nyumbani

The Nyumbani Children's Home was founded by Father Angelo D'Agostino and Sister Mary Owens in 1992 to serve mostly abandoned children created by the AIDS pandemic. Since then, three more programs (Nyumbani Village, Lea Toto and Nyumbani Diagnostic Laboratory) have been added to the organization.

View More On Wikipedia.org
  1. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Uko nyumbani ghafla Mtu anaanguka, hapumui vizuri au anavuja damu, utafanya nini?

    Watu wengi hudhani huduma ya kwanza ni kazi ya madaktari pekee. Lakini ukweli ni kwamba dakika za kwanza kabla ya hospitali kufika zinaweza kuamua maisha ya mtu. Fikiria hali hizi: 🔥 Mtoto ameungua maji moto 😮‍💨 Mtu amekabwa na chakula 🩸 Ajali imesababisha kutokwa damu ⚡ Mtu amepigwa na umeme 🧠...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kwa Sisi Watibeli mtoto chini ya miaka sita anafundishiwa Nyumbani

    KWA SISI WATIBELI MTOTO CHINI YA MIAKA SITA ANAFUNDISHIWA NYUMBANI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Iko hivi Sisi watibeli foundation ya mtoto ni miaka 0(akiwa tumboni) mpaka akifikisha miaka 6/7. 2. Foundation hii mtoto wa Kitibeli atajengewa msingi wa a) kiafya ya mwili kuanzia Lishe...
  3. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Ni tukio/kituko gani ambacho alifanya dada yako wa kazi hapo nyumbani hutosahau?

    Salute! Nafahamu kwa sababu mbalimbali watu wengi tunapenda kuishi na dada wa kazi majumbani mwetu Wapo watu wengi ambao wamekutana na Mikasa mbalimbali kutokana na dada hawa wa kazi. Je ,ni kituko gani uliwahi kukutana nacho kutoka kwa dada wa kazi?
  4. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Dharura ikitokea Nyumbani leo Je, utaweza kuokoa Maisha au utapanic?

    Fikiria mtu amezimia ghafla. Mtoto amekabwa na chakula. Mtu ameungua moto jikoni. Au ajali imetokea mbele yako… 👉 Ungejua hatua ya kwanza kufanya? 👉 Au ungeanza kuchanganyikiwa kwa hofu? Ukweli ni kwamba watu wengi hupoteza muda muhimu sana kwenye emergencies kwa sababu hawana elimu ya...
  5. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Hivi Pombe za kunywea nyumbani hazipandi

    Walevi naombemi majibu bila makasiriko maana wapiga bapa huwa hawapendi kuitwa walevi Hivi pombe za kunywea nyumbani huwa hazipandi mpk utoke uiache familia ukazungukwe na bar maids na kundi la walevi ndo mzuka unapanda ?
  6. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Samsung yaacha kuuza vifaa vyake vyote vya kielektroniki vya nyumbani nchini China

    Kampuni ya Samsung hivi karibuni ilitangaza kuwa itaacha kuuza vifaa vyake vyote vinavyotumika nyumbani nchini China. Chapa ya Samsung ilikuwa alama ya vifaa vya kielektroniki vya nyumbani vya hali ya juu na vyenye ubora wa juu zaidi, lakini sasa imeshindwa kabisa na kampuni za ndani za China...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni zinazounga internet ya nyumbani hazisemi ukweli kuhusu kiasi cha ‘data’ anayopata mteja

    Shida ni kwamba hizi kampuni ambazo zinajihusisha na services za home internet zinakuwa kwanza hazisemiukweli interms of amount ya data unayopata, mfano unaweza kulipa unlimited kwa speed kiasi flani lakini unakuta kumbe limit ni 1tb, so wanakuwa wana advertise uongo na hawajulishi watumiaji...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Ligi: Ukikosa Tiketi baki nyumbani

  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mama mzazi wa Damour aeleza kijana wake alivyochukiliwa na watu saba waliofika nyumbani kwao na Landcruiser Nyeupe

    Mama asimulia jinsi alivyoshuhudia kijana wake Damour Nyakairo akichukuliwa na watu saba waliofika nyumbani kwao na Landcruiser Nyeupe. Akizungumza na The Chanzo leo Mei 02, 2026, Lilian Swai ambaye ni mama mzazi wa Damour Nyakairo, ameeleza kuwa kijana wake amechukuliwa asubuhi ya leo na watu...
  10. PAGAN

    JamiiForums Tanzania Kabla sijapona vizuri, hapa hospitali wananiambia nirudi nyumbani. Hii kweli haki wajameni?

  11. McLaren

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulificha magendo gani chumbani kwako alafu ile unarudi nyumbani ukakuta kiko sebuleni unasubiriwa utoe majibu?

    Mimi ilikuwa smartphone kipindi hicho nipo sekondari Nilipataga hela sehemu nikaenda kuinunua hiyo smartphone nikawa naificha kwenye viatu alafu hivyo viatu nikaweka juu ya kabati Siku hiyo Bi Mkubwa hakwenda kazini kwenye harakati za kufanya usafi ndani kwangu akaikuta Ile narudi shule...
  12. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Je router gani inafaa kwa Matumizi ya Ofisini na Nyumbani !!!

    Watu wengi wanakimbilia kununua router za Airtel, Vodacom, Tigo au Ttcl kwa Matumizi mbalimbali bila kujua utofauti wao uliopo kuhusu hizo router. Sasa Leo nakupa maujanja kutokana na ripoti mbalimbali za mitandaoni nakuambia router gani nzuri kwa Matumizi ya Ofisini na Nyumbani ili kuwa salama...
  13. Palac

    JamiiForums Tanzania Je, kwa zama hizi na karne hii ni halali kumuadhibu kwa kipigo mkeo?

    Tukiwa tunaianza weekend vyema haswa na utulivu wa hali ya hewa. Kumekuwa na video mjongeo ikimuonyesha mwanaume mmoja huko Ivory Coast akimtandika bakora mke wake hasa kisa kikiwa ni mwanamke huyo kuchelewa kurudi nyumbani. NB: Nimeshindwa ipakua hiyo clip, ila nikiipata nitaipandisha hapa
  14. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Snoop Doggy: Kama ni Mwanaume na una Uwezo wa kumwacha Mke wako Nyumbani na wewe utafute hela, basi Fanya hivyo

    Mfalme wa HipHop Mziki wa kizazi kipya Nchini Marekani Mzee Snoop Doggy ametoa ushauri kwa Sisi kizazi kipya yaani Vijana wa leo. Mheshimiwa huyo amesema kama wewe ni Mwanaume na una Uwezo au uko ktk position ya kumwacha Mke wako Fanya shughuli za Nyumbani( Family matters) basi hakikisha...
  15. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Wasomi Wetu Wanarudishwa Nyumbani?” Kenya Fails Students Abroad as Germany Deportation Threat Looms

    Wadau, hii story inahitaji discussion ya ukweli. More than 20 Kenyan PhD students kule Germany wako kwa edge ya kufukuzwa si kwa sababu ya makosa yao, but because serikali haikulipa scholarship funds kwa DAAD. Hii ni serious sana. These are not ordinary students. Hawa ni researchers wanafanya...
  16. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Hivi ni vifaa muhimu kuwa navyo nyumbani kwako

    Nyumbani kwako ni muhimu uwe na vifaa hivi, kwani vinahitajika sana. 1.Star screw drivers kubwa na ndigo 2.Flatted screw drivers ndogo na kubwa 3.Tester ya umeme 4.Plier au plaiz 5.Nyundo 6.msumeno wa mbao 7.msumeno wa chuma 8.tupa inanolea vifaa vya chuma. 9.Futi 10.Jembe 11.Panga 12.Koleo...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Makonda: Kombe la AFCON litabaki nyumbani

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Tanzania imejipanga kikamilifu kuelekea mashindano ya AFCON 2027, akieleza kuwa si ushiriki tu bali pia itachukua ubingwa wa kombe hilo. Amesema kuwa ushiriki wa Tanzania katika michuano hiyo unatoa nafasi ya kipekee ya...
  18. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Television yako sebuleni kwako nyumbani kwako

    Jengo la nyumba yako ni nyumba ya ibada ,Sebule yako sitting room ni madhabahu, Bed room yako na kitanda chako ni madhabahu. Wewe mwenyewe mwili wako ni nyumba ni hekalu na nafsi yako pua ni madhabahu. MADHABAHU ndio kiti cha enzi cha kiroho kinachotoa chemi chemi za uhai, uzima ama kinyume...
  19. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Nini kimeondoa utaratibu wa wageni kuja nyumbani?

    Nini kimeondoa utaratibu wa wageni kuja nyumbani ?
  20. W

    JamiiForums Tanzania Tarazo safi nyumbani kwako

    Tunatoa huduma za ujenzi wa sakafu ya tarazo kwa shule, maghala (godowns), majengo ya biashara na makazi kwa ubora wa hali ya juu. ✅ Tunatumia vifaa bora na wataalamu wenye uzoefu ✅ Ujenzi imara unaodumu kwa miaka mingi✅ Bei nafuu na makubaliano mazuri ✅ Tunazingatia viwango vya ujenzi na...
Back
Top Bottom