morogoro

  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Morogoro yafungukiwa fursa mpya za nishati

    Kituo cha Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) kinachopangwa Morogoro kinafungua fursa mpya katika sekta ya usafirishaji, kwa kuwezesha magari na vyombo vingine kutumia nishati mbadala yenye gharama nafuu na rafiki kwa mazingira. Serikali kupitia TPDC imepanga kuweka kituo cha CNG katika eneo la...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Waafrika turejeee kwenye matambiko yetu ndugu zangu. Tukio la mlinzi wa Morogoro kuua kwa risasi leo limenitafakarisha sana

    Taarifa inasema, marehemu alikuwa anatoka Dar kwenda Mwanza kwa gari lake binafsi. Alipofika Morogoro tayari ulikuwa umefika muda wa swala, so akapaki gari karibu na petrol station akaenda msikitini kuswali. Aliporejea akiwa ndani ya gari lake mlinzi akamfuata na kumtaka alipe sh elfu 15 kama...
  3. F

    JamiiForums Tanzania Dereva wa lori auwawa na mlinzi wa puma petrol station Morogoro

    Leo asubuhi, dereva wa Lori alipaki Lori eneo hilo, na kwenda kusali msikiti uliopo katika kituo hiko, aliporudi mlinzi alimfata na kumwambia ampe 15000 kama gharam ya parking, wakabishana kwa muda, kutokana na gari zingine kua azikueza kupaki vizur anamwambia ngoja nipaki vizuri, alipo panda...
  4. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Mlinzi adaiwa kumpiga risasi mwananchi Morogoro

    Mlinzi wa kituo cha mafuta cha Puma kilichopo Kata ya Kihonda Magorofani, Manispaa ya Morogoro, anadaiwa kumpiga risasi mwananchi aliyekuwa ameegesha gari katika eneo la kituo hicho. Kwa mujibu wa mashuhuda akiwemo mwandishi wa TBC, mwananchi huyo alikuwa ameegesha gari katika eneo hilo kwa...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumiaji wa Vituo vya Mwendokasi Barabara ya Morogoro Wapo Hatarini Kugongwa Wanapovuka Barabara

    Ningependa kufikisha malalamiko kuhusu changamoto kubwa wanayokutana nayo watumiaji wa vituo vya mabasi ya mwendokasi katika njia ya Kimara, hususan wanapovuka Barabara ya Morogoro kwenda au kutoka vituoni. Baada ya upanuzi wa barabara, umbali wa kuvuka umeongezeka, lakini katika baadhi ya...
  6. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Zaidi ya Wanachama 113 wa CHAUMMA watimkia CUF. CHAUMMA imekwisha 🤣

    Zaidi ya Wanachama 113 wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Mkoa wa Morogoro wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Wananchi (CUF), wakieleza kutoridhishwa na namna viongozi wa chama hicho ngazi ya Taifa wanavyoendesha shughuli zake. Wanachama hao, ambao wameongozwa na aliyekuwa...
  7. General Nguli

    JamiiForums Tanzania TANESCO WAMEENDELEA NA LEO KUKATA UMEME NGERENGERE MOROGORO.

    Leo Trh 6 SEPT 26 TANESCO WAMEENDELEA KUKATA UMEME NGERENGERE BILA TAARIFA YOYOTE.LICHA TA KKUFUNGULIWA BWAWA LA UMEME LA JULIUS NYERERE NGERENGERE IMEENDELEA KUSOTA NA UMEME KIDOG KWA SIKU. MBAYA ZAIDI HAKUNA TAARIFA YOYOTE. WENGI WANADHANI NIKUTOKANA MA KIJIJI HIKI WANANCHI HAWANA ELIMU
  8. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Ngerengere Morogoro Umeme una tendency ya kukatika kila siku

    Hii imekuwa hali ya kawaida Umeme kukatika mara kwa mara. Mi huwa najiuliza sana...??? Wanaweza amua wakakata umeme kila siku.Haijawahi pita Week nzima bila umeme kukatika. Sasa kama Inchi inazalisha umeme mwingi mpaka wa ziada sa inakuweje kuishi kwenye janga la umeme Kiasi hiki kila siku.
  9. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Nitapataje Yellow Fever Vaccine Certificate nipo Morogoro (Yellow Fever Card)

    Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu, nahitaji hiyo kitu maana nategemea kusafiri ndani ya wiki tatu zijazo. Nipo hapa Morogoro. Nawezaje kuipata hiyo card, nimeambiwa ni lazima niwe nayo hiyo. Asanteni
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Katika kijiji cha Bonye tarafa ya Bwakila chini, Duthumi Morogoro vijijini wakulima tunasumbuliwa sana na mfugaji aitwae Lembile Sangara a.k.a DC

    Hapa kijijini kuna mfugaji yupo juu ya sheria na kijiji kinaonekana kimeshindwa kumdhibiti, sheria ya kijiji cha bonye inamtaka kila mmiliki wa ng’ombe asizidishe ng’ombe zaidi ya 10 , jambo la kushangaza huyu Lembile anaweka hadi ngombe zaidi ya 200 kwa msukuma mmoja. Na kijiji hakimchukulii...
  11. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Askari sita wa Jeshi la Polisi wanashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya kijana wa miaka 23

    Askari sita wa Jeshi la Polisi mkoani Morogoro wanashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya kijana wa miaka miaka 23, mkazi wa kijiji cha Bwakila Chini wilaya ya Morogoro. Soma Pia: Jeshi la Polisi: Watu 130 wakamatwa kwa tuhuma za mipango ya kuchoma shule na kuua viongozi
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Walimu hatujalipwa pesa zetu za kujikimu

    Ajira ya Mwaka 2026 January katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Walimu hatujalipwa pesa zetu za kujikimu na tukiuliza wahusika kama SLO anatufokea na hawatoi majibu mazuri. Soma Pia: Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Kada ya Afya hatujalipwa kujikimu Sisi ni kitengo cha Statistics and...
  13. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Hati za kimila: Mkombozi wa wananchi wa melela na Mikese mkoani Morogoro

    HATI ZA KIMILA: MKOMBOZI WA WANANCHI WA MELELA NA MIKESE MKOANI MOROGORO Wananchi wa Vijiji vya Melela na Mikese mkoani Morogoro wameeleza furaha yao baada ya kupata Hati za Kimila, hatua inayowawezesha kutambuliwa kisheria na kuimarisha usalama wa umiliki wa ardhi. Akizungumza katika...
  14. G

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Fursa! Kiwanja Kilichopimwa chenye Huduma Zote

    Kiwanja kinauzwa KIBAHA KWA MFIPA kwa dharura 6M,kina sq merter za mraba 500+ Hizi ni picha kiwanja kilipo, kuna huduma zote muhimu na tayari kuna makazi ya watu. Kimepimwa tayari na hakina udalali, changu mwenyewe Kutoka morogoro road hadi site ni km 5 Mawasiliano 0754088347
  15. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Morogoro mji kasoro bahari, kwani zamani ilikuwa lazima mji kuwa na bahari

    Huu msemo Sijawahi kuelewa. Arusha hawana bahari, Dodoma jangwa, Mwanza wana ziwa sio bahari lkn pia ni mji. Kagera ni mji hamna bahari. Kwani I Morogoro pekee. Kutoka Sweet Africa Msamvu wenu katika utumishi
  16. mnyama kombaaa

    JamiiForums Tanzania 🎓🔥 NAFASI ZA AJIRA: LECTURER & ASSISTANT LECTURER – MOROGORO

    Una taaluma ya kufundisha katika elimu ya juu? Kuna nafasi mpya za Lecturer na Assistant Lecturer zilizotangazwa Morogoro. Hii ni fursa nzuri kwa wataalamu wanaotaka kuendeleza taaluma yao katika ufundishaji, research, publications na consultancy. 👨‍🏫 LECTURER Majukumu makuu ni pamoja na: ✅...
  17. K

    JamiiForums Tanzania 🔥 Kutoka Kongo Hadi Morogoro: Miamba Mitatu ya Rumba na Jinsi Watoto Wao Walivyobeba Urithi wa Wazazi

    Wanajamii Forums, leo naomba tupitie kwa ufupi magwiji wa muziki wa dansi ama Rumba wa Afrika Mashariki na Kati, kazi zao zilizotukuka, na jinsi vizazi vyao vinavyolinda urithi huu wa kihistoria. Tasnia ya muziki wa kizazi cha dhahabu (Golden Era) barani Afrika ilitawaliwa na ubunifu mkubwa wa...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Tuhuma zinazomkabili John Heche, wenyeviti 15 wa CHADEMA Morogoro wasusia kikao cha mkoa

    Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Morogoro, Barnabas Okola, amesema kikao cha wenyeviti wa mikoa kilichofanyika Agosti 13 kilitarajiwa kuhudhuriwa na viongozi 30, lakini waliohudhuria walikuwa 15. Amesema katika kikao hicho baadhi ya wenyeviti waliibua hoja kuhusu tuhuma za Makamu Mwenyekiti, John...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Morogoro: Zebra za Mazimbu Road zimefutika, wananchi tunapata changamoto kuvuka barabara kuu

    Eneo la Mazimbu Road, Morogoro, katika barabara kuu ya Dodoma, limekuwa na changamoto ya zebra za kuvukia barabara kufutika. Eneo hilo hutumiwa na wananchi wengi, hasa wanaotokea au kuelekea kwenye njia inayounganisha na kituo cha SGR na kuingia kwenye barabara kuu. Suala hili limekuwa...
  20. G

    JamiiForums Tanzania Morogoro, Wilaya ya Kilombero, Tarafa ya Mang'ula Wananchi waomba msaada kuhusu tatizo la Tembo

    MKOA WA MOROGORO, WILAYA YA KILOMBERO, TARAFA YA MANG'ULA: WANANCHI WAOMBEA MSAADA KUHUSU TATIZO LA TEMBO Vijiji vingi vilivyopo katika Tarafa ya Mang'ula, Wilaya ya Kilombero, Mkoa wa Morogoro, vinapakana na Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa. Kwa ushirikiano kati ya TANAPA, Serikali na...
Back
Top Bottom