Jijini Arusha. Nabii Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa lake...
  2. Uzalendo wa Kitanzania

    Kuhani Musa akutana na kusalimiana Rais Samia Ikulu

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili imeambatanishwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kuhani Mussa mara baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024. Jina la Bwana lihimidiwe
  3. Uzalendo wa Kitanzania

    Rais Samia akutana na Mama Fatma Karume

    Mapema leo nikijuliana khali na Mama Fatma Karume, Mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Sheikh Abeid Amani Karume, baada ya kuhutubia na kuzindua Chama cha Wanawake Sekta ya Fedha Tanzania (TAWiFA) Kizimkazi, Zanzibar. Katika hotuba yangu nimeendelea kusisitiza umuhimu wa taasisi za...
  4. Ojuolegbha

    Mama Mariam Mwinyi akutana na Dkt. Nardos

    Mke wa Rais wa Zanzibar, Msarifu na Mwenyekiti wa Zanzibar Maisha Bora Foundation Mhe. Mariam Mwinyi amekutana na Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Maendeleo ya Wake wa Marais wa Afrika (Organization of African First Ladies for Development (OAFLAD), Dkt. Nardos Berhanu Ofisini kwake Ikulu Migombani...
  5. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Cherehani akutana na Walimu Shule za Msingi Ushetu

    Mbunge Cherehani Akutana na Walimu Shule za Msingi Ushetu Walimu wa shule za Msingi katika Halmashauri ya Ushetu Mkoani Shinyanga wametakiwa kuongeza ubunifu na jitihada katika ufundishaji ili kuongeza hali ya ufaulu wa wanafunzi kutoka daraja C hadi kufikia daraja A. Wito huo umetolewa na...
  6. Erythrocyte

    Tundu Lissu akutana na Azim Dewji

    Mfadhili wa Zamani wa Simba na Mfanyabiashara wa Tanzania , Mnyaturu wa Singida , Azim Dewji , amekutana na Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , katika kilichoitwa Kikao cha dharula , kilichofanyika kwenye Hotel moja ya Nyota 5 Jijini DSM . Lissu na Dewji wamezungumza mengi likiwemo la...
  7. Erythrocyte

    Maranja Masese atembelea kaburi la Lowassa. Akutana na familia

    Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Martin Maranja Masese, amekuwa Mtanzania wa kwanza kutembelea Kaburi la Edward Lowassa huko kijijini Ngarashi, Wilayani Monduli. Bwana Masese amekutana na Familia ya Lowassa na kuteta nayo Mambo kadhaa, ikumbukwe kwamba Maranja Masese ni miongoni mwa Team...
  8. M

    Picha: Rais Samia akutana na Papa huko Vatican

    Rais Samia Suluhu amekutana na Papa Francis mjini Vatican. Angalia picha hapa, VIDEO: TUKIO ZIMA LILIVYOKUWA Picha - Mwananchi Written by Mjanja M1 ✍️
  9. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri wa Nishati, Kapinga akutana na Kampuni za ETDCO na TCPM

    Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Kapinga akutana na Kampuni za ETDCO na TCPM #Awaasa kusimamia majukumu yao kwa weledi na kutekeleza miradi iliyokusudiwa kwa maslahi mapana ya nchi Dar es salaam Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga ameziagiza Kampuni za kutengeneza Nguzo za Zege Tanzania...
  10. Chachu Ombara

    Makamu wa Rais Dkt. Mpango akutana na Rais Samia Ikulu ya Chamwino

    Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amekutana na Rais Samia Ikulu ya Chamwino katika shughuli ya kupokea hundi ya msaada wa waathirika wa mafuriko ya Hanang ambayo mpaka sasa yamepelekea vifo vya watu 85. Ukimya wa Dkt. Mpango takriban mwezi mmoja ulizua sintofahamu katika mitandao ya kijamii...
  11. Erythrocyte

    Sugu akutana na Mzee Joseph Butiku, atoa ofa kwa Taasisi ya Mwl Nyerere

    Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi , amekurana na kuchota busara kutoka kwa Mwenyekiti wa Mwl Nyerere Foundation , Joseph Butiku , ambaye alifunga Safari kumtembelea Sugu Jijini Mbeya Watu hao wazito wamezungumza mambo mengi...
  12. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Kihenzile Akutana na Watendaji TCAA, Awasisitiza Kufanyia Kazi Hoja za CAG

    Naibu Waziri Kihenzile Akutana na Watendaji TCAA, Awasisitiza Kufanyia Kazi Hoja za CAG Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Mwakiposa Kihenzile (Mb) ameonana na watendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Anga (TCAA) wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Ndugu Hamza Johari. Naibu Waziri Kihenzile...
  13. Erythrocyte

    Nairobi: Tundu Lissu akutana na Madaktari waliopigania Uhai wake

    Ni dhahiri kwamba Wakati wa Shambulio lile la kishamba lililofanywa na watu washamba na Masikini wa akili, walioshindwa hoja za majukwaani, Lissu aliombewa na kutibiwa na Dunia nzima nzima, huyu mtu aliongezwa damu za Wachina, Wazungu na hata waafrica wenzake (Tunawashukuru wadau wote). Hata...
  14. Suley2019

    Rais Mwinyi akutana na Mtendaji Mkuu wa Makumbusho Oman

    Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi amekutana na Mtendaji Mkuu wa Makumbusho ya Taifa ya Oman, Jamal al-Moosawi na ujumbe wake Ikulu Zanzibar leo tarehe 10 Oktoba 2023. Rais Mwinyi amemkaribisha Jamal al-Moosawi Zanzibar katika kile kilichotajwa kuwa ni fursa za kuendeleza ushirikiano katika...
  15. SNAP J

    Macron akutana na Kansela Scholz jijini Humburg

    Mukhtasari wa kauli ya Kansela wa Ujerumani Scholz na Raisi wa Ufaransa Macron katika Franco-German meeting jijini Humburg #Ujerumani na Ufaransa inakemea vikali mashabulizi ya kigaidi ya Hamas dhidi ya Israel. #Ujerumani na Ufaransa wataendelea kuisadia Ukraine dhidi ya uvamizi wa Urusi...
  16. Erythrocyte

    Freeman Mbowe akutana na Martin Maranja Masese

    Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwa Mjini Zanzibar, amekutana na kijana wa kazi, muadilifu sana na kada mtiifu wa Chama hicho Maranja Masese. Masese na Mbowe wamepata wasaa wa kubadilishana mawazo na mikakati , hasa ikizingatiwa kwamba Oparesheni 255 inatarajiwa kuendelea Kanda ya...
  17. Stephano Mgendanyi

    Waziri Dkt. Ndumbaro Akutana na Waziri wa Michezo wa Misri

    WAZIRI DKT. NDUMBARO ATETA NA WAZIRI WA MICHEZO MISRI Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Vijana na Michezo wa nchini Misri Mhe. Ashraf Sobh Septemba 25, 2023 Jijini Cairo. Viongozi hao wamekubaliana kushirikiana baina ya...
  18. Erythrocyte

    Sugu akutana na Askofu Mwaikali. Ashiriki harambee ya Ujenzi wa Kanisa

    Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara wa kimataifa, Mwekezaji na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Bilionea Joseph Mbilinyi , leo amefika kwenye kanisa la KKAM , Parish ya Isanga na kushiriki Harambee ya Kanisa hilo. Sugu amechangia kitita kizito mno baada ya kushinda mnada wa kuku...
  19. benzemah

    Rais Samia akutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Posta Afrika, Ikulu, Dar es Salaam

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU) Dkt. Sifundo Chief Moyo Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 28 Agosti, 2023. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye ameshiriki katika...
Back
Top Bottom