computer

  1. NassoroTechtz

    JamiiForums Tanzania SAFARI YANGU: Nassoro Hemedi Kilimbite na Mapambano ya Nassoro TechTz – Huduma za Computer, Madishi na Mifumo ya Kidijitali

    Habari za muda huu Wakuu wa JamiiForums. Leo nimeona niingie mtaani kwenu rasmi. Jina langu ni Nassoro Hemedi Kilimbite, kijana wa kitanzania niliyezaliwa mwaka 2000. Mimi ni mmoja wa vijana wanaoamini kuwa teknolojia ndiyo mkombozi wa uchumi wetu wa sasa na chachu ya maendeleo kwa kila...
  2. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda State Withdraws Computer Misuse Charges Against Male Mabirizi, Files New Charges

    The Buganda Road Chief Magistrate's Court has dismissed four charges under the Computer Misuse Act against prominent city lawyer Male Mabirizi Kiwanuka, following guidance from the Director of Public Prosecutions (DPP). Presiding Chief Magistrate Ritah Neumbe Kidasa dismissed the charges after...
  3. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Future ya computer science au ICT ni kama imekufa

    Kufika 2030 nadhani kutakua na uhitaji hafifu sana wa watu waliosoma computer science. Kwanini? Integration ya AI imekuja kuharibu vitu vingi, na mbaya zaidi hatuwezi kuikwepa, miaka 10 nyuma watu walimeza code, syntax Kwa ajili ya kutengeneza website au application, sasaivi simple website...
  4. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda All Cases From Nullified Computer Misuse Law Must Be Terminated — Attorney General

    Uganda’s Attorney General, Kiryowa Kiwanuka, has directed that all criminal proceedings arising from the nullified provisions of the Computer Misuse (Amendment) Act be terminated following a ruling by the Constitutional Court. The directive follows a decision by the Constitutional Court of...
  5. jT0078

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza computer na kuuza spare

    LETE DESKTOP/LAPTOP ILIYO HARIBIKA TUKUTENGENEE PIA TUNAUZA SPARE ZA COMPUTER AINA ZOTE KAMA..... keyboard za Laptop/Macbook Battery za Laptop/Macbook Vioo vya Laptop/Macbook Hdd/Sdd Ram memory Housing za Laptop Wireless Keyboard & Mouse Usb wi-fi dong Tupo ilala - Dsm call; 0767953873 Whatspp...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Dogo ana Division 1.7; Mambo ya computer aende chuo gani?

    Nina mdogo wangu wa kiume kapata dvn 1.7 sasa hatujajua achague chuo gani. Yeye hataki kwenda advance.. Anapenda mambo ya computer ila sasa hatujui computer imegawanyika vipi na ipi ni nzuri zaidi. Pia je mwanafunzi anayetokea o level anaweza pata mkopo? ipi course nzuri ya computer...
  7. cocastic

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa masuala ya computer science na software engineering anahitajika

    Hey Wana JF Nina uhitaji wa mtu mwenye ujuzi wa computer science na software engineering. Awe na weledi katika masuala haya. Blogs, Apps, Logos designs, Wallpapers, Photography, Broadcasting Network. Muhusika mwenye sifa tajwa na mwenye utayari, naomba aje PM. kwa mawasiliano zaidi. .....
  8. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Natafuta battery ya dell computer

    Ni kikompyuta cha zamani dell xps 10.Mwenye kujua wapi naweza kupata battery yake anijuze.Natanguliza shukrani
  9. Manezra

    JamiiForums Tanzania Internship Opportunities for Computer Programmers

    CLICK THIS LINK TO APPLY
  10. jT0078

    JamiiForums Tanzania Natengeneza Computer na kuuza Accessories

    Kama una Laptop/Desktop mbovu na unahitaji fundi nichek. Pia nauza Accesdories za computer kama.. Battery za Laptop/Mac Keyboard za Laptop/Mac Chargers za Laptop/Mac Vioo vya Laptop/Mac Ssd/Hdd & Ram memory Housing za Laptop Softwares mbalimbali Tupo ilala - Dsm 0767953873
  11. P

    JamiiForums Tanzania Computer engineering vs Computer science

    Je,course ya computer engineering ina dili nchini au Africa kama ilivyokuwa computer science?
  12. Luca Paguro

    JamiiForums Tanzania Laptop nzuri for Computer Aided Design

    Naomba msaada wa laptop nzuri kwa ajili ya masomo. Software zinazotumika kwenye kozi husika ni CAD, baada ya kufuatilia Naomba msaada ni laptop ipi infaa kwa 800K hadi 900K mwisho Pia kuna mwenzangu anahitaji laptop for the same use, ila yeye budget yake ni 500K maximum Naomba msaada kujua...
  13. Prof_rutta22

    JamiiForums Tanzania Advance Your Career: Online Microsoft Office & Programming Courses – Certificate Included 💻

    Dear Professionals and Learners, In today’s competitive job market, strong computer skills are essential for career growth and business efficiency. DarITcare Training Centre (DTC) offers structured online courses designed to equip you with practical skills in office productivity and programming...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Natengeneza computer systems /Application

    Habari wadau, Nakuja kwenu kwa unyenyekevu mkubwa, Mie natengeneza mifumo ya computer .Nimefanya kazi ya kutengeneza mifumo kwa karibu miaka 20 sasa. Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane. Mifano michache: Asset Management Point of Sale Contract and Case Management HR management system Garage...
  15. Poor Brain

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa virus kwa computer anahitajika

    Wakuu virus hapana aisee mpaka sasa nimetumia 30000 ila bado an kuna huyu anaitwa KASPERSKY aisee anaficha file zangu hapa.. Anaficha file ambazo ukiweka tu flash hayaonekani mpaka u search. Hatua ya kwanza niliyofanya nilipiga window ila wapi.. Nipo katika hatu ya pili hapa ya kudownload ant...
  16. kingphisher

    JamiiForums Tanzania Mafunzo ya computer na IT

    Husika na mada tajwa hapo juu, mimi ni part-time-employed katika sekta ya IT. nina bachelor degree ya Business Information Technology. nimekuwa nikitoa mafunzo ya computer kwa ujumla na IT kwa wanaotamani kujua na kujifunza computer. kuna ambao hawajapata nafasi ya kusoma haya mambo ya...
  17. G

    JamiiForums Tanzania ACHA KU-INSTALL SOFTWARE KILA MARA UKIPATA COMPUTER NYINGINE/MPYA

    Huna haja ya kuinstall software kila PC Ama kama kila mara ku-install software ukibadilisha computer, Hata nikiazima PC ya mtu huwa natumia software zangu kama zilivyo Kuna life hack ya techies wengi ni PORTABLE APPS Portable Apps ni nini?shuka na hii article PORTABLE APPS Ni version za...
  18. tajiri wa fikra

    JamiiForums Tanzania Mr Electronics: Jipatie vifaa vya kielectronic kama Computer ,Sound Sustems, phone accessories pamoja na vingine vingi kwa bei ya Store

    Tunauza: 💻 Kompyuta (Desktop & Laptop – mpya & used) 🖥️ Vifaa vya kompyuta (keyboard, mouse, monitor, printer n.k) 🎧 Sound systems (speakers, home theaters, Bluetooth systems) 🔌 Accessories mbalimbali (USB cables, screen protectors, covers,adapter,Air pods,headphones n.k) ⚡ Vifaa vya umeme vya...
  19. Big Fat Lady

    JamiiForums Tanzania INAUZWA SSD zinauzwa @ 120,000/=

    SSD zinauzwa 512GB SATA Moja 120,000/= (zipo mbili) Zipo Mbezi beach Mawasiliano: +255625550108
  20. princeNathan

    JamiiForums Tanzania Kuhusu volunteer au Internship ya computer science

    Ndugu narejea tena naombeni nafasi ya kufanya internship au volunteer niweze kupata ujuzi zaidi mimi ni graduate nina masters of science in computer science umri miaka 28 ninauhitaji wa kufanya intern mkoa wowote. Mimi ni mtaalamu wa data science , Machine learning, AI, mobile app, data...
Back
Top Bottom