lazima

Lazima is a settlement in Kenya's Coast Province.

View More On Wikipedia.org
  1. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Kwenye kesi ya Lissu waende mashahidi tu nao siyo lazima: wewe siyo wakili unaenda kufanya nini na una familia acheni uzurulaji tafuteni hela.

    Majukumu umemuachia mkeo wewe upo busy na kesi ambazo hazikuhusu, hao wenzako wanalipana donation wameshikilia line za michango waliyotapeli watu wewe je! Hebu achana na hii tabia, tafuta Hela mkeo aone kunajitihada unaonyesha...badae mje mseme ndoa ngumu wewe unaenda Mahakamani unashinda...
  2. Gospel KTV

    JamiiForums Tanzania Alijiunga NSSF kwa kutumia Passport, sasa hivi anataka kutoa pesa anaambiwa lazima awe na NIDA. Hii imekaaje kisheria?

    Wakuu salama, Kuna changamoto inamkabili ndugu yangu mmoja hapa naomba mniongezee mwanga au kama kuna mtu amewahi kukutana nayo atupe uzoefu wake. Huyu ndugu yangu wakati anaajiriwa na kusajiliwa NSSF, alitumia Paspoti ya Kusafiria (Passport) kama kitambulisho chake rasmi na akasajiliwa bila...
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Utawala wa Iran lazima uangukie Pua Watake was itakaa-Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu!!

    Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu: Utawala wa Iran utaanguka. Tutauangusha. Tayari uko katika hatua zake za mwisho. Mifumo yetu yote, chini ya mwongozo wangu, inachukua hatua ya kupindua utawala huu.
  4. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Je Serikali ya Ccm na Samia ilikua imejiandaa kweli juu ya hili swala la shule za Amali?

    Habar, Kwa Mwaka huu kumeshuhudiwa ufunguzi wa shule nyingi katika sehemu mbalimbali ya Tanzani, Shule ambazo zinamuundo tofauti na shule hizi zingine za sekondari, shule hizi mtaala wake unasema Mwanafunzi atafundishwa elimu ya vitendo zaid kumpa ujuzi wa shughuli mbalimbali ambazo baada ya...
  5. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kuvaa nguo zenye nembo ya CHADEMA siyo lazima uwe mwanachadema

    Kuna watu wanahangaika sana kuwavalisha watu wanaowatumia kuishambulia CHADEMA kwa kuwavalisha nguo zenye nembo ya CHADEMA ili kuthibitisha "uchadema" wao. Mtu kuzungumza kama mwanachadema kuko kikatiba kwa kufuata Katiba ya CHADEMA na siyo kwa kuvaa nguo yenye nembo ya CHADEMA. Maana ili uwe...
  6. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Nchi yetu inapoelekea kwenye maendeleo makubwa,ni lazima ilindwe kwa nguvu kubwa,lakini kwa uwazi mkubwa!.....

    ••Kwenye uwazi na ukweli ndipo tunapokosea, ••Mambo ya siri,mikataba ya siri ndilo tatizo kubwa. ••Wakati taifa letu likielekea kwenye uchumi mkubwa the way ndipo tunapojiongezea maadau wengi zaidi wa kiuchumi,maadui hawa wengi ni miongoni mwetu sisi wenyewe kwa kutumika na walio nje wenye...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole alisisitiza kwamba Samia na Kikwete lazima watashitakiwa na kunyongwa. Unabii utatimia wengi tukiwa hai

    Utawala wa Samia umefanya makosa makubwa ya kimkakati (strategic mistakes) yaliyoweka fursa ya kushitakiwa na kunyongwa. Kosa la kwanza ni "Coup D'etat" mtu yoyote anayejua siasa na sheria anafahamu October 29 Samia na Washirika wake walifanya mapinduzi dhidi ya maamuzi ya kiraia (Katiba...
  8. O

    JamiiForums Kenya Pasta Ng’ang’a Awaambia Waumini: “Ni Lazima Mtoe” KSh1,000 kwa Tiketi Yake ya Ndege

    Video ya Pasta Ng’ang’a akiwa mbele ya waumini imezua mjadala mitandaoni baada ya kuonekana akiwaomba kila mshiriki kuchangia KSh1,000 kwa ajili ya kugharamia tiketi yake ya ndege. Katika video hiyo, pasta anaonekana akizungumza na waumini kanisani huku akisisitiza umuhimu wa kila mmoja kutoa...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kundi ndani ya CCM linalopinga yanayoendekea nchini hivi sasa lazima lisimame kuhesabiwa ili kuinusuru nchi

    Nyie wanaCCM msiokubaliana na yanayoendelea nchini, uoga wenu ndiyo kitanzi cha tsifa hili. Ni lazima mpandishe joto la kisiasa nchini ili muafaka wa kitaifa upatikane. Tokeni kwenye mashimo yenu ya woga na hofu, mje mtoke hadharani mseme, mkemee, mshauri na mtoe misimamo. La sivyo atanyakuliwa...
  10. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Kwani ni lazima Makamu mpya wa Rais awe mkatoliki?

    Naona watu wanasema makamu wa Rais awe mkataliki je ni lazima makamu wa Rais awe mkatoliki Wakatoliki wanajikutaga wao ni watu wa muhimu sana kuliko madhehebu mengine ya wakristo Unajua watu wanawatuhumu wazanzibar kwamba wana nepotism ila hakuna watu wanaubaguzi kama wakatoliki huwa wanadhani...
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Bwana Nchimbi, Usijiuzuru Umakamo, Wacha Samia aongoze Kikao cha Kukuondóa kwa Lazima ndivo atakavyozidi Kuchafuka ... Ukijuzulu wewe ,utaonekana....

    Mzee Nchimbi, sio lazima utafute Mawazo kwa Wazeee katika suala dogo kama hili.. Kimàhesabh, Ukijiuzulu wewe mwenyewe kama Alivyofanya Lowassa, Utaonekana wewe ndio Snitch, Mkorofi, uliyekua unamfitinisha Samia , na Genge la Samia wanaweza kutengeneza Picha ya Wananchi kuamin kua "Wewe ni mmoja...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ili ufanikiwe ni lazima uwe katili

    Wakuu natoka msibani kwa mjomba wangu muda huu Mjomba alikua mfanyabiashara alikua na upepo wa biashara ogopa, Alikua akija kununua mzigo hadi yeye amalize ndo wengine wenye mitaji midogo midogo mtafafa Alikua kwenye biashara kwa miaka zaidi ya kumi Mala gafla kaanza kuumwa,peleka vipimo...
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Degree Si Lazima 2027? IEBC Yafafanua Nani Anaweza Kuwania Kiti

    Kamishna wa IEBC Ann Nderitu amesema kuwa kwa sasa hakuna sharti la jumla linalomtaka aspirant kuwa na degree ili kuwania nafasi hizo katika Uchaguzi Mkuu wa 2027. Ufafanuzi huo unatokana na maamuzi ya mahakama yaliyobatilisha baadhi ya vifungu vya Section 22 of the Elections Act vilivyoweka...
  14. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Mahari ni lazima, usidanganyike binti

    Utamaduni wa kiafrika lazima mwanaume amtolee mwanamke mahari awe na mtoto au asiwe na mtoto. Ukiamua kuoa kwenye boma la watu wenye miiko yao ni lazima utoe mahari mf. Sisi wa Masai . Ukiwa bikra unatoa mahari ya ng'ombe mia moja . Akiwa na elimu nanibikra ni ng'ombe 150. Ndio umchukue hapo...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza Klabu za Tanzania zinaenda kumlipa mchezaji wa ndani milion $ signing fee, Muhindi kashikwa pabaya. hana budi kucheua mapene.

    Mkwanja Unazidi Kupanda 🔥 Kwa mara ya kwanza, klabu za Tanzania zinaenda kumheshimisha mchezaji wa ndani kwa kumuokotesha mapene ya dola milioni za Kimarekani, hela ambazo kwa mazingira ya soka letu kwa wachezaji wetu wazawa wa ndani ni kama radi inayopiga kwenye jua kali. Hakuna mchezaji wa...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Binti; Sio lazima mama mkwe akupende

    BINTI; SIO LAZIMA MAMA MKWE AKUPENDE. anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Wakati nampeleka Mchumba wangu nyumbani kwa mara ya kwanza. Tukiwa Dodoma nilimwona akiwa katika hali ya hofu na wasiwasi. Alikuwa ni binti mdogo, ndio kwanza chuo mwaka wa pili, hukuwahi kupelekwa ukweni. Nimdodosa...
  17. ChoiceVariable

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais William Ruto: Hata Mkininyima Kura Malaika Wataniongezea, lazima nitashinda Urais

    Harafu unakutana wale wapumbavu huko mtaani wanajazwa upepo na Wapinzani Hadi wanapoteza maisha,wanakuwa vilema nk kisa vurugu za kuwapigania Wanasiasa Kwa ahadi kwamba Katiba Mpya itawapa maisha. Haya kiko wapi? Kinachoitwa Katiba Mpya ni scam ya kuwa fool wajinga na wapumbavu Kwa maslahi ya...
  18. Optimists

    JamiiForums Tanzania Kazi ya ualimu ukiiacha mizimu ya kwenye lazima ikushukuru

    Nimeona mwalimu kafungwa maisha Kwa kosa la kuchapa mwanafunzi, huwezi kumsikia mkurugenzi, afsa elimu au mtu yoyote anaehusiana na mwalimu kufika mahabusu kumsalimia au kumtia moyo ukizingatia hiyo mwalimu alikuwa anafanya kazi ya mkurugenzi. Siku zote nawashauri walimu nenda shule kazuge...
  19. bullbar

    JamiiForums Tanzania Mangungu lazima abaki Simba sports Club

    Sisi kama wana Dar es Salaam Young Africans, tuna unga hoja za Mangungu akiwa kama kiongozi halali wa Simba na tena maamuzi yake yaheshimiwe na wanachama pamoja na viongozi wote wa Simba..
  20. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Safari hii Iran lazima anyooshe maelezo kwa Trump!!

    Iran safari hii lazima watatema ndoano!!!
Back
Top Bottom