Kipa wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 (U20) ya Azam FC, Iddy Salim, amefariki dunia baada ya kupata ajali ya bodaboda.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Azam FC leo Ijumaa Septemba 11, 2026, kipa huyo alifariki dunia jana katika ajali hiyo.
“Tunasikitika kutangaza kifo cha kipa...