miradi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU mnalala kwa makusudi: Ufisadi miradi ya ujenzi uko wazi na mnajidai hamuuoni!

    Huu mkeka wa ufisadi umepamba moto miaka ya karibuni bila kuchukuliwa hatua, TAKUKURU ina fuatilia vidagaa, na ni kwa vile wakubwa wanahusika katika hii grand corruption. Ujenzi sasa hivi ni sekta inakaribia kubomoka kabisa kutokana na corruption inayowahusu Wachina, Taasisi za ujenzi, hasa...
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mtatifikolo Isimani: Kuendeleza Miradi ya Lukuvi

    MTATIFIKOLO: NITAENDELEZA YOTE YALIYOACHWA NA HAYATI WILLIAM LUKUVI. Mgombea Ubunge Jimbo la Isimani Ndg. Emmanuela Mtatifikolo ameendelea na kampeni kuelekea Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Isimani katika Kata ya Malengamakali na kuzungumza na wananchi wa Vijiji vya Iguruba, Makadupa, Mgodini...
  3. UTPC

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya Mazingira kwenye miradi mikubwa, maeneo yanageuzwa dampo

    Wakazi wa Kata ya Chamwino, Manispaa ya Morogoro, wameendelea kuishi katika mazingira yenye hatari kubwa za kiafya, kiusalama na kimazingira kufuatia kutofanyiwa usafi wa mara kwa mara maeneo yaliyopitiwa na miradi mikubwa ya serikali ikiwemo Bomba la Mafuta la TAZAMA na Grid ya Taifa ya Umeme...
  4. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Dangote ana dola bilioni 45 zinasuburi kuwekezwa kwenye LNG plant Nigeria na refinery East Africa. 2030 miradi hiyo itakuwa tayari.

    Msikilize mwenyewe. https://youtube.com/watch?v=jVs4NBoHZic&si=JzFKdd-vhBYoxp9O
  5. A

    JamiiForums Tanzania Wakati Uswiss katika kupunguza uchafuzi wa Mazingira wanajenga Reli kwenda Italia , Sisi tunakwamisha Miradi yetu ya Reli.

    Switzerland sustainability goals in usage of Rail transport more than road transport Switzerland has adopted an ambitious long-term climate strategy to achieve net-zero greenhouse gas emissions by 2050, with a core focus on shifting traffic from road to rail, particularly for freight and...
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Prof. Shemdoe amshukuru Waziri Mkuu kuadhimisha Miaka 62 ya Muungano kwa kukagua miradi, kutatua kero za wananchi

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amemshukuru Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kwa kuadhimisha miaka 62 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kukagua ujenzi wa miradi ya maendeleo ya daraja jipya la...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Miradi yote ya Ujenzi iwe chini ya Wizara ya Ujenzi

    Kitu Gani kinafanya wizara ya UJENZI isihusike na miradi YOTE ya UJENZI ya serikali? Bali imejikita kwenye Ujenzi wa barabara kuu na baadhi ya majengo au wizara zingine zinatumia miradi ya ujenzi kama chaka la kuiba pesa za umma hasa wizara ya TAMISEMI, TBA tasisi ambayo iko chini ya wizara ya...
  8. W

    JamiiForums Tanzania Huduma za uwekaji Tarazo (Tiles) kwa miradi mikubwa na midogo

    Tunatoa huduma za kitaalamu za uwekaji wa Tarazo (Tiles) kwa ubora wa hali ya juu kwenye maeneo mbalimbali: 🔹 Mashule (madarasa, korido, vyoo) 🔹 Parking (maeneo ya magari) 🔹 Underground floors (basements) 🔹 Nyumba binafsi (residential houses) 🔹 Ofisi, maduka na majengo ya biashara 💼 Kwa nini...
  9. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI yakagua na kusema imeridhishwa na miradi ya TACTIC jijini Arusha

    Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Florent Kyombo ameipongeza Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mkoa na Serikali za Mitaa (OWM- TAMISEMI), kwa usimamizi mzuri wa utekelezaji wa miradi ya TACTIC katika Jiji la Arusha, miradi ambayo imeweka kiwango bora cha utekelezaji wa miradi ya...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Fedha za miradi zilipwe kwenye akaunti zilizopo nchini

    Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ameyasema hayo leo wakati akiongea na wananchi wa Karatu.
  11. Keynez

    JamiiForums Tanzania Je, baadhi ya miradi inayofanyika Dodoma ni kinyume cha malengo ya kuufanya kuwa mji wa kiSerikali?

    Mara kwa mara nimekuwa nasikia baadhi ya miradi inayofanywa na serikali huko Dodoma, nabaki kujiuliza kwamba mbona yanaenda kinyume na malengo yaliyokusudiwa ya kujenga mji wa kiserikali? Jana nilisoma mahali kwamba wanajenga viwanja vikubwa vya mchezo wa golf na lengo ni kupafanya Dodoma...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Benki ya Dunia yaipa Tano DAWASA usimamizi wa miradi

    Benki ya Dunia imetembelea na kukagua utekelezaji wa Miradi inayofadhiliwa na Banki hiyo ya Usafi wa Mazingira katika Mikoa ya Dar es salaam na Pwani yenye thamani ya zaidi ya Bilioni 179 na kuhimiza ukamilishaji wake kwa wakati ili kuleta tija kwa Jamii nufaika. Katika ziara hii iliyoongozwa...
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega: Siku 100 za Rais Samia Serikali imekamilisha Miradi 40

    Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imeweka historia mpya katika eneo la King'ori, jijini Arusha na maeneo mengine nchini kwa kuweka tumaini jipya kwa wananchi kupitia ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja ndani ya siku 100 za Rais Dkt. Samia...
  14. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Miradi inayo zinduliwa na mwenge huwa haiendelei

    Natamani ifike nyakati mwenge baada ya kuizindua miradi mbalimbali, mwaka unaofuata upite tena kuangalia ile miradi kama bado ipo .
  15. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Utekelezaji wa miradi moi wafikia wastani asilimia 78.5

    Kasi ya utekelezaji wa miradi minne ya maendeleo katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imefikia wastani wa asilimia 78.5, hali inayowasha taa mpya ya matumaini ya uboreshaji zaidi wa huduma kwa wagonjwa. Meneja Milki, Mazingira na Matengenezo wa MOI Bw. Victor Kamagenge...
  16. Mafia Island Boy

    JamiiForums Tanzania Urasimu, uzembe vinaongoza kukwamisha miradi mbalimbali ya Serikali

    Kutoendelezwa kwa miradi mbalimbali jijini Dar es Salaam, iliyogharimu mabilioni ya fedha za umma kumetajwa kuwa ni ufujaji wa fedha hizo. Mwandishi wa habari hizi ametembelea baadhi ya miradi ya vyoo katika Halmashauri ya Kigamboni, Ilala, Temeke, Kinondoni, na Ubungo. Mamlaka ya Majisafi na...
  17. figganigga

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Siku Samia Suluhu akifa, tufute Majina yake kwenye Miradi yote ya Serikali

    Kwa yaliyotokea 29 Oktoba 2025, ni laana kwa Nchi. Jina lake libaki kwenye Misikiti alojenga pekee. Kwenye Utawala wake aliruhusu Watanzania kuuana wao kwa wao ili yeye asalie madarakani.. Katiba akaiita kijitabu.. Kijitabu akakitumia kuapa asalie madarakani bila ya kuchaguliwa na yoyote...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Tathmini yako ni ipi kuhusu mgawanyo wa miradi ya serikali mikoani, serikali inajali usawa kulingana na uhitaji katika kutekeleza miradi l?

    Ni muhimu kuangalia kama rasilimali zinagawanywa kwa haki, zikihakikisha mikoa yote inapata fursa sawa ya maendeleo, bila upendeleo wowote. Tathmini yako ni ipi kuhusu mgawanyo wa miradi ya serikali atika kila mkoa ? Je, serikali inazingatia usawa kulingana na uhitaji halisi wa wananchi katika...
  19. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Tanzania, kila Kona kwenye miradi mingi Kuna ubadhilifu, je serikali inasajili vibaka? Wezi?

    Kuusema ukweli wa kimungu, Rais Samia anapigwa vibaya mnoooooo! Moja ya kitu alichofanikiwa kukifanya kwa ufasaha ni kuwatishia wabadhilifu hata kama walimpiga lakini walio kuwa wapigaji walipungua kwa kiasi kikubwa sana. Awamu ya nyuma ya utawala wa Samia aliyekuwa waziri mkuu alikuwa na...
  20. H

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania ianze kuwadhamini vijana mikopo kwenye mabenki ili wajiajiri kupitia maandiko yao ya miradi

    Serikali ya Tanzania lazima ikubali kuwa chanzo cha matatizo yote hadi vurugu za D29 ni ukosefu wa ajira na maisha magumu kunakopelekeanchuki kwa vijana dhidi ya serikali,matajiri na viongozi. Hivyo basi kama serikali inaweza kujidhamini na kukopa fedha nje ya nchi kwanini isiwadhamini vijana...
Back
Top Bottom