Elisabeth Finant (9 November 1954 – 28 September 1994), known professionally as Abeti Masikini, was a singer from the Belgian Congo who was active in France from 1971 until her death in 1994 at the age of 39. Her music pulled from a variety of genres, including soukous, Congolese rumba, folk music, and the blues. She recorded 21 albums during her career for a variety of record labels including RCA Records and Polygram Records among others.
Sipo hapa kuleta ligi. Mimi ni mkristo, kuwa mkristo haimaanishi hutakiwi kunifunza au kuuliza. Nauliza nijue ili kuamini zaidi badala ya kuamini juu juu tu.
Sihitaji kujua HOW(jinsi gani) hayo nayajua
Sihitaji kujua references (vyanzo), hivyo navijua. Labda viwe vyanzo vinavyoeleza sababu...
Tazama harusi zetu sisi watu weusi hata bado tukiwa na maisha yetu ya chini alafu tazama harusi za watu waliondelea katika nchi tajiri.
Tazama watu weusi wanapopata ustaa mapema namna anavyovaa na wanawake anaohudumia alafu tazama mastaa wenye asili ya kizungu au asia wako simple sana.
Masikini elimu yetu, sina cha kusema, ila picha hii inatembea mitandaoni.
Not fair!
NB
Mamlaka fanyeni uchunguzi , cheti ni cha nani, kama yuko hai, na imekuwaje mpaka kuidhalilisha UDSM kiasi hiki
Habari wana JF 👋🏾
Wahenga walituhusia mengi, lakini kadri muda unavyozidi kwenda mambo yanabadilika.
Moja ya misemo maarufu ni:
“Mtegemea cha ndugu hufa masikini.”
Lakini ukija kwenye uhalisia wa leo, picha siyo ile ile kabisa.
Nimekua na nimeona familia nyingi za watu matajiri-wazazi...
Yakobo 1:27
Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.
Methali 19:17 BHN
Anayemsaidia maskini anamkopesha Mwenyezi-Mungu; Mwenyezi-Mungu atamlipa kwa tendo lake jema.
Zaburi...
Kumchizisha ndugu yako awe ndondocha, kila siku unaporudi unajijua wewe ndio chanzo chake kuwa chizi
Kumuua mzazi wako, mtu aliekuleta duniani umemtoa duniani anatumika kama msukule.
Kumuua mtoto wako, damu yako umeitowesha duniani kwasababu ya tamaa yako ya pesa.
kukatazwa kusaidia ndugu...
Leo naomba tushuke kwenye majukwaa yetu ya usomi na falsafa za akina Socrates, tuingie kwenye hesabu halisi za maisha. Kuna utapeli wa kisaikolojia ambao tumekuwa tukiimba kila siku: "Pesa haileti furaha, utu ni bora kuliko mali." Hii ni kauli mbiu ya kujifariji iliyotengenezwa ili kuwafanya...
Wadau wahoji na kushanga jinsi migahawa ya KFC imekuwa ni kwa ajili ya wenye kipato au matajiri nchi nyingi za Africa wakati nchi zilizoendea huko duniani kuanzia Marekani, Canada, Ulaya, Japan n.k KFC ni kwa ajili ya masikini au watu wenye kipato cha chini!
Wadada wa mjini wanavyopenda kuku wa...
Hii elimu siwezi kuitoa public kwasababu serikali ya Tanzania kupitia Benki kuu ya Tanzania haitambua na inazuia watanzania kuelewa na kujihusisha na masuala yote yanayohusiana na Crpto currencies, forex, etc. Hii imekuwa ikinishangaza sana. Unakuta Gavana wa Benki Kuu anakaza shingo kweli...
Hapo vip!
Ukitazama kwa jicho latatu unaona kabisa hizi faini wanazopigwa Simba sio haki,ila nikwasababu wanajua club ya Simba inapesa hivyo wanatengeza faini za kijanja ili hiyo bodi inayongozwa na viongozi maskini wapate mkate wa chai.
Ni wazi bodi inaibeba Yanga katika vitu vingi ila Simba...
Huu ni mtego, baki nyumbani pambania haki yako, usiende Urusi kupambania haki ya Warusi Ukrain, usidhubutu. Utapelekwa frontline ukafe.
Kwenye hiyo video hapo juu, huyo jamaa anatuambia eti meseji ya mshahara imeingia! Kulikua na umuhimu kutuambia suala hilo?! Eti hakuna shida yoyote, uende...
Huyu mrusi kazi yake kuwala wadada tu adi kanisani , haangalii sura yeyote analiwa tu asee.
Sikutegemea kama binti wa kilokole anaupolewa kirahidi hivyo duuuh
Mwanamke ni kiumbe hatari sana.
Mama Samia ambaye alikuwa anakutana na kuombwa mikutano na maraisi wa nchi kubwa kubwa sasa kabaki kufanya mikutano tunguu zanzabari na machawa😇 .
Yote yanatokana na tamaa za pesa na ubinafsi badala ya kuweka nchi mbele. Kajaza familia kwenye uongozi na watu ambao ni machawa lakini ataondoka...
Yes habari za masiku ndugu zangu na poleni nyote Kwa kadhia tuliyoipata kwa kusimamishwa Kwa muda Kwa platform yetu pendwa ila hope now tupo sawa.
Happy new year pia nawatakiwa kila lakheri katika huu mwaka mpya wa 2026.
Binafsi nimekaa nikafanya utafiti wa historia mbali mbali na kutafakari...
Communists walidanganya wengi, afrika ilidanganywa na communists kwa miaka 60 sasa kwamba Christianity ni adui yao na capitalism inawanyonya, matokeo yake viongozi wa afrika waliwekeza miaka 60 baada ya uhuru ku-undo colonial capitalistic economic system iliyokuwepo ambapo ilikuwa well...
Mkwamo wa Tanzania tangu kuanzishwa kwake umetokana na sababu kuu mbili.
1. Kuwapa kipaumbele zaidi wajinga na ujinga kuliko akili na wenye akili.
2. Rushwa na Ubinafsi.
Kuhusu kuwapa kipaumbele wajinga na ujinga kuliko akili na wenye akili.
Kabla ya kifo chake. Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu...
Inashangaza sana mawaziri wetu wameamua kuwa masikini, wanakili hawanakitu.
Huu uongo ni mbaya kuliko mambo yote muliowahi kufanya huko nyumba.
Afu kwa bahati mbaya, kwa Sasa kila kitu kiko kwenye mtandao.
Ni maadili ya kazi tu ndio yanafanya watu wasilete nyaraka. Ila unaumiza sana...
Tanzania ni nchi inayotembea juu ya mabega ya wakulima na wafugaji.
Kila sahani tunayoweka mezani ni matokeo ya jasho lao—wakati mwingine jasho la mwisho kabisa.
Lakini cha kushangaza ni kwamba, kadiri mahitaji ya chakula yanavyoongezeka…
ndivyo simulizi za umasikini, madeni, na mapambano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.