Wakuu nataka kuomba kazi ya drive Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Ila nashangaa mfumo unagoma.
Naomba tips namna ya kujaza kwenye kipengele cha "program name" na "Program category"
Bila shaka hivi vipengele ndivyo vinavyonikwamisha.
Aliyefanikiwa kuomba hii post naomba anichungulie hizo sehemu...
Habari za leo.
Natafuta binti smart, mchangamfu, asizidi 27 kwa ajili ya kuuza liquor store mitaa ya mbezi beach. Awe na nida pamoja na wadhamin wawili.
Nichek PM
Habari,
Mimi ni msichana wa miaka 26, natafuta nafasi ya kazi ya maendeleo ya Jamii name elimu ngazi ya dilpoma au shirika lolote linalohusiana na maendeleo ya jamii.
Ninauzoefu niliwahi kujitolea katika shirika la FARAJA TRUST FUND liliopo morogoro linahusika na maswala ya USAID BORESHA...
Habari zenu Wanajukwaa
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza apo juu,
Naitwa Eric natafuta kazi yeyote halali ya kuniingizia kipato. Elimu yangu ni Chuo kikuu bachelor degree in logistics and transport management. Ninafahamu humu jamii forum Kuna watu wengi na tofauti tofauti ambao wanaweza...
SIFA
1. Awe mkazi wa Dar es Salaam,
2. Awe na stashahada ya fani ya uhasibu,
3. Awe na uzoefu wa kufanya kazi katika kampuni binafsi kwa angalau miaka 2,
4. Awe kijana wa kiume (Nafahii hii ni kwa kijana wa kiume pekee)
Naomba tutumie CV yako kwa baruapepe; eitcbengineering@gmail.com kabla...
MARKETING OFFICER JOB VACANCY – ZANZIBAR OFFICE
ECOACT Tanzania Limited is an Award winning social enterprise established to address the challenges of post-consumer plastic waste, ocean plastic pollution, waste management, deforestation, and climate change, we recycle and transform ocean...
The Tanzania Zambia Railway Authority (TAZARA) is a bi-national railway company owned jointly by the Governments of the United Republic of Tanzania and the Republic of Zambia. The railway stretches from the port of Dar es Salaam in Tanzania to New Kapiri-Mposhi in Zambia, covering a distance of...
Anatafutwa Binti wa kuuza duka (tarehe ya Mwisho 12/04/2024)
🔹 Awe amemaliza kidato cha 4 au zaidi.
🔸ANAEJUA HESABU.
🔹Umri miaka 25 au zaidi.
🔸AWE ANAISHI MADALE, WAZO, KULANGWA, TEGETA au maeneo mengine jirani.
Njoo DM kwa maelezo zaidi na mawasiliano.
MWENYE UZOEFU ATAPEWA KIPAUMBELE
EFT CLEANING AGENCY LIMITED inatangaza nafasi ya kazi ya Fumigation Personnel
Sofa
. 1. awe na Umri usiopingua miaka 21
2. Awe na utayari kufanya kazi pale atakapopangwa
3. Awe amesomea fani husika na aw na vyeti vyote muhimu vya usajili
4.Awe tayari kufanya kazi ndani ya wiki mbili toka angazo...
Position: Project Officer Intern
Location: Dar es Salaam, Tanzania
Duration: November 2023 to April 2024
Stipend: 500,000.00 TZS per month
Reporting to: Senior Manager for Programs and Operations
About the Organization:
The Tanzania Startup Association (TSA) is a non-profit, membership-based...
EMPLOYMENT OPPORTUNITY – PASADIT TANGA
PASADIT is a non-governmental organization operating under the Catholic Diocese of Tanga. PASADIT strives to ensure that the Most Vulnerable and Marginalized groups have dignity and secure life through social accountability, capacity building, service...
MAPADA SOAP is an industry that deals with the production of soap. The industry is located in Ilala District, Dar es Salaam, Tanzania. The industry is situated at the foot of Banana Bus Stop, 6.8 km from Kitunda. Plot.Mzg 19. Phone: +255765180704, +255627753135, Email: mazingirapacha@gmail.com...
Hello guys.
Natafuta kijana wa kuuza duka la dawa za binadamu awe na zifa hizi:
1. Mwenye cheti cha Ado na umiliki wa duka la dawa.
2. Awe tayari kufanya kazi kwa bidii.
Eneo ni Dar es salaam- Kigamboni- Kisarawe 2.
NB: Kuhusu mshahara tutaelewana akijitokeza.
Asanteni.
Hello.
Natafuta mtu mwenye maarifa ya uokaji (Bakery).
Mjuzi katika utengenezaji wa mikate,cakes na maandazi.
Mwenye kujua kutumia vifaa vya uokaji eg. Mixer, ovens etc.
Yoyote mwenye interest na baking anaweza ku apply. Ofisi zipo mwanza mjini. Karibuni.
Hii ni nature na hakika,
Usijaribu kujionyesha kuwa u mwema au u mtoto wa mjini kwa kumuunganishia mtu wa karibu nafasi ya kazi kazini kwako.
Mtavurugana mpaka mchanganyikiwe.
Hii nimeiona kazini kwa watu kadhaa nami yalitaka yanitokee sema nikapanchi.
Mtafutie kazi ndugu au rafiki katika...
Hello kwema?
Natafuta Nurse/Medical Assistant awe amekamilika vyeti vya taaluma husika.
Eneo la kazi ni Mbezi mwisho barabara ya kuelekea Kinyerezi Dar es Salaam.
Awe tayari kufanya kazi shift za usiku, akiwa maeneo karibu na hayo itapendeza.
Akiwa tayari hata leo aje aanze kazi, mshahara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.