Mvua zilizopitiliza, Radi kali, earthquakes za kutosha na ni kubwa sana, kama haitoshi, wataalam wanasema El nino inakuja ambayo ni kubwa sana na haijawahi tokea tangu miaka ya 18s. Nadhan kuna jambo kubwa zaidi tutalishuhudia huu mwaka, watakaopita salam, Good on them, watakao athirika...