The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".
Huyu askari anazuia magari mpaka abiria wanazuiwa kuingia kwenye sgr si sawa hii.
Zingatieni muda wa train ya sgr mbona vitu havihitaji shule kubwa jamani.
Kitendo cha kuweka wadada walioumbika na kuwavalisha vimini vyenye mpasuo ili kuvutia wateja ni ukahaba.
Kuna vile vidada vinavyouza vinywaji na bites kila mara vinainama inama, paja linakaa wazi, guu la bia jicho lege yani kama tuko Ubungo Riverside.
Ni vijanja sana ukigusa kinajifanya...
Kwa kweli niwapongeze na awamu ya sita huduma ni nzuri nzuri sana.na kwa kweli mnatusaidia sana. Tunasafiri raha mustarehe.
Kidogo naomba mnisaidie na maoni.
Adhabu ya kubadili tarehe kwa kutozwa hela tena. Hela nimeshatoa imeingia nimepatwa na dharura nahitaji ku reschedule tiket kupeleka...
Uganda's Permanent Secretary and Secretary to the Treasury (PS/ST) Dr Ramathan Ggoobi and Dr. Muhammad Al Jasser, the President of the Islamic Development Bank (IsDB) and Chairman of the IsDB Group. PHOTO/ MINISTRY OF FINANCE HANDOUT
Uganda has received a major boost in its long-delayed...
Kuna jambo ambalo sijalielewa kuhusu uendeshaji wa treni ya mwendokasi (SGR) kati ya Dar es Salaam na Morogoro.
Kwa kawaida, safari hii hutumia treni yenye behewa 14 (ordinary). Hata hivyo, kumekuwa na nyakati ambapo treni ya mchongoko yenye behewa 16 imekuwa ikitumika kwenye route hii. Sina...
Anonymous
Thread
dar es salaam
morogoro
sgr
treni
treni ya mchongoko
Ununuzi wa magari ya Ford Ranger yanayotumia teknolojia ya laser uliofanywa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) unaashiria hatua kubwa katika kuimarisha usalama wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR).
Magari hayo, yaliyoboreshwa kuwa magari maalum ya Hi-Rail, yatatumika kukagua na kufuatilia reli...
=======
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limenunua magari mawili maalumu ya kisasa ili yatumike katika ukaguzi na upimaji wa reli mpya ya mwendokasi (SGR) kwa upande wa kipande cha kwanza na cha pili (Lot 1 & Lot 2).
Magari hayo yana uwezo wa kipekee wa kutembea juu ya reli kwa kutumia...
Madereva tunapata changamoto kubwa pale kwenye Kituo cha SGR kilichopo Stesheni, Dar es Salaam, wanatukamata tukienda kubeba abiria, wanataka tuingie ndani ili tulipie shilingi 1,000, wakati sisi ni madereva wa mtandaoni na pale tunapita tu siyo kwamba tunaenda kuegesha vyombo vyetu.
Namaanisha...
Anonymous
Thread
abiria
buku
dar
hata
kituo
kuchukua
kulipia
madereva
sehemu
sgr
wao
Leo hii Trc wanajinasibu kuwa shirika linajiendesha lenyewe bila kupata ruzuku toka serikalini. Hizi zote ni juhudi za Shujaaa wa Afrika.
Alikuwa makini sana kusimamia pesa za umma. Kutandika reli na kuweka njia za umeme kama angekuwepo mradi ungekuwa umekamilika.
Leo hii watu wangeweza...
Mbunge, Taletale amependekeza kuwa Serikali ije na SGR ambulance kwa kuwa kuna wagonjwa wanakiwa wanahitaji huduma ya magari ya wagonjwa kutoka Morogoro kwenda Muhimbili ila hawana uwezo hivyo kwa kuja na hiyo SGR Ambulance itakuwa imewasaidia wananchi wengi.
Hayo ameyasema bungeni wakati...
Tanzania tunaelekea kufanya jambo kubwa kupitia mradi wa reli ya kisasa ya SGR. Lakini baada ya kukamilisha SGR, nina pendekezo Serikali iandae project nyingine kubwa ya kimkakati ya kujenga barabara kuu za njia nne (dual carriageways) kwenye route muhimu zote za nchi yetu zinazobeba uchumi wa...
Tanzania and Sweden are taking another major step forward in their partnership with the signing of SGR Lots 3 and 4 in Dodoma.
With financing of around USD 1.32 billion, this milestone reflects a shared commitment to long-term, sustainable infrastructure.
Already used by over 5.5 million...
Uzi na Mr Attorney
Fanya uchunguzi wa Train za kuja Dar Ijumaa na Jumamosi.
Utagundua Manzi za Dodoma huwa wanafuraha saana, snapchat, instagram na Tiktok kwa wingi…
Ila Train za Jumapili kurudi DOM huwa ni kisanga sana.
Huwa mamanzi wanalala tu, wamechookaa hatariii… wapo hoooii bin Taaban...
The National Environment Management Authority (NEMA) has opened a 30-day public review period for the proposed extension of the Standard Gauge Railway (SGR) from Kisumu to Malaba, marking a critical step in the approval process of the multi-billion infrastructure project.
In a public notice...
Wakandarasi wanaofanya kazi SGR tuna kero moja kwanza mshahara wa Serikali ilipopandisha mwanzo kabla hawajapandisha ilikuwa kwa siku ni shilingi 17,200 kwa madereva na ma operator, ila kwa malabour ilikuwa 16,200 baada ya serikali kupandisha wameweka level sio dereva, sio operator wote ni...
Anonymous
Thread
isaka
katika
kazi
kufukuza
mradi
mradi wa sgr
mwanza
sgrsgr mwanza
wachunguzwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.