wananchi

This article lists political parties in Tanzania. The country operates under a dominant multi-party system with the ruling party being in power since the nation attained its independence in 1961. It first governed as the Tanganyika African National Union, before merging with the Afro-Shirazi Party to form the Chama Cha Mapinduzi.

View More On Wikipedia.org
  1. BigTall

    JamiiForums Tanzania Responded Wananchi wa Mbagala Rangitatu wadai kubomolewa makazi, vibanda vya biashara wakati kesi iko mahakamani

    Wananchi hawa wa Mbagala Rangitatu, Dar es Salaam, wamedai kubomolewa makazi, vibanda vya biashara zao na Manispaa ya Temeke wakati kesi iko mahakamani, tukio hilo limetokea Mei 2, 2026. Wananchi wanadai wana zuio la Mahakama Kuu na kesi ipo mahakamani ila Manispaa ya TEMEKE walifika ghafla Mei...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ziwa lipo jirani ila Wananchi wa Nyashishi na Usagara (Mwanza) hatujawahi kuwa na maji ya bomba

    Ziwa lipo jirani ila Wananchi wa Nyashishi na Usagara (Mwanza) hatujawahi kuwa na maji ya bomba Wananchi wa Nyashishi na Usagara Mwanza tangu Dunia iumbwe maeneo hayo hayajawahi kuwa na bomba la maji ilihali Ziwa Victoria liko jirani! Maji tunayotumia sasa tunachimba visima tu na ni maji...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Ajali yaua wawili Mpanda, Wananchi wachoma gari

    Watu wawili wanadaiwa kufariki dunia baada ya kugongwa na gari walipokuwa wakisafiri kwa pikipiki, kufuatia gari hilo kupoteza mwelekeo, kuacha njia na kutumbukia mtaroni. Wakizungumzia tukio hilo, mashuhuda wamesema lilitokea katika mtaa wa Mpanda Hotel, ambapo waliogongwa ni dereva wa...
  4. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania LHRC: Bila uhuru wa habari, sauti ya Wananchi hupotea

    Tanzania imeshuka katika viwango vya uhuru wa habari kwa mwaka 2025, hali ambayo imeelezwa kuwa inatokana na matukio mbalimbali yaliyojitokeza kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu. Akizungumza jijini Arusha katika kongamano la waandishi wa habari kuelekea maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa...
  5. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Ona Mabenki ya Tanzania Yalivyopiga Faida Kubwa Baada ya Kuwakamua Wananchi Kwa Riba Kubwa za Mikopo na Makato yasiyoeleweka.

    Benki ya CRDB imeongoza Kwa kupiga faida kubwa yaani super normal profit baada ya kuibia Watanzania Kwa riba kubwa na makato yasiyoeleweka. https://www.instagram.com/p/DXwCODMjpnq/?igsh=MXFyMnhrZGRwbGx4OQ== My Take Serikali Inafaa kuingilia Kati Ili kuokoa Wananchi kama inajali lakini. Hizi...
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dkt. Festo Dugange: Serikali imetenga Sh Bilioni 200 kuwawezesha Wananchi Kiuchumi

    Serikali imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 200 kwa ajili ya kuwezesha shughuli mbalimbali za kiuchumi nchini kote, ikiwemo sekta za kilimo, ufugaji wa mifugo pamoja na uvuvi wa samaki, Ili kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia fursa mbalimbali za kifedha zinazotolewa na Wizara pamoja na mifuko...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa Mkurugenzi wa TTCL, Moremi Marwa, kwa juhudi kubwa za usambazaji wa fiber internet mitaani, yenye bei nafuu na kasi kubwa

    Sasa TTCL wameamua kuingia mazima kwenye huduma za intaneti ya kisasa. Usambazaji wa fiber internet unaendelea kwa kasi kubwa, hasa maeneo ya mijini ambako huduma hii inazidi kuwafikia wananchi wengi zaidi. Tofauti na zamani, sasa wanafika hadi mitaani, wakizungumza na wakazi moja kwa moja ili...
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Devolved Feast: Mabilioni Yateketea kwa “Office Tea” Wakati Wananchi Wanateseka

    Report ya uchunguzi ya NTV Kenya ya Machi 2026, “Devolved Feast,” imeibua mjadala mkali baada ya kufichua matumizi ya kifahari katika baadhi ya serikali za kaunti. Uchunguzi unaonyesha mabilioni yanatumika kwa vitu kama “pencils na papers” lakini kwa uhalisia hizi ni inflated office expenses na...
  9. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Prof. Shemdoe amshukuru Waziri Mkuu kuadhimisha Miaka 62 ya Muungano kwa kukagua miradi, kutatua kero za wananchi

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amemshukuru Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kwa kuadhimisha miaka 62 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kukagua ujenzi wa miradi ya maendeleo ya daraja jipya la...
  10. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Picha: Mamia ya Wananchi wamsimamisha Heche Magufuli bus Stand. Huu ni upendo mkubwa kwa CHADEMA. Watu wanahitaji ukombozi

    Upendo kwa Chadema
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Ukiwa kiongozi wa kiserikali ni kosa la kiufundi kujibishana na Wananchi. Unajiingiza na kuingiza serikali kwenye mitego ya kuchukiwa

    Hamjambo! 1. Kama Mtibeli jukumu langu ni kuwafundisha.. 2. Kwenye Saikolojia kuna kanuni za kumaintain power na kubaki na heshima. Bila kutumia nguvu na mabavu. 3. Hapa nazungumzia Stoicism (Ustahimilivu wa kihisia), ambapo mtu anachukua msimamo wa kutokujibu uhasama au changamoto za nje...
  12. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Iran inataka Vita viishe, Rais ataka wananchi wajibane

  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi wa Kijiji cha Mitatuni, Pemba tuliathiriwa na Mradi wa Barabara ya Mtambile - Nanguji hatujalipwa fidia na hatuna pa kuishi

    Sisi ni Wananchi wa Kijiji cha Mitatuni, Jimbo la Mtambile, Wilaya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba katika eneo letu tunaloishi kumepita mradi wa ujenzi wa Barabara ya Mtambile hadi Nanguji inayojengwa na mkandarasi IRRIS. Malalamiko yetu mkandarasi huyu alijenga njia kwa kujaza kifusi kingi bila...
  14. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maandamano Oktoba 29: Kero Halisi za Wananchi

    Maandamano ya Oktoba 29 yalizuka kutokana na kero za muda mrefu za wananchi kama vile madai ya demokrasia halisi na katiba mpya, hali ngumu ya kiuchumi ikiwemo kupanda kwa gharama ya maisha, pamoja na kuoza kwa maadili ya kijamii. Hata hivyo, kero hizi halisi zilitumiwa vibaya na wanasiasa na...
  15. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Samia aambiwe bunduki haikuzuia machafuko bali ulangai wa jeshi la wananchi

    Hicho ndicho kilichozuia machafuko zaidi! Bunduki haijawahi, haitawahi na haiwezi kumzuia mwanadamu anayetaka kujinasua kwenye uovu wa mtesi. Jeshi la wananchi lilitumia mbinu ya ulaghai kuwashawishi wananchi warudi majumbani kisha wakawafanyia ambushi kitu ambacho hata wao wanalijua.
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande: Baadhi ya Wanasiasa na wanaharakati walishawishi Wananchi kushiriki ghasia

    Jaji Chande amesema baadhi ya Wanasiasa na wanaharakati walishawishi Wananchi kushiriki ghasia
  17. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kihongosi Chadema sio ombaomba. Inachangiwa na wananchi sababu wanaona kina nia thabiti ya kuwakomboa dhidi ya mafisadi.

    Aibu kubwa kwa CCM kwa kuwa na Mwenezi wa taifa ambae ana hoja zisizo na masshiko kama hizi. Hajui hata Tanu ilipokuwa chama cha ukombozi kilichangiwa na wananchi? CCM inachangiwa na wafanyabiashara mafisadi wasiolipa kodi. Amesahau juu ya bil 200 za uchaguzi walizochangiwa CCM na bado...
  18. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kihongosi hujui sababu za Wananchi kuwachukia watumishi wa vyombo vya usalama?

    Kuna mahala nimesoma unalalamika kuwa kuna watu wanawachonganisha wana usalama na raia. Hivi ni kweli haujui yaliyotokea Oktoba 29 ni kovu ambalo halitafutika milelele? Vipi kuhusu wanaotekwa na kupotea au kuuliwa kama alivyoukiwa Mzeee Ali Kibao? Wewe unaona ni suala dogo? Leo hii akifa...
  19. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Bila kuridhiana na wananchi wote hataponya majeraha ya wanachi

    1)Bila kuridhiana na wananchi wote hataponya majeraha ya wanachi 2)vyama vya siasa ikiwepo chadema wao sio wawakilishi wa wananchi ambao wengi wao sio hata wanavyama wa vyama vya siasa,chadema hawana uhalali wa kuridhiana badala ya wanachi wenye majeraha. Japo baadhi ya wananchi waliweka...
  20. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kilio cha Wananchi: Ajali za Malori ya Mchanga zimegeuka Janga maeneo mengi ya Dar es Salaam

    Hali ya usalama barabarani imeendelea kuzorota huku malori ya kubeba mchanga yakihusishwa moja kwa moja na ajali nyingi zinazogharimu maisha ya wananchi wasiokuwa na hatia. Kila siku, barabara zinageuka kuwa hatari zaidi, huku madereva wa malori haya wakionekana kupuuza kabisa sheria zilizowekwa...
Back
Top Bottom