sgr

The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".

View More On Wikipedia.org
  1. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Polisi mnayemuweka mataa ya Central azingatie muda wa SGR

    Huyu askari anazuia magari mpaka abiria wanazuiwa kuingia kwenye sgr si sawa hii. Zingatieni muda wa train ya sgr mbona vitu havihitaji shule kubwa jamani.
  2. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Maoni binafsi: Serikali Inachochea Biashara ya Ukahaba kwenye Treni za SGR

    Kitendo cha kuweka wadada walioumbika na kuwavalisha vimini vyenye mpasuo ili kuvutia wateja ni ukahaba. Kuna vile vidada vinavyouza vinywaji na bites kila mara vinainama inama, paja linakaa wazi, guu la bia jicho lege yani kama tuko Ubungo Riverside. Ni vijanja sana ukigusa kinajifanya...
  3. M

    JamiiForums Tanzania KERO Kuweka faini kwenye SGR ili kubadili tarehe ya safari si sahihi

    Kwa kweli niwapongeze na awamu ya sita huduma ni nzuri nzuri sana.na kwa kweli mnatusaidia sana. Tunasafiri raha mustarehe. Kidogo naomba mnisaidie na maoni. Adhabu ya kubadili tarehe kwa kutozwa hela tena. Hela nimeshatoa imeingia nimepatwa na dharura nahitaji ku reschedule tiket kupeleka...
  4. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda's SGR Gets Green Light with Largest-Ever Shs2.6 Trillion IsDB Financing Package

    Uganda's Permanent Secretary and Secretary to the Treasury (PS/ST) Dr Ramathan Ggoobi and Dr. Muhammad Al Jasser, the President of the Islamic Development Bank (IsDB) and Chairman of the IsDB Group. PHOTO/ MINISTRY OF FINANCE HANDOUT Uganda has received a major boost in its long-delayed...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini treni mchongo yenye behewa 16 (Dar - Morogoro) hainoekani kwenye mfumo wa tiketi

    Kuna jambo ambalo sijalielewa kuhusu uendeshaji wa treni ya mwendokasi (SGR) kati ya Dar es Salaam na Morogoro. Kwa kawaida, safari hii hutumia treni yenye behewa 14 (ordinary). Hata hivyo, kumekuwa na nyakati ambapo treni ya mchongoko yenye behewa 16 imekuwa ikitumika kwenye route hii. Sina...
  6. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania TRC yaingiza Ford Rangers zenye teknolojia ya Laser kukagua Reli ya SGR

    Ununuzi wa magari ya Ford Ranger yanayotumia teknolojia ya laser uliofanywa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) unaashiria hatua kubwa katika kuimarisha usalama wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR). Magari hayo, yaliyoboreshwa kuwa magari maalum ya Hi-Rail, yatatumika kukagua na kufuatilia reli...
  7. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania TRC yanunua magari maalumu yatakayotumika katika ukaguzi wa njia ya reli ya SGR kipande cha 1 na 2

    ======= Shirika la Reli Tanzania (TRC) limenunua magari mawili maalumu ya kisasa ili yatumike katika ukaguzi na upimaji wa reli mpya ya mwendokasi (SGR) kwa upande wa kipande cha kwanza na cha pili (Lot 1 & Lot 2). Magari hayo yana uwezo wa kipekee wa kutembea juu ya reli kwa kutumia...
  8. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Hizi SGR watu wanavukaje?

  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha SGR – Dar kitengewe sehemu ya madereva kuchukua abiria wao, kulipia buku hata kama unapita tu si sawa

    Madereva tunapata changamoto kubwa pale kwenye Kituo cha SGR kilichopo Stesheni, Dar es Salaam, wanatukamata tukienda kubeba abiria, wanataka tuingie ndani ili tulipie shilingi 1,000, wakati sisi ni madereva wa mtandaoni na pale tunapita tu siyo kwamba tunaenda kuegesha vyombo vyetu. Namaanisha...
  10. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Angekuwepo shujaa wa Afrika hayati JPM leo hii mradi wa SGR ungekuwa umekamilika hadi Mwanza. Hii ni kwa sababu alikuwa na uchungu maisha ya watu

    Leo hii Trc wanajinasibu kuwa shirika linajiendesha lenyewe bila kupata ruzuku toka serikalini. Hizi zote ni juhudi za Shujaaa wa Afrika. Alikuwa makini sana kusimamia pesa za umma. Kutandika reli na kuweka njia za umeme kama angekuwepo mradi ungekuwa umekamilika. Leo hii watu wangeweza...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Babu Tale: Kwanini tusije na Ambulance ndani ya SGR?

    Mbunge, Taletale amependekeza kuwa Serikali ije na SGR ambulance kwa kuwa kuna wagonjwa wanakiwa wanahitaji huduma ya magari ya wagonjwa kutoka Morogoro kwenda Muhimbili ila hawana uwezo hivyo kwa kuja na hiyo SGR Ambulance itakuwa imewasaidia wananchi wengi. Hayo ameyasema bungeni wakati...
  12. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya 2030–2035: Baada ya SGR, tuingie awamu ya barabara kuu za njia nne

    Tanzania tunaelekea kufanya jambo kubwa kupitia mradi wa reli ya kisasa ya SGR. Lakini baada ya kukamilisha SGR, nina pendekezo Serikali iandae project nyingine kubwa ya kimkakati ya kujenga barabara kuu za njia nne (dual carriageways) kwenye route muhimu zote za nchi yetu zinazobeba uchumi wa...
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Tanzania and Sweden Seal USD 1.32 Billion Deal for SGR Expansion in Dodoma

    Tanzania and Sweden are taking another major step forward in their partnership with the signing of SGR Lots 3 and 4 in Dodoma. With financing of around USD 1.32 billion, this milestone reflects a shared commitment to long-term, sustainable infrastructure. Already used by over 5.5 million...
  14. BORNNAGAIN

    JamiiForums Tanzania Safari za SGR siku za weekends. Watu wanachoka sana wakitoka Dsm

    Uzi na Mr Attorney Fanya uchunguzi wa Train za kuja Dar Ijumaa na Jumamosi. Utagundua Manzi za Dodoma huwa wanafuraha saana, snapchat, instagram na Tiktok kwa wingi… Ila Train za Jumapili kurudi DOM huwa ni kisanga sana. Huwa mamanzi wanalala tu, wamechookaa hatariii… wapo hoooii bin Taaban...
  15. Red black

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kudate/kuoa mwanamke mwembamba (slim) unatakiwa uwe na uvumilivu wa kiwango cha SGR

    sjui ni nature au nini ila mostly wana Gubu, hasira , mlio wahi kudate au kuoa wanawake slim nadhani mnatambua vyema.
  16. upupu255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania POTOSHI Je, ni kweli hii sauti inatolewa na kichwa cha treni ya SGR?

  17. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania Kukata tiketi za SGR kumerahisishwa zaidi

  18. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania TRC: Abiria waliopanda SGR kati ya Juni 2024 – Machi 2026 ni 5,512,995

    Abiria waliopanda SGR (Juni 2024 -Machi 2026) ni 5,512,995.
  19. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NEMA Opens 30-Day Public Review for SGR Extension After Environmental Assessment

    The National Environment Management Authority (NEMA) has opened a 30-day public review period for the proposed extension of the Standard Gauge Railway (SGR) from Kisumu to Malaba, marking a critical step in the approval process of the multi-billion infrastructure project. In a public notice...
  20. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ma-HR katika Mradi wa SGR Mwanza – Isaka wachunguzwe. Wanajineemesha kwa kufukuza watu kazi

    Wakandarasi wanaofanya kazi SGR tuna kero moja kwanza mshahara wa Serikali ilipopandisha mwanzo kabla hawajapandisha ilikuwa kwa siku ni shilingi 17,200 kwa madereva na ma operator, ila kwa malabour ilikuwa 16,200 baada ya serikali kupandisha wameweka level sio dereva, sio operator wote ni...
Back
Top Bottom