mungu

  1. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mungu hawezi kukuokoa mbele ya Mwanamke aliyeamua kukuangamiza. Unajua ni kwa nini?

    MUNGU HAWEZI KUKUOKOA MBELE YA MWANAMKE ALIYEAMUA KUKUANGAMIZA. UNAJUA NI KWA NINI? Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Hii ni siri hutokuja uambiwe popote. Na leo nitakuambia. Mungu anaweza kukuokoa dhidi ya serikali. Mungu anaweza kukuokoa dhidi ya majambazi yenye silaha. Mungu anaweza...
  2. I

    JamiiForums Tanzania YA NEPAL, SAYANSI, MUNGU NA AKILI ZETU WAAFRIKA

    Hivi karibuni tumeshuhudia mafuriko ya Nepal yanayofahamika kama flash floods yalivyosomba makazi ya watu na kusababisha uharibifu wa mali, majumba, miundo mbinu na zaidi hasa maisha ya watu wengi kupotea. Katikati ya majanga haya, kuna jengo moja lilibaki likisimama peke yake, likistahimili...
  3. R

    JamiiForums Tanzania CHADEMA toa msimamo/utaratibu kuhusu waliiohongwa kuropoka hovyo hovyo

    Erythrocyte msipokuwa wakali na tabia hii ya kuhongwa na kuwapa mwanya wa kuropoka we are heading to a disaster! Heche alikemee hili wazi wazi kuwa mwenye mamlaka ya kutamka contents of that nature ni Makamu Mwenyekiti/Heche peke yake! Toeni "Executive order" kuwa issue za maridhiano and the...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Katiba ya Tanzania haimtambui rais kama binadamu wa kawaida inamuona ni 'mungu'

    Ndio maana sishangai rais kuipigia debe hii katiba maana inamfanya awe kiumbe wa daraja la juu kuliko viumbe vyote Tanzania. Yaani hawezi kushtakiwa akiwa rais au hata baada ya kustaafu haitajalisha amefanya maovu kiasi gani. Kwa maneno mengine rais wa Tanzania anaruhusiwa kuvunja katiba...
  5. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Kila ninapoiona sura ya Mama Abduli au kusikia sauti yake huwa nachukia ghafla. Ni heri nimuombee shetani asamehewe na Mungu kuliko mama Abduli

    Hakuna madhara ya moja kwa moja nimeyapata kupitia yeye. Ila niseme tu ukweli kwenye maisha yangu sikuwahi kumchukia mtu kuliko ninavyomchukia huyu mama abduli na genge lake. Ni heri nimuombee shetani asamehewe na Mungu kuliko mama abduli.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kuna watu kuzaliwa hapa duniani ilikuwa ni hasara kwa MUNGU na kwa binadamu. Watu kama Putin, Hiltler, Amin, Ayatollah nk hawakupaswa kuzaliwa

    siyo kila aliyazaliwa duniani ilikuwa ni mpango wa MUNGU .Hapana.ebu jiulize mtu anakuwa na roho kama ya simba unawezaje kusema ilikuwa ni mpango nwa MUNGU mtu huyo kuzaliwa duniani?kuna watu wanasumbua hapa ulimwenguni mpaka unajiulizwa siku wanaumbwa matumboni kwa mama zao Mungu alikuwa bize...
  7. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Mpango wa Mungu si mpango wa mwanadamu, yeye anapanga yake na sisi yetu

    Ni vizuri tukakumbuka kwamba aliyeasisi unyama huu (udikteta uliopitiliza) wa kiwango cha akina Benito Mussolin, Joseph Stalin, Augusto Pinochet ni Magufuli akilindwa na Katiba ya 1977 iliyoandikwa na CCM chini ya maelekezo ya Nyerere. Naonya: ikiwa hayatafanyika marekebisho ya dharura ya...
  8. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Kiranga: "Dhana ya kumuomba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ni contradiction"

    Mmoja ya vijana wayahudi waliokuwa katika camps za mateso alizokuwa amejenga hitler kwa ajili ya kuangamiza kizazi cha kiyahudi aliandika hivi ukutani "KAMA MUNGU YUPO BASI ANATAKIWA KUNIOMBA MSAMAHA" Wamama wanalia sana katika maombi, wameteswa, vizazi vyao vimeharibika ila watesi wao ndio...
  9. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Tunashindwaje kumwamini na kumtegemea Mungu wakati sisi ni waamini?

    Maisha ni safari ndefu na changamoto nyingi..!Hofu nyingi na kukata tamaa kwingi..! Na ni jambo la kawaida kibinadamu kukumbana na nyakati ambapo imani ya maneno haitoshelezi kukabiliana na hofu za maisha. Mara nyingi tunashindwa kumtegemea Mungu kwa sababu tunamfahamu kupitia simulizii na...
  10. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Mbunge Kingu: Mungu Alinifunulia Uteuzi wa Ndejembi na Nilimpigia Simu.Kama nasema Uongo Abishe

    My Take Inaweza kuwa kweli au pia kujikosha Kisiasa. Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu, amedai yeye ni mtumishi na wiki chache zilizopita alizungumza na Mungu, hali iliyofanya ampigie simu Deogratius Ndejembi kwamba kuna jambo kubwa linaenda kumtokea siku chache zijazo...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Yuko Mungu anayejibu Maombi

    Miaka 7 iliyopita nipitia katika changamoto kubwa ya mahusiano yangu na Mungu. Katika kipindi hicho chote Mungu alikuwa mwaminifu katika maisha yangu , mambo mengi ambayo hata sikuyaomba Mungu alinifanyia kwa upendo Maisha yalikuwa mazuri katika upande wa familia, watoto, uchumi nk kwa kweli...
  12. R

    JamiiForums Tanzania CCM, Hii siyo sawa. Pamoja na yote , msingelimfutia uanachama nchimbi. Mungu anawaona

    Hakuna kosa lolote alilolifanya. mmekengeuka na diyo maana mnaua watu, kuteka, kupoteza na ukatili ulikithirika mipaka ya ubinadamu. Kwa nguvu, utumishi alioufanya akiwa CCM, watu wenye hofu ya Mungu msingelifika kumfukuza uanachama. CCM ipo hapo kwa contribution kubwa ya Nchimbi. Kama...
  13. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Mwaipopo: CCM imeshindikana tumuachie Mungu

    Kada mashuhuri wa CCM Saidi Mwaipopo (sheikh?) kasema CCM ni chama kisichoweza kushindwa hivyo akasema watanzania wamuachie Mungu. Msioamini kuwa Kuna Mungu kina Nyani Ngabu kazi kwenu.
  14. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Daah kwa hakika Mungu ana namna yake ya kufanya kazi!!.

    Daah kwa hakika Mungu ana namna yake ya kufanya kazi!!. Hakuna Mwanadamu alitegemea Anguko ka CCM lingekuja kwa style hii R.I.P in Advance !!.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Namna ya Kumshukuru Mungu

    Nini maana ya Shukrani? Kumekuwa na maswali mengi kwa watu juu ya kumshukuru Mungu na kila mmoja anasema yake Kumshukuru Mungu ni zaidi ya kutoa sadaka, ingawa kumshukuru Mungu kunaambatana na sadaka Mambo ya msingi katika kumshukuru Mungu Jambo la kwanza Moyo wa shukrani Moyo wa shukrani ni...
  16. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania NILITOA UNABII NAPO TOA UNABII NATOA TAARIFA MAPEMA. MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿

    NILITOA UNABII NAPO TOA UNABII NATOA TAARIFA MAPEMA. MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿
  17. 4

    JamiiForums Tanzania Mwachieni mwana wa Mungu, Lissu, viginevyo mtakufa midomo wazi - asema Bwana

    Habari wana wa Mungu jf popote mlipo, amani Bwana ikawe juu yenu. Mungu akanionesha yeyote aliye nyuma kuhujumu mwana wa Mungu Lissu sio muda atakufa mdomo wazi. Mwachieni mapema sana, viginevyo mtakufa vibaya sana. Asema Bwana na imekua Niwatakie majukumu mema na zingatia hili. Thanks
  18. M

    JamiiForums Tanzania Muendelezo wa miujiza ya Mungu kwenye maisha yangu.

    Habari wakuu,mara ya mwisho nilisimulia hapa jinsi ambavyo nilipitia kipindi kigumu kwenye maisha yangu baada ya kupoteza kazi ikafika kipindi nakosa hata shilingi 100 ndani na nina familia ila baada ya kuattend maombi ya fulani mambo yakafunguka hapo hapo Story yenyewe hii hapa...
  19. Gospel KTV

    JamiiForums Tanzania Utofauti wa Rangi na Nywele za Wanadamu ulitokana na Nini? Mungu amenipa ufunuo

    Wakati natafakari swala hili kwa kina hakika Mungu amenipa jibu lifuatalo. Utofauti wa rangi na nywele za wanadamu ulitokana na kuzaliana kwa wanadamu wa kwanza baada ya uumbaji. Biblia inaonyesha kwamba wanadamu walitokana na familia ya kwanza ya Adam na Hawa na wakaendelea kuongezeka kwa...
  20. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Mungu alimfanya mtu? au alimuumba mtu? Embu fafanua (mwanzo 1;26

    Mungu alimfanya mtu? au alimuumba mtu? Embu fafanua (mwanzo 1;26
Back
Top Bottom