dubai

  1. Mad Max

    Mwamba anaendesha Utopia kwenye Mafuriko Dubai

    Watu wana balaa na dharau za mapesa. Huko Dubai mvua zimeleta majanga ya mafuriko hadi miundombinu kama barabara na airports kuacha kufanya kazi kwa muda. Sasa kuna jitu lenyewe halijali, limeonekana likiendesha gari yake Pagani Utopia kama ni off-road car kwenye maji. Na gari haikuzima (labda...
  2. Nigrastratatract nerve

    Dubai kukumbwa na Mafuriko nako kuna bwawa la Mwalimu Nyerere?

    Dubai yakumbwa na mafuriko, safari za ndege zasimama Mvua kubwa imeendelea kupiga katika mji wa Dubai na nchini Oman, na kusababisha mafuriko ambayo yamepelekea maafa na kusimamisha safari za ndege katika uwanja wa ndege wa Dubai ambao ni wa pili kwa shughuli za safari za ndege duniani. Uwanja...
  3. Mganguzi

    Mafuriko yaliyotokea Dubai na tehran juzi na Jana yamesababishwa na bwawa la mwalimu Nyerere! viongozi wetu wamekosa umakini !

    Sio tu Dubai na nchi nyingine huko falme za kiarabu hata mmomonyoko wa udongo mbeya pamoja na mafuriko ya Arusha na hata bwawa la monduli kupasuka chanzo ni bwawa la mwalimu Nyerere! Kwa Hali hii lazima serikali iwajibike ipasavyo ! Mawaziri wa nishati lazima wajiuzuru hata waziri mkuu ajiuzuru...
  4. Alwaz

    Tabia ya kuvuna mawingu huenda ndiyo imesababisha mafuriko ya Dubai

    Nchi ya UAE inayounganisha na jimbo la Dubai ni miongoni mwa mataifa tajiri sana duniani.Kila kitu wamependelea kiende kiteknolojia hata pasipokuwa na umuhimu wa namna hiyo. Maendeleo hayo ndiyo yamewafanya wasiweze kusubiri mvua zinyeshe kwa hiyari yake japo hawana shida sana ya maji wala...
  5. MINING GEOLOGY IT

    Kwanini Dubai inaagiza mchanga Australia wakati upo kwa wingi kwao

    Dubai ni moja ya miji mikubwa duniani yenye majengo marefu na ya kuvutia. Ukuaji wake wa haraka umehusishwa sana na sekta ya ujenzi na maendeleo ya miundombinu. Kuanzia majengo ya kipekee kama Burj Khalifa, jengo refu zaidi duniani, hadi visiwa bandia kama Palm Jumeirah, Dubai imekuwa...
  6. W

    Dubai Yakumbwa na Mvua Ambayo Haijawahi Kunyesha kwa Miaka 75

    Safari za ndege zahairishwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dubai baada ya uwanja huo kufurika maji kutoka na mvua zilizonyesha tarehe 16 Aprili, 2024. Serikali ya nchi hiyo imesema mvua hiyo haijawahi kunyesha kwa miaka 75. Mvua hizo zilianza kunyesha usiku wa tarehe 15 Aprili na...
  7. Alwaz

    Mafuriko ya Dubai yawatie akili waarabu.Hawako salama mbele ya adhabu za Mungu.

    Maendeleo yaliyofikiwa kwenye nchi kama UAE huwa zinawatia jeuri wengi ya wakazi wa maeneo hayo kiasi kufanya maasi ya waziwazi mbele ya amri za muumba wao. Kuna matukio mengi yantokea ili kuwapa onyo na hili la mafuriko ya jana ni moja ya onyo kubwa kwao. Kwa muda wa masaa 12 tu imenyesha mvua...
  8. hermanthegreat

    Kama ilivyo Alibaba China ni app gani naweza kuitumia kununua vitu Dubai

    Wakuu kama Mada tajwa hapo juu inavojieleza, wakati napitia Facebook Marketplace nimegundua kuna bidhaa zina bei ya chini sana Dubai. Mfano: Hiyo tecno 106, ina 12k China alibaba, ina 25k up to 35k Bongo lakini kilichonivutia zaidi ni ina AUED 1 , sawa na Tsh.700 yaani 0.7k Dubai. Facebook...
  9. Maghayo

    Dubai wakumbwa na mafuriko baada ya mvua kubwa kunyesha

    Mzuka wanajamvi! Mji wa kisasa wa kitajiri unasifiwa kwa miundombinu bora duniani sasa hivi iko underwater mafuriko ya hatarii hadi shughuli zote kusimama. Hii ni baada ya mvua kubwa na dhoruba na radi. Tulikuwa tunalalamika bure mafuriko Arusha na rufiji. ==== --- Torrential rain and...
  10. L

    Iphone X kwa bei ya 485,000 used from dubai

    Karibuni boss zangu. Iphone X zipo za kutosha tupo kariakoo .storage 64gb,256gb . Kwa mawasiliano piga 0695022051 Whatsapp 0734123440
  11. Kaka yake shetani

    Usishangae P. Diddy kukimbilia Dubai au nchi nyingine

    Dubai ni sehemu moja safi hata ukiwa tapeli,mwizi,mtakatishaji pesa kwako ni sehemu nzuri sana. Sasa ili lilomkumba kesi za ngono kwa nchi za wenzetu ni kesi kubwa kama ilivo mfungo pale visiwani, kesi hizo unaweza kuozea jela kuliko za wizi na mambo mengine. Mfano mzuri South Afrika...
  12. Miss Zomboko

    Serikali imetafuta Kampuni kutoka Dubai ili kuipa tenda ya kuendesha Mradi wa Mabasi ya Mwendokasi Jijini Dar es Salaam

    Inaelezwa Serikali imetafuta Kampuni kutoka Dubai ili kuipa tenda ya kuendesha Mradi wa Mabasi ya Mwendokasi Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ushirikiano wa Umma na Binafsi (PPP), David Kafulila, amesema DART itasaini makubaliano Mwezi ujao na Kampuni ya Emirates National...
  13. figganigga

    Hii ATCL tuwape Waarabu wa Dubai waiendeshe. Hela za ndege tununue Meli za Uvuvi. Mtanishukuru baadaye

    Wakuu, Kama mnavyojua, ATCL kila mwaka inapata hasara. Mfano mwaka uloisha 2022/2023 imepata hasara ya Bilioni 56. Hii BIlioni 56 ni Madara au Hospital ngapi? Ingesambaza maji Vijiji vingapi? Tuache kung'ang'ania mambo tusiyo yaweza. Haya mambo tuwaachie Kenya. Kenya Airways imedai kupata...
  14. figganigga

    Waarabuni wa Dubai waomba zabuni ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

    Salaam Wakuu, Baada ya Waziri wa TAMISEMI kuagiza DART itafute mwekezaji binafsi wa kuendesha Mabasi ya Mwendokasi, sasa mambo yamekuwa moto. Hadi sasa Makampuni 30 yameomba kuendesha Mabasi hayo. MY TAKE Nani wa kutoboa mbele ya Mwarabu? ===== Dar es Salaam. Two Tanzanian companies are...
  15. Teslarati

    Hawa Wayemen, Pakistan na Iraq ni wa Uislam upi? Mbona Dubai na Saudia ni watu poa sana?

    Mimi ni mkristu ila kuna muda inabidi ukweli usemwe. Leo nimekaa nikakumbuka trip yangu ya kwanza Dubai, kuna protocols nilivunja ila wahusika pale (waarabu) wakaniita ofisini kwao kwanza nikaulizwa kama nimekula, nikapelekwa kula kisha ndo wakanikalisha chini kunielekeza. Overall experience...
  16. monotheist

    Anayejua mazingira ya kazi za security OMAN na DUBAI

    Wakuu kama kuna yeyote aliyewahi fanya kazi za security au anayejua mazingira ya kazi za security maeneo ya Dubai na Oman anipe mrejesho maana kuna dili nimepata huko ili nijue kama pananifaa au laah
  17. Kaka yake shetani

    Dubai wana kituo cha kusababisha mvua kwa kumwaga nchunvi kwa kutumia ndege.Sisi huku tukimtanguliza mungu na kununua V8 new model

    Yani sijui tuna kwama wapi yani ukikaona kandege kenyewe utazani kakupeleka watalii mbugani.yani wenzetu wasio na kitu kwenye ardhi wanajaribu kisicho kuwa kitu kuwa kitu. bado na kazia ma ubongo yetu yana tumia masanturi
  18. Prince Mhando

    Connection za kazi nje ya nchi: Qatar, Oman, Dubai, Saudi, UAE

    Ndugu zangu wana JAMIIFORUMS hapo mwanzo nilikuwa muhanga wa kutafuta Ajira hapa nchini kwakweli nilihangaika sana. Nilibahatika kupata kazi kwenye kampuni mbali mbali ikiwemo GARDAWORLD baadae WS INSIGHT kampuni zote hizi ni za ulinzi ambazo kwa hapa nyumbani ndizo zenye malipo mazuri...
  19. P

    Waziri anayemiliki jumba la kifahari ufukweni Dubai atajwa

    Leo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi. Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii...
  20. Msanii

    Mfumuko wa bei upo juu, Viongozi wapo bize na uchaguzi na kununua makasri Dubai

    Ndugu zangu, Bidhaa ghafi kama sukari inakimbilia TZS 5,000+ halafu Waziri wa Kilimo anatuambia mashamba ya miwa yamejaa maji... ina maana mipango na mikakati ya serikali ni namna wanavyosurvive leo na hawana 10+ years plan. Serikali haina akiba ya chakula ndiyo maana soon watakimbilia...
Back
Top Bottom