wanasiasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania Sheikh Ponda: Wanasiasa walifuta Baraza la Wazee TAA Siasa ikaanza kukosa watu muhimu

    Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, akizungumza kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari Hali ya Kisiasa nchini ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), amesema historia inaonyesha kuwa viongozi wa dini ndio waliotoa mchango mkubwa na kutafakari juu ya...
  2. Diaspora Messenger

    JamiiForums Tanzania Karma ingekuwa ipo na inafanya kazi ingewapata wanasiasa ila hakuna kitu kinatokea

    Tazama , wanasiasa wanavyofanya manipulation Wanaua , wanatesa but nothing is happen to them Kama umri wanaishi miaka mingi na wanazidi kuwa na maisha mazuri wao na vizazi vyao .
  3. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Consistency ya Tundu Lissu kukosoa serikali za awamu zote inafanya watu wamuamini tofauti na wale Wanasiasa wa msimu

    Hamjambo! Kuna Wanasiasa wa Msimu. Akiingia kiongozi huyu wanakuwa wakali kama viwavi jeshi. Akitoka huyu na kuingia mwingine wanakuwa kimya. Hali hiyo inawafanya waonekane wanasiasa wenye maslahi fulani au ubaguzi hivi. Hata ingekuwa ni mimi ndiye nimeingia madarakani. Yaani wakati wa...
  4. Mwanadiplomasia Mahiri

    JamiiForums Tanzania Orodha ya wanasiasa walioonja makali ya Samia

    Uzi huu ni kwaajili ya kuwakumbuka wanasiasa wote ambao kwa namna fulani wameonja joto la Rais Samia kwa kuwekwa kando ya madaraka. Naanza na Balozi Emmanuel Nchimbi, Spika Job Ndugai. Endelea na orodha…
  5. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Nchi ambayo Chadema Wanaitokea Mfano wa Wanasiasa Wasomi Yafuta Degree kama Sifa ya Lazima ya Mgombea

    My Take Ikumbukwe Machadema Huwa yanaponda Mfumo wa sheria za Tanzania na kuwaponza CCM kwamba wanaruhusu darasa la saba Kugombea nafasi za Uongozi na kwamba huko wanakopewa hifadhi Kwa kibaraka wa beberu Kenya Kuna wasomi sana. Haya Sasa Chadomo mnaitwa huku mje kujiona mlivyo mbumbumbu na...
  6. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watu Wazuri Wanaendelea Kutushauri wa-Tanzania Juu ya Mkwamo Ulioko Nchini

  7. V

    JamiiForums Tanzania Watanzania munaopenda haki acheni kuwaamini kirahisi wanasiasa wakongwe,na waliotisheka kuiba wanapodai wako upande wenu

    Habari Limekuwepo wimbi la akina Tibaijuka,akina Polepole,akina Ndugai, akina Warioba nk ambao walichangia pakubwa kuifanya Tanzania iwe jinsi ilivyo Leo.... Mfano;wote munaofahamu utawala wa Magufuri munamfahamu Polepole ni nani na alifanya mangapi lakini utashangaa munamuona mkombozi. Ata...
  8. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa wachache sana Wana Conviction,wengi siasa ni kutaka vyeo na kuganga njaa!

    Ukiuliza Wanasias wengi,Vyama vyote, Kipi unakisimamia Moyoni Mwako? Jambo gani umeweza kulisimamia kama Mwanasiasa katika Maisha yako bila kuyumba utakosa majibu! Ukisikia wanasiasa wanaongea vitu kinyume,lakini vinavyobeba Maslahi yao! Ili waonekane Machawa wapate teuzi. Wanayosema...
  9. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa watendeeni wengine mema ili kulinda kesho bora ya vizazi vyenu

    Wanasiasa kumbukeni madaraka hukoma, sasa kama mtawatendea wengine mabaya kipindi cha uongozi wenu, huenda moja kwa moja msione madhara kwa sasa. Ila kesho hao ambao mnawatendea mabaya wakishika hatamu ya uongozi vizazi vyenu havitakuwa salama. Sishangai kuona baadhi ya viongozi hasa Africa...
  10. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Afrika, Tanzania tunahitaji watawala wa aina gani? - machifu na wafalme kama zamani ama (wanasiasa) maraisi na mawaziri kama siku hizi

    Natumaini japo hatuna machifu rasmi, bado tuna ulewa espesheli vile kuna makabila bado yana heshima ama muendelezo kwa machifu wa zamani na warithi wao. Binafsi, naona karibu vitu vyote vya kigeni tulivoiga, aidha tumeboronga ama havijafanya kazi ndani ya jamii zetu. Mambo ya siasa, maraisi na...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ali Nuno Aonya Wanasiasa Wanaofadhili Goons: Serikali Itaondoa Ulinzi Wao

    Kamanda wa Polisi wa Pwani, Ali Nuno, ametoa onyo kali kwa wanasiasa wanaodaiwa kufadhili makundi ya wahuni (goons), akisema kuwa serikali haitaendelea kutoa ulinzi kwa viongozi watakaobainika kutumia au kufadhili makundi hayo kutekeleza vitendo vya vurugu. Akizungumza na wanahabari, Nuno...
  12. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Asilimia kubwa ya miujiza feki ya manabii na mitume ni wajibu wa wanasiasa

    Katika jamii nyingi, miujiza feki inayodaiwa na manabii na mitume imekuwa ikichukua nafasi ya ahadi ambazo zilipaswa kutimizwa na wanasiasa. Kwa kawaida, mwanasiasa ndiye anayewajibika kuhakikisha wananchi wanapata maisha bora kupitia huduma za afya, elimu, ajira, na miundombinu. Lakini pale...
  13. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Taasisi ya Kanisa la Upendo Masihi (KIUMA) inayumbishwa na wanasiasa mamlaka za Serikali zipo wapi ?

    Mimi ni mmoja wa wafanyakazi wa Taasisi ya KIUMA katika Idara ya Elimu. Kwa sasa, taasisi imekumbwa na mgogoro wa kiuongozi unaodaiwa kuhusisha wanasiasa na mfadhili wa KIUMA. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya vijana wamefutiwa mikataba yao ya ajira, huku wengine wakinyimwa kuongezewa mikataba...
  14. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ukweli unaoogopwa na kufichwa na watawala; Wanaharakati ni bora kuliko wanasiasa.

    Unaweza kujiuliza nini kinasababisha tabaka tawala kushambulia na kuchukia sana wanaharakati. Jibu ni rahisi sana, wanaharakati wanatishia "status quo" ya watawala, popote pale Dunia katika Karne ya 20 na 21 hakuna mabadiliko makubwa ya kubadilisha au mageuzi ya utawala yaliyowezekana bila...
  15. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Ni fursa ya Wanasiasa kumuona "Home Boy" bila link

    Tazama.
  16. figganigga

    JamiiForums Tanzania Jakamageta: Elimu yetu Tanzania imeharibiwa na Wanasiasa. Hospital wamejaa Incompetent Doctors

    Mwanachama wa JamiiForums, Jakamageta amesema Elimu yetu inaharibiwa na siasa, siku hizi tutashindwa kupata Madaktari wanaofanya right diagnosis and treatment. "Hospital wamejaa Incompetent Doctors and other medical practitioners kwa sababu ya mfumo wa elimu yetu ni mbovu." Wenye pesa...
  17. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa waliopoteza uelekeo, wanadhani mihemko yao, matusi, uropokaji na uzushi wa wafuasi wao vinaweza kuleta mabadiliko ya kisiasa nchini.

    Je, Wamepotoka au kughafilika, na kwahivyo ni busara waungamishwe na kutubu mbele ya waTanzania? Unadhani mihemko yao, matusi yao, uropokaji wao, uongo wao na uzushi wao dhidi ya wenye mawazo au maoni tofauti na yao, vinawatambulisha kua ni watu wa aina gani Tanzania? Wanaweza kua wametumwa na...
  18. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Nilichokigundua Wanasiasa wanawaogopa sana wanaharakati inaonyesha wanaharakati wanakubalika sana kwa wananchi kuliko wanasiasa

    Mwigulu ni waziri mkuu anazunguka kuwananga wanaharakati baada ya kueleza serikali yake imefanya nini ? Imepunguza kero za wananchi maskini kwa kiasi gani? . Yeye yuko busy na wanaharakati cha ajabu wanaharakati hawana time na Mwigulu...
  19. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ninaliona tatizo kubwa kwa kamati ya kuu ya ulinzi na usalama wa Taifa letu, HAYA matamko ya wanasiasa ni ushauri wao kweli? 29/10 mlikuwa wapi?

    Sijui ninayo yaona ndiyo mnayoyaona, ILA kiukweli simwamini Katambi, Wala simwamini mwiguru kama kweli Taifa lipo hatarini kuchafuka, km ni kweli kwanini hawakuona hatari ya 29/10/2025?
  20. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa wachanga mnapaswa kulijua hili mapema

    Hamjambo wote¡ Katika moja ya andiko moja lililopatikana katika falsafa za kitibeli lililosema: "Mfalme huamini kuwa anaitawala dunia. Lakini mara nyingi dunia hutawaliwa na watu ambao mfalme hawajui hata majina yao." Historia imejaa mifano ya watu waliovaa taji huku wakidhani wao ndio wenye...
Back
Top Bottom