Kwamba nikijaribu kujitafta mimi halisi sipo?
Najua utabisha, but honestly hakuna self! Yaani you don't exist, wewe ni kama thought, wazo flani tu ambao liko implanted kama jina, jinsia, baba, mama, mtoto, mjukuu nk
Tukianza na physical body, hii ni kama vessel au chombo kinacho beba uhai...