boda boda

Boda bodas are bicycles and motorcycle taxis commonly found in East Africa. While motorcycle taxis like boda bodas are present throughout Africa and beyond, the term boda boda is specific to East Africa. In Kenya, they are more frequently called piki pikis. Their ubiquitous presence in East African cities is the result of a number of factors including an increasing demand for public transit, the ability to purchase motorcycles on credit, and an influx of cheap imports from Indian manufacturers like Bajaj. In the countries where they are present, boda bodas can provide transportation options to riders and job opportunities to drivers while at the same time resulting in an increase in road hazards and collisions and unnecessary injuries and deaths.

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Kipa wa Azam SC afariki kwa ajali ya boda boda

    Kipa wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 (U20) ya Azam FC, Iddy Salim, amefariki dunia baada ya kupata ajali ya bodaboda. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Azam FC leo Ijumaa Septemba 11, 2026, kipa huyo alifariki dunia jana katika ajali hiyo. “Tunasikitika kutangaza kifo cha kipa...
  2. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Diwani Mamba Myamba Same mbaroni kwa kuendesha gari kwa uzembe na kusababisha kifo cha mwendesha boda boda

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Diwani wa Kata Myamba wilaya ya Same, Greyson Kyondo Fue (42), kwa tuhuma za kuendesha gari kwa uzembe na kumgonga mwendesha pikipiki maarufu kama boda boda aliyetajwa kwa jina la Daudi Kibwengo (24), mkazi wa Kijiji cha Myamba na kusababisha...
  3. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Boda boda tusaidiwe na sio kubezwa

    Muhali gani ndugu jamaa na marafiki waume kwa waume, Heshima kwa wakubwa zangu na kwa wadogo zangu me sijambo. direct kwenye mada Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza watu wote tunao tumia pikipiki kama kifaa cha kutupatia mkate wetu wa kila siku na jua kali la mji huu wa...
  4. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Police investigate shooting that killed boda boda rider in Kampala

    Police recovering the body of the shot rider. (Courtesy Video) The Uganda Police Force has launched investigations into the shooting and death of a boda boda rider in Kampala. The incident occurred at around 7:30am on Saturday, August 29, 2026, at Ndejje Kanaaba in the Katwe Police Division...
  5. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Reckless Boda Boda Ride Through Floods Sparks Concern

    A dramatic scene unfolded at a flooded junction along the Northern Bypass in Kireka after a heavy downpour, when a boda boda rider attempted to ferry a passenger through the raging waters. Eyewitnesses say the motorcycle was already half‑submerged when concerned residents and police intervened...
  6. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ungana na Mimi mwamba aliye muoa Amina wa Tandale, Demu wa Ally Dreva Boda boda

    Msomaji ungana na Mimi kumtukana huyu Rich,MWANAUME shababi, mrefu mweusi, aliyejaa mbavu Nene, kijana AMBAE Mungu ameisha mfungulia milango ya riziki mpaka kuweza kumwamisha mama Mkwe kutoka tandale mpaka Mbezi salasala DSM. Rich, alikuwa na mazoea na Mama Amina, maana mama Amina alikuwa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Jamaa aliingilia msafara wa Mwenge huko Bariadi, Simiyu, Kijiji cha Nkololo. Hivi ndugu zetu baadhi ya askari na mgambo, mbona mna roho ngumu hivi? Haya maisha hamuwazi kwamba nafasi zenu zitaisha? Kama alingilia msafara wa Mwenge, si kuna sheria zinazoweza kufuatwa? Huenda bwana huyu alikuwa...
  8. feyzal

    JamiiForums Tanzania Polisi: Mnawachekea sana boda boda ipo siku watakuja kuleta maafa makubwa

    Salaam Hawa jamaa siku hizi wanapenda sana kuchukua sheria mkononi ,jioni hii kuna gari ndogo Carina Ti iligonga boda boda sijajua ni bahati mbaya au vipi basi jamaa wakaanza fujo kiasi cha kwamba dereva ilibidi akimbie na gari ,,,,,isivyo bahati wakaikamata vingunguti wakaishambulia sana ile...
  9. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Je, wamjua huyu DC anayesifiwa na Rais anachapa kazi? Ndo anamwombea mchango wa Boda boda Graduate wa UDSM

    Huu ndo ubunifu wa DC WA kisalawe kwa kuondoa umasikini na ukosefu WA ajira kwa vijana wetu WA chuo nchini Tanzania. Yaani Magoti akili zake zimeishia Kumwombea mchango WA boda boda mhitimu wa chuo kikuu ngazi ya degree tena aliyesoma sayansi ya mifugo? ViongoI wetu wanaona boda boda ni...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki

    Leo nimekaa nikawa najiuliza biashara ya boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki wa bodaboda izo na huchukua muda gani kurudisha mtaji na kupata faida Embu wanaujua hii waweke comment hapa😁
  11. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Parents Cautioned Against Entrusting School Children to Maids and Boda Boda Riders

    Teachers have raised concern over the growing number of parents who entrust school-going children to maids and boda boda riders, warning that the practice is exposing learners to road accidents and other safety risks. Herbert Nkundizana, a teacher and Deputy Head Teacher at Cleveland Hill...
  12. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Nebbi Municipal Council Orders Boda Boda Riders Off Streets in Decongestion Drive

    Weeks after issuing a one-month ultimatum to remove truck drivers from the town centre, Nebbi Municipal Council has turned its attention to boda boda riders, ordering them to vacate streets and operate only from gazetted stages. The directive follows complaints that some riders have turned...
  13. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Hekaheka za boda boda daraja la kijazi

    Wazee mida ya jioni (Jana), nilikua napita kwa mguu pale kijazi interchange aise vurugu za bodaboda sio mchezo. Yaani waendeshaji na abiria ni kama wamenunua tiketi ya kifo! Hakuna rules yaani pikipiki kama mia Kila mtu anaenda upande wake taa zilivyoruhuaiwa! Huku watu wa miguu vivyo hivyo...
  14. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Mauaji holela ya waendesha boda boda:

    Usafiri wa boda boda umekuwa kipimbilio la vijana wengi kupata kipato. Wengi wanaofeli shuleni na wale wanaohitimu na kukosa ajira hukimbilia kwenye shughuli hii ya kusafirisha watu na/au mizigo. Usafiri wa boda boda una changamoto nyingi ambazo humpata mwendesha boda boda na abiria wake pia...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Boda boda sio sifa ni uchafu na umasikini mkubwa

    Boda boda sio sifa ni uchafu na umasikini mkubwa. Hatuwezi kama nchi kutegemea usafiri kwa madereva holela wa pikipiki ambao hawafuati sheria, pikipiki hazijatengenezwa kwa lengo la kubebea watu. Vijana wanaendesha bila leseni. Boda bora zinatakiwa ziruhusiwe vijijini tu na kwa mijini...
  16. Tutu kalundji

    JamiiForums Tanzania Boda boda eeeee

    Hawa wanandugu huwa wanapitia mengi,tusiwalaumu kutokujenga wa kusomesha
  17. RavoxTanzania

    JamiiForums Tanzania Pikipiki za umeme za RAVOX:suluhisho la Ghalama za mafuta kwa boda boda

    Pikipiki za umeme za RAVOX:suluhisho la Ghalama za mafuta kwa boda boda
  18. S

    JamiiForums Tanzania Kamwe usikubali kuhatarisha maisha ya mtoto kwa kumpandisha bodaboda, wengi hawajielewi

    Leo nimejikuta napata ghadhabu sana na nikasema lazima niteme nyongo. Yani asubuhi asubuhi na hili baridi unakuta kitoto kidogo cha chekechea kimepandishwa boda eti kinaenda shule. Yani wewe unaenda kugombania daladala halafu dogo under 5 unarisk maisha yake. Mbaya zaidi boda kavaa mkoti mkubwa...
  19. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bodaboda man arrested for transporting 9 children on one motorcycle

    Police in Kakiri are holding a boda-boda rider identified as Allan Musisi after he was intercepted transporting nine children on a single motorcycle, in a case that has raised concerns about road safety and child welfare. Musisi, who was riding motorcycle registration number UEA 067F, was...
  20. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Bila kuwa na Boda Boda, tungekuwa na majambazi wengi

    Tanzania tumshukuru mchina bilakuwa na boda boda tungekuwa na majambazi wengi , kuna sura unakutananayo unaona kabisa hii bila boda boda Ingetoa roho za watu , vijana wengi wamejishikiza kwenye boda boda
Back
Top Bottom