Kikosi Maalum (meaning "Special Force" in Swahili), also known as the Special Battalion or the grand coalition, was a militia of Ugandan exiles formed in Tanzania to fight against the regime of Idi Amin. The unit was founded by and loyal to former Ugandan President Milton Obote, and served as his de facto private army. It was commanded by former army officers David Oyite-Ojok and Tito Okello. Kikosi Maalum took part in the Uganda–Tanzania War, fighting alongside the Tanzanian military against Amin's forces. In course of this conflict, the militia was nominally unified with other Ugandan rebel groups, forming the Uganda National Liberation Army (UNLA) in 1979. After the fall of Amin's regime and Obote's return to power, Kikosi Maalum became the core of Uganda's new national army.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobass Katambi ametoa wito maalum kwa baadhi ya Wasanii na watu maarufu mitandaoni kwa kikao maalum ambapo amesema ajenda atakazojadili nao ni za kiserikali na zitajulikana kesho.
Kuptiia taarifa aliyotoa leo Septemba 1, 2026 Katambi amewataja wasanii...
Kwa mujibu wa TMZ, mwanamuziki mkongwe wa Marekani, Lionel Richie (77), amelazwa ICU huko St. Louis, Missouri, baada ya kufanya tamasha Agosti 29 katika Ukumbi Wa The Muny.
Richie alipelekwa hospitalini kwa ajili ya vipimo, huku madaktari wakichunguza uwezekano wa upungufu wa maji mwilini...
TAARIFA KWA UMMA
KIKAO MAALUM CHA KAMATI KUU YA CHADEMA
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinawataarifu wanachama, viongozi na umma kwa ujumla kuwa Kamati Kuu ya Chama itafanya kikao maalum kesho, Jumamosi tarehe 29 Agosti 2026.
Kikao hicho kitafanyika katika ukumbi wa Makao Makuu...
RC MARA KANALI MTAMBI ARIDHISHWA NA UTENDAJI WA MHE. GHATI CHOMETE (MB) - VITI MAALUM MARA
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Alfred Mtambi ameonyesha kuridhishwa na utendaji kazi wa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete.
Mhe. Kanali Evans Mtambi ameyasema hayo...
Moja ya picha zenye nguvu na zilizobaki kwenye kumbukumbu za wengi kutoka katika kipindi chote cha Vita vya Kimataifa dhidi ya Ugaidi (GWOT) ni hii hapa chini
Huyo hapo ni Senior Chief James “Jimmy” Hatch, mwanajeshi wa Navy SMU (Special Mission Unit) wa Marekani, dakika chache tu baada ya...
Habari za wakati huu wana JF, huu ni uzi mahususi kwa ajili ya kujuzana tetesi mpya za One UI 9.5 kwa kadri zinavyozidi kuvuja na kusambaa.
Ni takriban miezi mitatu sasa tangu Samsung walipoachia One UI 9.0 beta katika series za S26 katika baadhi ya maeneo.
Hata hivyo tukiwa tupo karibu kupata...
https://www.youtube.com/live/pMhiTp9NL64?si=xROoNvI7LdkavRdN
Mjadala wa PPP na Maendeleo ya Tanzania Waendelea Arusha
==
Mjadala kuhusu nafasi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) katika kuchochea maendeleo ya Tanzania unaendelea leo, Agosti 14, 2026, katika kongamano la Public...
Wabunge wameidhinisha Muswada wa Kenya Roads (Amendment) Bill, 2024, unaolenga kuanzisha njia maalum za waendesha baiskeli na watembea kwa miguu nchini.
Muswada huo, uliowasilishwa na Mbunge wa Samburu West Naisula Lesuuda, uliidhinishwa na Bunge la Kitaifa Alhamisi, Agosti 13, 2026.
Iwapo...
Mzee Mohamed Said anaielezea Marekani kama taifa lililopoteza nguvu zake na kushindwa vibaya katika mzozo wa sasa:
"Irani imedhibitishia dunia kuwa hawa Marekani ni chui wa karatasi".
"Marekani ameishiwa nguvu huwa ameishiwa silaha kipigo alichopata katika zile vituo vyake vemweka katika hali...
Kuna sisi tuna vibe la kibongo bongo pesa inatutembelea kwa wakati😅...
Tusivunge wakuu ,ebu tufanye kutamba 😆....
Japo nikidogo tu ila kuna namna tunaishi😇...
Bongo wanaoishi maishi ya kula bata kwenye yachi ya kifahari hawazidi 50 kwa sasa😅😅
Taarifa kwa UMMA Kuhusu Uandaaji wa Muswada wa Mfano (Model Bill) wa Kuongoza Mchakato wa Mazungumzo ya Maridhiano na Muafaka wa Kitaifa*
Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa (KKMK) inapenda kuufahamisha umma wa Watanzania, taasisi mbalimbali za kitaifa na kimataifa, wadau wa maendeleo...
Habari wakuu nimeona post moja huko mtandaoni kumhusu nikashawishika kupata taarifa kumhusu huyu muhubiri/mchungaji aliyekuwa anaitwa Moses Kulola,
Nasikia juu juu tu kwamba ni mchungaji ambaye alifanya mambo makubwa kipindi hicho,
Kwa wewe ambaye ulikuwepo kipindi hicho ni nini uliwahi...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Akiongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika Zanzibar Jumatano tarehe 29 Julai, 2026.
Kama wewe ni Mtumishi wa Umma na Umeomba uhamisho kutoka Taasisi Moja na kwenda nyingine basi tukutane hapa kwa ajili ya kupeana updates, najua kuna watu maombi yao yamefika Utumishi siku na miezi mingi imepita bila majibu basi tuzidi kupeana infos hapa ili kama wewe mwenzetu umefanikiwa...
TIMU ZITAKAZO SHIRIKI MSIMU HUU:
Arsenal
Aston Villa
Bournemouth
Brentford
Brighton & Hove Albion
Chelsea
Coventry City
Crystal Palace
Everton
Fulham
Hull City
Ipswich Town
Leeds United
Liverpool
Manchester City
Manchester United
Newcastle United
Nottingham Forest
Sunderland
Tottenham Hotspur...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.