punda

Willemstad ( WIL-əm-staht, VIL-, Dutch: [ˈʋɪləmstɑt] (listen); Papiamento: [wiləmˈstad]; English: William Town) is the capital city of Curaçao, an island in the southern Caribbean Sea that forms a constituent country of the Kingdom of the Netherlands. It was the capital of the Netherlands Antilles prior to its dissolution in 2010. The historic centre of the city consists of four quarters: the Punda and Otrobanda, which are separated by the Sint Anna Bay, an inlet that leads into the large natural harbour called the Schottegat, as well as the Scharloo and Pietermaai Smal quarters, which are across from each other on the smaller Waaigat harbour. Willemstad is home to the Curaçao synagogue, the oldest surviving synagogue in the Americas. The city centre, with its unique architecture and harbour entry, has been designated a UNESCO World Heritage Site.

View More On Wikipedia.org
  1. Vichekesho

    Kisa cha Mkuyenge wa Punda

    Sikumoja punda alikutana na punda jike, pembeni kulikuwa na nyumba ya mkulima yenye jogoo na ng'ombe. Baada ya punda dume kumwona punda jike basi akachomoa mkuyenge wake, jogoo alipoona mkuyenge wa punda akataharuki sana, ikabidi awike kwa sauti ya kuuliza "Uniniiiiii?" Ng'ombe akaitikia...
  2. bahati93

    Tokea dunia iundwe punda wameongea kwa ajili ya Israel

    Israel mambo yake yanaogofya sana! Kama taifa lenu halipo timamu kujifanya kutunishia misuli Israel basi mjue mnaweza msitoboe miaka ijao. Kisa cha kwanza punda kuongea. Baalam wakati wana wa Israel wametoka Utumwani misri wanaelekea taifani mwao waliweka kambi pembezoni mwa mto jordan eneo la...
  3. Erythrocyte

    Ubadhirifu: Huu ni Msafara wa Makonda, baadaye anapanda Punda halafu Wajinga wanamshangilia

    Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya, tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga . Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana ! Msafara wake ni mara 2 ya msafara...
  4. Webabu

    Watu wa Gaza wala nyama ya punda na kunywa maji ya chumvi kwa njaa. Misri ikipeleka misaada bila ruhusa ya Israel itapata hasara gani

    Tajiri mmoja wa Gaza ya kaskazini amesema wameishiwa na chakula na maji kiasi kwamba kuna baadhi ya familia zimelazimika kuchinja punda na kula nyama yake ili wabaki hai. Mbali na ushahidi huo picha nyingi za moja kwa moja zinawaonesha wananchi hao wakipanga foleni ndefu na kugombea mikate kitu...
  5. Transistor

    Punda na Ng'ombe wanaweza kukuzalishia umeme

    UZALISHAJI WA NISHATI YA NGUVU KAZI (UMEME AU MZUNGUKO) KUTUMIA WANYAMA.. Katika dunia hakuna nishati ya bure zaidi ya nishati upepo au nishati jua, japo hata nishati hizo, huhitaji vifaa vyenye gharama ili uweze kuvuna kile cha bure. Ila pia tukumbuke wanyama wanaweza kukupa nishati hizo...
  6. GoldDhahabu

    Punda wa Tanzania hawana mtetezi?

    Nimeona Misungwi mkoani Mwanza na Geita Vijijini mkoani Geita! Akiwa amebeba mizigo, anapigwa! Akiwa analimishwa, anapigwa! Akiwa anakokota mkokoteni, bado anapigwa! Ni kama vile "lugha" pekee wanayoijua ni kipigo! Utakuta wengine migongoni mwao kuna michubuko iliyotokana na ama kubebeshwa...
  7. V

    Maumivu ya kugongwa mayai hayaelezeki Kwa Wanaume

    Utotoni kuna matukio yaliyosababisha nitoe machozi ila nalolikumbuka zaidi ni lile Jamaa alinipiga teke la pumbu wakati tunacheza boli. Kwa kweli hadi leo yale maumivu siwezi sahau. Lililofanya nikumbuke na kuandika huu masala ni hii Leo wakati nasombelea mchanga somewhere nimekodi punda, huku...
  8. Street brain

    Shukurani ya Punda ni Mateke, aliyefundishwa na Mwalimu leo ni wa kwanza kumtukana Mwalimu

    Habari wa wakati huu JF members. Na imani mkoa powa sana, niende moja kwa moja kwenye jambo lililonifanya nipost kwma mara ya kwanza humu JF. Mimi siyo mwalimu na sijawahi kuwa mwalimu na ndoto ya kuwa mwalimu lakini hili swala la wanajf kuwatukana walimu ni mambo ya ushamba na ujinga...
  9. Intelligent businessman

    Kisa Cha Mume, Mke jeuri na Punda kimenichanganya kuhusu sala la ndoa

    Mkulima mmoja mzee kijijini alikuwa na mke aliyependa sana kumbugudhi bila huruma. Kuanzia asubuhi hadi usiku na wakati mwingine hata usiku wa manane, wakati wote alikuwa akimlalamikia kuhusu chochote. Wakati pekee aliopata nafuu ni ule wakati aliokuwa nje shambani akilima na punda wake mzee...
  10. NetMaster

    Wakristo wasio Wasabato wanaruhusiwa kula paka, panya, kobe, kinyonga, kenge, kunguru, nyani, n.k?

    Kwa kuwa sisi ni wakristo ni kwamba sisi tunafata nyayo za Yesu Kristo. Ni vipi kitu ambacho hakusema Yesu Kristo kinawekewa mabano ya kuweka uchambuzi wa maono ya waliotafsiri biblia? mbaya zaidi kuna biblia hata hayo mabano hayamo, uchambuzi umeunganishwa kuonekana ni maandiko matakatifu...
  11. OKW BOBAN SUNZU

    Mzamiru Yassin Kiungo Punda ndio mido mzawa bora kwa sasa

    Mtu akifanya vizuri tumsifie. Ndio lengo la kuanzisha tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Simba Sc. Mbali na kulamba milioni 2 ni heshima kwa mchezaji mwenyewe. Leo Mzamiru ametangazwa kuwa mchezaji bora akiwashinda Onyango na Okrah Magic Kwa maoni yangu na mtazamo wangu huyu ndio kiungo mkabaji...
  12. Jacobus

    Punda huyu anahitaji msaada zaidi

    Wakuu, hapa Tabora mjini eneo la Ipuli pana huyu punda kaonekana siku ya jumapili akiwa na jeraha mguuni. Jumatatu akiwa hoi nikaamua kumpa maji na kufanya jitihada za mmiliki aje kumchukua. Ajabu mwenye punda huyu hupita tu kwa pikipiki na kumtazama. Jumatano wakaja vijana watatu wakimletea...
  13. JanguKamaJangu

    Nigeria: Viungo vya uzazi vya Punda wa kiume 7000 vyakamatwa Uwanja wa Ndege

    Mamlaka za Forodha Nigeria imekamata viungo vya uzazi vya Punda wa kiume 7,000 vilivyokuwa Uwanja wa Ndeger kwa ajili ya kusafirishwa kuelekea Hong Kong. Viungo hivyo vilikuwa katika magunia 16 na vilibainika baada ya kutoa harufu, na gharama yake imetajwa kuwa ni Dola 478,000 (Tsh. Bilioni...
  14. M

    Giza latanda, kwa waliosoma degree kupata ajira serikalini ni sawa na punda kupita tundu la sindano

    Sio siri kwa jinsi mwelekeo ulivyo kwa Sasa kwa watu waliosoma degree kupata kaz serikalin no asilimia ndogo Sana. Na kwa masikitiko makubwa wengi waliosoma degree ni wenye uchumi mdogo walifanya hivyo kutokana na kulipiwa ada na serikali. Najua kuna baadhi ya wanamember watasema kusoma ni...
  15. Roving Journalist

    RC Kagaigai: Ukame Kilimanjaro umeua Ng’ombe 841, Kondoo 406 na Punda 10

    Salaam Wakuu, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, amepata 40% ya bajeti ya Maendeleo. Mkoa bado umeathiriwa na Ukame. ==== TAARIFA FUPI YA MKOA WA KILIMANJARO KWA MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 22 JANUARI, 2022 1. UKARIBISHO: Mheshimiwa Rais...
  16. OMOYOGWANE

    Mke akikufumania fanya yafuatayo ili akusamehe

    Habari wakuu, Leo nawaletea mbinu ya kivita ambayo unaweza kuitumia kwa mkeo ili akusamehe kiulaini, mfano kama kakufumania, kakukuta na SMS za michepuko, au kosa lolote kubwa ambalo limeleta ugomvi na linatishia uhai wa ndoa au mahusiano yako, Tumeambiwa Tuishi nao kwa akili, Njia nzuri ya...
  17. OMOYOGWANE

    SoC01 Maana ya Furaha na Nadharia ya Punda anayekimbiza karoti

    Je umewahi kujiuliza Furaha ni nini? Je umewahi kuwa na furaha? Ilikuaje ukawa na furaha? Je unakumbuka nini siku ile ulipopata matokeo yako ya kidato cha nne ? Bila shaka ulihabarishwa kuwa umefaulu na unatakiwa kujiunga na chuo au kuendelea na kidato cha tano, bila shaka ulipata Furaha kubwa...
  18. Undava King

    Kwa hili Arusha mnatuaibisha Watanzania

    Yero subahi wanangu wa ngaramtoni, mbauda, ngalimi na sanawari, mtu akisikia unasafiri unaelekea arusha kichwani anakuhusudu kama mtu anayeelekea. Geneva ya kibongobongo mawazo yake ni sahihi isipokuwa atokuwa sawa akidhania ya kuwa pia unafaidi raha ya kusafiri kwa usafiri wenye comfort na...
Back
Top Bottom