A designer is a person who plans the form or structure of something before it is made, by preparing drawings or plans.
In practice, anyone who creates tangible or intangible objects, products, processes, laws, games, graphics, services, or experiences can be referred to as a designer.
Karibu
Tunahusika na utengenezaji wa
*Mabango
*vipeperushi
*kadi za namba za simu
*Makava ya nyimbo
*Kadi za mialiko za kisasa
Njoo whatsapp Nehemix tz
Position: Creative Designer
Department: Marketing
Reporting Line: Head of Marketing
Duty Station: Dar Es Salaam
Industry: Sports Betting
Essential Function
The Creative Designer will be responsible for overall design, provide visual material for print and digital platforms. As a creative...
Mimi ni kijana wa miaka 28 Graduate wa Mzumbe Level ya Degree katika Chuo Kikuu Mzumbe Coures: Information Communication Technology with Business ( ICT-B).
Nimefanya kazi hii ya Graphics Designing kama Freelancer kwa zaidi ya Miaka Minne(5) kwenye Maeneo tofauti kama Vile Iringa, Mbeya...
Position: Graphic Designer and Social Media Officer
Employment Condition: Full Time Job
Gaini Company Limited (GCL) is among the leading Building Material and Hardware items sellers in Lake Zone, Dodoma and Dar Es Salaam regions. The company is now expanding to Southern Highlands and Northern...
Habari wana jF
Majina: Rashid
Jinsia: Kiume
Elimu: Diploma IT, Driving Certificate
Mahali ninapoishi: Dar Es Salaam
Natafuta kazi yoyote ya halali nje ya Field yangu ya IT, ili niweze kujikwamua na uchumi.
Nina Uzoefu Sehemu hizi
1. Graphics Designing and large Formating Printing Skills
2...
Habarini wadau,
Nimewakumbuka sana.
Anyways, kuna nafasi ya kazi na anahitajika Graphic designer and social media expert.
Vigezo :
1. Awe mwanamke
2. Asiwe na majukumu ya kifamilia
3. Muaminifu na asie muongomuongo
4. Awe tayari kujifunza new skills
5. Ajue kuzungumza kiingereza, akijua lugha...
Kama wewe ni web designer mzuri nipe ofa yako PM kwa ku-design website kama hii ya Findel International. Biashara yangu ni kama yao 100%.
Kitu ambacho sitataka kama wao ni huo mfumo wa malipo (payment integration)... kwa sasa sihitaji. Visit hiyo website kupitia link niliyokuwekea kisha njoo...
Leo katika pitapita yangu nimeona Mtanganyika mwenzetu kavaa Tshirt imeandikwa "Tunatangazwa bure Burj Khalifa", nikashindwa hata kupiga picha, hata kumpata kwa haraka sababu nilikuwa nadrive na wakwe zangu na taa ziliruhusu, kwa hiyo nikashindwa kabisa ila nimefarijika sana kwa ujasiri ule...
Wakuu nahitaji ushauri na pia maoni kuhusu hili,
Naitwa Eliud Novat naishi Dar es Salaam. Nina ujuzi wa kutengeneza logo na napenda sana digital designing lakini tangu nijue nina huo utaalamu sijawahi kufaidika chochote na kipaji hicho.
Je, nawezaje kukitumia kipaji hiki iwe fursa ya mafanikio...
Habari,
Nahitaji graphics design mwenye outstanding skills.
Requirements
1. Lazima awe na uzoefu na skills na software mbali mbali za design.
2. Lazima aweze kutafuta masoko / marketing na kufikia malengo.
3. Awe na ushirikiano na team members na kukamilisha kazi Kwa wakati.
Mashahara: 300k...
Kama umewahi kujaribu kuanzisha biashara wewe mwenyewe utakuwa unaelewa ilivyo ngumu kuanzisha biashara yenye mafanikio. Aina ya biashara unaweza kuanzisha ni nyingi mno, kiasi kwamba wengi huwa hawajui wanaanzia wapi. Tukiongelea creators kama graphics designers, wanapoanza huwa wanakubali kazi...
Hello,
I need two to three web developer ( WordPress Developer)
Requirements:
1. )You must have good design skills
2.) You must know how to use elementor
3.) Be able to do any project with wordPress
4.) I you some php will be added bonus.
5.) Currently not employed and available in Dar...
Sifa
Uwezo wa kuandaa matangazo ya video, animations, posters, banners, n.k
Moyo wa kufanya kazi ya kujitolea
Kituo cha kazi itakuwa Goba, Dar Es Salaam
Hata akitaka kufanyiakazi nyumbani kwake/kazini kwake ili Mradi malengo ya kampuni yatimizwe kwa- wakati
Mshahara ni TZS 300,000 kwa- mwezi...
Mwana Yanga SC Mwenge
Kama Designer Wetu aliishiwa Uzi si angesema tu tuliyonayo tumpe?
Mwana Yanga SC Ubungo
Huyu Designer Wetu na hivi ni Mchagga lazima tu atakuwa kabania Nyuzi na katumia Nyuzi kidogo ili zingine akauze na akajengee Kwao Moshi
Mwana Yanga SC Kawe
Huyu Designer Wetu kama...
GRAPHIC DESIGNER
Industry : Print /Digital Media Job Function : Art / Design
Job Experience Level : Mid Level
Minimum Years of Experience : 2-3
Minimum Academic Qualification : Bachelor
Job Summary
The purpose of this job holder is to create and develop communication material for MCL and...
Utangulizi
Glaness graphics and design inamilikiwa na Flydream Company Limited. Inahusika na huduma mbalimbali mfano kutengeneza flyers, banners, video editing, video shooting, T-shirt printing n.k
Tunatafuta mtu aliye tayari na uzoefu katika maeneo haya:
Sifa
1. Uwezo wa kutumia computer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.