chama cha mapinduzi

  1. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Dkt. Lugomela: Niliwapatia fedha za posho baadhi ya madiwani kwenye mchakato wa kura za maoni za CCM mwaka 2025 hawakutekeleza makubaliano

    Mbunge wa Maswa Mashariki, Dkt. George Venance Lugomela, amesema aliwapatia baadhi ya madiwani fedha alizozitaja kuwa ni posho wakati wa mchakato wa kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2025, akidai baadhi yao hawakutekeleza makubaliano waliyokuwa nayo. Akizungumza katika kikao cha...
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Kwanza ya Chama Cha Mapinduzi, Msukuma jitafakari

    Msukuma, Habari za mchana! Hii hapa TAARIFA YA KWANZA YA CHAMA baada ya 29 October na ilikuwa tarehe 5. Mwenyekiti alikutana na wajumbe wako kwenye kikao cha kamati kuu maalum. Na mengine mengi baada ya hapo yalifanyika kutokea kwenye maelekezo ya hiki kikao. Shida ni moja na makundi yenu ya...
  3. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Ni mtu gani anayekubalika na mwenye mvuto kwa watu ambaye anapendwa na anakubalika kwa watanzania ndani ya chama cha Mapinduzi?

    Habari wakubwa Napenda niulize swali sio kwa ubaya tu na nipewe majibu mazuri na sababu za kumtaja huyo mtu. Je kwa sasa ni nani ndani ya CCM ambaye watu wanampenda na kumwamini na akisimama kwenye jukwaa anaweza kuwajaza watu wakakaa na wakamsikiliza ? Isiwe huyu mtu amewalipa au...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Chaguzi zote tumewachapa, hata 2030 tutawachapa, sisi sio chama cha matukio

    Chaguzi zote tumewachapa, hata 2030 tutawachapa, sisi sio chama cha matukio Kihongosi akizungumza na wanahabari leo 13 Juni, 2026 amesema kuwa Wakati wa kuanzishwa vyama vingi Mwalimu Nyerere alisema waingie kwenye vyama vingi licha ya wanaCCM wengi kukataa ila tangu hapo CCM inashika...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Matamshi ya mbunge Simai wa Zanzibar yazua taharuki ndani ya Chama cha Mapinduzi, yaibua ishu zake

    Anaitwa Simai Mohammed Said. Awali alikuwa Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kwa Jimbo la Tunguu (CCM). Baadaye Rais Samia akamteua kuwa Mbunge (wa kuteuliwa) wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika zile nafasi 10 za Rais. Hivi karibuni mbunge Simai amezua mjadala uliyosababisha...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania CCM Iringa Vijijini yaanza Uchukuaji Fomu za Ubunge jimbo la Ismani kwa Lukuvi

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Iringa Vijijini kimetangaza rasmi kuanza kwa zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Ismani, kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, William Vangimembe Lukuvi. Kwa mujibu wa Katibu wa CCM Wilaya ya...
  7. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na Emmanuel Nchimbi wanaiendesha CCM kisayansi na kimkakati zaidi pengine kuliko wakati mwingine wowote tangu kuanzishwa kwake

    Ukiachilia mbali vikao maalumu vya kimkakati kidigitali ambavyo hufanyika mara kwa mara nchini kote, mipango mingi muhimu na mikubwa zaidi ndani ya ccm hufanyika pia kianalojia kulingana na mazingira ya eneo husika kwa lengo la kukiimarisha, kukiboresha na kukisogeza karibu zaidi na wanachama na...
  8. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Channel Ten na miaka 49 ya Chama cha Mapinduzi

    https://youtu.be/nVH5swbaWcY
  9. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Amani, Umoja na Utulivu miongoni mwa waTanzania ni matokeo ya uimara na umadhubuti wa Chama Cha Mapinduzi na serikali yake sikivu

    Licha ya porojo, uongo na uzushi dhidi ya Tanzania kama taifa, serikali sikivu ya CCM imesalia kua madhubuti zaidi katika kuhakikisha kwamba uongo, uzushi na porojo za chuki zinazozalishwa, zinazochakatwa na kusamabazwa kwenye mitandao ya kijamii na mamaluki wa vibaraka wa mabwenyenye ya...
  10. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)

    https://youtu.be/nVH5swbaWcY?si=dQIHSpvr8AhjE2IU
  11. Inside10

    JamiiForums Tanzania Chama cha Mapinduzi kimepoteza wabunge watatu kwa muda mfupi kuanzia Disemba 2025 hadi February 2026

    Chama cha mapinduzi kimepoteza wabunge watatu kwa muda mfupi kuanzia disemba 2025 mpaka February 2026 Mbunge Jenista Mhagama alifariki 11 Disemba 2025 Mbunge Halima Nassor alifariki 18 January 2026. Munde Tambwe alifariki tarehe 3 February 2026 Pole ziende kwa rais na chama chake.
  12. President of China

    JamiiForums Tanzania The 19 Goals and Objectives of Chama Cha Mapinduzi (CCM)

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) is Tanzania’s ruling political party, founded on the principles of nationalism, unity, social justice, and democratic governance. Its goals and objectives reflect the historical struggles of Tanzania and its vision for a just, prosperous, and united nation. The...
  13. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Ukisikia habari ya Kambona, ukimuangalia Warioba, ukiona walivyofanyiwa na Chama cha Mapinduzi na Serikali zake utaelewa kwanini Tanzania ni masikini

    Mkwamo wa Tanzania tangu kuanzishwa kwake umetokana na sababu kuu mbili. 1. Kuwapa kipaumbele zaidi wajinga na ujinga kuliko akili na wenye akili. 2. Rushwa na Ubinafsi. Kuhusu kuwapa kipaumbele wajinga na ujinga kuliko akili na wenye akili. Kabla ya kifo chake. Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu...
  14. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Naomba kuandamana kupinga furaha za watanzania wanapofariki viongozi kutoka CCM

    Badala ya kutoa taarifa, sasa Jeshi la Polisi mmejipa mamlaka ya kuombwa ruhusa ya kuandamana. Haya, mimi Sifi Leo sifurahishwi na raha na furaha wanayokuwa nayo vijana wa Kitanzania pale anapokufa kiongozi yeyote kutoka Chama Cha Mapinduzi. Hili ni doa kubwa mno katika taifa. Maandamano...
  15. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania Chama cha Mapinduzi, mnaogopa MAPINDUZI? Mnatuonaje watanzania?

    Nilitarajia chama hiki cha MAPINDUZI kutokuwa na mashaka na Mapinduzi kwani ndiyo asili ya chama hiki. Inakuwaje panic mode imekuwa activated kwa kiwango kikubwa namna hii? Mna povu sana kwa sasa, what went wrong with this “revolutionary” party?
  16. Superbug

    JamiiForums Tanzania Kwaheri ccm kwaheri Chama Cha Mapinduzi

    Ukweli usemwe ccm imefikia mwisho. 1977-2025. Huwezi kushindana na wakati.
  17. President of China

    JamiiForums Tanzania Watu wote wenyeakili wanajua; Mipango yao ime fail, CCM inazidi kuwa imara, Kidumu Chama cha Mapinduzi (Jipangeni tena for 25 years)

    Watu wanaotumia mihemko wataendelea kupiga kelele. Lakini ukweli ni kwamba mipango yao waliyoisuka kwa miaka mingi imezimwa kama mshumaa. Wao wanapanga CCM inapanga. CCM imevuka vikwazo vingi mno, imepita kwenye milima na kwenye mabonde mazito. Imepenya majaribio mengi. Walitumia maafisa...
  18. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aongoza Kikao Maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao Maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa iliyoketi jijini Dodoma, Jumatano, Novemba 5, 2025.
  19. President of China

    JamiiForums Tanzania Chama cha Mapinduzi (CCM) ni kati ya vyama 10 vikubwa duniani - Fahari ya Tanzania na Afrika; Je, mnalijua hili?

    UTANGULIZI Je, unajua kwamba Chama cha Mapinduzi (CCM) ni miongoni mwa vyama vya kisiasa vikubwa duniani? Wengi hawajui, lakini Chama cha Mapinduzi (CCM) chama tawala cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni miongoni mwa vyama vikubwa zaidi duniani kwa idadi ya wanachama. Hii ni heshima kubwa...
  20. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Tamaa ya madaraka ya Chama cha Mapinduzi imeangamiza Vijana wetu

    GT Tamaa ya madaraka.ni kitu mbaya sana. Nawashangaa sana hawa wanaomwita Samia kuwa ni rais. Binafsi simtambui hadi mwisho wa dunia Unajua kwamba. 1. Lissu yupo gerezani kwa sababu watu hawataki kuuachia madaraka? 2. Wajua kwamba CHADEMA inateseka kisa watu hawataki kuachia madaraka? 3...
Back
Top Bottom