kodi

  1. P

    Mradi wa Urekebu wa Sheria wagharimu tza 10b za walipa kodi. Kwa maneno ya Rais naona hakuna tatizo somewhere

    Nanukuu maneno ya rais: “Nazungumza hili nikiwa na fahari kubwa kwamba shughuli ya urekebu wa sheria, toleo la 2023 tunalozindua leo limegharamiwa na sisi wenyewe. Naambiwa shilingi bilioni 10 ziketumika kwenye hili”. “Mimi ninajua serikali ilikuwa inatoa fedha za urekebu wa sheria, lakini...
  2. Cainan

    Kuagiza Lorry kama spare kutoka nje ya nchi ili kupunguza makali ya Kodi

    Habari za jioni wakuu , nimeangalia kikokotoo Cha TRA kuhusiana na uagizwaji wa scania P420 8x4 skip loader ya 2011 na Kodi yake imekuja wa kutosha almost 82,000,000Tsh Sasa nilikuwa Nauliza kwa wajuzi kuwa inawezekana ukaagiza gari ambayo ikatenganishwa cabin , engine na Chasis ili kuja...
  3. Doug Stamper

    Dkt Mwigulu: Michezo itaanza kuhamasisha ulipaji wa kodi

    DODOMA - Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba amesema wizara imetenga fungu katika Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) kwa ajili ya kuhamasisha elimu ya mlipa kodi akiwataka Simba kutumia fursa hiyo.
  4. Dennis Roberts

    Kuanzishwe kodi mpya na ikatwe sh 1000 kwa kila mwezi kwa kila mwenye line ya simu kama sehemu ya income tax

    Mtu mwenye line atakua analipa sh 1000 kwa mwezi na sh 12000 kwa mwaka kama income tax Hatakama watu wanaiba fedha haitaondoa ukweli bado makusanyo yetu ni madogo sana https://www.jamiiforums.com/threads/nina-nia-ya-kuwa-rais-wa-tanzania.2228628/ Usisahau kushare video na mwenzako
  5. Kidagaa kimemwozea

    Idadi ya walipa kodi yapungua

    Idadi ya walipa kodi nchini imeshuka kutoka watu 3,336,777 kwa mwaka 2021/2022 hadi watu 2,282,048. Hayo yamesemwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango leo jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa kongamano la kodi na uwekezaji. Je, unadhani nini kimechangia hali hii? Je, wewe binafsi...
  6. K

    MANAGER WA TRA KULINDA WAKWEPA KODI

    Manager wa TRA wa mkoa wa Kilimanjaro kushirikiana na wakwepa Kodi, Kuna vijana wamekamata mzigo ambao haujalipiwa Kodi na manager akawapigia vijana wa fast team kuwa wamwachie , na mzigo unashushwa sasahivi kiwanda Cha spirit pale Njia panda ya Machame. Wahusika mfatilieni huyu Manager wa Mkoa
  7. Pdidy

    KAMA WACHINA WANALIPA KODI ILEILLEE WAZAWA WANALIPA TUNAOMBA SERIKALI MSIWAGUSE HAO N BARAKA ZETU

    USHAURI KWA SERIKALI TYSISIKILIZE HIZI KELELE ZA WAFANYABIASHARA WA KRKOO KAMA WANALIPA KODI ILEILE ILE MNAYOHIITAJI TUNAOMBA HAWA WATU WASISUMBULIWE WAHESHIMIKR KAMA WENGINE HATUWEZI KUNUNUA MALI ZA 8000 LWA 60000. KISA TU KUBADILI MTAA HII N LAANA TUNAOMBAA WATANXANIA WOTEE TUPINGR...
  8. w0rM

    Imetambuliwa lakini haijalipwa, bado inatozwa kodi: Kitendawili cha Kodi ya Zuio (Withholding Tax)

    Mwalimu wangu wa uchumi wa sekondari, Bwana Mguruta, alikuwa bingwa wa kufanya mawazo magumu yaonekane kuwa ya kawaida na ya binafsi. Masomo mawili aliyofundisha yameendelea kuniongoza miaka yote hii – na kwa njia isiyotarajiwa, bado yana uhusiano mkubwa na kazi yangu ya sasa kwenye masuala ya...
  9. R

    Sitakuja kusahau, Ndugu anaejitafuta aliniambia anadaiwa kodi, nikakopa laki sita kumbe ilikuwa kodi ya miezi minne !

    Imagine una ndugu kahitimu chuo bado kijana mdogo tu, Ajira kama mnavyozijua hazina guarantee kama huna connections, so inabidi aanze kujitafuta. Unga mnamtumia, mchele mnamtumia, si unajua tena mambo ya upendo wa familia na kusapotiana. Kuna kipindi akaniambia ana shida sana ya kodi kabanwa...
  10. JanguKamaJangu

    China yaondoa kodi kwa Nchi 33 za Afrika kwa bidhaa zote wanazozisafirisha kwenda China

    China Deepens Ties with Africa: What It Means for the Continent’s Economic Future In a bold move underscoring its commitment to strengthening economic ties, China granted 33 African countries zero tariffs on all their exports to the Chinese market in 2024. This landmark decision not only...
  11. Khanji kapoor

    Hivi ndivyo nchi za kiafrika zilikuwa zinashirikiana na china kwenye kukwepa kodi kwa bidhaa zinazoingia USA

    Wakuu mimi sio mchumi ila nimeumia akili za kawaida Wakati wa utawala wa Clinton kulianzishwa ushirikiano kitu kinaitwa Goa yaani ushirikiano wa USA na nchi zinazoinukia kiuchumi za africa na asia Hii ilisababisha viwanda vingi kuanzishwa hasa vya nguo vikawa vinatengeneza nguo na kuingiza...
  12. X

    China yaongeza kodi kwa 34% kwenye bidhaa za Marekani kufuatia Marekani kutangaza ongezeko la tariffs kwa mataifa mbalimbali duniani. The game is on!

    Baada ya uongozi wa Trump jana kutangaza kuongeza tariffs kwa mataifa mbalimbali dunia kutia ndani China, leo pia China nayo imetangaza kuongeza tariffs kwa 34% kwa bidhaa zote za Marekani. Mwanzoni China ilikuwa ikiongeza tariffs kwa baadhi tu ya bidhaa za Marekani ila tangazo la leo limegusa...
  13. Manfried

    Nimewahi kuishi mwaka mmoja bila kufanya kazi yoyote ila nilikuwa nakula vizuri , nalipa kodi , nasaidia ndugu na wazazi

    Katika MAISHA kuna mambo mengi Nilikaa mwaka mmoja bila Kazi ya kuamka Ahsubui Ila mishe mishe za udalali Mara yes Mara no Ila nilikuwa nakula Navaa Nalipa kodi Nasaidia ndugu na wazazi Pasipokufanya Kazi yoyote ya mshahara Kipindi hiki nilijifunza kuwa haitaji kufanya Kazi kwa bidii ili...
  14. Damaso

    Wahindi wameanza kuhoji mfumo wa Kodi

    Miaka ya nyuma niliwahi kukutana na Naibu Waziri wa Fedha huko Dodoma kwenye kongamano moja la vijana kuhusu masuala ya fedha. Nilipata wasaha wa kuzungumza naye mawili matatu kuhusu mambo ambayo yeye yapo kwenye wizara yake. Katika jambo ambalo nilipata wasiwasi ni kuhusu mfumo wa kodi, Mfano...
  15. Consultant_Silwano

    CHANGAMOTO ZA KIUHASIBU NA KODI KWA WAFANYABIASHARA WANAOFANYA BIASHARA KWA MTINDO WA KUAGIZISHA BIDHAA KUTOKA NJE YA NCHI

    Changamoto kubwa kwenye eneo la uhasibu na kodi kwa wanafanyabiashara wengi hasa wanaotumia mtindo kuagizisha mizigo mbalimbali kutoka nje ya nchi kwa kutumia Fedha za wateja kufanikisha au ku-facilitate biashara husika ,changamoto hizi hupelekea biashara au wafanyabiashara wengi wa mtindo tajwa...
  16. M24 Headquarters-Kigali

    Halmashauri zitoze Kodi Makaburi

    Ili kuongeza wingi wa Kodi nchini. TAMISEMI kupitia Halmashauri za Majiji, miji na manispaa zianzishe Kodi ya Makaburi kwa kila anayezikwa kwenye Makaburi rasmi
  17. M

    Kesho Tar 1 Baba Mwenye Nyumba nimpe Hadithi Gani? mbele ya Kodi yake!?

    Nipo Nawaza na kutafakari kila siku namkimbia na kuponyoka na story kibao, Leo naskia wapangaji wanaongea kwamba kaja ameshararuka na kuwa mkali na kesho hataki kuskia story za abunuasi kwa mpangaji mwenye deni!? Hapa napiga nimfate Nyumbani kwake nikalia maana yupo yeye na mke wake tu...
  18. M24 Headquarters-Kigali

    Tetesi: Zawadi ya EID: Mwijaku kulipia jamii Maskini 1000 Kodi za nyumba miezi 12

    Celebrity Mwijaku ametoa zawadi ya Eid kwa kulipia Kodi za nyumba jamii Maskini 1000 kwa miezi 12
Back
Top Bottom