Dragon Quest: Young Yangus and the Mysterious Dungeon is a prequel and spin-off to Dragon Quest VIII, developed by Cavia and published by Square Enix as part of the Mystery Dungeon series.
Hii sio kawaida!
Am cooked, ninetumia GB 10 za intaneti, just in a day(less than 10 hrs) kwa ku scroll pekee!
Youtube
Insta
Fb
Site za wakubwa(twice)
Na hapo bado nimeenda kuchek mechi(means Kuna kama masaa sikushika simu)
.. Kweli nahitaji social media detox, hii imesababishwa na being...
Jina langu naitwa Hidden Diamond.
Kwa mama, mimi ni mtoto wa tatu kuzaliwa (na kaka yangu mkubwa ambaye mama alimpata akiwa bado msichana mdogo), ila kwa baba ni mtoto wa pili baada ya kaka yangu ambaye kwa sasa ameajiriwa kwenye sekta mojawapo binafsi nchini.
Kwenye familia yetu, wote kwa...
Habari za wakati huu.
Picha nilizoweka hapo ni mitiki yangu ipo kwenye shamba langu jirani na kijiji cha Kibindu wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Natafuta mteja anaefanya shughuli za mazao ya miti au mfanyabiashara wa mazao hayo.
Miti yote ina umri sawa ilipandwa mwaka 2007, ina miaka...
Habari, leo nikiwa na kagua nijue nadaiwa kiasi gani cha maegesho ya gari gafla nakuta na daiwa sh 60000 ya makosa barabani , sijui niliandikiwa wapi na lini ! Huu utaratibu ukoje ? Naweza peleka malalamiko ? Moderator Maxence Melo
Ndio hivyo tena biashara ni ushindani ukilala wenzio wanaamka, mwenye frem anachotaka ni kodi hajali aliempangisha anauza nini na anaetaka kupangisha nae atauza nini shida kodi inaingia
Fremu inayofuata kaingia mpangaji mpya ile kufungua ni copy na paste ya bidhaa ninazouza, cha ajabu kaja na...
Juzi kati nilitembelea watoto yatima sehemu fulani maporini huko na nikiwa huko nilihisi kung'atwa na kitu then kurudi home wakati naoga nikaona pale mahali pamevimba.Na palivimba na kuwasha sana kwa kama wiki nzima huku dawa nilizopewa hospitali kutosaidia kit.
Tukiwa kitandani shemu wenu...
Ingawa mimi ni shabiki mkongwe wa Albiceleste, na bado naimani kubwa sana na chama langu kubeba kombe hili (Back to Back)
Lakini kwa upande wa Afrika nipo na chama langu The Atlas na mabingwa wa Afrika CAF CHAMPIONS LEAGUE 🇲🇦 MOROCCO 💪🏽, niwatakieni kila la kheri katika mchezo wenu wa kwanza...
Hapo vip!
Jamani nina tatizo sereous,ninabiashara sehemu kila nikiweka mtaji then mtaji unakata..na nauza kidogo na pale ni stand kabisa ila majira wanauza na biashara zao haziyumbi kabisa.
Mimi nipo Arusha ila nikimpta mganga mzuri wa kujija kunisindikia eneo langu la biashara itakuwa poa...
Kwema wakuu?
Ninahitaji kupata passport ya kusafiria ila jina lililoko kwenye nida limekosewa herufi moja tu (badala ya kuishia na herufi “ni” jina la mwisho limeishia na “n”).
Siko na kitambulisho mkononi kipo mkoani huko na time hii niko DSM. Je, inawezekana?
Wakuu kwema ninauza gaming laptop yangu ina speci hizi
Core i7 gen 9
ram 16
hp pavilion
gtx 1650
vram 4gb
ssd 256 ssd sata tb 1
core i7 gen 9
battery 1hours
windows 11
bei 680k serious buyer dm me au 0627796644
inafaa kwa gaming na graphic
Habarini wakubwa,
Poleni na majukumu. Nianze kwa kuomba radhi kwa nitakaowakwaza.
Mimi ni kijana wa miaka 27. Baada ya majaribio ya muda mrefu ya kutafuta mke kushindikana, nilikata tamaa ya kuoa kabisa na nikaamua kubaki single.
Baada ya muda, dada yangu alinipatia binti mwenye miaka 17 na...
Nilikuwa na rafiki yangu mzuri ambaye tulifahamiana ofisini lakini baadaye alikuja kuhama pale ofisini sasa yapata miaka 8 hatuko pamoja
Lakini wakat huo wote tuliendelea kuwasiliana na kusaidiana katka changamoto mbalimbali za kimaisha
Kilichonishtua ni kuwa mwaka Jana alinipigia simu...
Hii ni simulizi fupi ya kweli ya mahusiano yangu na ndoa yangu,naomba wengi tujifunze na kushauri pia.
Mimi ni baba wa watoto watatu naishi na familia yangu kwa miaka kumi sasa,katika maisha yetu na mke wangu tumeishi vizuri sana kwa maelewano mazuri,toka tuanze maisha chumba kimoja tumekuwa...
🍌𝗠𝗙𝗨𝗠𝗨𝗞𝗢 𝗪𝗔 𝗕𝗘𝗜 𝗨𝗡𝗔𝗪𝗘𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗟𝗔 𝗠𝗜𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗬𝗔 𝗪𝗔𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔𝗕𝗜𝗔𝗦𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗪𝗔𝗗𝗢𝗚𝗢 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔🥒🍌
Ripoti mpya ya TICGL inaonesha kuwa ongezeko la mfumuko wa bei nchini linaweza kuendelea kuathiri kwa kiwango kikubwa biashara ndogo na za kati (MSMEs), 𝗮𝗺𝗯𝗮𝘇𝗼 𝗻𝗱𝗶𝗼 𝘂𝘁𝗶 𝘄𝗮 𝗺𝗴𝗼𝗻𝗴𝗼 𝘄𝗮 𝘂𝗰𝗵𝘂𝗺𝗶 𝘄𝗮 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮.
🔹 Mfumuko wa bei...
Niliandika thread hapa kushangaa kwa nini mtu kama Terence Crawford kuonesha mapenzi yake ya dhati kwa Tanzania kuitangaza kimataifa na kupost kila hatua anayopita kuonesha ni kwa namna gani Tanzania imebarikiwa lakini viongozi wa nchi walimkalia kimya kana kwamba ni mtu wa kawaida tu.
Kwa...
Formati yake ndani, comfortability is another level. Pia mwonekano safi, hasa hizi Peal White ukipita lazima watu wageuke nyuma.
Kiukweli gari yangu next year itakuwa Toyota Crown
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.