kodi

  1. MamaSamia2025

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnaolipa kodi za nyumba, chakula na ada za watoto huku mkiwa na waume nyumbani wenye afya njema, mmechanganyikiwa? Are you stupid?

    Mbaya zaidi wengine mnawalipia hadi madeni yao binafsi. Acheni upuuzi. Kuna baadhi hadi mnapokea vipigo. Usiingilie majukumu ya mwanaume. He has to provide for his family.
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kwenye biashara, TRA kodi yenu kwenye kutoa risiti mbona mnachukua mpaka na mtaji?

    Kuna mambo ya kubadilishwa ili swala la ulipaji kodi kwenye makato ya risiti. Kwa nini asilimia 18 zijumuishwe kwenye mauzo na kwa nini zisijumuishwe kwenye faida niliyopata. Mfano umeagiza mzigo thamani yake yake mpaka hupo dukani 100000/= bei ya kuuza dukani 130000/=. Mteja kataka risit na...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Floyd Mayweather, kutoka utajiri wa $ 1.2 Billion (Tshs Trilioni 3) mpaka kuwa somo la umuhimu wa nidhamu ya fedha, Madeni na kesi zamwandama

    Ukishindwa kuwa na nidhamu kwenye fedha basi sbiri fedha ikufundishe nidhamu Na kilichobaki kwa sasa mostly ni ku act, kulazimisha aonekane bado ana fedha, kitu kinachozidi kumuingiza kwenye madeni. Mayweather, ambaye katika maisha yake ya ubondia alikusanya zaidi ya dola bilioni 1.2, sasa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Serikali inapendekeza kusamehe kodi ya Ongezeko la Thamani kwenye vifaa vya kuchajia magari ya kutumia umeme

    Serikali imependekeza hatua kadhaa za kodi kwa mwaka wa fedha 2026/27 ili kuchochea matumizi ya nishati ya umeme na gesi asilia nchini. Hatua hizo ni pamoja na kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye vifaa vya vituo vya kuchaji magari ya umeme vinavyoingizwa nchini, kupunguza ushuru...
  5. M

    JamiiForums Tanzania KERO TANESCO nalia na nyie! Mmehalalisha wizi kupitia makato ya kodi ya pango

    Jamani, Tanesco, nalia na nyie! Mtatutoa roho nyie. Yaani mtu unanunua umeme wa shilingi elfu 20, unapewa umeme wa shilingi elfu 10? Hivi nyie mna matatizo gani? Iko hivi, juzi umeme kwangu uliisha usiku, nikasema ninunue umeme wa elfu 5, ukagoma. Nikajua labda pesa haitoshi, nikiongeza elfu...
  6. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Picha: Barabara ya Tsh Bilioni 29.9 Itigi, Singida

    Waziri Mkuu Dkt.Mwigulu Nchemba Mei 31, 2026 amekagua ujenzi wa Barabara ya Noranga (Doroto)–Itigi (Mlongojii) yenye urefu wa kilomita 25 inayojengwa katika Halmashauri ya Itigi, Wilaya ya Manyoni mkoani Singida kwa gharama ya shilingi bilioni 29.6. Akipokea taarifa ya utekelezaji wa mradi huo...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Muda wa mkataba umeisha, Kwanini fremu za Tegeta Nyuki hazijarudishwa?

    Fremu za Tegeta Nyuki zilijengwa na wananchi wakaambiwa wachukue kodi kwa miaka 10, kisha fremu zirudishwe Halmashauri wapewe wananchi wanaohitaji kupanga. Lakini mpaka sasa miaka 10 imeisha muda mrefu. Kwa nini mpaka leo hawajarudisha fremu hizo? Nasema hivi kwa sababu wapangaji wanaumizwa...
  8. Slobodan Mirosovich

    JamiiForums Tanzania Tuwe makini na yanayoendelea nchini, Viongozi wasio waaminifu wameamua kujichotea fedha za walipa Kodi watakavyo

    Katika ulimwengu wa ukaguzi wa hesabu forensic auditing na intelijensia ya jinai (criminal intelligence) miradi mikubwa inayohusisha wageni mashuhuri kama Wasanii na wanamichezo, matukio ya kimataifa au kampeni kubwa za kuitangaza nchi inaweza kutumika kama kichaka au mbinu ya kutakatisha fedha...
  9. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Ishauri Serikali Namna ya Kukusanya Kodi kwa Wasiolipa Kodi!

    TRA ni wakala wa kukusanya kodi kwa niaba ya Serikali, lakini pia zipo serikali za Mitaa na mamlaka zingine. Ishauri Serikali yako pendwa namna ya kukusanya kodi kwa watu wafuatao ambao wanaingiza malaki na milioni kwa siku lakini hata leseni ya Biashara hawakati:- Wauza viatu , urembo na nguo...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Rais angesema kila mtu arudishiwe kodi yake aliyolipa nina uhakika ambao wangerudishiwa ni wachache

    Huyu Chalamila hajui hata namna kodi zinavyokusanywa yeye anadhani kodi ni ile inayolipwa direct tu, debe tupu --- Chalamila amesema kuwa wanaosema miradi inajengwa kwa kodi zetu watambue kuwa kodi peke yake haiwezi kujenga ila inahitaji akili ya Rais katika kutafuta funds na anadai aliwahi...
  11. U

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Tanzania ili kufikia Uchumi wa USD Trillion Moja lazima tufikie uwekeezaji wa USD Trillion 3.7 hili haliwezekani kwa Kodi na Mikopo.

    === Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Ubia nchini (PPPC), Bwana David Kafulila, amesema kuwa wakati wa kupitisha sheria za ubia, Tanzania iliruhusu kutatua migogoro kwa mamlaka za ndani. Hata hivyo, pale ambapo suluhu haikupatikana, ama kwa upande wa mwekezaji au taasisi ya umma, kulihitajika haki ya...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mapato ya Kenya inadai KSh18 milioni kama kodi kutoka kwa Sebastian Sawe baada ya kushinda London Marathon

    Kutoka kwenye KSh48 milioni alizoshinda Sebastian Sawe baada ya kushinda London Marathon, Mamlaka ya Mapato ya Kenya (KRA) inadaiwa kutaka hadi KSh18 milioni kama kodi.
  13. Planet Data bundles

    JamiiForums Tanzania Unafanyaje kukusanya kodi nyumba iliyo mbali? Nishachoka

    Wakuu, akili imezima Wapangaji hawalipi na niko mbali
  14. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mimi binafsi riport ya Tume ya Jaji Chande naona kama wamepoteza kodi zetu kuandaa ujinga

    Unaweza kudanganya lakini huwezi kudanganya miaka yote hiyo tume imepoteza kodi zetu na kuja na riport ya kijinga namna ile ? Uliona wapi mtu ambae ndo anatuhumiwa kwa mauaji anaunda Tume ya kujichunguza? Kwenye hiyo Tume...
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Serikali yasisitiza ulipaji Kodi ya Ardhi kwa Wakati kuepusha usumbufu

    Serikali imewataka wamiliki wote wa ardhi nchini wakiwemo watu binafsi na taasisi zinazomiliki ardhi kuhakikisha zinalipa kodi ya pango la ardhi kwa wakati, ili kuepusha usumbufu utakaotokana na hatua zitakazochukuliwa kwa wale watakaoshindwa kutekeleza wajibu huo. Akizungumza jijini Dodoma...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Siridhishwi na Watumishi wa Umma tunavyokatwa kodi ya Nyumba ya Serikali kupitia TANESCO

    Kutokea Kibondo, naomba ufafanuzi kwenye shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Je! Ni kwanini sisi Watumishi wa Serikali tunaoishi nyumba za Serikali, vijijini tumeunganishiwa kwenye system ya Kulipa kodi ya nyumba ilihali kuna makato kwenye mishahara yetu na bado hayo makato ya REA, VAT na EWURA...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Kuna umuhimu gani wa Ma-RC kuweka kambi Dodoma kufuatilia Hotuba ya Waziri Mkuu kwa zaidi ya Mwezi sasa?

    Nipo hapa Dodoma, Wakuu takribani wote wa Mikoa tupo nao mitaani tunakutana Bungeni tu, nilipowauliza wanafanya nini wametujulisha kuwa walikuja hapa zaidi ya wiki tatu zilizopita kwa ajili ya kusikiliza hotuba ya Bajeti ya Waziri Mkuu. Miaka ya nyuma ilikuwa kawaida wakati wa Hotuba ya Waziri...
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Eric Shigongo: Tujenge Uchumi wa kujitegemea kwa kuongeza walipa kodi

    Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, amesema Tanzania inapaswa kujenga uchumi imara unaojiendesha kwa kutegemea mapato yake ya ndani. Akichangia Bungeni, Shigongo ameeleza kuwa mchango wa mapato ya kodi kwenye pato la Taifa bado ni mdogo, jambo linalohitaji Serikali kuweka mazingira rafiki...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO TRA wameongeza kitu kwenye makato yao ya kodi ya pango?

    Hivi TRA wameongeza kitu kwenye makato yao? Binafsi sijaelewa vizuri ni nini kilichoongezwa. Kuna ile kodi ya pango ambayo tunalipa siku zote mfano mimi nalipia Shilingi 72,000 kwa Mwaka, sasa mwaka huu wanasema nilipie Asilimia 10 ya hiyo kodi ya pango ambayo ni 7,200 yaani nalipia 72,000...
  20. Informer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zambia yasitisha Kodi (VAT na Excise Duty) kwenye Mafuta kupunguza makali ya maisha

    Habari za wakati huu Wana-JF, Kufuatia mabadiliko ya bei za nishati duniani, Serikali ya Zambia imechukua hatua za dharura kunusuru uchumi wake. Kuanzia tarehe 1 Aprili, 2026, serikali hiyo imesitisha ushuru wa bidhaa (Excise Duty) na kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye uagizaji wa...
Back
Top Bottom