Iwe na Engine 4A, 5A na Automatic Gearbox (manual tutaongea)
Iwe imetunzwa vizuri hasa body liwe limenyooka
Namba yeyote lakini bora zaidi kuanzia B, C, D
Iwe popote tanzania iweze kufika Dar hata kwa gharama yetu
Bei ni makubaliano kulingana na hali ya gari
Habari ndugu!!! Naitwa James patrick nina miaka 28 naishi mbezi beach africana..elimu yangu ni form four niliyomaliza 2019 mbagala sec school...baada ya kuhitimu masomo yangu sikufanikiwa kuendelea kwa sababu ya kifamilia,ilipofika 2014 nikajiunga na chuo cha udereva veta nikafanikiwa kupata...
Habari Wana Jf,
Mimi ni binti wa miaka 27 nimesoma diploma ya uhasibu na tangu nimemaliza sikubahatika kupata kazi zaidi ya kufanya biashara ndogo ndogo nazo zimekufa kwa kukata mtaji.
Sina familia yakuitegemea labda ningeweza kuomba mtaji hivyo nawaomba ndugu jamaa na marafiki wa humu Jf kwa...
Habali wakuu?
Poleni kwa mishemishe za hapna na pale.Mimi natafuta college za nje ili niweze kuapply sabab binafisi natamani sana kwenda nje hii ni ndoto kubwa ktk maisha yangu ambyo nilijiwekea.
Nimejalibu njia nyingi lkn bado sijafanikiwa nikaona ngoja nijalibu kwa upande wa elimu. Mimi...
Wadau natafuta chumba cha kupanga kwa wiki mbili maeneo ya kinondoni.
Mi ntakua dar kikazi Tar 27 March - 08 April, hivyo chumba kiwe furnished.
Maeneo ya kinondoni, au karibu na town.
Whatsapp +48519634862
Niaje katika jukwaa hili…
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 39, natafuta rafiki wa kiume mwenye umri wa miaka 40-50 tu.
Vigezo:
Awe single (Mgane/ Mtalaka)
Awe Mkristo (Msabato atapewa kipaumbele)
Lengo la vigezo, sitaki mume wa mtu maana sitakuwa huru naye. Pia nahitaji Mkristo maana...
Jamani huu wimbo I was dedicated by my first boyfriend in 1994. I used to sing all of the verses. Lakini si unajua Kingereza cha kadarasa ka pili A, unaimba chochote ili mradi u rhyme, 🏴 ENG yenyewe ya Jamaica 🇯🇲
Habari zenu wakuu mimi ni fundi umeme natafuta kazi, kama Kuna fundi ambaye naweza fanya nae kazi naomba niwe nae, au kama Kuna mtu anaweza kuniunganisha kiwandani au kwenye sekta yeyote Tanzania bara au kisiwa popote pale nipo teyari
Contact 0712046672
Habari wakuu.
Nina tatizo la kutokwa sana machozi nikiwa sehemu za baridi, na pia pua zangu zina tatizo la kitaalamu linaitwa Rhinorrhea (runny nose) pua zinakua zinatoa makamasi mepesi nikiwa sehemu za baridi.
Tatizo la kutokwa na machozi na makamasi pia hunipata nikiwa nakula chakula...
Habari wakuu?
Mimi nimejifunza ufundi magari na kazi nishaweza changamoto yangu ni kuwa kwa sasa Sina sehemu ya kufanyia kazi mana kunasehemu nilikuwa nimejishikiza ila kwa sasa hii sehemu ishafungwa kutokana na fundi mkuu kushindwa kulipa Kodi kwahio naomba Kama kuna fundi mechanics anahitaji...
*Hello Wana JF,
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Natafuta mke wa kuoa, Ni mwanaume mwenye umri 37, dini mkristu, nimejiajiri, sina mtoto, situmii kilevi chochote,Ila nimpambanaji
Sifa ya mke ninaye mtaka.
~ Awe na umri 28-30.
~ Elimu siyo kipaumbele changu.
~ Dini yeyote
~ Kabila...
Mimi ni binti wa miaka 27,natafuta rafiki wa kiume.
SIFA NILIZO NAZO.👇
Mimi ni mweupe, mrefu, mwembamba kiasi, elimu ya kawaida, mfanya biashara.
SIFA ZA RAFIKI WA KIUME ANAYE HITAJIKA👇.
(1)Awe mrefu
(2)Rangi yoyote.
(3)Dini awe mkristo au mwislam.
(4)Elimu form four kuendelea.
(5)umri...
Amani iwe nasi Watu wa Mungu.
Nimerudi Tena Ndugu yenu, Bado sijabahatika kupata KAZI/kibarua.
Nimeandamwa na madeni ya Kodi, service charges na madeni mengi ninapoishi.
Naomba mwenye kunisaidia kibarua hata saidia fundi, nitashukuru sana.
Naishi Dar es salaam, Elimu kidato cha 6.
Mbarikiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.