nape

  1. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Leo Nape unaipiga mkwara Marekani?

    Kwa yeyote aliyekusikia Leo ukichangia hoja kwenye bajeti (whatsoever) ya Wizara ya mambo ya nje umepiga mkwara Marekani wasiwajadili Kwa vile vyie ni Nchi huru? Uhuru wenu ndo uwanyime Uhuru wengine kujadili Mambo yao? Kujifafanya vipofu na viziwi wapumbavu àmbao mnatetea Unyama uliofanyika Oct...
  2. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Nape atishia kutoiunga mkono bajeti Wizara ya Ujenzi kisa barabara ya Kusini

    Akichanga mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2026/2027 bungeni jijini Dodoma May 20, Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, alisema amefika Bungeni akiwa na ujumbe mzito kutoka kwa wananchi wa mikoa ya Lindi na Mtwara pamoja na maeneo mengine ya Kusini...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Spika Zungu: Nape mambo yako yanakwenda vizuri una wajibu wa kumshukuru Rais Samia kwa kazi aliyoifanya kusini

    Nilikuwa napitia miradi ya kusini ambapo serikali imetenga zaidi ya bilioni 600. Hivi sasa mkandarasi yupo kazini, na madaraja yanaendelea kujengwa. Mheshimiwa Waziri Mkuu, ukipata nafasi ya kwenda huko na mimi nitakwenda pia, kwa sababu eneo hilo la Muhoro kule ndiyo nyumbani kwetu. Kwa...
  4. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Nape adai Januari Makamba ana akili sana

    Akihojiwa kwenye podcast ya Omari Kashera/Salma Dakota amedai hivyo. "Ukimpima nyani kwa kigezo cha kupanda miti, utadhani kobe ni mzembe na nyani ni genius."
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Nape: Vyombo vya Dola visipojali UTU, CCM itang'oka!

    Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye ametahadharisha kuwa bila kusimamia utu, Chama cha Mapinduzi (CCM) inaweza kuondoka madarakani hivyo akaonya wanachama ndani ya chama hicho wasione aibu kusimamia utu. Nape aliyewahi kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa...
  6. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Nape anahusika vipi na Matukio ya Oktoba 29 hadi Tume kukutana naye? Au aliandamana pia?

    TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 27, 2026, imekutana na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye. Mkutano huo wa Tume na Nape umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo katika ofisi za Benki Kuu ya...
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna ujumbe toka kwa Bwana Nape nauye

    Naelewa kuna kikosi kazi cha abdul ambacho kinasubiri taarifa kisha kufikisha kwa mama yake. Siwapi hii code na mnaofahamu hakuna kueleza.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ummy Mwalimu, Nape Nnauye - hawana uzoefu wa kuwa Mawaziri?

    Wanajisikiaje kuwa sehemu ya Bunge hili. Yaani, ningekuwa ninyi ningefanya maamuzi mazito. Kaka Nape, hahahaha! Pole mwanangu
  9. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nape: Watanzania msinunue ugomvi wa kisiasa

    Mgombea ubunge wa jimbo la Mtama Nape Moses Nnauye amewaasa watanzania kutokushawishika na kununa ugomvi wa kisiasa kwani ni hatari kwa maslahi ya nchi Nape Nnauye ameyasema hayo katika program yake maalumu aliyoianzisha ya kupita kijiwe hadi kijiwe na kuongea na wananchi wa marika mbalimbali...
  10. Inside10

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nape: Katiba iache tusubiri tumalize Uchaguzi, Wanaosusa waache wasusue

    “Nikamwambia Rais, haya yanayohitaji Katiba, tufanye uchaguzi kwanza tukimaliza uchaguzi tutayashughulikia… na hii ilikua busara na mimi naipongeza sana zile kamati, kwa sababu taifa lilikuwa kwenye mchakato wa uchaguzi. Katiba haitungwi kuwa ni Katiba ya Uchaguzi inatungwa kuwa ni Katiba ya...
  11. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kihongosi jiandae kupita kwenye tanuru la mateso kama watangulizi wako, Nape na Polepole), baada ya zama za wahuni kupita

    Nape alidondosha michozi baada ya kujikuta akinyimwa uhuru kwa bastola wa kuongea na watanzania pale Ubungo Plaza. Akaurejesha uhuru huo kwa msoto wa kutembea kwa miguu kutoka geti nje kabisa la ikulu mpk kufika ndani ya ikulu, ambako ilimpasa kumpigia magoti jiwe. Hivi sasa ni zamu ya Polepole...
  12. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Siasa bhana, Nape anachonga vonyago na simanzi moyoni, nimeambiwa January Makamba akafungua Madrassa

    Kuna picha inamwonesha mwanasiasa Nape Nauye aliyemwita mwendazake mshamba, akamla kichwa, Leo anachonga vinyagooo. Leo hii NASIKIA Makamba amefungua Madrassa je nikweli? WALIOKUWA makampeni mastamind Leo hii wako benchi.
  13. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Baada ya Pole Pole kutubu (alivyoratibu CCM kuiba kura kimfumo), ipo siku January Makamba, Nape au Kinana nao watakuja kutubu

    Mungu sio Athumani, na wala Mungu hadhihakiwi, ipo siku mbichi na mbivu za michezo michafu ya wizi wa kura inahusishwa kufanywa na January Makamba, Nape Nnauye na Kinana itawekwa wazi na wao wenyewe huku wakitubu kwa machozi. Nipo paleeee!
  14. Fanfa

    JamiiForums Tanzania Polepole na Nape ni wajasiri, wamegoma kufa na siri moyoni, ndio maana wanasema ukweli

    Polepole leo kawa jasiri kwa kukataa kufa na siri moyoni. Kaamua kupasua jipu hadharani na wala siyo wodini. Nape alishakataa kufa na siri moyoni siku nyingi. Alianza na kudokeza Goli la mkono hamkumwelewa. Akarudi tena kuwa kuna kura halali na haramu ila haramu ndo zinaleta ushindi, ukiupata...
  15. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nape aongoza kwa kishindo Mtama

    Hatimaye Nape kawasha Moto huko Mtama katika kata 19 kati ya 20 matokeo ni haya 1. Nape kura 3,160 2. Nahonyo kura 1,545 3. Chilumba 824 4. Jemadari Saidi 358
  16. U

    JamiiForums Tanzania Acheni Uongo Jimbo la. Mtama Lindi Nape Nnauye ameshinda Kwa kura 3160

    Matokeo rasmi Mheshimiwa Nape ndiyo mshindi na. siyo Jemedari Said kama wanavyodai baadhi ya Makada wa mchongo.
  17. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Nape anatuhumiwa kuendesha vikundi vya uhalifu kwa wapinzani wake uchaguzi kura za maoni jimbo la Mtama

  18. M

    JamiiForums Tanzania Ni ujinga kumkata Makamba na kuwaacha kina Nape, Prof Muhongo. waliolipinga bwawa la umeme hadharani kwa rushwa za wenye gesi

    Msikilize Nape alivyokuwa anapinga wa Tanzania wasipate umeme walale gizani. Sababu wamiliki wa gesi wapige hela za Tanesco kuwauzia gesi izalishe umeme. Maana umeme wa maji hauna faida kwa wapigaji
  19. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ugomvi wa Nape, January, Kinana dhidi ya JPM ulitokana na nini hasa?

    Siasa za nchi hii zinachanganya sana, wote tunakumbuka jinsi hawa mapacha watatu walivyokuwa hawaivi chungu kimoja kabisa na Magufuli mpaka wakanaswa wakiwa wanamsengenya huku wakitengeneza waraka mzito na mpango wa kuutoa kwenye vyombo vya habari kutikisa nchi. Jambo ambalo sijawahi kuelewa...
  20. kyagata

    JamiiForums Tanzania Hivi January Makamba na Nape wamechukua form za ubunge kweli?

    Hawa watu wawili sijaona wala kusikia kama wametia nia ya kutetea nafasi zao za ubunge kwa kuchukua form. Kuna mwenye kujua lolote?
Back
Top Bottom