dart

Diversity Arrays Technology (DArT) is a high-throughput genetic marker technique that can detect allelic variations to provides comprehensive genome coverage without any DNA sequence information for genotyping and other genetic analysis. The general steps involve reducing the complexity of the genomic DNA with specific restriction enzymes, choosing diverse fragments to serve as representations for the parent genomes, amplify via polymerase chain reaction (PCR), insert fragments into a vector to be placed as probes within a microarray, then fluorescent targets from a reference sequence will be allowed to hybridize with probes and put through an imaging system. The objective is to identify and quantify various forms of DNA polymorphism within genomic DNA of sampled species.First reported in 2001 by Damian Jaccoud, Andrzej Kilian, David Feinstein, and Kaiman Peng, DArT prioritized significant advantages over other traditional primer-based methods like the ability to analyze large amounts of various samples from a low amount of initial DNA. It also afforded low costs and faster results compared to related solid state DNA arrays that detected Single Nucleotide Polymorphisms (SNPs). Since its inception, the technology has been a major instrument in the analysis of polyploid plants as well as in the construction of physical and genetic map to understand related on species based on similarities and allelic variances among their genomes.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    DART yawasimamisha kazi Maafisa wa Mwendokasi walioshindwa kudhibiti vurugu zilizotokea Kituo cha Kivukoni

    Mnamo tarehe 26.03.2024 majira ya saa mbili usiku katika eneo la Kivukoni kwenye Kituo cha Mabasi Yaendayo Haraka (Mwendokasi), kulitokea hali ya vurugu kati ya abiria na madereva wa basi liendalo haraka lililokuwa linafanya safari kutoka Kivukoni Moroco. Hali hiyo ilitokana na abiria wengi...
  2. Roving Journalist

    DART kuchukua hatua dhidi ya Dereva na Wasimamizi wa Mwendokasi waliowapeleka Abiria Morocco badala ya Kimara

    Muda mfupi baada ya Member wa JamiiForums.com kusimulia tukio la Dereva wa Basi la Mwendokasi aliyetakiwa kuwapeleka Abiria Kimara kutoka Kivukoni, badala yake akawapeleka Kituo cha Morocco kisha kuwaacha hapo, jana Machi 26, 2024, mamlaka husika inatarajiwa kuchukua hatua. Mtendaji Mkuu wa...
  3. Richard

    Serikali iziachie taasisi kama UDART na DART zijiendeshe zenyewe na ziteue watendaji wanofaa hata kama ni kutoka nje

    Maofisa watendaji wakuu wa taasisi yoyote ile ni maofisa waaandamizi kabisa wa kampuni au taasisi yoyote ya umma. Kwa miaka mingi kumekuwepo na teuzi na tenguatengua za watendaji wa makampuni na taasisi mbalimbali za serikali jambo linoonyesha kuwa kuna tatizo kwani taasisi hizo ama zimeitia...
  4. Kingsmann

    Uteuzi na Utenguzi: Dkt. Kihamia ateuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa DART, Kuji awa Kamishna wa Uhifadhi wa TANAPA

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi kama ifuatavyo: 1. Amemteua Dkt. Athuman Kihamia kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART). Dkt. Kihamia aliwahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa...
  5. M

    Ongezeni mabasi ya kutoa huduma ya usafiri DART Stendi Kuu ya Kimara Mwisho, watu ni wengi na mabasi ni machache

    Kero ya usafiri Kimara Termina ni kubwa sana muda wa kuanzia asubuhi mpaka saa 6 mchana. Msongamano wa watu ni mkubwa sana na mabasi yenu ni machache. Toeni tenda watu binafsi waingize mabasi kwenye hii njia yenu, maana inaonekana kazi imewashinda.
  6. Roving Journalist

    DART: The kickoff meeting for the provision of project management consultancy services to supervise deployment and integration of ITS and AFCS

    THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT DAR RAPID TRANSIT AGENCY TALKING NOTES ON INSTITUTIONAL KICKOFF MEETING FOR PROVISION OF PROJECT MANAGEMENT CONSULTANCY SERVICES TO SUPERVISE DEPLOYMENT AND INTEGRATION OF INTELLIGENT...
  7. S

    Kama ni kweli stendi ya Simu 2000 kubadilishwa matumizi na kuwa karakana ya DART ni kuwakosea wana Ubungo

    Hizi habari za kusikitisha na kuumiza sana kwa wakazi Ubungo, Nilivyosikia ni kuwa Stand ya Simu2000 inataka kubadilishwa matumizi na kuwa KARAKANA YA DART, Kama habari hii ni yaukweli basi niswala lakusikitisha na kuwakosea wanaubungo. Kubadilisha Matumizi ya stand hii na Soko ni muendelezo...
  8. Roving Journalist

    DART: Sababu ya uhaba wa mabasi ya Mwendokasi Vituoni, ni hakuna mfumo rasmi wa kuongozea mabasi, Pia mabasi ni machache

    Ofisa Mawasiliano na Uhusiano wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Willium Gatambi ameeleza sababu za msongamano vituo vya 'Mwendokasi' jijini Dar es Salaam Leo Oktoba 11, 2023. Amesema tatizo hilo linasababishwa na watu wengi asubuhi kuelekea upande mmoja pia hakuna mfumo rasmi wa...
  9. N

    Kwanini Mwekezaji mpya wa Mabasi ya Mwendokasi (DART) Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu kachelewa kuanza kazi?

    Gazeti la Mwananchi la 31 Oktoba 2022 liliripoti habari ya kupatikana mwekezaji mpya wa kuendesha mabasi ya mwendokasi (DART), Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu. Taarifa ya serikali kupitia gazeti hilo ilisema kampuni hiyo ingeanza kazi Novemba 2022. Makubaliano ni...
  10. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    DART Tumeanzisha ukurasa huu rasmi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kwa lengo la kupata maoni, ushauri , mrejesho na hata malalamiko yanayohusu huduma zetu. Aidha tunawahakikishia watumiaji wa huduma zetu kuwa maoni, ushauri, malalamiko, Pamoja na hoja zenu juu ya huduma zetu...
  11. K

    Utata Mradi wa Mwendokasi (Dart- Phase 4) unaohusisha kuchukuliwa eneo la Kunduchi- Mecco Mtongani

    Wananchi wa Kunduchi Mbuyuni wanatakiwa kuondoka kupisha mradi wa Serikali wa mwendokasi (DART -PHASE 4). Mradi huu umezua sitofahamu kati ya wananchi na waliteuliwa ku simamia mradi husika. Mradi ulitakiwa kuanza 2020 na eneo husika lilishatengwa (kiambatanisho namba 1). Tatizo linakuja ni...
  12. BigTall

    Kabla ya kupandisha nauli ya Mwendokasi, DART zingatieni uchafu na huduma mbovu vituo vya Mwendokasi

    Mkiwa mbioni kupandisha nauli,uchafu umekithiri vituoni kwenu hapo ni Kimara na huduma imezorota madirishani kwa cashiers kila muda kujifanya hawana change #badilikeni
  13. BARD AI

    DART kuanza ujenzi Barabara za Mwendokasi awamu ya 4 na 5 DSM 2023

    Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) umesema mwakani unatarajia kuanza ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Kasi (BRT) katika awamu ya nne na ya tano. Mtendaji Mkuu wa Dart, Dk Edwin Mhede amesema mikakati hiyo inakuja baada ya Serikali kupata mkopo wa Sh650 bilioni kutoka kwa washirika...
  14. BARD AI

    Mabasi ya Mwendokasi kufika hadi Chamazi

    Wakati mkandarasi mradi awamu ya tatu ya mabasi yaendayo haraka ’mwendokasi’ barabara ya Gongo la Mboto akiwa tayari ameanza kazi, miundombinu ya mradi huo inatarajiwa kufika hadi Chamazi. Hayo yamesemwa leo Jumanne Novemba 15,2022 jijini humo na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo...
  15. BARD AI

    DAR: DART kuondoa tiketi vituo vya Mwendokasi, malipo ya kadi kurejea

    Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu iliyopata zabuni ya kuendesha mradi wa Mabasi hayo itaanza utaratibu huo Novemba 2022. Pia, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Usafirishaji wa DART, Fanuel Karugendo amesema wameipa miezi 6 kampuni hiyo kuingiza mabasi mapya na kwa kuanza...
  16. Sildenafil Citrate

    Prof. Tumaini Joseph Nagu ateuliwa Kuwa Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Florens Martin Turuka bosi mpya DART

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Dkt. Florens Martin Turuka, Katibu Mkuu Mstaafu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART). Amemteua Bi. Beng’i Mazana Issa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa. Bi. Beng'i ni...
  17. BARD AI

    Barabara za Mwendokasi zinadharaulika na wenye mamlaka wenyewe

    Matukio ya magari yasiyohusika kupita kwenye barabara ya mwendo wa haraka, yameibua hisia za kudharau utendaji wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) na Sheria ya Usalama Barabarani. Uvunjifu wa sheria na taratibu zilizowekwa umeonekana kufanywa zaidi na magari ya vyombo vya usalama, magari...
Back
Top Bottom