mungu

  1. Stroke

    Kwanini naamini Mbingu ipo , Mungu na Pia Shetani

    Hapo kale, Jamii nyingi walipenda mno Pombe, mpaka ikafikia mahali vitabu vya dini vikatamka wazi ahadi ya uwepo wa mito ya mvinyo huko Mbunguni. Yesu pia aliwahi tengeneza divai katika harusi huko kana ya galilaya. Kizazi cha sasa watu wanapenda mno kudinyana. Ahadi inayotrend ni ya mabikra...
  2. Wakusolve

    Watu wakuu(greatness) wanakuwa na baraka hizi kutoka kwa Mungu

    Mambo ambayo Mungu akitaka kukuinua na kuwa mtu mkubwa(born for greatness) anakubariki 1.Mungu anakupa heshima ambayo watu watakupenda na kukuamini 2.Upako(power), Mungu atapokuinua atakupa uwezo wa kutenda miujiza au kubadilisha tabia za watu na kuwa bora 3.ushawishi(influence), Mungu...
  3. Hance Mtanashati

    Hivi ulishawahi kujiuliza Mwenyezi Mungu ametokea wapi?

    Hivi ulishakaa na kujiuliza Mwenyezi Mungu ametokea wapi? Na ilikuwaje kuwaje akawaza kuumba . Je maisha ya upweke aliishi kwa muda gani kabla hajaumba malaika ,wanadamu na majini na viumbe wengine. Hiyo infinity past unaichukuliaje? Nini kitatokea hao aliowaamini nao wakakengeuka? Hapa...
  4. Wakusolve

    Ukiona unapitia dalili hizi katika maisha jua kuwa Mungu anakupeleka next level ya maisha yako

    Next level nini, ni kiwango ambacho Mungu anakuinua kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyengine yenye ukubwa na mamlaka. Je ni watu gani Mungu uwainua kuwapeleka next level ya maisha? Wanaitwa choosen one au black sheep wa family, Mungu uwainua watu hao hili kuvunja generation curse au...
  5. Infropreneur

    Huu ndio wakati muafaka wa MUNGU kuonyesha uwepo na uwezo wake kwa watu wake. Lakini Hayupo kusaidia lolote, Watu wanauwawa tu. Hasa watoto wadogo

    Kuna shule moja huko Iran ilipigwa na kombora na kusababisha vifo vya mamia ya wanafunzi. Watoto wadogo wasio na hatia yeyote wanauwawa kinyama na kikatili kabisa. Halafu hapohapo unaambiwa kuna Mungu mwenye upendo na huruma. Huyo Mungu mwenye upendo na huruma miaka nenda rudi, anaaminiwa na...
  6. Joseph midimu

    Shuhudia Mungu

    Ulishawahi kukutana na jaribu gani mpaka ukaamini kuwa kweli MUNGU yupo!🙏📌
  7. Mohamed Said

    Wayahudi Hawakuogopa Kumuua Yesu Kristo Mtoto wa Mungu Wataogopa Kumuua Khamenei?

    https://youtu.be/II2yPs0OKOs?si=-69y8t4mAwPS6JVN
  8. Pdidy

    Maombi naalum kwa viongozi wafanyakazi wa JF na members Mungu akafanye kuwa mbaraka kwenye nchi yetu mkawe juu mkabarikiwe mpaka

    Prayer for YOU! Father God, Tonight I lift up my Jf family to You. Every mother, every father, every business owner, every leader, every person carrying silent battles that nobody else sees. Lord, Your Word says You give sweet sleep. So I declare sweet sleep over their homes tonight. For the...
  9. Pdidy

    7 mistakes to avoid when God starts blessing you

    7 MISTAKES TO AVOID WHEN GOD STARTS BLESSING YOU 👇👇👇👇👇👇👇 When God begins to bless a person, the real test is not poverty anymore… the real test becomes how you handle abundance. Many people prayed for elevation, but few are prepared for what comes after it. Because blessings can open doors —...
  10. Stuxnet

    Pengo na Nkwera wote wamekufa. Mungu atatoa jibu ni nani alikuwa sawa kwenye mgogoro wa 1992-95

    Mgogoro dhidi ya Fr Nkwera ulianza mara tu Pengo alipokuwa Askofu Mkuu (1992) 1.Matatizo yalianza baada ya Polycarp Pengo kutawazwa kuwa Askofu Mkuu wa Dar es Salaam. Alimuita “padre mtoro” na kuanza mchakato wa kumdhibiti. Fr. Nkwera alitajwa kama padre asiye chini ya jimbo rasmi, jambo...
  11. Allen Kilewella

    Mungu ndiye aliyetulazimisha waafrika tuachane na majina yetu ya Asili?

    Hivi mtu hawezi kuwa Muislamu safi bila ya kuitwa Hassan, Abdallah au Amour? Hivi kuwa Mkristo kuna uhusiano gani na mtu kuitwa John, Julius au stephano? Au Mungu wa wakristo na waislamu hapendi majina ya kiafrika hivyo akalazimisha kuwa ni lazima tutumie majina ya mataifa mengine? Siku hizi...
  12. Samia atosha tukutane2030

    Mungu wangu ana nguvu sana, muulizeni Jiwe, mkinipa sababu za maana kwanini hamumtaki Samuya nitamsihi Mungu aamue kama alivyofanya kwa Jiwe.

    Sababu nambari 1 kwanini nimeamua kuwa upande wa Samia hata kama ana ubaya ni Watanzania kumwabudu Jiwe. Jiwe mtu mwovu sana . Yote kwa yote katika kipindi cha utawala wake wananchi waliishi maisha magumu mno ila wananchi wenyewe wapo kama kuku, dk mbili mbele wameshasahau.. Sababu ya pili...
  13. Allen Kilewella

    Thibitisha kwamba HAKUNA MUNGU

    Nawaandikia Infropreneur na Kiranga makuhani wakuu wa Atheists wa JF, salaam. Kwenye mada hii nataka mtuthibitishie kuwa hakuna Mungu. Kwenye kuthibitisha kwenu, msiishie tu kusema hayupo kwa kuwa hayupo, tupeni hoja zenye mantiki ni kwa nini hayupo. Na msikwepe hoja kwa kusema hayupo kwa...
  14. Jagina

    Je Mungu anaweza kuwa Mungu; Je mtu anaweza kuwa Mungu?

    A: JIBU LA KILOGIC (MANTIKI) Je, Mungu anaweza kuwa mtu? Ndiyo au Hapana hutegemea ufafanuzi wa “Mungu”. Ikiwa Mungu ni: 1. Asiyekuwa na mwanzo wala mwisho 2. Asiyepungukiwa na chochote 3. Asiyefungwa na muda, nafasi, njaa, usingizi, maumivu, au kifo Basi kwa logic safi: Mungu hawezi kuwa...
  15. A

    Kuna wakati sitaki kuamini uwepo wa Mungu lakini maswali haya yananichanganya sana

    Kuna wakati nataka kuamini Mungu hayupo lakini kuna maswali ambayo najiulizaga mpaka leo sijawahi kupata majibu yake 1 Sayansi inasema ulimwengu ulianza (Big Bang) Kabla ya hapo hakukuwa na dunia, jua wala muda kama tunavyoujua. Swali ni hili kama ulimwengu ulianza, nani au nini kilianzisha...
  16. Powell Gonzalez

    Je, Mungu yupo au hayupo?

    Njoo hapa unithibitishie kuwa mungu hayupo kwa hoja zako nami nitazijibu kishupavu. Ila kwanza pitia haya maelezo machacge hapa chini. Soma ikiwa tu una uelewa kidogo kuhusu quantum physics, ikiwa Huna uelewa basi pita huu uzi uache, kasome kwanza quantum physics, kisha rudi siku nyingine, maana...
  17. Nelson Jacob Kagame

    Binadamu mnamjua Mungu aliyewaumba au mnakariri hadithi tu?

    Baada ya kupotea mda mrefu nimerudi tena ndugu zangu. Mniwie radhi kwa simulizi nilizoshindwa kuzimalizia.... sababu zilikua nje ya uwezo wangu. Leo ningependa niwaulize watu ambao mnajiita kua mna ubini wa Adamu. Mnamjua Mungu aliyeumba au mnakariri hadithi na mapokeo. Mungu yupo ila asilimia...
  18. secretarybird

    Mungu na jamaa yake Shetani wanazidi kupoteza umaarufu waliojizolea

    Wakuu, dalili za Mungu na swahiba wake Shetani kupoteza umaarufu waliokuwa nao imeanza kuonekana wazi wazi. Kitendo Cha watu kumchana live mwenyezi Mungu kinathibitisha kuwa viumbe hawa wawili dhahania sasa muda wao wa kutamba unakaribia kwisha hapa duniani. Naishia hapa Kwa sasa.
  19. stakehigh

    Mungu alitoa wapi wazo la kumuumba Binadamu? Haya ndo majibu

    Mm ni mkristo kidini lakini kiasi flan navutiwa sana na dini za wahindi, Nimesoma vitabu kadhaa vya dini za kihindi japo vipo vingi huezi maliza vyote, lakini hivi ndo baadhi THE VEDAS, GURU SAHIB. katika dini ya wahindi vitabu vipo vingi ukijumlisha na Miungu yao pia ipo Mingi, kwa mfano kuna...
  20. Izy_Name

    Huu ni mjadala maalumu kuhusu uwepo wa Mungu na kutokuwepo kwake kwa ushahidi wa vitabu vitakatifu, history na science

    Ingawa wanasayansi wengi hawajawahi kusema wazi kuwa hakuna Mungu, tafiti na maelezo ya sayansi yanapokuja na majibu yanayotofautiana na maandiko ya dini, mara nyingi huleta tafsiri inayofanana na dhana ya kutokuwepo kwa Mungu au angalau kutohitajika kwa Mungu katika kueleza asili ya ulimwengu...
Back
Top Bottom