[Zab130:3] BWANA, kama Wewe ungehesabu maovu, nani angesimama?
[Zab51:3] Maana nimejua mimi makosa yangu Na dhambi yangu i mbele yangu daima
[Zab51:4]Nimekutenda dhambi Wewe peke yako, Na kufanya maovu mbele za macho yako.
[Zab51:5]Tazama, mimi naliumbwa katika hali ya uovu; Mama yangu...