TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,989
- 22,062
Haya mambo nimekuja kuyajulia Dar, kwetu Bulongwa Makete Uislam hauko.
Ndugu zanguni naomba kujulishwa jinsi albadil inavyofanya kazi. Kuna MTU kaniibia kiasi kikubwa sana cha hazina yangu, sitaki afe ila nataka arudishe mwenyewe na wala asipatwe na wazimu maana najua karma ita ni haunt kama anavyoamini Pascal Mayalla Na Mshana Jr.
WEMA USIO MIPAKA, WEMA USIO KIFANI.
Ndugu zanguni naomba kujulishwa jinsi albadil inavyofanya kazi. Kuna MTU kaniibia kiasi kikubwa sana cha hazina yangu, sitaki afe ila nataka arudishe mwenyewe na wala asipatwe na wazimu maana najua karma ita ni haunt kama anavyoamini Pascal Mayalla Na Mshana Jr.
WEMA USIO MIPAKA, WEMA USIO KIFANI.