chochote

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwizukulu mgikuru

    Hunywi bia na hutumii kilevi chochote lakini bado maisha yako ni magumu shida ni nini mkuu?

    Kuna wale jamaa huwa wanapenda kutusema sana sisi wana wa kamtungilei, lakini maisha yao kila kukicha ya jana yanakuwa na afadhali kuliko ya leo....kuna jamaa yangu mwingine huwa anapenda kunisema kuhusu mambo ya mtungilei alijichanganya akaenda kuchukua mkopo wa laki nne kwenye taasisi za...
  2. M

    Mwanaume rijali yupo tayari kusamehe chochote isipokua kushea tunda la kati, hata kama ndoa itaendelea things will never be the same again

    Ni mapicha picha kama haya ndio hufanya iwe ngumu kusamehe
  3. Jumanne Mwita

    Sikugonga Kitu Chochote, Lakini Nilipata Ajali: Simulizi ya Tukio la Kushangaza Lililonibadilishia Eneo la Kazi

    AJALI NILIYOIPATA NJIANI: SOMO KWA MADEREVA WOTE Utangulizi Tarehe 15/06/2026 ni siku ambayo sitaisahau kwa urahisi katika maisha yangu. Nilipata ajali ya pikipiki katika eneo la Butinzya nikiwa safarini kuelekea Ushirombo kutoka Katoro. Kilichonishangaza zaidi siyo ajali yenyewe, bali mazingira...
  4. R

    Professor Kitila: Pato la Taifa ni kwa kila mtu, ikijumuisha yule aliye juu sana hadi ambaye hana chochote

    Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ametoa ufafanuzi wa kina leo Juni 23, 2026 bungeni kuhusu dhana ya Pato la Taifa (GDP) na Pato la Kila Mtu (GDP per capita), kufuatia kile alichokiita kuwa ni mkanganyiko mkubwa na mijadala inayoendelea kwenye jamii na mitandao ya kijamii...
  5. M

    Nawaheshimu sana watu wasiotumia vilevi, Imagine mtu ana stress zake au hana kampani lakini hatumii kilevi chochote

    Mfano, pombe imekuwa sehemu ya tamaduni nyingi duniani kwa muda mrefu na ilikuwepo kwa sababu zake mbalimbali. Sehemu za kukutana na kunywa pombe mara nyingi huwa maeneo ya watu kujumuika, kupunguza mawazo, na kupata kampani. Hata kama huna marafiki wa karibu, ni vigumu kujisikia mpweke ukiwa...
  6. M

    Ukitaka kujua elimu sio chochote mbele ya Mamlaka angalia Zanzibar, ipo nyuma kielimu ila ndio jamii iliyojaa kwenye vyeo vizito na taasisi kubwa,n.k.

    Waweza kuingia hata tovuti za Necta kuthibitisha hayo, miaka nenda miaka rudi nafasi za mwisho huwa ni Zanzibar. Kwa wale wanaofika vuoni ambao asilimia kubwa husomea Bara, uwezo wao ni wa kawaida sana, Lakini kitakwimu hakuna sehemu ambayo ina watu wengi maofisi ya taasisi kubwa au kwenye...
  7. N

    Kukaa kimya kwa Mbowe hakumsaidii chochote, zaidi ya kumtambulisha ni mtu wa kununa

    Mwana demokrasia mahili ni yule anaye kubali kushindwa na kuendelea kushirikiana na walio mshinda Chaguo alilochagua Mbowe la kukaa kimya na kuwatelekeza walio mshinda, ni wazi siyo sahihi. Chaguo hilo linamtambulisha kama kiongozi asiye kubali kushindwa na mtu wa kununa Unawezaje kuwanunia...
  8. Financial Analyst

    BIKRA ya mwanamke sio ishara ya ubora wake. Ulimwengu wa mtu upo kichwani na moyoni mwake, hata siku moja uchi hauwezi amua chochote.

    Ooh hakikisha unaoa mwanamke mwenye bikra, Mara ooh ukikuta hana bikra, piga chini. Kama ingekuwa hivyo wengi wenu msingekuwepo hapa duniani. Mwanamke akiamua kukubadirikia atakubadirikia tu haijalishi ulimkuta sealed au open case kwa maana mindset ipo kichwni na sio ukeni Acheni utoto.
  9. M

    Katiba mpya si mali ya Chama chochote cha Siasa bali ni mali ya Wananchi

    Ambagile anasema kuwa anaona itakuwa ngumu sana kupata katiba mpya kwa sababu anaona vyama vya siasa vimeanza kugombea agenda kuwa hiyo agenda ya Katiba ni ya chama fulani, anasema Katiba mpya ni ya Watanzania na Si ya CCM, CHADEMA, Waislam, Wakristo, Simba au Yanga. Anasema ni kama tunaanza...
  10. Best home tutor

    Ni kweli serikali haigharamii chochote mtu maarufu kama Fernandez akija nchini?

    Kwanza kabisa mimi sioni umuhimu wa mstaafu wa soka kuja nchini kwetu nakumpaisha hivyo halafu kwenye account zake haoneshi yupo Tanzania licha ya kupewa air time za kutosha. Pia nimesikia hawa watu wakija serikali ni protocol tu lakini gharama haitoi serikali sijajua anatoa nani? Mtu mweyewe...
  11. Best home tutor

    Mtuhumiwa hakutakiwa kujibu chochote kwakua mahakama hii haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo.

    Naomba kujuzwa ,kwanini kesi ipelekwe kwenye mahakama ambayo haina uwezo wa kusikiliza kesi husika ? Au utaratibu na protocol za kisheria ndio unataka hivyo. Naombeni wataalamu nisaidie majibu.
  12. M

    Freestyle kuhusu chochote Jukwaa lichangamke

    Freestyle kuhusu kitu chochote ili jukwaa lichangamke.
  13. Tlaatlaah

    Siasa za picha mitandaoni ni kujifariji na kujidanganya tu, kiukweli hazijawahi kusaidia chama chochote cha siasa kushinda uchaguzi.

    Mfano hapa Tanzania, kuna vyama vya siasa kwa muda mrefu sana, ukiachilia mbali kutumia matusi, vilikua vikijidanganya na kujifariji na picha au video za kutengeneza mitandaoni kuonyesha kwamba eti vina wanachama wengi au wafuasi wengi zaidi na badala yake wakati wa uchaguzi wakaambulia patupu...
  14. gimmy's

    Ni ipi kazi ya vyama vya wafanyakazi, kama kwa mfumuko wa bei hivi sasa hakuna chama chochote kimetoa kauli kutetea maboresho ya mishahara?

    Ndugu zangu vita inayoendelea Irani imesababisha upandaji wa bei ya nishati kitu ambacho kimesababisha mfumuko wa bei kwenye bidhaa karibu zote,kwenye uchumi gharama za nishati/mafuta/gas zikipanda lazima bei ya bidhaa ipande. Kwasasa hali ya maisha kwa upande wa wafanyakazi imekua mbaya zaidi...
  15. Hance Mtanashati

    Ujio wa AI umesababisha nisiamini chochote minachokiona mtandaoni

    Kuna mahala inafika unaona kabisa AI inachukiza sana maana kwa sasa ni ngumu kujua ipi video halisi ipi video ya kutengeneza . Kwa sasa kila nikiona video hata iwe na uzito kiasi gani nashindwa kuichukulia serious . Na wengi wanaoongoza kuleta video za AI ni wanaharakati uchwara wasiojielewa...
  16. Stuxnet

    EWURA hawazalishi chochote ila kazi yao kupanga bei ya mafuta. Ifutwe kama tulivyofuta SSRA

    NB: Table hii haihusiani na bei mpya iliyotangazwa leo. Imetumika tu kujenga hoja. Jumla ya tozo ambazo zipo kwenye bidhaa ya mafuta ya Petrol na Dizeli kwa kila lita moja ni kama 30% ya bei. Serikali iiangalie namna ya kupunguza tozo hizi hata kwa 50%. Nchi kadhaa za Afrika kama Namibia...
  17. Eli Cohen

    Mwanaume ana jukumu la kugharamika ili apate chochote ila unapokuwa unateswa kisaikolojia na yeye aonapo pesa tu ndio anakuchekea tambua upo jela

    Ok, what is really special mfano hadi ichezewe afya ya akili kama mtoto mdogo. Je ni makebo yake makubwa?, namna anavyokwea mnazi? Rangi yake utafikiri anaoga na maziwa? what is really special hadi unajua unachezewa akili lakini bado umo? Unalilia kwa demu ambae kila jioni a anajifanya kulia...
  18. ngara23

    Leo nimetimiza umri wa miaka 35, nishauri chochote

    Niliambiwa na wazazi wangu kuwa nilizaliwa April 30, 1991 Na Leo nimetimiza miaka 35 Mimi ni mme na baba, Nina watoto 2 Ni mfanyabiashara wa nafaka, mkulima na mfugaji Nitakie heri na nishauri chochote
  19. albab

    Chochote unachokijua kuhusu Toyota corolla fielder wxb - hybrid

    Habari Wakuu... Kwanza nianze kwa kusema mimi ni mgeni kwenye field hii ya magari ila natamani kupata usafiri siku kadhaa mbele. Chaguo langu ni toyota (kwa sababu ni gari yangu ya kwanza naamini sitosumbuka sana). Nimewaza gari ya kifamilia zaidi na ngumu ambayo pia ni fuel economy. Katika...
  20. Burn the bridge _Tz

    Sinywi pombe, sio mtu wa wanawake situmii kilevi chochote na bado maisha magumu, shida itakuwa Nini?

    Kijana Nina misimamo sina makundi situmiii kilevi ila sina maisha Wala Hela tatizo linaweza kuwa Nini wakuuu
Back
Top Bottom