natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DR HAYA LAND

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Ajira , je una una maoni Gani kuhusu hili swala?

    Maoni yako , tafadhari. Je ni sahihi kumkimbia mwanamke ambaye ushamlipia mahari na ukamuachia na ujauzito au kwa jina maarufu Mimba .?.. Natafuta Ajira
  2. Jofreyma

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nafasi ya Credit Officer - Tabora

    Habari wakuu, Jina langu ni Jofrey, nina uzoefu katika masuala ya ukopeshaji na huduma kwa wateja. Natafuta nafasi ya Credit Officer au Loan Officer hapa Tabora. Niko tayari kuanza kazi mara moja na nina uwezo wa kufanya kazi chini ya pressure. Nipigie: [0740 490 386, 0612945593 au watssap...
  3. Smooth Criminal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke maridadi

    Awe na umri wa miaka 19 mpaka 24, awe Christian, asiwe na mtoto. NB: awe anajua kucheza draft na pool table, hii ni kwa faida ya watoto watakaozaliwa
  4. Holota

    JamiiForums Tanzania MAISHA YAMEBANA WAKUU, NATAFUTA KAZI YOYOTE YA HALALI

    Habari wakuu, Naomba msaada wa connection ya kazi yoyote halali, hasa kwenye viwanda, maghala, site za miradi au sehemu yoyote yenye uhitaji wa wafanyakazi. Nina Degree ya Finance lakini imekuwa ngumu kupata nafasi ya kazi ya fani yangu, hivyo kwa sasa niko tayari kufanya kazi yoyote ya halali...
  5. Eswa

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya kusimamia Airbnb, Lodge, Camp Lodge na Hotel.

    Habari za Jumapili.? Kama heading inavyojieleza hapo, Ninao uzoefu wa kusimamia na kuendesha Airbnb na Hotel (3*) na kwa uzoefu huo ninaweza kusimamia na kuendesha Lodge na Camp Lodges pia. Nipo Zanzibar lakini ninaweza kuhama na kurudi Bara kama nitapata kazi huko. Kwa sasa nilipokuwa...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya saidia fundi

    Habari wakuu natafuta kazi ya kulipwa iwe kibarua au saidia fundi wa ujenzi, umeme, kuweka VIGAE au kupska rangi na nk, Mimi ni kijana wa kiume. Nipo Kanda ya ziwa elimu 2 ujuzi nipo nao pia wa kufanya usafi mazingira ya nje na ndani naombeni kazi? Waeshimimwa wakuu🙏
  7. American nigga

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kunguru! tsh 7000 kwa kila mmoja

    Kama kichwa kinavyojieleza natafuta kunguru mzima, kama upo dar es salam wasiliana nami. dm ahsanteni.
  8. Bei rahisi Electronicks

    JamiiForums Tanzania Wakuu Nina shida ya buku

  9. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Natafuta tretka right hand drive

    Kwema wanajamvi! Ebana watu wangu natafuta kununua trekta right hand drive (RHD) na yenye airbags. Huu msimu wa masika umefanya vizuri sitaki unipite kizembe kwenye kilimo. Please kama unafahamu nijulishe. Nahitaji sana. Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa. adriz de mbusii
  10. A

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi

    Habari, jaman natafuta kaz hata ya uwakala, au dukani, nimechoka mimi.. naishi Sinza, Dar es salaam
  11. zee_latown

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta ajira, usimuamshe aliyelala, utalala wewe

    Kwema wote umu MMU? nipo free muda huu na nikajikuta nakumbuka mengi yaliyowahu kutokea kwenye maisha yangu... kaka ynagu natafuta ajira anatumia juhudi nyingi kuandika nyuzi katika kuwaamsha vijana wajinga wa kitanzania... na hilo ni jambo jema kabisa na la kuuungwa mkono Lakini, je hao vijana...
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke wa kuoa

    Habari za wakati huu.... Najua mabinti / wasichana / wanawake waliomo humu ndio hao hao tunaoishi nao mitaani hivyo wazo langu la kuoa nimelileta hadi humu pia japo na mtaani na lifanyia kazi zaidi huku nakumwomba Mwenyezi Mungu maana mke mwema anatoka kwake.. Mimi ni kijana mwenye miaka 28...
  13. warzone

    JamiiForums Tanzania Natafuta kifaa kama hiki cha OBD ii

    Natafuta kifaa kama hiki cha OBD II Kwa mwenye nayo aniuzie,nipo Dodoma
  14. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Natafuta mkulima wa nyanya kuanzia heka moja na kuendelea

    Kama unadeal na ukulima nyanya Naomba nicheki kwa 0713 039 875 tufanye biashara
  15. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kijana wa Insurance

    Habarini wakuu, Natafuta kijana au mtu yeyote aliyesomea Insurance (level yoyote), ambaye kwa sasa hana kazi lakini ana motivation, nidhamu, na utayari wa kufanya kazi kwa juhudi. Nina mpango wa kusajili Insurance Agency, hivyo nahitaji mtu sahihi atakayenisaidia kuanzisha na kuendesha...
  16. American nigga

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwekezaji wa Milioni 10+ Kwenye Crypto Trading. Mtaji Unakaa Kwenye Akaunti Yako (Self-Custody). Lengo: Hadi Tsh 500,000 kwa Siku

    Natafuta mwekezaji kwa ajili ya ushirikiano wa kibiashara kwenye masoko ya kifedha (Crypto) kupitia mfumo wa "Quantitative Trading". Kikwazo kikubwa cha uwekezaji mtandaoni ni usalama wa mtaji. Kuondoa hili, katika ubia huu, hutakabidhi mtaji wako kwangu. Usalama wako ni 100% kwa sababu mtaji...
  17. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta used marine board

    Habari wakuu. Nahitaji used marine board, piece 40. Niko Dar Mbezi Juu.
  18. Tommy 911

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina BSc Chemistry

    Habari Wana jf. Mimi ni mwajiriwa kutokana na maslahi madogo natafuta kazi field ya chemistry. Nina uzoefu kwenye steel industry mwaka mmoja na nusu.
  19. Mzee Wa Kuchumila

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwekezaji tufanye utafiti wa dhahabu kwenye shamba langu

    Wakuu rejea kichwa cha habari hapo. Nina tafuta mtu aliye tayari tufanye utafiti wa kuchimba dhahabu kwenye shamba langu. Jirani na shamba langu Kuna mgodi unaendelea, hivyo na Mimi naitaji kuanza kuanza utafiti. Aliye tayari aje inbox tuwasiliane. Location ni kanda ya ziwa mkoa wa Mara.
  20. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta Gari used Missubish Rosa au Nissan Civilian kwa ajiri ya biashara ya daladala

    Ndugu zangu kuhangaika hakuishi, mwenye connection ya mahali napoweza kupata gari nzuri kidogo ambayo ni ktk hali ya Used hapa Bongo. Nataka nijilipue kwenye biashara hizi pasua kichwa za Daladala Ktk utafiti wangu wa swali naona kama Nissan Civilian au Mitsubishi Rosa itanifaa.. Tuwekane Sawa...
Back
Top Bottom