uhai

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Tuache propaganda juu ya uhai wa Watanganyika

    TUACHE PROPAGANDA JUU YA UHAI WA WATANGANYIKA. Hakuna Taifa linalotuonea wala kutuingilia mambo yetu ya ndani kinyume na Sheria za Kimataifa. Yanayotupata leo yanatokana zaidi na ujinga wetu wenyewe, ukatili wetu wenyewe, na kushindwa kuwajibika kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya nchi...
  2. H

    JamiiForums Tanzania UTEKAJI: Ujasiri wa Bodaboda Umeokoa Uhai wa DJumbe, Funzo: Ujasiri Wetu Wote kwa Pamoja Utaokoa Wengi. Bodaboda Wapewe Tuzo.

    Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba kundi la watekaji lililoongozwa na mzanzibari, lilimteka msaidizi wa Lisu bwana DJumbe akiwa anaingia nyumbani kwake usiku saa 4. Baada ya Jumbe kupiga kelele, bodaboda wakaanza kulifuata gari la watekaji kwa nyuma. Mashetani hawa watekaji walivyoona...
  3. Hospitali ya Taifa Muhimbili

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu kifafa cha mimba: Dalili hatari inayoweza kuondoa uhai wa mjamzito

    Je, wajua kuwa kifafa cha mimba ni hali hatarishi inayoweza kuhatarisha maisha ya mama na mtoto ikiwa haitapatiwa matibabu kwa wakati? Dkt. Jofrey Marandu, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Kike na Uzazi kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, anaeleza kwa kina nini cha kufanya pale mjamzito...
  4. Infropreneur

    JamiiForums Tanzania Kumshukuru Mungu kwa zawadi ya "Uhai" Hakuzuii kifo. Ushukuru, Usishukuru, kufa kupo palepale

    Hakuna Mungu wa kuzuia wewe usife kwa kuwa unamshukuru kwa uhai! Hakuna Mungu wa kukulinda, kwa vile eti unamshukuru kwa uhai! Utakuta watu wanajipa matumaini uchwara ya kijinga, Eti..... "Ukiamka salama asubuhi, shukuru Mungu" "Ukienda kazini na kurudi nyumbani salama, Shukuru Mungu"...
  5. UTPC

    JamiiForums Tanzania Masoko ya Manispaa ya Morogoro ni kama yamegeuka kuwa mahame yasiyo na uhai wa kibiashara

    Unapofika kwenye baadhi ya masoko katika Manispaa ya Morogoro ni kama mahame au yamegeuka kuwa mahame yasiyo na uhai wa kibiashara uliotarajiwa. Badala kusikika kwa kelele za wanunuzi wakibishania bei, vicheko vya wafanyabiashara na harufu ya bidhaa mpya, unakutana na ukimya ‘unaosindikizwa’ na...
  6. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ulimwengu Umeundwa Mahususi kwaajili ya ku support Uhai kama mtu anavyotengeneza banda kisasa ili kuku wakae ?. Vita kali dhidi ya atheist Ep2

    ‎ulimwengu una mipangilio sensitive kama frequency ya redio ( ambapo ukibadikisha kidogo tu huipati channel hiyo ) ambapo kama ulimwengu ungekuwa tofauti kidogo tu hata kidogo sana uhai usingewezekana kabisa. ‎ ‎Mfano mmoja tu wa kuelewa: ‎Nguvu inayoshikilia atom pamoja inaitwa strong...
  7. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa uhai duniani

    Kwa mtazamo wa kisayansi, uhai utakuwa na mwisho. Si kesho wala baada ya miaka milioni, lakini fizikia inasema hakuna kitu kinachodumu milele. Hapa kuna “mwisho” 3 tofauti: 1. Mwisho wa Uhai Duniani - Miaka Bilioni 1 ijayo Jua letu linazidi kuwa na joto taratibu. Miaka milioni 500-600 ijayo...
  8. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Dunia ilikuwaje kabla ya uhai?

    Dunia kabla ya uhai ilikuwa sayari ya kutisha kabisa. Hakuna mtu angeweza kuishi hata sekunde. Hivi ndivyo ilivyokuwa ~miaka bilioni 4.5 hadi 3.8 iliyopita: 1. “Dunia ya Moto” - miaka bilioni 4.5 iliyopita Ilikuwa bahari ya miamba iliyeyuka. Uso wote wa dunia ulikuwa kama lava inayochemka kwa...
  9. Setfree

    JamiiForums Tanzania Mtoto aliyefariki, arudishiwa uhai baada ya kuombewa!

    Hili ni tukio la ajabu na kweli lililofanyika huko Congo miaka kadhaa iliyopita. Ilikuwa hivi: Mtoto mdogo aliumwa na nyoka mwenye sumu kali, akakata pumzi. Hakupumua kwa takriban masaa matatu. Kisayansi mtu asipopumua kwa muda huo mrefu, anapaswa kufa au kupata uharibifu mkubwa wa ubongo...
  10. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Hiki ndo kinachotokea sekunde ya kwanza uhai unapoanza

    🚨 Wanasayansi wamenasa picha ya wakati maisha yanaanza! Katika sekunde ile ile ya mbegu ya kiume inapokutana na yai (fertilization), mfululizo tulivu wa shughuli za kibiolojia huanza: mabilioni ya protini huanza kusogea na kupanga mifumo juu ya uso wa yai. Watafiti kutoka Massachusetts...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Madaktari, msiwaache wanafunzi kuona wagonjwa wakiwa peke yao, afya ya mtu haijaribiwi wakikosea inaweza gharimu uhai

    Kuna jambo ambalo halizungumzwi sana ila linatendeka sana, hili la wanafunzi madaktari wanapokuwa wapo kwenye mazoezi ni muhimu sana wakawa wanaambatana na madaktari wazoefu au walimu wao ili kuepusha hatari ya wao kufanya makosa kwenye mwili wa mtu. Nakumbuka kuna siku nilipeleka mtoto wangu...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi, enzi za uhai wake Kadinali Pengo alieleza mwenye wajibu wa kumzika angependa azikwe Pugu

    Wakati w auhai wake Kadinali Polycap Pengo alieza kuwa anatamani azikwe Pugu, mana ndiyo maeneo aliyokuwa akipenda kwenda kupumzika
  13. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania sijui tulimkosea nini Mungu, kutupa viongozi wenye roho mbaya isiyothamini uhai wa watu?

    Nchi yetu kuna kipindi huwa inapita kama kwenye tanuru la moto, yaani ni kama mfano wa Jehanamu la mateso ya watu Uchaguzi wa 2025, sitausahau mpaka nitakapoingia kaburini na sitawahi kutamka jema lolote juu yao wauwaji hawa Nchi yetu imejipata katika uongozi usiothamin hata uhai wa watu 29...
  14. M

    JamiiForums Tanzania CCM, inayotoa kibali cha kuteka na kunyang'anya uhai watu, ni nani Mpumbavu awasikilize?

    Laiti mngekuwa na hekima hata kidoogo kabisa, mlipaswa mnyamaze kabisaa hata uongozi wenu uiishe tuu ili tujue moja kwamba, tunapaswa Tuishi nanyi kwa kukwepana sana ili tunusuru uhai wetu Mnaisemea Rwanda eti haina Amani, Nchi ndoogo kama mji wa Dar-es-salaam Nchi ambayo GDP yake inaelekea...
  15. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Askofu Gwajima: Ilibidi Maaaskofu wetu wakimbie nchi kuokoa uhai wao

    Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amesema Kanisa halitayumbishwa wala kujadiliana katika masuala yanayohusu imani yake, akisisitiza kuwa yuko tayari kuisimamia imani hiyo kwa gharama yoyote. Akizungumza katika ibada ya kufunga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka 2026...
  16. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Uhai wako si Mali ya jumuia ni mali Yako binafsi. Ukifa kwa kujitakia utasahaulika na maisha yataendelea, acha kushiriki matendo maovu utakufa

    Binadamu mwenye akili hulinda nafsi yake dhidi ya kifo, huepuka vitu hatarishi vinavyoweza kumsababishia kifo. Acha kujihusisha na makundi hatarishi kama vile wapanga vurugu, wanaotaka kufanya maandamano yasiyo rasimi, kujihusisha na wizi wa Mali za watu, acha kushiriki kwenye upotoshaji wa...
  17. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu hapa Cyrus Shakhalaga Khwa Jirongo, aliyemtambulisha Rais Ruto kwenye ulimwengu wa siasa hadi ajali kukatisha uhai wake

    Jana Desemba 13,2025 Taifa la Kenya liliingia kwenye majonzi baada ya kumpoteza mwanasiasa mashuhuru na mfanyabiashara, Cyrus Jirongo maarufu CJ kwa ajali ya gari akiwa na miaka 64. Jirongo alifikwa na mauti kufuatia ajali iliyohusisha gari yake aliyokuwa akiendesha mwenyewe Mercedes-Benz...
  18. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Samia katangaza kutawala kwa upanga, karipio kwaa TEC maana yake uhai wa Watanzania hauna maana kwake

    GT Hali ya sasa nchini tanganyika kwa ukatili samia inasikitisha hata Magufuli hakuwa na moyo mbaya kiasi hiki juu ya uhai na maisha ya watu. Sasa tunajiuliza anaongoza ili iweje kama hata uhai wa wale anaowaongoza haudhamini. Yupo pale kwa ajii ya nini? Kifupi katangaza vita upya na raia...
  19. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wahadhiri wa Kiislam: Eti uhai wa watu ni bora zaidi kuliko mali, mmh! Hakuna mali ya mkatoliki iliyochomwa, zimechomwa za waislam na wakristo wengine

    Huyu Sheikh amempinga Dkt. Kitima kuwa uhai wa watu si bora kuliko mali, laiti zingechomwa mali za wakatoliki wasingesikia matamko kutoka TEC, ila kwa sababu mali zilizochomwa ni za Waislamu na Wakristo wa madhehebu mengine ndio maana matamko. Ameongeza kuwa kama mali za Wakatoliki...
  20. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kufuatia vitisho vya Masheikh Kwa TEC, Sasa kama ni Mbwai Wacha iwe Mbwai , Hatutaruhusu UHAI WA KIONGOZI DINI UKRISTO KUGUSWA, 9 Dec ni Maandamano

    Kuna Video inasambaa sana Kwa Kasi mtandaon, anaonekana MTU anayejiita Sheikh kwenye mkutano na Vyombo vya habari, AKIWATISHA MAASKOFU WA TEC. Sasa ni hivi, Mbinu yenu ya Kujaribu Kutisha Kanisa ili waingie kwenye huo upuuzi wenu wa MARIDHIANO, Umeshindwa. Hata mchochee Mpasuko wa KIDINI ili...
Back
Top Bottom