The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".
Jamani hii ni hujuma ya wazi kwa wamiliki wa mabasi;
Serikali sikivu ni ile inayotatua kero, Lakini Tunashangaa sana badala ya kutatua Zinazidishwa: HAIWEZEKANI
Mtakumbuka Enzi za mkurugenzi Kabwe aliyetumbuliwa na magufuli kwa ufisadi kupitia Stand,
Sitaki kugusia makando kando ya uendeshaji...
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza Tenda ya Kusambaza, Kufunga, na Kuboresha Mfumo wa Kamera za Ulinzi (CCTV) kwenye mabehewa ya abiria ya Reli ya Kisasa (SGR).
Tenda hiyo inahusisha;
Kusambaza kamera maalum za reli (4 MP IP CCTV), mifumo ya kurekodi picha (8-Channel NVRs), na vifaa...
TRC Yaimarisha Usalama wa SGR kwa Teknolojia ya Laser
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeongeza uwezo wa usalama wa reli ya kisasa (SGR) baada ya kununua magari mawili maalum yenye mifumo ya kisasa ya laser kwa ajili ya kubaini hitilafu na vihatarishi katika vipande vya 1 na 2. Teknolojia hiyo...
Ali Khan, 17, aliweka sawa mkoba wake wa nyuma na kupanda treni ya mchana ya SGR katika Kituo cha Voi. Siku tatu kabla ya hapo, kijana huyo wa Kihindi na wenzake 74 waliokuwa wamepiga kambi waliwasili kwa treni ya asubuhi wakitokea Mombasa. Baada ya kuangalia msitu wa Tsavo, walikuwa wakiendelea...
SGR Ina shida mahali , unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu mwanzo mpaka mwisho wa safari hii imekaaje ?
Mnamo tarehe 24 July 2026, mimi na mfanyakazi mwenzangu tulifanya malipo ya tiketi za SGR kupitia M-Pesa kwa kutumia control number tulizopewa.
Fedha ziliondolewa kwenye akaunti zetu, lakini malipo hayakuwasilishwa kwa SGR.
Tulipowasiliana na SGR, walituambia control number zilikuwa bado...
Anonymous
Thread
kupitia
m-pesa
malipo
sgr
tatizo
tiketi
tiketi sgr
TAARIFA KWA UMMA KAMERA ZA CCTV NDANI YA TRENI ZA SGR
Dar es Salaam, Agosti 06, 2026.
Shirika la Reli Tanzania (TRC), linapenda kuuarifu umma kuwa Kamera za CCTV zilizofungwa ndani ya mabehewa ya treni za SGR zinafanya kazi kama zilivyokusudiwa na ni sehemu muhimu ya mifumo ya usalama...
Wadau wa magari mnaendeleaje na ujenzi wa taifa? Kuna wataalam wa magari huko Instagram wameamua kushindana na SGR train. Wao watatumia BMW X3 F25 sijui ina engine gani N20 N47 au N55.
Wamechagua gari nzuri kwa mwendo na usalama kwanza. Ila niliwaona ni vichaa. Maanake SGR train inatumia 4hrs...
Ni Jambo la kushangaza kwamba licha ya maendeleo ya teknolojia na uwepo wa fibers bado abiria wa SGR wanakosa mtandao ndani ya train wakiwa safarini.
Hili ni Jambo la kushangaza na linapaswa kufanyiwa kazi Kwa haraka Sana. Yaani watu tushindwe Fanya biashara zetu kisa tupo kwenye SGR hapana...
Usafiri wa njia ya SGR unapaswa kusajihishwa na shughuli za kiuchumi za wananchi kwenye vituo inakopitia.
Hali ilivyo sasa abiria hawezi kubeba hata kamzigo ka kilo 20 za mchele, nyanya, mboga wala chochote kinachozalishwa kwenye maeneo inakopita SGR. Kifupi kwenye vituo vya SGR hakuna kuuza na...
Katika miradi ambayo ingeweza kuishia njiani au kufa na mengine imebaki story.
Ni miradi ambayo kanda ya ziwa ambayo jitihada za haraka kama angesubiri ziwe kwa awamu mfano SGR Dar -Dodoma kwanza basi reli kutoka dodoma kwenda Mwanza ingekuwa story.
Kuna janjajajanja tu tu wafanyabiasha wanaomiliki mbasi na malori hawataki ujenzi wa Sgr ukamilike kufikia 100% kwa sababu ya manufaa ya biashara zao.
Hayati JPM aliwadhibiti .Leo hii Sgr ingekuwa imeshakamilika.
Kenya Railways has cautioned members of the public against fraudulent websites and social media platforms impersonating the corporation and claiming to offer booking services for the Madaraka Express Passenger Service.
In a public notice issued on Wednesday, the corporation warned that the fake...
Huyu askari anazuia magari mpaka abiria wanazuiwa kuingia kwenye sgr si sawa hii.
Zingatieni muda wa train ya sgr mbona vitu havihitaji shule kubwa jamani.
Kitendo cha kuweka wadada walioumbika na kuwavalisha vimini vyenye mpasuo ili kuvutia wateja ni ukahaba.
Kuna vile vidada vinavyouza vinywaji na bites kila mara vinainama inama, paja linakaa wazi, guu la bia jicho lege yani kama tuko Ubungo Riverside.
Ni vijanja sana ukigusa kinajifanya...
Kwa kweli niwapongeze na awamu ya sita huduma ni nzuri nzuri sana.na kwa kweli mnatusaidia sana. Tunasafiri raha mustarehe.
Kidogo naomba mnisaidie na maoni.
Adhabu ya kubadili tarehe kwa kutozwa hela tena. Hela nimeshatoa imeingia nimepatwa na dharura nahitaji ku reschedule tiket kupeleka...
Uganda's Permanent Secretary and Secretary to the Treasury (PS/ST) Dr Ramathan Ggoobi and Dr. Muhammad Al Jasser, the President of the Islamic Development Bank (IsDB) and Chairman of the IsDB Group. PHOTO/ MINISTRY OF FINANCE HANDOUT
Uganda has received a major boost in its long-delayed...
Kuna jambo ambalo sijalielewa kuhusu uendeshaji wa treni ya mwendokasi (SGR) kati ya Dar es Salaam na Morogoro.
Kwa kawaida, safari hii hutumia treni yenye behewa 14 (ordinary). Hata hivyo, kumekuwa na nyakati ambapo treni ya mchongoko yenye behewa 16 imekuwa ikitumika kwenye route hii. Sina...
Anonymous
Thread
dar es salaam
morogoro
sgr
treni
treni ya mchongoko
Ununuzi wa magari ya Ford Ranger yanayotumia teknolojia ya laser uliofanywa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) unaashiria hatua kubwa katika kuimarisha usalama wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR).
Magari hayo, yaliyoboreshwa kuwa magari maalum ya Hi-Rail, yatatumika kukagua na kufuatilia reli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.