moshi

Moshi Monsters was a British website aimed at children aged 6-12, with over 80 million registered users in 150 territories worldwide. Users could choose from one of six virtual pet monsters (Diavlo, Luvli, Katsuma, Poppet, Furi and Zommer) they could create, name and nurture. Once their pet had been customized, players could navigate their way around Monstro City, take daily puzzle challenges to earn 'Rox' (a virtual currency), play games, personalize their room and communicate with other users in a safe environment, although this has been disputed. Moshi Monsters officially closed on 13 December 2019.

View More On Wikipedia.org
  1. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Wizara ya Ujenzi Kampuni maskini ya Moshi iitwayo RockTronic ni ya kuipa tenda ya kujenga barabara ya Arusha-Moshi?

    Kuna kampuni inaitwa RockTronic ya Moshi mkoani Kilimanjaro imepewa kujenga barabara ya Arusha-Moshi kipande cha UsaRiver-KIA kujenga upya barabara tajwa. Miezi miwili sasa hata njia za Diversion kutoka Usa-Kikatiti hawajamaliza, kampuni haina vitendea kazi kabisa na wasafiri wakipita...
  2. Harrykany

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kazi Arusha mjini au Moshi mjini, Mimi nipo iringa

    Mimi ni kijana mwenye umri 28 nipo iringa ni fundi sofa na vitanda vya sofa kwa pamoja, najua kutumia cherehani na kukata vitambaa kwa jiri ya kushonea sofa, hivyo kama Kuna mtu anahitaji mtu wa kazi iyo naomba anitumie ujumbe, inbox kwa mawasiliano zaidi, hata kama ipo kazi nyingine yoyote...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Miili kuharibika kwa uzembe katika Mochwari ya Mawenzi (Hospitali ya Rufaa Moshi)

    Imekuwa ni tabia endelevu, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa MAWENZI. Watumiehi wake wamekuwa wakifanya kazi kwa mazoea katika idara zote kwanzia Emergency hadi Mochwari. Chumba cha kuhifadhia maiti kimekuwa kama Biashara, Bila Pesa ya Hongo basi Miili inakuja chukulia na ndugu ikiwa imeharibika mnoo...
  4. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Moshi, kati ya Manispaa Chache Chafu Zaidi Tanzania Bara!

    Manispaa ya Moshi iliyopo mkoani. kilimanjaro inayoongozwa na Mbunge wa CCM-Ibrahimu Shayo, Meya wa CCM ndugu Kidumuyo, RC naDC wa CCM ndio manispaa chafu zaidi kwa sasa. Kipindi CHADEMA wakiwa na mbunge Ndesamburo na Mayor Ray Mboya , ndio manispaa iliyokuwa safi zaidi Tanzania na Afrika...
  5. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Arusha na Moshi kuna shida gani hasa kiroho?

    Matukio mengi ya kutisha na kushangaza mkoani Arusha yanatafsiriwa na jamii kwa mitazamo miwili tofauti imani za kiroho/giza (kama vile ushirikina na laana) na sababu halisi za kijamii na kisaikolojia. Mkoa wa Arusha umekuwa ukigonga vichwa vya habari kwa matukio ya ukatili uliopindukia...
  6. The lastborn9319

    JamiiForums Tanzania Nimefika Moshi nimezunguka club zote maarufu toka juzi hakuna warembo kwenye club zao

    Dah,yan nimefika Moshi nimezunguka club zote maarufu toka juzi Moshi pazuri,grand nolasco,redstone,amuz,..lakini club hazina pisi wala nini..yan tunawashinda, hata Njombe,nenda club zetu nenda Mwechimupya,nenda Emirates makambako,nenda sundowns,HD,unakutana na pisi kali..nenda mwendo wa ngiri...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Dada yangu alipata ajali ya gari, hali ya hewa inamtesa kiafya, ameomba uhamisho Moshi DC amenyimwa

    Naomba msaada kwa ajili ya dada yangu, ambaye ni mtumishi wa umma kwa sasa. Anapitia hali ngumu sana kiafya na kiutumishi, na hadi leo hajapatiwa msaada unaostahili. Alipata ajali mwaka 2024 mwezi Oktoba akiwa anafanya kazi katika kiwanda cha vyombo vya plastiki Kibada, Kigamboni, ambapo mkono...
  8. BARDIZBAH

    JamiiForums Tanzania Leo nimepakumbuka Moshi Technical Secondary school

    Leo nimekumbuka sehemu ambayo ilitengeneza vijana wengi kuliko ilivyotengeneza majengo... Moshi Technical Secondary School. Kuna shule ambazo unaondoka na cheti tu, lakini kuna shule unaondoka na kumbukumbu zinazokufuata maisha yote. Wapo waliokuja wakiwa watoto wakarudi majumbani wakiwa...
  9. figganigga

    JamiiForums Tanzania Angalia Polisi anavyo simama kwenye Moshi wa Bangi wala hapigi chafya, eti ni Ukakanavu

    Wakati wenzake wamevaa barakoa na wamesimama pembeni ya moshi, Polisi yeye kuonesha ukakamavu, kasimama kwenye moshi wa bangi bila hata barakoa🤣🤣🤣 Tukio hili limetokea wakati Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu likiteketeza shamba la bangi lenye ukubwa wa zaidi ya ekari moja katika Kijiji cha...
  10. PSEUDOPODIA

    JamiiForums Tanzania Nendeni Kilimanjaro International Leather Industry (KLICL) pale magereza moshi mkanunue mikoba original ya ngozi, acheni kuchezea pesa za watanzania

    Unaenda kununua mkoba wa milioni 13 wakati mna kiwanda kinatengeneza mikoba ya ngozi original pale moshi. Unapata mkoba safi wa ngozi hapo hapo unatangaza bidhaa za nchi yako. Hivi huko vyuoni mnaendaga kusoma nini?
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Taasisi ya Kahawa, TACRI Moshi malipo yanachelewa na wengine kutokulipwa kabisa

    Wafanyakazi hatulipwi kwa wakati na wapo walioingia kazini Nov. 2025 hawajalipwa mpaka imebidi waondoke na ni vijana waliotoka chuo, wanaishije? Alikuja Mkurugenzi wa land planning somebody Mdeke aliahidi kufanyia kazi ila hamna lolote lililofanyika. Kama hawatawaajiri kama waliavyowaahidi basi...
  12. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania LATRA toeni ufafanuzi kuhusu nauli wanazotoza mabasi ya costa ya Moshi kwenda Arusha

    Niwaombe mamlaka ya LATRA waingilie kati maana costa za Moshi Arusha wamejipangia nauli wanavyo taka hii imekuwa ghali kuliko. Naomba Latra wafuatilie hili au wapange nauli halali kama inavyo takiwa. Shukran
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO ATM za Equity Tawi la Moshi ni majanga, hela hazitoki, baadaye ukirudishiwa hawarudishi tozo walizokata

    Kuna kero kubwa kwenye ATM za Equity Tawi la Moshi, mwezi wa pili sasa, ukitoa pesa inaonekana umetoa na SMS inakuja kuwa umetoa, na tozo zote unakatwa, cha ajabu hela haitoki na ukiuliza unaambiwa jaza claim form pesa itarudi baada ya saa 24. Baada ya hapo pesa inarudi ileile uliyotoa ila zile...
  14. masai dada

    JamiiForums Tanzania Sehem nzuri za kuenjoy/kupumzika moshi /Arusha naziomba

    Nina miaka takribani mitano Huwa napita tu moshi na Arusha nikienda kwa kasongo Sijawahi kaaa kwa zaidi ya siku moja Pasaka hii yote nitakua huko...nahitaji kujua hotel nzuri na tulivu kwa Arusha au Moshi kwa ajili ya kupumzika na ku enjoy... ...inbox ipo wazi kwa review ili tusiaribu...
  15. M

    JamiiForums Tanzania MUWSA kutoa Sh Milioni 2 kwa watakaotaja wezi wa mita za maji Moshi

    Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mjini Moshi (MUWSA) imeeleza kuwa katika kipindi cha mwezi Januari hadi Machi mwaka huu, mita za maji 266 zenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 37.2 zimeibwa hali inayopelekea hasara kwa mamlaka hiyo na usumbufu kwa wateja wake. Hoja ya wizi wa...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Wizi wa Mita za Maji Moshi unaendelea, wanaoiba wanapeleka wapi? Bora Mita zikae ndani ya uzio

    Ndugu zangu tunaomba hili suala la meter za maji kuibiwa Moshi likomeshwe, hili jambo nilikuwa naliona kwa wenzangu kila mara mitaa yao wanaibiwa meter lakin asubuhi ya leo nimekuta mita kama tano zimeng'olewa eneo ninaloishi. Hili jambo napata mashaka makubwa sana wahusika wa hili tatizo...
  17. Mributz

    JamiiForums Tanzania Toyota hiace inauzwa moshi

    Engine 3L disel Njoo ukaanze biashara 0718909429 Moshi
  18. Inside10

    JamiiForums Tanzania Same: Mbunge wa Moshi Mjini, Ibrahim Shayo(CCM) anusurika kifo baada ya gari lake kupata ajali katika msafara wa Waziri Mkuu

    Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini, Ibrahimu Shayo, amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka mara kadhaa na kutumbukia korongoni katika eneo la Kirinjiko, Wilaya Same, mkoani Kilimanjaro. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, ajali hiyo ilitokea wakati akiwa kwenye ziara ya...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Moshi: Mahakama yatoa ahirisho la mwisho kesi ya makosa ya mtandao ya Mchungaji Malisa

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imeahirisha usikilizwaji wa mashahidi wa upande wa mashtaka katika kesi ya makosa ya mtandao inayomkabili Mchungaji Godfrey Malisa, baada ya mshtakiwa kuomba kuahirishwa kwa shauri hilo akisubiri msaada wa kisheria kutoka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)...
  20. rich1

    JamiiForums Tanzania Kero ya Moshi kwenye ofisi yangu kutoka kwenye jiko la chips na mishikaki.

    Habar wandugu..... Pemben na ofisi yangu imeanzishwa biashara ya kuchoma nyama na chips, naomben njia ya kukwepana na kero ya mosh kutoka kwenye majiko.
Back
Top Bottom