Karibu
Tunahusika na utengenezaji wa
*Mabango
*vipeperushi
*kadi za namba za simu
*Makava ya nyimbo
*Kadi za mialiko za kisasa
Njoo whatsapp Nehemix tz
Habari zenu anaejua duka linalouza graphics card used anipe mawasiliano yao nahitaji ile yenye umbo dogo low profile mashine yangu ni SFF kuanzia GTX 1060 au RX 590
Mimi ni kijana wa Umri Miaka 28 Education Level Degree nina uzoefu wa zaidi ya Miaka kwenye maeneo hayo mawili kwenye Graphics Design Kazi nazoweza kufanya
-Desiging All Digital Printing Material such as Vipeperush, Roll up Banner, Logo,Product Label, etc.
-Sticker(Car)...
Mimi ni kijana wa miaka 28 Graduate wa Mzumbe Level ya Degree katika Chuo Kikuu Mzumbe Coures: Information Communication Technology with Business ( ICT-B).
Nimefanya kazi hii ya Graphics Designing kama Freelancer kwa zaidi ya Miaka Minne(5) kwenye Maeneo tofauti kama Vile Iringa, Mbeya...
Habari,
Je unahitaji software yoyote katika kazi / biashara zako.
Nipo hapa kukusadia kupata software yoyote unayotaka katika kukusaidia kazi / biashara yako. Software au program katika kifaa chako cha kazi kama kompyuta au simu.
Nitajie sofware au kazi yako inayohitaji software maalum...
Hivi karibuni, Simba wametoa poster moja ya "Kwa Mkapa Hatoki Mtu" ikiambatana na picha ya Moses Phiri akiwa vitani akiwa amezungukwa na moto.
Mimi sijawahi kupenda hizi graphics toka enzi zile zinaanza kutumika ila nilijua kuna mambo ukiyasema nchi hii unaweza kupigwa mawe ingawa unaweza kuwa...
LOGO DESIGN
Bei:
50,000/=
2 Logo Concepts ikiwa na raundi mbili za masahihisho kwa kila Logo.
70,000/=
3 Logo Concepts ikiwa na raundi mbili za masahihisho kwa kila Logo.
BRAND IDENTITY
Bei:
Tsh 100 000/=
Logo, pamoja na patterns, matumizi ya rangi, na elements muhimu zinazobeba brand...
Ni wazi kuwa miaka inavyozidi kwenda kuna baadhi ya kazi zitaendelea kufa
leo nitaweka wazi kwanini graphic designers wanaenda kukosa ujira waliozoea na kama hawatabadilika basi utakuwa mwisho wao
Ni ujio wa APP ya CANVA
App ambayo inamruhusu mtu yoyote kudesign chochote bure kabisa na kama...
Je hii laptop wakuu ipo vizuri kuhimili Gaming, ubora wake ni upi na uthaifu wake ni upi?
Kwa wanaofaham kuhusu mambo ya games kwenye pc. Kwa games za online (eg pubg) na offline pia.eg (far cry) na mengine.
Kama umewahi kujaribu kuanzisha biashara wewe mwenyewe utakuwa unaelewa ilivyo ngumu kuanzisha biashara yenye mafanikio. Aina ya biashara unaweza kuanzisha ni nyingi mno, kiasi kwamba wengi huwa hawajui wanaanzia wapi. Tukiongelea creators kama graphics designers, wanapoanza huwa wanakubali kazi...
Graphics & Video Editing
Your profile:
Strong communication skills with the ability to discuss any issues with a wide variety of individuals and groups
Capability to produce content on time, with attention to detail, and an emphasis on identifying and pitching to a target audience
A...
Naitwa sharifu mussa, ni graphics designer wa Ot Technology, karibuni sana wateja kupata huduma mbali mbali za graphics designing ikiwemo label za bidhaa , business card, mabango ,.
Gharama zetu ni stahiki sana na kazi zenye ubora.
Wasiliana nasi.
+255 620 155 490
Follow us
Ot technology tz
Habari wana JamiiForums, na wadau wa humu kwenye Tech & Gadgets Forum nimeona sio mbaya leo kushare basics za Graphics Design kwa wale ambao wanafanya hii kitu tayari au wale ambao wana interest ya kutaka kuanza.
Nitaongelea mambo matano, Basics za Layout Design, Blocking, Typography na Colour...
Sifa
Uwezo wa kuandaa matangazo ya video, animations, posters, banners, n.k
Moyo wa kufanya kazi ya kujitolea
Kituo cha kazi itakuwa Goba, Dar Es Salaam
Hata akitaka kufanyiakazi nyumbani kwake/kazini kwake ili Mradi malengo ya kampuni yatimizwe kwa- wakati
Mshahara ni TZS 300,000 kwa- mwezi...
Ni muhimu sana kitengo chetu cha graphics kiwe very careful katika propaganda za kuwafurahisha wanachama na mashabiki wetu kwani katika kundi la wajinga wwalio wengi kuna wajanja wachache wana o notice vitu vidooogo kama vile FONTS zilizotumika...kwenye picha ya okrah weupe haujatolewa vizuri...
Lile jamaa libabe la mdomo na kutukana watu hovyohovyo limekula nyundo huko kinachosubiriwa ni kutangazwa rasmi licha ya njemba hilo kulialia kupitia kwa wanasiasa waliombee msamaha.... nitalipia graphics za hali ya juu kutambulisha habari hiyo ambapo nishaaongea na wataalamu kadhaa wa kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.