yangu

Dragon Quest: Young Yangus and the Mysterious Dungeon is a prequel and spin-off to Dragon Quest VIII, developed by Cavia and published by Square Enix as part of the Mystery Dungeon series.

View More On Wikipedia.org
  1. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Adui Yangu Anaitwa Simu.

    Hii sio kawaida! Am cooked, ninetumia GB 10 za intaneti, just in a day(less than 10 hrs) kwa ku scroll pekee! Youtube Insta Fb Site za wakubwa(twice) Na hapo bado nimeenda kuchek mechi(means Kuna kama masaa sikushika simu) .. Kweli nahitaji social media detox, hii imesababishwa na being...
  2. Hidden Diamond

    JamiiForums Tanzania TRUE story: Kifo cha mama yangu kilivyo taka kuniua

    Jina langu naitwa Hidden Diamond. Kwa mama, mimi ni mtoto wa tatu kuzaliwa (na kaka yangu mkubwa ambaye mama alimpata akiwa bado msichana mdogo), ila kwa baba ni mtoto wa pili baada ya kaka yangu ambaye kwa sasa ameajiriwa kwenye sekta mojawapo binafsi nchini. Kwenye familia yetu, wote kwa...
  3. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania Nauza mitiki yangu, ipo shambani jirani na kijiji cha Kibindu wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani

    Habari za wakati huu. Picha nilizoweka hapo ni mitiki yangu ipo kwenye shamba langu jirani na kijiji cha Kibindu wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani. Natafuta mteja anaefanya shughuli za mazao ya miti au mfanyabiashara wa mazao hayo. Miti yote ina umri sawa ilipandwa mwaka 2007, ina miaka...
  4. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kauli mbiu yangu ya sasa kwenye mahusiano

    ''Ng'ombe asiyekupatia maziwa, usimpe majani'' Kazi kwenu mabaharia.
  5. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Hii ni haki kweli? Nimekuta gari yangu inadaiwa wala sijui kosa, sina taarifa yeyote

    Habari, leo nikiwa na kagua nijue nadaiwa kiasi gani cha maegesho ya gari gafla nakuta na daiwa sh 60000 ya makosa barabani , sijui niliandikiwa wapi na lini ! Huu utaratibu ukoje ? Naweza peleka malalamiko ? Moderator Maxence Melo
  6. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Kindege kimekula tsh miasita yangu ya kiitanzania

    Ndio ilikuwa hela ya mwisho asee nimeumia sana maumivu yake hayasimuliki na huu usawa wa. Samia Alafu napoteza hela kizembe dah dunia haina huruma
  7. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Nimepata mpinzani kwenye biashara yangu mbinu gani niitumie kumu-overcome

    Ndio hivyo tena biashara ni ushindani ukilala wenzio wanaamka, mwenye frem anachotaka ni kodi hajali aliempangisha anauza nini na anaetaka kupangisha nae atauza nini shida kodi inaingia Fremu inayofuata kaingia mpangaji mpya ile kufungua ni copy na paste ya bidhaa ninazouza, cha ajabu kaja na...
  8. prida

    JamiiForums Tanzania Naamini katika wilaya yangu yote ni mimi pekee nisiyeamini huu UPUMBAVU.

    Juzi kati nilitembelea watoto yatima sehemu fulani maporini huko na nikiwa huko nilihisi kung'atwa na kitu then kurudi home wakati naoga nikaona pale mahali pamevimba.Na palivimba na kuwasha sana kwa kama wiki nzima huku dawa nilizopewa hospitali kutosaidia kit. Tukiwa kitandani shemu wenu...
  9. BlackPanther

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila la kheri kwenu machama yangu Argentina, Morocco, Spain na Algeria

    Ingawa mimi ni shabiki mkongwe wa Albiceleste, na bado naimani kubwa sana na chama langu kubeba kombe hili (Back to Back) Lakini kwa upande wa Afrika nipo na chama langu The Atlas na mabingwa wa Afrika CAF CHAMPIONS LEAGUE 🇲🇦 MOROCCO 💪🏽, niwatakieni kila la kheri katika mchezo wenu wa kwanza...
  10. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Namtafuta mganga mzuri wa ‘kunitengenezea’ biashara yangu

    Hapo vip! Jamani nina tatizo sereous,ninabiashara sehemu kila nikiweka mtaji then mtaji unakata..na nauza kidogo na pale ni stand kabisa ila majira wanauza na biashara zao haziyumbi kabisa. Mimi nipo Arusha ila nikimpta mganga mzuri wa kujija kunisindikia eneo langu la biashara itakuwa poa...
  11. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Tanzania Nahitaji passport ya kusafiria ila Nida yangu imekosewa

    Kwema wakuu? Ninahitaji kupata passport ya kusafiria ila jina lililoko kwenye nida limekosewa herufi moja tu (badala ya kuishia na herufi “ni” jina la mwisho limeishia na “n”). Siko na kitambulisho mkononi kipo mkoani huko na time hii niko DSM. Je, inawezekana?
  12. masai dada

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza Vacation na familia yangu

    Dah aliyewaambia pesa aileti furaha aliwadanganya
  13. Mtukutu Mkuu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NAUZA GAMING LAPTOP YANGU GTX 1650 HP PAVILION

    Wakuu kwema ninauza gaming laptop yangu ina speci hizi Core i7 gen 9 ram 16 hp pavilion gtx 1650 vram 4gb ssd 256 ssd sata tb 1 core i7 gen 9 battery 1hours windows 11 bei 680k serious buyer dm me au 0627796644 inafaa kwa gaming na graphic
  14. majam19

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi na hii ndoa yangu. Nifanyeje?

    Habarini wakubwa, Poleni na majukumu. Nianze kwa kuomba radhi kwa nitakaowakwaza. Mimi ni kijana wa miaka 27. Baada ya majaribio ya muda mrefu ya kutafuta mke kushindikana, nilikata tamaa ya kuoa kabisa na nikaamua kubaki single. Baada ya muda, dada yangu alinipatia binti mwenye miaka 17 na...
  15. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Nimegundua rafiki yangu kawa chawa wa kiwango wa Airport

    Nilikuwa na rafiki yangu mzuri ambaye tulifahamiana ofisini lakini baadaye alikuja kuhama pale ofisini sasa yapata miaka 8 hatuko pamoja Lakini wakat huo wote tuliendelea kuwasiliana na kusaidiana katka changamoto mbalimbali za kimaisha Kilichonishtua ni kuwa mwaka Jana alinipigia simu...
  16. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi dawa za mvuto na uchawi wa ulivoivuruga familia yangu

    Hii ni simulizi fupi ya kweli ya mahusiano yangu na ndoa yangu,naomba wengi tujifunze na kushauri pia. Mimi ni baba wa watoto watatu naishi na familia yangu kwa miaka kumi sasa,katika maisha yetu na mke wangu tumeishi vizuri sana kwa maelewano mazuri,toka tuanze maisha chumba kimoja tumekuwa...
  17. SAMBOZAM

    JamiiForums Tanzania Mfumuko wa Beo umekula mitaji ya wafanyabiashara wadogo

    🍌𝗠𝗙𝗨𝗠𝗨𝗞𝗢 𝗪𝗔 𝗕𝗘𝗜 𝗨𝗡𝗔𝗪𝗘𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗟𝗔 𝗠𝗜𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗬𝗔 𝗪𝗔𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔𝗕𝗜𝗔𝗦𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗪𝗔𝗗𝗢𝗚𝗢 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔🥒🍌 Ripoti mpya ya TICGL inaonesha kuwa ongezeko la mfumuko wa bei nchini linaweza kuendelea kuathiri kwa kiwango kikubwa biashara ndogo na za kati (MSMEs), 𝗮𝗺𝗯𝗮𝘇𝗼 𝗻𝗱𝗶𝗼 𝘂𝘁𝗶 𝘄𝗮 𝗺𝗴𝗼𝗻𝗴𝗼 𝘄𝗮 𝘂𝗰𝗵𝘂𝗺𝗶 𝘄𝗮 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮. 🔹 Mfumuko wa bei...
  18. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Hatimaye thread yangu kuhusu Terence Crawford imemfikia waziri wa utalii na maliasili na amempa ubalozi wa utalii Tanzania

    Niliandika thread hapa kushangaa kwa nini mtu kama Terence Crawford kuonesha mapenzi yake ya dhati kwa Tanzania kuitangaza kimataifa na kupost kila hatua anayopita kuonesha ni kwa namna gani Tanzania imebarikiwa lakini viongozi wa nchi walimkalia kimya kana kwamba ni mtu wa kawaida tu. Kwa...
  19. Planet Data bundles

    JamiiForums Tanzania Nashukuru Mungu nimetimiza milion 200 yangu kwanza?

    Ilikua safari ndefu sana. Nakumbuka mwaka 2005 nilikua naiona kama ni ndoto kubwa .Hatimae leo imetimia . Watafutaji wote tusikate tamaa pesa zipo
  20. B

    JamiiForums Tanzania Kuongelea Gari Used Toyota Crown ndio gari yangu namba moja kwa kupenda

    Formati yake ndani, comfortability is another level. Pia mwonekano safi, hasa hizi Peal White ukipita lazima watu wageuke nyuma. Kiukweli gari yangu next year itakuwa Toyota Crown
Back
Top Bottom