KUJICHUA ni moja ya changamoto kubwa sana kwa wanaume wengi, na wengi wanajua madhara yake lakini wanashindwa kuacha. Ni kama mnyororo unaokuchelewesha kimaisha na kukupotezea nguvu zako za kiume bila wewe kujua.
Kabla hujachukua hatua ya kuacha, ni muhimu kuelewa kwanini unataka kuacha na nini...