Boda bodas are bicycles and motorcycle taxis commonly found in East Africa. While motorcycle taxis like boda bodas are present throughout Africa and beyond, the term boda boda is specific to East Africa. In Kenya, they are more frequently called piki pikis. Their ubiquitous presence in East African cities is the result of a number of factors including an increasing demand for public transit, the ability to purchase motorcycles on credit, and an influx of cheap imports from Indian manufacturers like Bajaj. In the countries where they are present, boda bodas can provide transportation options to riders and job opportunities to drivers while at the same time resulting in an increase in road hazards and collisions and unnecessary injuries and deaths.
Kama unatumia Bodaboda hasa maeneo ya MJINI pitia hapa!
1. Usipande bodaboda isiyokuwa na vioo vya pembeni (saiti mira) – side mirror
Pikipiki ambayo haina vioo vya pembeni, dereva haoni gari linalokuja nyuma au hata akitaka kupinda, haoni nyuma hivyo uwezekano wa kugongwa ni mkubwa sana; ni...
Wakati mashindano ya AFCON yalipokuwa yanafanyika huko Ivory Coast, nilimsikia mmoja wa wanahabari aliyekuwa huko akituhabarisha kilichokuwa kinaendelea akisema boda boda wa huko wana nidhamu sana.
Wakifika kwenye taa za barabarani wanasimama mpaka pale taa ya kijani itakapowaruhusu kuendelea...
Kwanza kabisa ni kazi isiyokuwa na taaluma, mtu yoyote tu anaifanya.
Serikali haiitambui rasmi. Sehemu ya kwenda kwa buku tokea 2015 mpaka leo bei ni ile ile.
Ukimuacha abiria kiss anakupa 1000 sehemu ya kwenda kwa 2000, anapita mwenzako anambeba kwa hiyo hiyo 1000.
Ukiingiza 15000 kwa siku...
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Loliondo,Benson Ngowi(32) anashikiliwa na jeshi la Polisi katika kituo cha Loliondo,Wasso kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29 mkazi wa Wasso wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha.
Hakimu huyo, ambaye pia alifanya kazi ya uwakili kwenye Kampuni ya...
Habari!!
Ndugu zangu katika Mipaka hii ya jamhuri ya muungano mimi ni mwananchi mwenzenu ambaye ni mkazi wa jiji la dar es salaam ila heka heka zangu zinanipeleka muda mwengine visiwani na baadhi ya mikoa na kwasasa nimerudi tena dar es salaam.
Uwepo wangu katika jiji la Dar es salaam kwa hivi...
Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.
Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.
Binti: lakini mama huyu ni muelewa.
Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.
Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??
Binti ni pisi kali mno...
Hii nimeona leo mitaa ya Bunju!
Bodaboda kwa sasa jijini Dar ni donda lisilo na dawa.
Hata akiiona hali hii IGP Wambura atatamani arudi kozi ya utrafiki CCP, Moshi
Wakuu, ili suala la IGA ni technical
Siyo kila wakili au mwanasheria anaweza akalitolea ufafanuzi au akaliingilia. Mawakili waliozoea kugonga mikataba ya kuuziana boda boda au bajaji hili suala liko way far out of their knowledge and capability.
IGA is not for every advocate or lawyer, its...
Hivi kwanini boda boda akimchukua mtu kumpeleka mahali lazima amshushe mlangoni kabisa kila mtu ajue mhusika kaenda nayo halafu sauti inakua kuubwa mziki kila mtu anasikia.
Mtu anaenda kempiski unamshushia pale reception nomaa sana.
Mjiongeze jamani.
Habari JF,
Nawaleteeni hii Fursa muitazame kiundani ikiwezekana ichukue ifanyie kazi.
Kama una mtaji unaojitosheleza, anzisha biashara ya Microfinance (mikopo ya kifedha)
Baada ya hapo anza na hili kundi la Bodaboda ambao ni wepesi sana kuleta marejesho kwa wakati.
iko hivi, boda boda are...
Aisee tujihadhari na huu wizi,
Leo Nikiwa ofisini namba +255694480796
Ikanipigia Ile napokea tu jamaa akajitambulisha ni mwalimu magunga shule ya msingi ameomba namba yangu hapo kwa mtu,
Ananiomba nimpe namba ya kijana wa piki piki ninayemuani chap ana haraka sana!
Basi Mimi Bila kuwaza...
Lema alichokisema kuhusu boda boda kina ukweli ndani yake ama ni uongo na uzushi wake?
Kitaalam kuendesha boda boda bila ya kuvaa "Vest" kunaweza kumsababishia mwendeshaji "Pneumonia" ama afya zao ziko salama.
Hivi CCM wanajua tofauti kati ya Kazi na ajira? Kisheria kuendesha Bodaboda ni kazi...
Bongo nyoso, yaani hili swala nyuma yake kuna vigogo wanaouza hizo boda boda ndio maana wanakingia kifua kulinda biashara zao. Boda boda ina risk kubwa sana. Serikari isikwepe jambo hapa. Hakuna ajira hapa
Kipindi cha kampeni bodaboda hufanya amsha amsha ya mitaa na kuhadaiwa na wanasiasa kuwachagua kwa ahadi fulani.
Baada tu ya uchaguzi kuisha hudharauriwa na wanasiasa kama walivyodharauriwa na Lema.
Walimu hawa kazi yao haitofautini sana na bodaboda katika kuwafikisha wanasiasa pale...
Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao.
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu.
Rais akiwa anazungumza na Viongozi wa Wanafunzikutoka Zanzibar na Bara j,ana aliwataka waache kuiga uzungu. Rais anawataka wanafunzi kuzingatia mila na desturi zetu kinyume chake kizazi chetu kitakwenda kombo.
Kuna pahala waweza usielewe kauli hii, ila kiukweli hali ni mbaya hasa mikoani, wimbi...
Wenzetu Nigeria wasiocheka na nyani!
Bodaboda ni kero, side mirrors kuvunjwa, kukwaruzwa barabarani, hata wizi wa kushtukiza.
Serikali iamke toka usingizi wa pono!
Habari za jion
Sorry mimi sio mtaalamu sana wa kuandika kiswahili naomba tuvumiliane
Naenda direct leo nilikuwa nimeenda sehemu fulani uko wakati na naludi usafiri ulikuwa unasumbua ikabidi nisubilie kwenye kijiwe cha boda boda ndipo nikaaza kuona vimbwanga
Boda boda mmoja akawa...
Habari za jioni, usiku, mchana na asubuhi. Nimekuwa nikijuiliza sana ni nani alileta huu usafiri wa boda boda, maana nikikumbuka miaka ya nyuma usafiri tegemezi ulikuwa ni dala dala, teksi na gana gana. Ila ghafla zikaibuka maboda boda ambao wamekua kero sana kila sehemu kwa kuendesha piki piki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.