mimi

  1. Isenye

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hili tatizo la wanawake kuwa wakavu ni mimi tu nakutana nalo au ni janga la Taifa?

    Asalam aleiko Moja kwa moja kwenye Mada Siku za hivi karibuni nimeanzisha harakati za kuzitandika mbususu ipasavyo na tena bila huruma. Sasa cha ajabu kati ya mbususu 10 ninazokutana nazo basi 8 lazima ziwe kavu. Soo nauliza ni mimi ndio nina bahati mbaya au k kavu ishakua janga la taifa?
  2. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ruangwa: Miradi mingi iliyozinduliwa na Mwenge imekomea palepale bila kumaliziwa

    Mimi nipo Wilaya ya Ruangwa. Miradi mingi iliyozinduliwa na mwenge imekomea palepale bila kumaliziwa. Mfano ni kituo cha afya Chienjere na Shule ya Sekondari Namakuku. Miundombinu hii imetelekezwa na Wazabuni na kwa kuwa ipo pembezoni mwa mji inakuwa ngumu kufuatiliwa na kuonwa na viongozi...
  3. TheForgotten Genious

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yaani upwiru wako,halafu nikutumie nauli mimi tena?

    Utakuta mdada anakupigia simu au anakutumia sms"Nimekumiss" unamjibu njoo,anasema umtumie nauli aje,woiii,upwiru wake nimtumie nauli tena?,tutatuma nauli tunapowahitaji tu kama hatuwahitaji mnatuhitaji mje na nauli zenyu. Na bado akija anataka uichape mpaka itoe moshi alie kama kasongo,akojoe...
  4. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unajichelewesha mwenye mimi kuwa baba wa watoto wako

    Nakuvizia kwenye nyumba za ibada, hutokei Nakupigia simu, hupokei Nakutumia ujumbe wa simu, hunijibu Nakuandikia barua, hunijibu Nakutumia vocha, hunipigii Nakutumia hela ya matumizi, hushukuru Sasa mimi nifanyeje; endelea kujichelewesha mwenyewe, mimi kuwa baba wa watoto wako.
  5. prida

    JamiiForums Tanzania Naamini katika wilaya yangu yote ni mimi pekee nisiyeamini huu UPUMBAVU.

    Juzi kati nilitembelea watoto yatima sehemu fulani maporini huko na nikiwa huko nilihisi kung'atwa na kitu then kurudi home wakati naoga nikaona pale mahali pamevimba.Na palivimba na kuwasha sana kwa kama wiki nzima huku dawa nilizopewa hospitali kutosaidia kit. Tukiwa kitandani shemu wenu...
  6. Guacamole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Navutiwa sana na wanawake wenye Michirizi (Stretch marks)

    Katika moja mbili tatu ya aina za wanawake niliokutana nao kimwili, kiukweli huwa navutiwa mno na wanawake wenye michirizi ya kutanuka, kizungu wanaiita “stretch marks”. Sio mabonge, wengine ni ma model kabisa wanakuwa nazo. Navutiwa zaidi nikiziona kwenye maeneo ya ma.ta.cal* aisee si mchezo...
  7. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kumbe mimi na wewe hatupo?

    Kwamba nikijaribu kujitafta mimi halisi sipo? Najua utabisha, but honestly hakuna self! Yaani you don't exist, wewe ni kama thought, wazo flani tu ambao liko implanted kama jina, jinsia, baba, mama, mtoto, mjukuu nk Tukianza na physical body, hii ni kama vessel au chombo kinacho beba uhai...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Toyota Rush. Moja ya gari pendwa sana kwa baadhi ya watu ni kiwemo mimi

    Toyota Rush ni gari aina ya SUV ndogo (compact SUV) inayotengenezwa na kampuni ya Toyota Rush. Inajulikana kwa kuwa ya familia, yenye nafasi na uwezo wa kuhimili barabara mbaya. Sifa kuu za Toyota Rush Injini ya petroli ya 1.5L Ina uwezo wa kubeba abiria 7 Ground clearance kubwa (huisaidia...
  9. Mbondijr

    JamiiForums Tanzania Je, ushawahi kuumizwa Kama Mimi?

    Aisee yamenikuta nikahisi nipo kwenye njozi ni wiki mbili tu lakini nilikonda kiasi ambacho hata upepo kidogo ukija napepesuka Kiufupi siku moja nimelala usiku naskia simu vuuu, vuuu, vuuu nilikuwa nimeweka vibration kuangalia mama ndio alikuwa anapiga ile kupokea tu hakuna salamu Wala Nini...
  10. L

    JamiiForums Tanzania KERO Wanafunzi tuliohitimu clinical medicine chuo cha Kilimanjaro College of Health and allied sciences mwaka 2025 mpaka leo hatujapata vyeti vyetu

    Habarini za kazi , Wahitimu wa diploma ya Clinical medicine wa chuo cha Kilimanjaro college of health and allied Sciences (KICOHAS)tulihitimu mwaka 2025 mwezi wa nane mpaka leo hatujapata vyeti Soma Pia: Wahitimu wa Chuo cha Uhasibu Arusha wa Mwaka 2025 hatujapatiwa vyeti vyetu, wanatupiga...
  11. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Kila nikitafuta cha kujivunia mimi kuwa mwafrika nakikosa

    Sio kwamba najichukia binafsi ila naichukia hii jamii ya kuitwa afrikana. Ni ngumu kukaa katika jamii ambayo utimamu ni adui, utimamu ni kihere here. Afrika aliesoma zaidi yako ni amesoma ili akuminye wewe usio na uwezo wa kisomo chake maana hauwezi kukaa katika kiti cha ku-control vile uishi...
  12. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Hiki kizazi kinachofanya siasa miaka ya sasa bado kina fikra za miaka ya 70's zenye roho ya u Swahili Swahili mostly hata ibada hawafanyi

    Siku wakizeeka hawa wanaofanya siasa sahz ndipo Tanzania tutakuja kuwa na kizazi chenye siasa za malengo na kizalendo (functional politics) Kitakuja kizazi ambacho hakitataka kijue hata historia ya Tanzania kitaanzisha siasa za kisasa ambazo zitajikita zaidi kwenye kulinda heshima ya nchi...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Msigwa: Sikujua kama Watu walikuwa wamekasirishwa sana, mimi kuhama kutoka CHADEMA kwenda CCM

    Mchungaji Msigwa aliyekuwa mbunge wa Iringa Mjini kupitia Chadema kwa miaka 10 (2010/20), alijiunga na CCM Juni 30, 2024 kabla ya kutangaza kurejea rasmi Chadema Mei 23, 2026 amesema; "Mimi sikujua kwamba watu walikuwa wamekasirishwa sana na kitendo cha mimi kuhama kutoka Chadema kwenda CCM...
  14. Keyboard_Warrior

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Trump: Bila mimi kusingekuwa na taifa linaloitwa Israel wakati huu

    https://x.com/MOSSADil/status/2062123748199649439?s=20
  15. K

    JamiiForums Tanzania Tuheshimianeni humu ndani, nyuzi zangu hazina muendelezo leo nikisema mimi polisi, kesho kutwa mganga.. nisiulizwe

    Hamjambo nyie waja Binafs sitaki niulizwe, yaani ukute leo nimetoa uzi mimi mwizi, kesho kutwa mimi askofu au sheikh sitaki niulizwe au nikumbushiwe Uwa nawa replesent watu wangu wa karibu, sasa mkiniuliza mimi nilikuwa mlevi vipi leo naswalisha sitak maswali ya hivyo Humu kuna watu...
  16. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Kuna hili jina sasa hivi kila Mtoto anaezaliwa anapewa sio kwa ubaya mimi nimesema tu

    Alvin and The Chimpanzee Monkey ni katuni fulani ya watoto inayofurahisha sana watoto. Sasa hivi kila nyumba ninayokatisha imejaa Alvin and the Chimpanzee Monkey. I am Outside.
  17. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi sijui Hesabu au Mabeberu Wana Hela? Apple Pekee ina Thamani Sawa na Bajeti ya Tanzania ya Miaka 200?

    Ni either mimi hesabu za Kihasibu sijui au Hawa jamaa waheshimiwe! Makala inaniambia kampuni la Marekani Apple, wenye iPhone, Mac, na iPads zao, wana net-worthy ya zaidi ya US$4.5 trillion tunavyoongea. Hapo hapo budget yetu kwa mwaka ni US$24 billion. Kwahiyo ukigawa hapo si kwamba Apple...
  18. abdallah sadiki mohamedi

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwanachama mpya, naomba mnipokee

    Habari wana JamiiForums, mimi ni mwananchama mpya naomba mnipokee
  19. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Songwe nipo kwenu toka Jumatano nimekuja kubalizi kidogo na majini wenzangu 😂😂 karibuni mnaotaka kuonana na mimi

    Wakazi wa Songwe nipo kwenu toka Jumatano nimekuja kubalizi kidogo na majini wenzangu 😂😂 karibuni mnaotaka kuonana na mimi
  20. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Hakuna "Mimi" Wala "Wewe": Spiritual awakening(non-duality)

    Kabla sijaanza, nataka niweke wazi kuwa spiritual awakening si sawa na dini. Dini mara nyingi hutufundisha namna ya kumtafuta Mungu nje yetu, lakini spiritual awakening ni safari ya kujitambua ndani yetu. Si kuhusu kubadilisha dini, kuacha imani fulani au kuwa “mtakatifu”… bali ni kuanza kuhoji...
Back
Top Bottom