natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Natafuta Apartment DSM: Ghorofa, AC, Jiko <300K

    Nataka ni sake apartment kabisa, hiyo 200k sio shida tena kwangu. Labda ni waambie tu. Mazingira unayoishi yanaku shape in subtle ways ambazo wewe mwenyewe huwezi kujua Nataka ni sake apartment, Wajuvi ni ipi bei chee kwa DSM na iwe below 300k yaani iwe ghorofani, iwe na air condition, na...
  2. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Hawa wakuu Natafuta Ajira,Xi jinping na wakuu wangu wengine wamefika bei?

    Najiona tumebaki wawili ama watatu tu kwenye hii vita ya kusema ukweli pasina kupindisha maana tunaamini katika kweli maana kweli humuweka mtu Huru Daima. Nashangaa sioni thread tena za wapigania kweli Hawa Xi Jinping Natafuta Ajira na wengine. Je mmekubali pesa za single mother? Pesa Chafu...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalamu wa IT mbobezi nataka tufanye kazi

    Awe kijana na mwenye uwezo mkubwa wa kutumia Computer anicheck DM tufanye kazi maana nimepewa kazi halafu sijampata mpka sasa mtaalamu
  4. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta Variable Frequency Drive

    Habari wadau, Ninatafuta kifaa ambacho kitaweza kunibadishia umeme single phase kwenda three phase kwa ajili ya mashine ya kusaga. Mahala kulipo na mashine hakuna umeme mkubwa, upo wa kawaida wa matumizi ya nyumbani. Kwa anaejua napoweza kupata hiki kifaa ambacho kinaitwa variable frequency...
  5. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi hata kuuza duka nimesomea ufundi mitambo (mechanical engineering) mkoa wa dar es salaam

    Naomba kazi yoyote halali, nipo mkoa wa dar es salaam
  6. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta fundi wa kutengeneza hydraulic tile press

    Nahitaji fundi/mtaalamu wa kutengeneza mashine ndogo ya hydraulic press kwa ajili ya kutengeneza vitofali vya cement. Vipimo/mahitaji: Hydraulic jack: 30 Ton Kitofali kimoja kwa kila press Ukubwa wa tile: 300 × 100 × 18 mm Mould: Steel mould inayoweza kutoa tile kwa urahisi (ejector/removable...
  7. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Mkazi wa Mbezi, Dar es salaam. Natafuta kibarua

    Mimi ni kijana wa kiume naishi Mbezi, magari saba. Natafuta kazi yoyote halali inayofundishika.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalam wa Saikolojia ushauri nasaha

    Habari za wakati ndugu zangu, Poleni sana na mahagaiko katika upambanaji wenu , wakuu Niende kwenye mada yangu natafuta mtaalam wa Saikolojia ushauri nasaha wanapatikana wapi? Maana napitia magumu sana wakati huu mbele sioni naona Giza tu sielewi Kazi Sina, elimu nimeishia la saba, mausiano...
  9. sanzy

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi

    Habari wakuu Mimi ni kijanaa mwenyewe umri wa miaka 28 mkazi wa chalinze . Nina uzoefu katika nyanja za Sales and marketing, Security, waiter na kuprint. Naombeni sana sana wakuu wajukwaa mnisaidie kazi , nipo willing kufanya kazi yeyote na mahali popote , pendekezo ni DSM na Arusha...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi Songea

    Vijana wenye nguvu ,akili , jitiada tusio chagua kazi mkoa wa Ruvuma , kila pande tunakwenda kufanya kazi kikubwa malipo tuu ivyo kazi yeyote hali tupo vijana wenye umri wa miaka 23 ivyo tunataka kutumikia jamii na taifa namba 0762472799 Email mustaphakomba2003@gmail.com
  11. kijiwesports

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya ufundi

    Mimi ni kijana wa kiume niko mbele yenu wanajukwaa kunisaidia kupata kazi hasa za ufundi mimi ni mtaalam wa fundi selemara , fundi wa kuchomelea na kuunga vyuma na fundi aluminiamu lakini pia nimesoma graphic designer kama kuna taasisi au mtu binafsi naomba unishike mkono kutoka na fani zangu...
  12. Secret Star

    JamiiForums Tanzania Natafuta Business Partner Kwa Mtaji wa TSh 100M Tunaweza Pata faida ya TSh 300M hadi Tsh 350M kwa Mwezi.

    Natafuta partner nitashirikiana nae kwa ajili ya mradi wa kidigitali ambao tayari upande wa technology umekamilika 90%. Sitaki kuweka details za biashara yenyewe public kwa sababu za kulinda concept na strategy yake. Ninachotafuta ni partner mwenye uwezo wa kufadhili na kusimamia upande wa...
  13. Tumbili in town

    JamiiForums Tanzania Natafuta msichana wa kuwa naye

    Andika umri wako na mahali ulipo. N.b usizidi miaka 22 N.b kama single mother uwe mzuri N.b ujue nahitaji nini kwenye mahusiano N.b ujue kupenda N.b nitakupenda na kukujali
  14. P

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya Stationery na uzoefu nayo zaidi ya miaka 5 Niko Mwanza

    Habar za wakati huu, Samahan Mimi ni Kijana mchapakazi na muaminifu. Niko Mwanza nina miaka 30. Natafuta kazi yoyote ya halali, Nina ujuzi mkubwa wa kutumia computer pamoja na ufundi upande wa software. Pia na ujuzi wa kazi za Stationery mambo ya online application, kazi, mikopo ya wanafunzi...
  15. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania vitabu adimu , Navipata wapi? Mnunulie kijana wako w chuo.

    Wakongwe wenzangu naombeni mwenye vitabu hivi soft copy anitumie dm au kama ni hard copy basi mnijuze vinapopatikana. Ukisoma hivi vitabu unapanua uelewa kama Lissu , Mshana JR, Khalifa na Jenerali Ulimwengu. Kitabu kipi bado hujasoma kati ya hivi? 1.Salamu toka kuzimu (Ben Mtobwa) 2.Tutarudi...
  16. Secret Star

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanasheria Anaejielewa Haraka iwezekanavyo Dar Es Salam

    Habri wakuu, natafuta mwanasheria Mzuri wa mikataba bora ya kibiashara, kampuni aliyeko Dar es salam, kwa anaefahamiana na mwanashieria mzuri naomba unitumie mawasiliano yake DM. Asanteni sana
  17. Ngunya1

    JamiiForums Tanzania Natafuta rumion

    Habari wakuu natafuta rumion iwe kwnye hali nzuri sana bajeti yangu haizidi 12 million kwa mwenye nayo karibu PM
  18. the big fish

    JamiiForums Tanzania Natafuta Bampa la mbele la Chaser Avante/GX100

    Natafuta bampa liwe jipya au used la gari aina ya chaser avante au gx 100 mwenye nalo tuwasiliane Natanguliza shukrani...
  19. Exformer

    JamiiForums Tanzania Ona wasifu wangu, natafuta kazi/internships kwenye NGOs, CBOs N. K

    EDUCATION : BA in Community Economic Development (BA-CED) - 2022 EXPERIENCE : 2+ working in international NGO World Vision Tanzania (DODOMA&KIGOMA) FIELD: Community Engagement Officer and Resilience and Livelihood Officer (bith internships) SKILLS : Data collector/Enumerator under different...
  20. True Man11

    JamiiForums Tanzania Natafuta wafanyakazi wa saluni ya kike

    Habari za majukumu, nimefungua salon mpya ya kisasa ya kike ambayo nalenga kutoa huduma zote za urembo wa kike kama vile, kusuka make-up facial Kupaka rangi kuosha miguu na nyinginezo nyingii salon ipo kimara suka - dar es salaam, kama wewe ni mjuzi wa hizo huduma au unafahamiana na mtu...
Back
Top Bottom