Dragon Quest: Young Yangus and the Mysterious Dungeon is a prequel and spin-off to Dragon Quest VIII, developed by Cavia and published by Square Enix as part of the Mystery Dungeon series.
Tuchukulie mfano wa mtu anayesafiri km 30 hadi 35 kila siku ndani ya mji.
Kwa mwezi (siku 30), atakuwa amesafiri takribani km 900.
Petrol - 4000 kwa lita
Gesi - 1545 kwa Kg
Sasa tuangalie upande wa gesi.
Kwa gari la CC 1900, mfano Nissan X-Trail, kwa mafuta inaweza kukulamba lita 1 kwa km...
gari
gesi
gharama
gharama za mafuta
kila mwezi
kubadili
kuokoa
kutumia
mafuta
matembezi
matumizi
mbili
mfumo
mjini
msingi
muhimu
mwezi
naomba
naweza
sababu
sababu za
shilingi
wakati
yangu
zaidi ya
Heche amesema kwamba hao wanaosemasema, ni kutaka kufifisha mjadala wa kifo cha dereva wake Suez Daniel Maradufu.
Amesema ni mikakati imepangwa si bahati mbaya. Polisi ndo Waliopiga picha Maiti ya Suez, Sisi tulikatazwa wakidai wanaenda kufanya uchunguzi. Lakini picha maiti ya Suez tukazikuta...
Pc yangu ni hp ryzen taa ya pc nikiweka chaji inawaka na kuzima rangi nyekundu, nikajaribu kutoa betri inaendelea vile vile ila safari hii ni taa nyeupe,,nimejaribu kuwasha lakini haiwaki,,nimebadilisha chaji lakini ni vilevile shida ni nini na inawaeza kutengenezeka?
Wana-JamiiForums, habari za majukumu
Naja mbele yenu nikiomba msaada wa hali na mali wa kupata dondoo yoyote itakayoniwezesha kumpata baba yangu mzazi ambaye sijawahi kumwona tangu nizaliwe. Naitwa Pendo Gervas Kalilo, na kwa sasa sipo nchini Tanzania lakini kiu yangu kubwa ni kumfahamu baba...
Wakuu nimetoka kumzika rafiki yangu 33 years
Mwanzo sikuwa najua Kama mtu wa miaka 33 anaweza kufa Tena kwa sukari.
Aisee huu msiba umenipa fundisho kubwa
Naomba Kama una nafasi ya kumrudia Mungu mrudie fanya ibada za kweli.
Kama unaweza kusaidia watoto kwenye vituo vya watoto yatima...
Ni ushauri wangu na mawazo na maombi yangu. Kama itawezekana hiyo Septemba Mbowe asiwepo kwenye hicho kikao muhimu sana kwa mustakabali wa taifa letu. Ni naamini Mbowe bado ana chuki kubwa na viongozi wa CHADEMA wa sasa. Huyo mzee nawambia hashindwi kufanya figisufigisu kuvunja chama. Mkae nae...
Nimekagua gari yangu kwenye mfumo wa Polisi unaonesha nina faini ya ubovu wa gari, faini hiyo imepigwa Mlandizi ndani ya wiki tatu zilizopita wakati sijawahi kufika kabisa na gari, pia kwa muda huo lilikuwa halitumiki.
Nimejaribu kufuatilia kwa mamlaka husika nimekwama, Leseni hiyo siyo yangu...
Jamani
Nikiingia aidha kwenye mtandao hasa email, app, system yoyote inahitaji password yangu napata ujumbe huu
Your token has expired
Awali nilifanya yafuatayo kuondoa
1. Nikiingia kwenye dot tatu kulia mwa address ya web nikaenda setting ku delete catches, cookies nk
2. Nili reflesh site...
Wachina ni watu wenye kujua vitu vingi ila wanapitiliza mpaka waliowafundisha wanaona kama wao ni wajinga.
Dunia inatabia moja kama masikio.Binadamu walikuta dunia inaweza kukabiri mfumo ila tatizo la wanadamu wanataka kuitengeneza kama kichwa cha mlevi mwisho wa siku dunia itashindwa kuelewa...
Nakumbuka hapo zamani nikiwa na 15 niliwahi kuumwa, basi katika kuzunguka kupata suluhisho nililetewa dawa ya asili
Ni majani unayachemsha yanakuwa kama chai ya rangi
Niliponyanyua kikombe na kukiweka kinywani, ilipogusa ulimu nilishusha kikombe
Kwa kujua dawa hio hainyweki kirahisi wengi...
Kuna matukio nikiyaunganisha kuna picha naipata kwamba kuna watu 'underground' wapo serious mno na mustakabali mwema wa nchi yetu.
Tazama kwa mfano,
1.Kuchaguliwa kwa Lissu kuwa Mwenyekiti wa Taifa-CHADEMA.
2.Kukomaa na NO REFORMS NO ELECTION mwanzo mwisho!.
3. Kugoma maridhishano n.k
I...
Habari gani kwenu wakuu? Najua mapambano bado yanaendelea, hakuna kukata tamaa..
Kuna uzi niliwahi kushare humu kuhusu huyu mwanamke wangu kuwa na tabia ya kushare mambo yetu ya faragha kwa marafiki zake...
Ndugu wadau Nimeipata changamoto baada ya account yangu ya Whatsapp kuwa banned. Nimekuwa nilipenda hizi unofficial apps kama Gb Whatsapp, ila walinionya ya kuwa huwa zina kuwa zinafanya uwe banned
Sasa wadau kimeniramba tangu juzi account yangu imekuwa ikiniletea message hiyo? Japo kuwa tayari...
Nashangaa hasira za nini je mkijua meneja wangu anabeba 13,000$ kwa mwezi si ndo mtazimia? Kabla ya kunibisha angalia uhalisia
Hiyo 4500$ ni pesa nje ya bonus na mengine! Per month nakunja not less than 18,000$ kulingana na nature ya kazi mshahara si mkubwa ila bonuses ndo nyingi sana , wajuba...
Ndugu zangu wanajf,
Hili ni jambo linaloumiza akili yangu sana.
Sipo kwenye mahusiano yoyote rasmi ila kuhusu uzinzi kila nikitaka kuita dem gheto najikuta nina dilemma hii kubwa.
Je ngono itaongeza nini kwangu, swali hili hunifanya niishie kujichukulia sheria mkononi baada ya kutathamini...
Habari wanajf.
Najihisi kuwa na furaha na amani tele.Nimejikuta ninaOVERCONFIDENCE hatari mbaya kabisa😀😀😀.
Sielewi ni kwanini ila nametokea kuwa mpenzi wa makala na maandiko ya wanafalsafa wale watukutu,RADICALS.
Baada ya kukutana na vitu ambavyo nimekuwa najiuliza maswali na kukosa majibu...
Habari wana jamwi ninauza monitor yangu bado mpya kabisa nilikua natumia kwenye forex ila nimeliwa hela zote, nimeuza laptop tayari imebaki monitor tu
Ni HP flameless, monitor ni mpya na nzima haina tatizo lolote, naiuza kwa bei ya hasara 250,000 tu kama upo tayari kununua piga simu 0744288929...
1) one in a milion- Aaliyah
2) tease me- chaka demus and plies
3)send it on - D' Angelo
4) hallo-Beyonce
5)shawty- plies
6)Lollipop- lil' wayne
7) yako wapi mapenzi- rubby
8) masogange- belle 9
9) fu-gee-la- fugees
10) let me hold you- bow wow ft omarion
11) if you realy wanna know- mac dosley...
Bado nina malalamiko dhidi ya Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya. Kutokana na ucheleweshaji wa utoaji wa pasipoti, hatimaye nimeshindwa kufanya safari yangu iliyokuwa imepangwa kwa mwaka huu wa 2026.
Kinachonisikitisha zaidi ni kwamba, pamoja na kufuatilia mara kwa mara, sijapewa maelezo ya...
Anonymous
Thread
mbeya
passport
safari
safari yangu
sana
uchungu
uhamiaji
yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.