boda boda

Boda bodas are bicycles and motorcycle taxis commonly found in East Africa. While motorcycle taxis like boda bodas are present throughout Africa and beyond, the term boda boda is specific to East Africa. In Kenya, they are more frequently called piki pikis. Their ubiquitous presence in East African cities is the result of a number of factors including an increasing demand for public transit, the ability to purchase motorcycles on credit, and an influx of cheap imports from Indian manufacturers like Bajaj. In the countries where they are present, boda bodas can provide transportation options to riders and job opportunities to drivers while at the same time resulting in an increase in road hazards and collisions and unnecessary injuries and deaths.

View More On Wikipedia.org
  1. RavoxTanzania

    JamiiForums Tanzania Pikipiki za umeme za RAVOX:suluhisho la Ghalama za mafuta kwa boda boda

    Pikipiki za umeme za RAVOX:suluhisho la Ghalama za mafuta kwa boda boda
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kamwe usikubali kuhatarisha maisha ya mtoto kwa kumpandisha bodaboda, wengi hawajielewi

    Leo nimejikuta napata ghadhabu sana na nikasema lazima niteme nyongo. Yani asubuhi asubuhi na hili baridi unakuta kitoto kidogo cha chekechea kimepandishwa boda eti kinaenda shule. Yani wewe unaenda kugombania daladala halafu dogo under 5 unarisk maisha yake. Mbaya zaidi boda kavaa mkoti mkubwa...
  3. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bodaboda man arrested for transporting 9 children on one motorcycle

    Police in Kakiri are holding a boda-boda rider identified as Allan Musisi after he was intercepted transporting nine children on a single motorcycle, in a case that has raised concerns about road safety and child welfare. Musisi, who was riding motorcycle registration number UEA 067F, was...
  4. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Bila kuwa na Boda Boda, tungekuwa na majambazi wengi

    Tanzania tumshukuru mchina bilakuwa na boda boda tungekuwa na majambazi wengi , kuna sura unakutananayo unaona kabisa hii bila boda boda Ingetoa roho za watu , vijana wengi wamejishikiza kwenye boda boda
  5. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania TANZIA Askofu Sarah Wega afariki kwa ajali ya bodaboda

    Askofu wa Kanisa la The House of Prayer International Ministry, Kanda ya Songwe na muimbaji wa nyimbo za injili, Sarah Wega, amefariki dunia baada ya Pikipiki (bodaboda) aliyokuwa akisafiria kupata ajali ya kugongwa na lori iliyotokea Machi 16, 2026 katika eneo la Chapwa, Wilaya ya Momba mkoani...
  6. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda KCCA Begins Midnight Road Clean-Up

    The Kampala Capital City Authority (KCCA) has launched a large scale road clean up exercise across Kampala beginning at midnight on March 7, 2026, in a move aimed at making the city cleaner and more organized. The night-time operation saw KCCA teams deployed to major roads and streets to remove...
  7. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda KCCA to end Bodaboda Mess in Kampala

    Following the ban of vendors along different streets on Kampala, KCCA embarks in the move to organize the Boda Boda industry. The Kampala capital City Authorities(KCCA) plans to ban unregistered Boda Boda from accessing the five city division of Nakawa, Rubaga, Kawempe, Makindye and Kampala...
  8. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna magari yanakamata vijana ovyo kwenye magereji na vijiwe vya bodaboda kinyume cha sheria

    Tetesi kuna cruser zinakamata vijana ovyo kwenye magereji na vijiwe vya boda boda kinyume cha sheria. Nitoe wito kwa wananchi mnaweza kumalizana nao hawa ndio wauaji na watekaji tunaowatafuta. Ukiona kuna cruiser mtaani kwako haieleweki eleweki jua ndio watekaji wananchi wanapaswa kuwadhibiti...
  9. Mr Devil

    JamiiForums Tanzania Nime gundua BODA BODA wetu wako vizuri sana kwenye ulengaji wa shabaha

    Kupitia misuko suko ya maandamano kuna jambo moja nime weza kuli gundua . BODA BODA wetu wako vizuri sana kwenye kulenga shabaha na kulinda upotevu wa risasi , kwani wahanga wengi uki achilia walio pigwa risasi wakiwa wame lala chini wengi wame pigwa risasi za kichwa . Ova and Out
  10. MIHULU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Boda boda na wake zetu

    Aiseee leo nilimpeleka wife saloon na usafiri wangu, akanipa cash nijaze mafuta ili nimfate baadaye. Wote ni watumishi. Ile kamaliza, katuma text “nimemaliza,” nikaanza kujipanga nimfate, mara namuona kaibuka home. Nikamuuliza umekujaje, akasema kampigia boda. Nikamuuliza ulipo text ukaona...
  11. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Vituko vya boda boda. Tupia picha au clip tufurahi/tucheke

    Weka picha ama clip ya bodaboda yenye maudhui ya kuchekesha ama kufurahisha
  12. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Boda boda ni hatari na nusu angalia hii video

    Boda boda baadhi yao sijui hawajui sheria au wanakuwa na haraka wanawahi wapi
  13. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Rai yangu ni picha za majeruhi hoi na kukatwa viungo kutokana na ajali za boda zisambazwe kwa hawa madereva boda boda labda wanaweza kubadirika.

    Yani boda boda na kujitoa ufahamu..:👇🏻
  14. W

    JamiiForums Tanzania Boda boda wa KIVUKONI ni kero kubwa kwa watembea kwa miguu

    Boda boda wa KIVUKONI ni kero kubwa abiria watembea kwa miguu wanapata shida kutembea kwa uhuru hadi kuna Wakati mwingine wanaleta msongamano kwa kupaki bodaboda zao kati Kati ya barabara za watembea kwa miguu .Naomba Mamlaka husika iwataftie eneo maalumu kwa ajiri ya kusafirisha Abiria.
  15. Knock life

    JamiiForums Tanzania Kama hakuna ulazima wa kupanda boda boda, usipande!

    Ikiwa hakuna ulazima wa kupanda Boda , basi usipande.
  16. BUMIJA

    JamiiForums Tanzania Magari na boda boda vinatumaliza kimya kimya

    Wasalaam. Kila kitu kizuri kina ubaya wake. Kama ilivyo umeme, maji kukurestisha in Peace ni dakika 2. Magari na piki piki vinatumaliza sana now days. Unanunua kagari kako unavimba nako kanakurestisha in Peace. Ajali zimekua nyingi nowadays; sijui chanzo ni nini. Kuna hii matairi kubust nayo...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Boda Boda Delivery Driver at LZ Fish Suppliers June 2025

    Location: Dar es Salaam – Mbezi Beach, Mbweni, Bunju, Tegeta, Mikocheni, Masaki, Oysterbay, and surrounding areas Job Type: Full-time / Part-time / Contract Reports to: Transport Supervisor Job Summary: We are seeking a reliable motorcycle delivery driver to deliver goods to customers...
  18. ommytk

    JamiiForums Tanzania Hivi kuwa boda boda mwisho umri gani nataka nikajribu upande huo maana hali tete

    Wadau msaada maana hali tete sikujipanga kimaisha naona naelemewa na maisha sasa naona kazi ya haraka ni boda boda Ila mimi umri umeenda sasa sijui naweza pambana uko
  19. M

    JamiiForums Tanzania Heche Boda Boda wote kulipwa Pensheni,Lema kazi ya Boda Boda ni Laana

    Makamu mwenyekiti wa chadema akiwa anahutubia wananchi ameahidi ya kwamba sera ya chadema ni kuhakikisha ya kuwa kila boda boda hapa nchini analipwa pensheni .Je mzee Lema aataendelea na msimamo wake kuwa boda boda ni kazi ya laana?
  20. M

    JamiiForums Tanzania Boda Boda wote kulipwa Pensheni,Lema kazi ya Boda Boda ni Laana

    Makamu mwenyekiti wa chadema akiwa anahutubia wananchi ameahidi ya kwamba sera ya chadema ni kuhakikisha ya kuwa kila boda boda hapa nchini analipwa pensheni .Je mzee Lema aataendelea na msimomo wake kuwa boda boda ni kazi ya laana?
Back
Top Bottom