mwenyezi mungu

  1. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Rasmi najiingiza kwenye mziki kama msanii wa bongo fleva. Save the date, 7 October

    Nimelelewa katika familia yenye maadili, wazazi wangu walipenda nisomee mashaallah kitu ambacho nimekikamilisha japo bado sija fika wanapo taka. Kutokana na changamoto za hapa na pale rasmi, nimeona nijaribu na kwingineko, nimefanya sana biashara lakini naona kila kitu na mtue, hivyo rasmi...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Ninaomba Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda sana Mzee Kikwete (Mstaafu na Mshauri Mzuri sana wa ofisi ya Rais)

    NB: Nina Akili Ndogo Sana. Nitamchukia saana binadamu yoyote yule, hususan Kiongozi mkuu kama vile Mzee Kikwete siku akinikosea yeye, mkewe au mtoto wake personally. Ila Kwa maneno ya mitandaoni bila "concrete evidence" kamwe siwezi kumchukia yeye, mkewe au watoto wake.
  3. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Katika Uislamu uchawi na kuroga (sihr), Qur'ani na Hadithi nyingi za vitabu zinakataza kabisa kujihusisha na masuala ya uchawi

    katika Uislamu uchawi na kuroga (sihr), Qur'ani na Hadithi nyingi za vitabu zinakataza kabisa kujihusisha na masuala ya uchawi, au kwenda kwa waganga kwa ajili ya kuroga, au kutumia nguvu za kishirikina kwa ajili ya kumdhuru mtu, muislamu anatakiwa asimtafute mchawi wala asiroge, hata kama...
  4. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Je, Ni Neema Gani za Mwenyezi Mungu Wanazozikanusha?

    Mwenyezi Mungu amesema: "Basi ni neema zipi za Mola wenu mnazozikanusha?" (Surat Ar-Rahman 55:13) Hili ni swali ambalo Qur'an imelirudia mara nyingi ili kumfanya mwanadamu atafakari. Leo kuna watu wanaokubali historia iliyoandikwa na wanadamu, wanaamini nadharia nyingi zisizo na ushahidi wa...
  5. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania "Sisi ndiyo tumekufanya uwe Mtume na Mwenyezi Mungu ni Shahidi"

  6. Life2

    JamiiForums Tanzania Mwenyezi Mungu ametaka tujifunze kupitia kifo cha Temba

    Pumzika kwa Amani Temba ndio umekufa kifo cha kikatili sana sidhani kama uliwahi kufikiria utakufa kifo cha kikatili hivo. Poleni sana wana familia wa Temba Mungu awe faraja kwenu kipindi hiki kigumu hakika ni msiba mkubwa sana kwenu na kwa wapenda haki na amani. Lakini kupitia kifo cha Temba...
  7. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Japo Kuna Vitu Vinatokea Kwa Kudra Tuu za Mwenyezi Mungu, Je Unaamini Kuna Watu Wana Powers za Kumkudrisha Mwenyeezi Mungu?, Amini Usiamini, Wapo!

    Wanabodi, Mimi ni mmoja wa wanabodi, mara moja moja siku za Jumapili, nitakuwa nawaletea nyuzi za mambo ya powers. Mamlaka Kuu kabisa ulimwenguni ni Mungu, kwa majina tofauti tofauti, Mungu Baba, God The Almighty, Mwenyeezi Mungu Subhanna wa Taalah, Allah, Yehova, Jehova, YEYE, I AM, etc...
  8. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    Huku duniani tumekuja kuchuma ila matumizi ya kile tulichokichuma tutakuta huko maisha ya peponi. Kila mmoja atapata neema ya pepo kulingana na thawabu alizozichuma huku duniani. Mitume ya Mwenyezi Mungu ipo mingi sana ila wapo wale mitume ambao daraja lao ni kubwa zaidi kuliko wengine mfano...
  9. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Hivi ulishawahi kujiuliza Mwenyezi Mungu ametokea wapi?

    Hivi ulishakaa na kujiuliza Mwenyezi Mungu ametokea wapi? Na ilikuwaje kuwaje akawaza kuumba . Je maisha ya upweke aliishi kwa muda gani kabla hajaumba malaika ,wanadamu na majini na viumbe wengine. Hiyo infinity past unaichukuliaje? Nini kitatokea hao aliowaamini nao wakakengeuka? Hapa...
  10. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Miongoni mwa neema au bahati kuu watakayoipata watu wa peponi ni kuonana na Mwenyezi Mungu

    Si kila binadamu atapata bahati ya kumuona Mwenyezi Mungu. Watakaobahatika kumuona Mwenyezi Mungu ni wale tu waliokidhi vigezo na kufuzu mitihani waliyopewa hapa duniani kubwa zaidi kukamilisha kile walicholetewa duniani ambacho ni kuabudu. Hii ni kitu special sana, tukija hata kwenye maisha...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Chaula tunakuombea heri za Mwenyezi Mungu huko uliko kama bado uko hai

    Kijana mdogo, kuchoma picha ya yeye kuchora unatoa uhai wake halafu unavaa ushungi eti unatimiza Matakwa ya dini!
  12. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Nina Imani Mwenyezi Mungu ameyapokea maombi

    tebt
  13. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania MWENYEZI MUNGU akubariki dada yangu Yasinta Makwabe

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Kuelekea mwisho wa mwaka nimekuwa nikitoa baraka kwa watu wote Lakini leo ni special kwa dada yangu Yasinta Makwabe Ubalikiwe na KRISTO YESU anayekuja SAYUNI BOY
  14. The Watchman

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dkt. Rioba wa TBC: Mwenyezi Mungu ameyafunga maandamano yoyote yale Tanzania. Ameniambia atamalizana na wanaopanga kuliangamiza Taifa

    Mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania (TBC) kupitia ukurasa wake wa Facebook ameweka wazi maono ambayo amedai kuoneshwa na Mwenyezi Mungu. "Mwenyezi Mungu amenifunulia kwamba njama zote za kuivuruga Tanzania hazitafanikiwa! Amenionesha kuwa ameyafunga maandamano yoyote yale Tanzania na...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Naombea Yanga afungwe na Far Rabart

    Salut sana waungwana wa JF. Awali ya yote kabisa NaDECLAIRE INTEREST, mimi nilikuwa shabiki kindaki ndaki kabisa wa hii timu kongwe hapa nchini, ila kwa sasa soccer la bongo silipendi kabisa. Katika mawazo yangu kwa sasa (come rain, come shine) ni December 9 tu. Hii timu ya YANGA...
  16. C

    JamiiForums Tanzania Nimeupenda utulivu wa wakatoliki na hiyo ndiyo dini ya haki ya mwenyezi mungu

    Naona mashambulizi yanatoka kila upande wa wavaa kobaz ,lakin naona wakatoliki wametulia hawana haraka wala hofu , wapo kimya kama hawasemwi na kushutumiwa na hao wauza madawa ya kulevya huu ni ukomavu wa hali ya juu sana na ndio faida ya kuwa na viongozi wa dini wasomi
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Joh Makini: Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu

    Msanii wa muziki nchini Joh Makini ameungana na watanzania katika kipindi hiki kigumu "Pole yetu sote Watanzania lakini zaidi kwa ndugu jamaa na marafiki waliopoteza wapendwa wao Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu".
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mkiambiwa kuwa hawa Wanawake tuwapende tu ili tusimkwaze Mwenyezi Mungu, ila siyo Watu wazuri kabisa muwe mnaelewa sawa?

    “My Wife Abandoned Me When I Was Banned from Football & Lost My Fame” Paul Pogba said it in an Interview. Chanzo: The Nairobi Times Kuna mwingine Mumewe yuko Wodini Muhimbili akiwa Kalazwa Mkewe kaenda kumkumbushia Hela ya Matumizi ya Siku.
  19. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ni upekee gani wa WaIsrael ulifanya washushiwe vitabu vitatu kati vinne vya Mwenyezi Mungu?

    Wakristo wao wanaamini Israel ni taifa teule lilichogaliwa na Mungu ndio maana mambo yote ya dini ya Ukristo na ukombozi yamepitia Israel, hawana kipengele katika hili, mjadala uliopo unaowaganya ni kama Israel ya sasa au ya kale ndio taifa teule. Kwa upande wa Waislamu wao wana story ya...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Kanisa ni taasisi imara ilikuwepo na itakuwepo milele hakuna wa kulifuta kanisa isipokuwa Mwenyezi Mungu tu

    Leo siku ya pentecost tunafundishwa kuwa ni sikukuu ya kuzaliwa Kwa kanisa takatifu la Mungu sikukuu ya Mavuno... Watu Wana ongea lugha mbalimbali lakini zote Zina msifu Mwenyezi Mungu... Hakuna wa kulifuta wala kulivunja hekalu katatifu( KANISA) 1. Kanisa ni nyumba muhimu 2. Kanisa ni ofisi...
Back
Top Bottom